The celebrity
JF-Expert Member
- Jul 9, 2020
- 1,972
- 559
Wapi nimetumia nguvu Kubwa? Kusema you have nothing?Logically..,hapo umemaanisha Nina "Nothing"
..so am very grateful for having nothing.....
Sasa huoni umetumia nguvu kubwa kulisema neno Hilo ukiamini ni baya,... kumbe inategemea na uliyemuambia atakavyolitafsiri.
Mimi ni Mtu positive.
Sawa,.. turudi kwenye mfano wako wa Dereva na abiria.Wapi nimetumia nguvu Kubwa? Kusema you have nothing?
Sawa jibuSawa,.. turudi kwenye mfano wako wa Dereva na abiria.
Kwahiyo hata Tai (Eagle) aki adjust altitude anafanya hivyo Kwa ajili ya curvature?Sasa kama Dunia ingekuwa flat, kwann ndege i-adjust altitude? Hivi unatumia nini kufikilia???? Wewe huoni kuwa ina adjust Ili kufata curve?
Hii hapa.... anthony_artNarudia tena.......
Logically.., if two cars(Sun & Earth ) are in motion, you cannot say that one is stationary with respect to the other unless you're trying to lie. Each car has its own motion, and neither can be considered stationary relative to the other while both are moving......
unakosea unapotelea mfano wa Dereva na abiria.... kwasababu kimsingi Dereva na Abiria wote wapo kwenye chombo kimoja kinacho move., ili mfano wako uwe na mantiki chukulia gari mbili zinazo move in opposite lane,...Je, unaweza kusema gari mojawapo ipo stationary with reference to the other?......The answer is absolutely no!
Umeona mfano unaoingia akilini huo?
NB: Rudi ujitetee tena.
Mpk hapa Bado hujaelewa????Air Traffic Control (ATC) Instructions: ATC directs aircraft to climb or descend to maintain safe separation from other aircraft and to follow designated flight paths.
Ungejibu kwanza swali, then ndio ukakoment hiki, jibu ndio au hapana.Hii hapa.... anthony_art
Ujinga ungekua ni kipaji, Jamaa tungempa tuzoAnatapatapa sana, mtu anamtumia Einstein kutetea ujinga wake wakati theory ya Einstein ina-apply kwenye Dunia tufe.
Acha kutunga uongo hakuna neno curvature hapo,.....hayo ni maneno yako kujustify nadharia zako.Mpk hapa Bado hujaelewa????
Hiyo designated flight path ni curved na ndio maana lazima i-adjust altitude, dunia ingekuwa ni flat kusingekuwa na haja hiyo ingeruka tu kwenye height inayotakiwa then inamaintain bila ku-adjust. Sasa Ina adjust nini wakat Dunia ni flat??
Hizo sababu nyingne ni za kweli ila sio core, na ndio maana anatumia neno may.
Unapenda sana kubadilisha maana ya mfano ili kuuweka ujinga wako,Narudia tena.......
Logically.., if two cars(Sun & Earth ) are in motion, you cannot say that one is stationary with respect to the other unless you're trying to lie. Each car has its own motion, and neither can be considered stationary relative to the other while both are moving......
unakosea unapotelea mfano wa Dereva na abiria.... kwasababu kimsingi Dereva na Abiria wote wapo kwenye chombo kimoja kinacho move., ili mfano wako uwe na mantiki chukulia gari mbili zinazo move in opposite lane,...Je, unaweza kusema gari mojawapo ipo stationary with reference to the other?......The answer is absolutely no!
Umeona mfano unaoingia akilini huo?
NB: Rudi ujitetee tena.
Swali lako ni irrelevant.Ungejibu kwanza swali, then ndio ukakoment hiki, jibu ndio au hapana.
Yes,. ukileta mfano usio na uhalisia nitakufahamisha na kukufundisha jinsi ya kutengeneza mifano yenye uhalisia.Unapenda sana kubadilisha maana ya mfano ili kuuweka ujinga wako,
Nimekudanganya nn hapo? Basi nijibu kama Dunia ni flat kwann ndege inaadjust altitude Ili kufata path yake?Acha kutunga uongo hakuna neno curvature hapo,.....hayo ni maneno yako kujustify nadharia zako.
Kwahiyo hapo Dunia ndiyo inazunguka?hateeb10
Ulitaka video ya Dunia ikirotate, hii hapa tatizo huwa unadhani Dunia inazunguka Kwa speed Kubwa sanaaa.
View attachment 2968576
Source: ISS
Acha siasa wewe, Ungekua tayari kuelimishwa ungekua unauliza sehemu ambapo hujaelewa kwenye hii mifano inayotolewa, Na sio kuweka maana zako weweYes,. ukileta mfano usio na uhalisia nitakufahamisha na kukufundisha jinsi ya kutengeneza mifano yenye uhalisia.
Hakuna Cha irrevant hapa, kipi ni irrelevant hapo? Basi? Dereva? Wewe uliekaa nyuma? Au nini?Swali lako ni irrelevant.
We unaona ipo stationary hapo,Kwahiyo hapo Dunia ndiyo inazunguka?
Kubali Kwanza kwamba ulikua unadanganya Kwa kudai eti Ndege zina adjust altitude Kwa ajili ya curvature,....kisha tutaendelea.Nimekudanganya nn hapo? Basi nijibu kama Dunia ni flat kwann ndege inaadjust altitude Ili kufata path yake?