Chosen Rich
JF-Expert Member
- Jan 7, 2019
- 1,467
- 989
mpira hauna UKOMONinaposema kwamba kwenye baadhi ya nadharia,..watu wanakua brainwashed & indoctrinated ni kama hivi yani,.....Mtu unaweza kufikia hatua ya kuamini kwamba Mpira kama huu 👉🏼⚽ Hauna ukomo, yaani unaamini kabisa kwamba huwezi kujua ukomo wa mpira.....
Sasa cha kufanya think on your own,...kisha jiulize je mpira una ukomo au hauna... Hapo utapata majibu sahihi..