Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Nimemwambia anambie Einstein alisema nn kuhusu gravity, hajajibu. Theory ya general relativity inaelezea kwann object zenye maumbo madogo kwenye space zinazunguka maumbo makubwa.
Mfano: sayari kuzunguka Jua, mwezi kuzunguka Dunia.
Yapo maswali mengi tu ana skip,
 
Mfano unaelezea Gari, Dereva pamoja na abiria

Wewe unakuja na maelezo yako mengine, sijui magari mengine kalikwenda kakarudi...

Una shida gani Niga ?
 
Mfano unaelezea Gari, Dereva pamoja na abiria

Wewe unakuja na maelezo yako mengine, sijui magari mengine kalikwenda kakarudi...

Una shida gani Niga ?
Anadai ni irrelevant, ndo nasubirii anambie irrelevant kivipi, kwamba haiwezekani dereva na abiria kuwa kwenye gari Moja?😀😀.

Huyu mwepesi sana, basi tu ku argue Kwa maandshi ni kazi
 
Yanafata nini?
Ndio huo nimekupa, unataka nn?
Aya nyingne hizi
1. Flight path
2. Sunrise and sunset
3. Ship visibility
Kwahiyo ili ujue Mkunjo wa Dunia unaangalia mawingu?

Hapo unakua unakisia Tu hujathibitisha.......hizo nyingine zote ni nadharia tu hakuna uthibitisho hapo.
 
Una uhakika kuna slight curve?

Tafuta muda kisha yalete hayo maswali......

Focus na maswali yaliyopo sasahivi....
Unasema tuamini milango yetu ya fahamu


Lakini tukikueleza kuhusu Ship visibility unasema ni Illusion tu ile,

Je uthibitisho wa Jua kuzunguka Dunia na sio kuwa ni illusion tu uliupataje ? Tuelezee uthibitisho wako
 
Mfano unaelezea Gari, Dereva pamoja na abiria

Wewe unakuja na maelezo yako mengine, sijui magari mengine kalikwenda kakarudi...

Una shida gani Niga

Sawa,.. ngoja nikuache na mfano wako wa Gari, Dereva na abiria....

Maana kwangu hauingii akilini.
 
Basi sifananishi Jua na Dunia, nijibu kama ulivyo kwanza. Usirukie mbele hujui kwann nimeuliza.
Najua kwanini unaniuliza,...akili yangu ipo mbele ya muda.


Na hoja hapa NI Jua na Dunia.,..sasa kuzunguka zunguka na mifano irrelevant inaonyesha dalili za uoga,..twende moja Kwa moja kwenye point mifano iwe halisia tafadhali.
 
Kwahiyo ili ujue Mkunjo wa Dunia unaangalia mawingu?

Hapo unakua unakisia Tu hujathibitisha.......hizo nyingine zote ni nadharia tu hakuna uthibitisho hapo.
Kwahy mawingu yame curve kufata nini? Ukiwa sehem ambayo Haina mabonde Wala milima, angalia hata mbalii utaona kama mawingu yameshuka chini kwahy utanambia hayo mawingu yameshuka ardhini?

Hizo nyingne Nadharia kivipi? Sema kivipi sio unajibu tu simple.
 
Najua kwanini unaniuliza,...akili yangu ipo mbele ya muda.


Na hoja hapa NI Jua na Dunia.,..sasa kuzunguka zunguka na mifano irrelevant inaonyesha dalili za uoga,..twende moja Kwa moja kwenye point mifano iwe halisia tafadhali.
Kwani ukinijibu utapungukiwa nini?😀😀 Nimekwambia sijafananisha Jua na Dunia, au umesahau kwann nilikuuliza huo mfano?
 
Na h
Na hii ni very simple na kila mtu anaweza kuona kwa urahisi kabisa,
 
Unasema tuamini milango yetu ya fahamu


Lakini tukikueleza kuhusu Ship visibility unasema ni Illusion tu ile,

Je uthibitisho wa Jua kuzunguka Dunia na sio kuwa ni illusion tu uliupataje ? Tuelezee uthibitisho wako
Milango ya fahamu inajua kabisa kwamba ship visibility ni story za uongo.

Wewe upo indoctrinated ndiyo maana unaamini eti Meli inapotea Kwa kutumbukia through curve,.....level up your intelligence bro!
 
Najua kwanini unaniuliza,...akili yangu ipo mbele ya muda.


Na hoja hapa NI Jua na Dunia.,..sasa kuzunguka zunguka na mifano irrelevant inaonyesha dalili za uoga,..twende moja Kwa moja kwenye point mifano iwe halisia tafadhali.
Mfano tu wa Ile video ya majengo umesema sio relevant unataka nn?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…