Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
KInachokufanya upaniki ni nn?Nenda katafute nasa hiyo sio shida yangu mzee
By the way, wewe picha za ultra sound na x-rats unaziamini???
Angalia sasa ulivyojaza mavi kichwani
Kwamba wewe unazani mimi naweza kupanik?KInachokufanya upaniki ni nn?
Picha za xray na ultrasound hazina shidaKwamba wewe unazani mimi naweza kupanik?
Mi nshawaambia nililetwa kuwafundisheni watu kama nyinyi, nakutanaga sana na watu wenye shida kama yenu iyo
Ama kuongea ukweli kama unamavi kichwani ni kupanick? Mzee jibu swali kwanza acha kujibu vitu vya ajabu. Unaamini picha za xray na ultrasound!?
Mkiambiwa mna mavi wabishi, unaweka hoja hoja inapingwa inawekwa hoja nyingine hujibu unazunguka sasa huoni kama afya ya akili inashida hapo shekhe?
Unafahamu kwamba zinafanyiwa reconstruction ??Picha za xray na ultrasound hazina shida
Lazima ila kwan kufwatisha output ya izo image ya izo raysUnafahamu kwamba zinafanyiwa reconstruction ??
Jibu swali, unafahamu ?Lazima ila kwan kufwatisha output ya izo image ya izo rays
SanaJibu swali, unafahamu ?
ULtrasound na xrays, hiz nime aprove hata kwa macho, mfano hizo ultrasound ukiscan 2D ukitransform into 3D ukaenda kuangalia na object ni the same kila kitu mpaka dimensionsSasa kwanini unaziamini meanwhile unafahamu kama zinafanyiwa reconstruction halafu huamini picha za NASA kwasababu zinafanyiwa reconstruction ?
Kwaiyo zile huamini kwasababu hujawahi kuona or kwasababu zimefanyiwa reconstruction? Unaenda kinyume na maelezo yako ya awali. What is your point?ULtrasound na xrays, hiz nime aprove hata kwa macho, mfano hizo ultrasound ukiscan 2D ukitransform into 3D ukaenda kuangalia na object ni the same kila kitu mpaka dimensions
KUna vitu vingi vingi sana hapa katikati hasa kuhusu NASA jitafutie tu.Kwaiyo zile huamini kwasababu hujawahi kuona or kwasababu zimefanyiwa reconstruction? Unaenda kinyume na maelezo yako ya awali. What is your point?
Hujajibu swaliKUna vitu vingi vingi sana hapa katikati hasa kuhusu NASA jitafutie tu.
Dunia ni flat and Stationary kama unavyoiona......Unazungumzia Curvature ukiambiwa uthibitishe the exact point ward/street ambapo Dunia inaanza ku curve utaweza?Kwamba ulivyosafiri ukaona dunia ni flat au sio😂😂
Kipenyo cha dunia ni zaidi ya kilometa elfu sita, rate ya kukunja ni only about 0.0001 radians kwa kilometer moja alafu unasema umeona ni flat.
Ukiambiwa kichwanj una mavi mbishi.
Mimi ntakuthibitishia kwa uhalisia kabisa tofauti na ww unayesema umeona kwa macho.
Nimefunga sana microwaves transmitter za mawasiliano kwenye minara ya simu ilikuwa ngumu mawasiliano kutoka mnara mmoja ifike mwingine kwa kufananisha urefu wa mnara mmoja na mwingine mpka tu adjust zile antena kutokana na curvature ya uso wa dunia pengine siku nikuchukue tufunge wote utoe mavi hayo
Narudia tena iingie vizur kwenye kichwa chako.Dunia ni flat and Stationary kama unavyoiona......Unazungumzia Curvature ukiambiwa uthibitishe the exact point ward/street ambapo Dunia inaanza ku curve utaweza?
Unachojua ni kutamka neno mavi tu,...hapo ndipo ubora wako ulipo.
kwahiyo distance kutoka microwave transmitter moja kwenda nyingine ipo affected na curvature?Narudia tena iingie vizur kwenye kichwa chako.
Sio mimi tu mtafute mtu yeyote mwenye taaluma ya uhandisi wa mawasiliano aliyewahi kufunga microwave transmitters kwa mawasiliano ya masafa marefu atakwambia jinsi tunavyohangaika kuziset kutokana na curvature ya dunia. Hizi dishes lazima ziangaliane ndo signal itoke mnara mmoja kwenda mwengine, sasa wewe huna experience yoyote uliyothibitisha kwa vipimo ikakuonesha Earth ni flat halafu unabishana huoni kama una mavi?
Akithibitisha Hili Mniite..Dunia ni flat and Stationary kama unavyoiona......Unazungumzia Curvature ukiambiwa uthibitishe the exact point ward/street ambapo Dunia inaanza ku curve utaweza?
Unachojua ni kutamka neno mavi tu,...hapo ndipo ubora wako ulipo.
Nadhani bado anapambana kufungua mafaiili ya nadharia kuona Ipi itathibitisha kuhusu hilo......Akithibitisha Hili Mniite..
Tofauti na Kusema Mathe na theory athibitishe Dunia Mahali fulani inaanza Kuwa Curved
Nimeshakujibu sioni haja ya kuendelea tena kukuelezea, nitakujibu tena NDIYOkwahiyo distance kutoka microwave transmitter moja kwenda nyingine ipo affected na curvature?
Umbali wa Dar es Salaam mpaka Kigoma upo affected na curvature?....Kama jibu ni "NDIYO" railway line imetandikwaje horizontally toka DSM kwenda Kigoma?
Sioni haja ya kujaza text, nimeweka link ya kufanya live meeting hamjajoin sasa kwanini kama mnajiamini hamtaki kufanya live?Nadhani bado anapambana kufungua mafaiili ya nadharia kuona Ipi itathibitisha kuhusu hilo......
abdulrahman Said Ukipata uthibitisho urudi hapa utuambie the exact street/ward ambapo Dunia inaanza ku curve.
Ntakupa tu hii elimu inase kwenye kichwa hiko.kwahiyo distance kutoka microwave transmitter moja kwenda nyingine ipo affected na curvature?
Umbali wa Dar es Salaam mpaka Kigoma upo affected na curvature?....Kama jibu ni "NDIYO" railway line imetandikwaje horizontally toka DSM kwenda Kigoma?