Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Angalia clip nliyo upload hapo juu, Hiyo ndio Dunia yetu
Sasa mbona hiyo clip haina tofauti na picha niliyoweka? yote ni matufe..........wewe kilichokuchanganya kwenye picha niliyoweka ni kuona kuna Miji na Majengo yanayoonekana yapo upside down,..kitu ambacho hakiepukiki kwenye nadharia unayoiamini ya dunia tufe.
 
Mkuu uli kutetea hoja zako unatakiwa angalau uwe na simple basics knowledge za misingi ya hoja zako..... vinginevyo itakua ni kubisha tu
Simple basics knowledge kuhusu hoja zangu ninazo....na ndiyo maana nikiwaomba uthibitisho hapa mnaanza kuleta hadithi tu mwanzo mwisho.


1. Thibitisha maji yanastick kwenye dunia tufe,.....show us how that works.
2. Thibitisha dunia inazunguka...Tuonyeshe means uliyotumia kujua inazunguka.

Sio hadithi,..lete uthibitisho.
 
Sawa, Hiyo ndio Dunia tufe nadhani hilo tumeelewana na umeiona jinsi ilivyo,

Kwahiyo dhana yako ya Dunia ni Flat imekufa 😎
 
Sawa, Hiyo ndio Dunia tufe nadhani hilo tumeelewana na umeiona jinsi ilivyo,

Kwahiyo dhana yako ya Dunia ni Flat imekufa 😎
Kwahiyo hiyo clip uliyoweka hapo ndiyo uthibitisho kwamba Dunia ni tufe.. linalozunguka?
 
Kwahiyo hiyo clip uliyoweka hapo ndiyo uthibitisho kwamba Dunia ni tufe.. linalozunguka?
Ni uthibitisho kuwa Dunia ni tufe,

Kuhusu kuzunguka, Subiri utaelewa taratibu kama ulivyoelewa kuhusu Dunia kuwa tufe 😎
 
Kabla sijaleta hoja kwanza FUTA hiyo statement kuwa dini za Dunia zinakubali kuwa dunia ni tambarare. Katika Quran inaonyesha Dunia ni tufe na kipenyo Cha juu na chini hakilingani.Dunia just na mwezi zote zinazunguka.
2.kama Dunia ni flat je unaweza kuelezea kupwa na kujaa kwa maji, usiku na mchana maana sidhani ka tungekuwa na usiku kama Dunia ni flat na maji yangekuwa level Moja all the time unless useme Dunia Inashake Ili kupata kupwa na kukaa
 
Ni uthibitisho kuwa Dunia ni tufe,

Kuhusu kuzunguka, Subiri utaelewa taratibu kama ulivyoelewa kuhusu Dunia kuwa tufe 😎
ooh kumbe Dunia tufe inathibitishwa kwa clip.......basi vizuri.

Naona unanilazimisha nielewe ndugu yangu.......mambo sio rahisi hivyo.
 
ooh kumbe Dunia tufe inathibitishwa kwa clip.......basi vizuri.

Naona unanilazimisha nielewe ndugu yangu.......mambo sio rahisi hivyo.
Oh, Yule aliyekua anahitaji uthibitisho wa Dunia tufe inayorotate kwa kupitia clip siku za nyuma, Na wewe uliyeandika hii ni watu wawili tofauti ?
 
Oh, Yule aliyekua anahitaji uthibitisho wa Dunia tufe inayorotate kwa kupitia clip siku za nyuma, Na wewe uliyeandika hii ni watu wawili tofauti ?
Sasa wewe una uhakika gani kama hiyo clip ni genuine?

Hatuwezi kuthibitisha dunia ni tufe kwa kutumia clip kama hiyo....atleast tupate clip ambayo itatuonyesha pande zote za dunia then tunaweza kufikia hitimisho sasa..
 
Sasa wewe una uhakika gani kama hiyo clip ni genuine?

Hatuwezi kuthibitisha dunia ni tufe kwa kutumia clip kama hiyo....atleast tupate clip ambayo itatuonyesha pande zote za dunia then tunaweza kufikia hitimisho sasa..
Acha siasa,

Wewe clip yoyote utakayoletewa ni lazima utoe kasoro zako.
 
Chosen Rich Hiyo video hapo still haithibitishi kama Dunia ni tufe linalozunguka.


1. Dunia ni flat yenye miinuko na mabonde.
2. Dunia imetulia.
 
“The bridge, which is yet to be named will connect Tanzania’s major city, Dar es Salaam with the archipelago in the Indian Ocean, whose islands sit between 16 and 31 miles off the coast of the African mainland.”

“Tanzania plans to build the largest bridge in Africa, a 31-mile-long bridge, connecting the mainland to the Zanzibar islands in a bid to boost trade and the country’s economy, which on the islands is driven mainly by tourism.

Find more information on the original article from the UK press.
 
Sikulazimishi kuamini kuwa jua na mwezi vinaizunguka Dunia wakati huo dunia inazunguka pia. Huu ndio mtazamo wangu
1. Dunia inajizungusha na hii inathibitisha kwa kuangalia angani, Nyota utakazo Ziona upande mmoja baada ya siku kadhaa hautaziona mahali hapo.
2. Jua na mwezi huizunguka Dunia na kupelekea usiku na mchana.

NB: Hii hoja haiuhusiani kabisa na sayansi tulizokalilishwa tukiwa shule, ila kwa kutazama kwa macho. Sio lazima kuelewa sasa hivi ila ipo siku tutaelewa.
 
1. Dunia inazunguka na hii inathibitisha kwa kuangalia angani, Nyota utakazo Ziona upande mmoja baada ya siku kadhaa hautaziona mahali hapo.

Sasa hapo huoni kwamba Nyota ndiyo zinazunguka?

Dunia Imetulia kama unavyoiona na kuhisi.
 
Dunia Tambarare au Flat Earth. Kupata Usiku na Mchana Jua linapozunguka Dunia.
 

Attachments

  • samsung 029.gif
    1.4 MB · Views: 7
This shit sucks! Physics ya wapi hii inasema ukirusha jiwe there will still be an upward force acting on the stone halafu eti itakuwa reduced slowly na air resistance?? The moment umerusha jiwe juu with an upward forece Fu the force immediately cease to exist but only remains it's effect which is " a change in kinetic energy of the stone ie energy possessed due to motion/kitu chochote kinachomove kina hii energy it is a function of velocity(kwa lugha rahisi niseme spidi) na mass"
Secondly, umeclaim friction would gradually reduce the applied upward force to zero pia ni uongo kama unaforce mbili zina act kwenye system hakuna force itamreduce mwenzake instead each will add up following vector algebra to produce the net force (resultant force).
Keep in mind air resistance ni function of velocity means kama object inapungua speed (which is what happens kama itaend juu) air friction ndo ingekuwa inapungua sio hiyo force iliyotumika kupush jiwe ambayo wewe unasema itaendelea kubaki(which is not true, force inacease kuexist the moment umerusha jiwe)
The only force ambayo itabaki ni gravity which pulls the stone down the earth maybe na air resistance (depending on shape na size ya object but ni very small, keep in mind jiwe tayari lina kinetic energy kutokana na ile force this kinetic energy will be doing work against gravity kusukuma jiwe within the gravitational field of Earth wewe mwenyewe unajuwa kama unanishati ukifanya kazi means unatumia ile nishati kifanya kazi so itapungua, the same goes to kinetic energy ya ile jiwe itakuwa inapungua (hence velocity will be decreasing) till all kinetic energy is finished keep in mind gravity ni conservative force means unapofanya kazi against gravity you acquire potential energy so the last step ni kuwa kinetic energy yote itakjwa converted to potential energy + some lost due to air resistance. Kitu kikiwa at higher potential kinauwezo wa kumove kwenda kwenye low potential (moving from higher energy to lower energy region, chukulia mfano sumaku [tusifike huko] ) so kitakachofanyika ni reverse the gravitational potential energy will be converted back to kinetic energy which will provide backward falling ya jiwe to the ground
Maelezo yako ni uongo na sio sahihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…