Curvature ipo angani au ardhini?Ndio ninauhakika, yaani kutoka hapa mpk kigoma huwez kulinganisha na hapa na marekani ukizingatia upo angani
Emu ficha ujinga wako, Yani uongo jambo ambalo hata wewe ukienda kushinda pale coco beach unalishuhudia ?Milango ya fahamu inajua kabisa kwamba ship visibility ni story za uongo.
Wewe upo indoctrinated ndiyo maana unaamini eti Meli inapotea Kwa kutumbukia through curve,.....level up your intelligence bro!
Kwahy unakataa hujawahi kukiri hivi vitu humu?Sikuiona hii....
Umeamua kujipa majibu.
Una uhakika?Ndio ninauhakika, yaani kutoka hapa mpk kigoma huwez kulinganisha na hapa na marekani ukizingatia upo angani
Akili yako ndogo, ngoja nikusaidie.Curvature ipo angani au ardhini?
Nionyeshe video ya Ndege ikiwa inaenda down to the curvature of the earth.
Akili yako ndogo, ngoja nikusaidie.Curvature ipo angani au ardhini?
Nionyeshe video ya Ndege ikiwa inaenda down to the curvature of the earth.
Twende Beach tukodi drone,...then tuchukue video Kwa kutumia drone ifike mpaka point unayosema kuna curvature.Emu ficha ujinga wako, Yani uongo jambo ambalo hata wewe ukienda kushinda pale coco beach unalishuhudia ?
Nielezee uongo ni upi hapo
Na haujajibu swali langu bado
Angalia hii picha nambie hayo mawingu yanafata nini hapo? Kama sio curve ya Dunia?Una uhakika?
Unaweza ukaniambia exactly street/Country ambapo Mkunjo wa Dunia unaanzia?
Kama nilivyosema curvature utaiona kwenye cartoon Tu...kama hii uliyoweka hapo.Akili yako ndogo, ngoja nikusaidie.
Curvature ipo kwenye ardhi, kwahy ukiwa angani ukisema ufate ardhi hautokuwa na budi kufata curvature ya ardhi, kwahy uta curve angani kama mawingu yalivyo.
Una uhakika?
Unaweza ukaniambia exactly street/Country ambapo Mkunjo wa Dunia unaanzia?
Kwa sabab huna hoja ndio maana utakomea kusema ivyo. Nimekupa video inaonesha rotation na curvature, hujasema tatizo liko wapiKama nilivyosema curvature utaiona kwenye cartoon Tu...kama hii uliyoweka hapo.
Hujajibu swali.......ππΌAngalia hii picha nambie hayo mawingu yanafata nini hapo? Kama sio curve ya Dunia?View attachment 2968617
Aisee wewe ni mjinga kweli, yaani unataka uende kwenye curvature ilipo??π Uoneshwe kwamba curvature hii hapa?kuwa serious.Twende Beach tukodi drone,...then tuchukue video Kwa kutumia drone ifike mpaka point unayosema kuna curvature.
Je, tutaona hiyo curvature unayosema?
Upo tayari Kwa tafiti hiyo? Au unaogopa?
ChaiKwa Kila 5 km curve hutokea Kwa 4.6 m
Nimekupa umbali ambayo curvature inatokea.Hujajibu swali.......ππΌ
Unaweza ukaniambia exactly street/Country ambapo Mkunjo wa Dunia unaanzia?
Every point is a curvature?Aisee wewe ni mjinga kweli, yaani unataka uende kwenye curvature ilipo??π Uoneshwe kwamba curvature hii hapa?kuwa serious.
Embu chukua mpira alafu nioneshe wapi curvature ilipo kwenye mpira.
Every point is a curvature
Ndo unachoweza kusema ila kusema kwann ni chai huwezi abadani.Chai
Hii sio kweli ni maneno tu.Nimekupa umbali ambayo curvature inatokea.
After every 5 km (3mile) inatokea curvature ya 4.6 m
Kama sio kweli basi nambie curvature kwenye mpira Iko sehem ganEvery point is a curvature?
Hii sio kweli.
Ndio unachoweza ila kuleta hoja za kwann ni maneno tu hiweziHii sio kweli ni maneno tu.