Prince Luanda
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 2,255
- 2,825
Hapana sijaikwepa,....ishu ni kwamba sioni logic ya maswali husika....Kwa mfano anauliza kwanini position ya Jua kuzama na kuchomoza inabadilika......hapa alitakiwa atuambie position inabadilika vipi na amethibitisha vipi kama inabadilika
Sasa hapo Mimi na wewe nani mbumbumbu?Si unaona ulivyo mbumbumbu wewe na flat earthers wengine
Bado hujathibitisha chochote.......👇🏼Hiki ndicho ulichobakiza,
Ajabu umepewa majibu mengi sana humu, Ungekua mtu ambae ni mwepesi wa kupambanua mambo nadhani mpaka sasa ungekua umeshafahamu Dunia ni Tufe.
Ndiyo...Umeshawahi kupanda ndege?
Kwa ndege yenye ukubwa wa kutosha, inapokuwa imeshapaa na kutulia hewani, pasipotokea misuko suko unaweza kuweka kikombe cha cha chai na kisitikike wala kupata vibration. Kwanini na ndege ipo kwenye movement?Ndiyo...
In the first place umejuaje kama Ndege ipo kwenye movement?Kwa ndege yenye ukubwa wa kutosha, inapokuwa imeshapaa na kutulia hewani, pasipotokea misuko suko unaweza kuweka kikombe cha cha chai na kisitikike wala kupata vibration. Kwanini na ndege ipo kwenye movement?
Usiwe na haraka, huko kwenye dunia tutafika, tubaki kwanza kwenye ndege.In the first place umejuaje kama Ndege ipo kwenye movement?
Hilo swali kuhusu kikombe cha chai linapaswa kuja baada ya kujua whether Ndege ipo kwenye mwendo/not.
Yaani ishu ni kwamba umejuaje kama Dunia ipo kwenye movement?? Hilo ndiyo swali la msingi
Mfano wako haupo relevant,... Kwasababu kiwango cha liquid kilichopo kwenye kikombe cha chai ni kidogo sana,.. compared na ukubwa wa Ndege......Usiwe na haraka, huko kwenye dunia tutafika, tubaki kwanza kwenye ndege.
Ulipanda, ulijua itamove, ikamove, na ulithibitisha hilo sababu ulitua sehemu tofauti na ulipopandia, sasa swali ni sababu za kikombe cha chai kutokuwa na vibration ilihali ndege ilikuwa kwenye mwendo. Sababu ni ipi?
kinachosababisha vibration ikosekane ni nini hilo ndo swali, lijibu hata ukiweka assumption ya 75%. Usikimbie kimbie, jibu swali sio unakuja na assumptions kuwa swali si relevant wakati si wewe umeuliza, jibu swali kwanza ili muendelezo wa hoja uendelee.Mfano wako haupo relevant,... Kwasababu kiwango cha liquid kilichopo kwenye kikombe cha chai ni kidogo sana,.. compared na ukubwa wa Ndege......
Ili mfano uwe relevant,...let's assume Ndege iwe filled na liquid Kwa zaidi ya 75%.....nini kitatokea Kwa liquid husika ikiwa Ndege ina move?
Nikimbie kitu gani sasa,...Sipo hapa kujibu maswali yako Tu bali nipo hapa kutoa elimu na kufundisha watu namna ya kufikiri Kwa kutumia akili zao ili waweze Ku question yale waliyoaminishwa.,kinachosababisha vibration ikosekane ni nini hilo ndo swali, lijibu hata ukiweka assumption ya 75%. Usikimbie kimbie, jibu swali sio unakuja na assumptions kuwa swali si relevant wakati si wewe umeuliza, jibu swali kwanza ili muendelezo wa hoja uendelee.
Hiyo elimu inatolewa bila kuulizwa maswali au kuna waliolipa ada ndo wana haki ya kukuuliza maswali?Nikimbie kitu gani sasa,...Sipo hapa kujibu maswali yako Tu bali nipo hapa kutoa elimu na kufundisha watu namna ya kufikiri Kwa kutumia akili zao ili waweze Ku question yale waliyoaminishwa.,
Vibration inakosekana pale kunapokuwa na constant speed, bila kupungua au kuongezeka ghafla inayoweza kusababishwa na hayo uliyoyataja, Ila kwa sababu huna muda wa kuulizwa maswali ngoja tuishie hapa uendelee na wanafunzi wako boss.speed bumps, potholes na vitu kama hivyo,...
Sababu nyingine ni balanced operations za Engine za Ndege, altitude na kadhalika.
Kuuliza maswali sio tatizo kabisa ni sehemu ya kujifunza,.....ili sidhani kama ni sahihi kupinga pindi swali lako linapowekwa sawa ili kulifanya liwe na mantiki & relevant to mada husika.🤝🏼Hiyo elimu inatolewa bila kuulizwa maswali au kuna waliolipa ada ndo wana haki ya kukuuliza maswali?
Haya ni majibu ila pia vibration inakosekana pale kunapokuwa na constant speed, Ila kwa sababu huna muda wa kuulizwa maswali ngoja tuishie hapa uendelee na wanafunzi wako boss.
Sababu ya hayo maji kuangukia chini ni nini mkuu🤣Dunia ingekua Tufe....basi mambo yangekua hivi.......👇🏼
View attachment 2990772
Kwasababu ni kimiminika(Liquid)......Sababu ya hayo maji kuangukia chini ni nini mkuu🤣
Why chini na sio pembeni au juu mkuuKwasababu ni kimiminika(Liquid)......
Kwanza unakubaliana na hiyo image hapo., Kwamba ikiwa Dunia ni Tufe basi maji ambayo yapo attached na Dunia hayatostick kwenye Tufe yatamwagika Kwa kuwa yapo kwenye liquid form?... unakubali?Why chini na sio pembeni au juu mkuu
Kaka bado upo vilevile tu? Basi ngoja nikuongeze swali la mwisho hilo tufe halidondoki? Kwanini utake yadondoke maji tu?Kwanza unakubaliana na hiyo image hapo., Kwamba ikiwa Dunia ni Tufe basi maji ambayo yapo attached na Dunia hayatostick kwenye Tufe yatamwagika Kwa kuwa yapo kwenye liquid form?... unakubali?
Maana nikijibu swali lako itakua tumeruka stage ya msingi sana..
Mimi nataka maji yadondoke? HapanaKaka bado upo vilevile tu? Basi ngoja nikuongeze swali la mwisho hilo tufe halidondoki? Kwanini utake yadondoke maji tu?
Mkuu nahisi hujaelewa swali, ukiachia kitu hewani kinashuka chini,Mimi nataka maji yadondoke? Hapana
Mimi sikubaliani na nadharia ya Dunia Tufe,..so Tufe kutodondoka sio ishu...
Ishu ni mechanism gani inafanya Maji yastick kwenye tufe(linalozunguka)?
NB:- Ukileta hiyo mechanism usisahau kuambatanisha na uthibitisho.