Prince Luanda
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 2,255
- 2,825
Si unaona ulivyo mbumbumbu wewe na flat earthers wengine
Hapana sijaikwepa,....ishu ni kwamba sioni logic ya maswali husika....Kwa mfano anauliza kwanini position ya Jua kuzama na kuchomoza inabadilika......hapa alitakiwa atuambie position inabadilika vipi na amethibitisha vipi kama inabadilika