vizuri,...kama unasema Dunia haina ukomo kwanini ukubwa wake usiwe referred as infinity?Kutoka google;
The distance between the north and south poles is approximately 7900 miles while the equatorial diameter is slightly larger at 7930 miles
Hapa hapa nataka nikuulize swali,vizuri,...kama unasema Dunia haina ukomo kwanini ukubwa wake usiwe referred as infinity?
kitu kisicho na ukomo huwezi ukasema eti kina distance fulani.... tumia akili yako vizuri mzee.
Yes,..Hiyo ndiyo maana ya ukomo......Au unataka kusema ukomo unaanza baada ya ile occupied space ? nmekuongezea point ya kutetea hoja yako
uliza tuHapa hapa nataka nikuulize swali,
Mimi na wewe tunapishana sehemu moja,Yes,..Hiyo ndiyo maana ya ukomo......
occupied space!!
Unakosea unaposema eti dunia tufe ππΌπ haina ukomo "edge"
Nadhani sasa umejua nini maana ya ukomo.
So, kimsingi ni kwamba kama unataka watu wakuletee edge of the flat earth,... itabidi uanze wewe kuonyesha edge of a spinning ball.
Ndiyo maana nikasema hujui maana ya ukomo....Mimi na wewe tunapishana sehemu moja,
Mimi natazama ukomo into it's own
Lakini wewe unatizama on....or in...
Usiseme sijui maana ya ukomo,Ndiyo maana nikasema hujui maana ya ukomo....
Kwani ukomo wa Dunia tufe wewe ushawahi kuuona?Usiseme sijui maana ya ukomo,
Ila wewe umetengeneza maana yako na umeshikilia point hiyo....
Okay twende na maana hiyo hiyo...Ukomo wa Dunia ambayo ni flat kwa mtazamo wako, ni wapi ? ni nchi gani zimepakana na huo ukomo au kingo za Dunia flat ?
Mbona nlisema Dunia haina ukomo chief πKwani ukomo wa Dunia tufe wewe ushawahi kuuona?
kama hujawahi kuziona relax...
Nikianza safari kutafuta ukomo sitakuja nifike kamwe kwakua haupo,, Dunia ni tufeKwani ukomo wa Dunia tufe wewe ushawahi kuuona?
kama hujawahi kuziona relax...
Hahh,..basi ndiyo ujue kwamba Dunia ni flat na haina ukomo.Mbona nlisema Dunia haina ukomo chief π
Tumekubaliana tufe lina ukomo lakini...... mbona unageuka sasaNikianza safari kutafuta ukomo sitakuja nifike kamwe kwakua haupo,, Dunia ni tufe
Wapi tumekubaliana hivyo ?Tumekubaliana tufe lina ukomo lakini...... mbona unageuka sasa
Leta uthibitisho πHahh,..basi ndiyo ujue kwamba Dunia ni flat na haina ukomo.
mjadala umeisha si ndiyo,?
Si, tulikubaliana kwamba ukomo wa Dunia tufe unaanzia after the space occupied by the spinning imaginary ball?Wapi tumekubaliana hivyo ?
Hakuna ambae ameweza kuonyesha ukomo wa Dunia.... including taasisi ambazo wewe unaziamini kupitiliza.Leta uthibitisho π
So hii hoja ya Dunia ni flat isiyo na mwisho wewe umebuni tu ?Hakuna ambae ameweza kuonyesha ukomo wa Dunia.... including taasisi ambazo wewe unaziamini kupitiliza.
Hapana sijabuni,. currently hakuna tafiti yoyote inayoonyesha mwisho wa dunia.....so mpaka hapo huwezi kuhitimisha kusema dunia ina mwisho, bali utasema mwisho wa dunia ni unknown.So hii hoja ya Dunia ni flat isiyo na mwisho wewe umebuni tu ?