Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Ujinga ni kubaki na elimu usiyohitaji kuithibitisha kwa akili zako mwenyewe, kumbuka AKILI ninkile kinachobaki pindi ukiyatoa yooote uliyofundishwa. Je Mtoto ambaye hajaanza kufundishwa Sayansi, ukimuuliza Jua linatembea au limesimama atakujibu vipi? Au ukimuuliza Mwezi unatembea au Umesimamabatakujibu vipi?
Ndo maana upo hapa tutoe tulichofundishwa lete hoja zako kuhusu umbo la Dunia tambarare zenye logic, me nakujaji kulingana na unachosema ww.
 
Mimi nina elimu zote juu ya umbo la dunia kati ya utambarare duara na mviringo duara ndio maana kupitia milango yangu ya fahamu nimeujua ukweli ni upi. Je wewe una Elimu ya dunia ni Tambarare? Au je Elimu ya Dunia Mviringo uliipatia hapa jukwaani.?
Basi kwann unazunguka lete hiyo elimu, elezea Hilo umbo tambarare nasi tutakuuliza maswali uelezee
 
Kwenye flat Jua kuzunguka dunia usiku na mchana unapatikana vizuri tuu, unachotakiwa kufahamu jua ni dogo sana kuliko dunia, hivyo haitaweza kuangaza pande zote, mfano ni saa yako ya mshare ikiwa na kataa kadogo katika point ya mshale wa saa kawe kanamulika kwa chini hautaweza kuziona namba zote zaidi ya zitakazokua karibu na point ya mshale huo
Sawa, sasa kwann Kuna muda Jua linapotea kabisa? Kumbuka lipo juu hata liende mbali litaonekana tu,
chukulia mfano upo sehemu tambarare Kubwa tu tuseme hata uwanjan wa Mpira, then wewe uwe gori la upande mmoja mwingine awe gori la upande mwingine alafu awashe torch ya simu, ule mwanga wa simu utaonekana tu, sasa kwann Jua usiku haliinekani??
 
Proof ya nchi ambazo ukienda utaukuta huo ukingo, ni nchi zote ambazo kwenye ramani zimekaribiana na bara la Antactica maana kwenye flat bara la Antactica ni kingo za barafu zinazoizunguka dunia, kama utayafanya yale majaribio, utaelewa zaidi. Na proof ya person aliyefika, ni wale wote waliofika katika bara hilo.
Seriously hii ndo proof!! Uthibitisho wako haujafikia hata kuitwa theory, labda tuite hekaya maana unaongea tu bila ushahidi.
 
Jaribio la pii chukua karatasi kubwa likate duara, halafukati kati yake lichore ramani ya dunia na mabara yake ila usilichore bara la Antactica, badara yake pembezini mwa kingo za hilo karatasi andika neno Antactika kuzunguka karatasi hilo. Baada ya hapo tafute kitu cha duara mviringo kama chungwa au hololi kinachoweza kufunikwa na hilo karatasi then utujulishe neno Antactika limekaa wapi
What is your point here??
 
The celebrity wee jamaa ukishakunywa chai tuu unakuja huku kubishana kama dunia duara au dunia tufe...

The celebrity sio mchana wala usiku wewe upo hapa kuwaambia watu dunia duara...

The celebrity wewe upo tayari chakula cha mchana ukose ila tu watu wajue dunia duara

Sasa wewe sio mda tutakuloga 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
The celebrity wee jamaa ukishakunywa chai tuu unakuja huku kubishana kama dunia duara au dunia tufe...

The celebrity sio mchana wala usiku wewe upo hapa kuwaambia watu dunia duara...

The celebrity wewe upo tayari chakula cha mchana ukose ila tu watu wajue dunia duara

Sasa wewe sio mda tutakuloga 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Hata chai sijanywa😄😄, Hawa jamaa wanajiona wanauwezo wa pekee na wanafikria kuliko wengine.

Sasa mtu anakwambia toa ulivyofundishwa alafu tumia akili yako angalia unaona Dunia ni duara na inazunguka? Sasa kwann kwanza aniambie nitoe nilivyofundishwa😄?? Na wanakimbilia tumemezeshwa as if sisi hatifikrii tunachofundishwa.

Na wanaujua ukweli na ndio maana wanakataa GRAVITY haipo. Wakikubali tu Kuna gravity mjadala unaisha na wanajua Hilo,
 
Hata chai sijanywa😄😄, Hawa jamaa wanajiona wanauwezo wa pekee na wanafikria kuliko wengine.

Sasa mtu anakwambia toa ulivyofundishwa alafu tumia akili yako angalia unaona Dunia ni duara na inazunguka? Sasa kwann kwanza aniambie nitoe nilivyofundishwa😄?? Na wanakimbilia tumemezeshwa as if sisi hatifikrii tunachofundishwa.

Na wanaujua ukweli na ndio maana wanakataa GRAVITY haipo. Wakikubali tu Kuna gravity mjadala unaisha na wanajua Hilo,
Hapo kumbe ujanywa chai mkuu..
Naona mku wewe upo seriously mtu anapogusa habari za dunia flat Mara duara..

Endelea kuwapa dozi naona wanaanza kupungua maana watu walikua wanaogopa hu uzi maana ukija na phy yako ya form four wanakukanda vilivyo😀😀😀😀😀😀🙌🙌🙌🙌
 
Hapo kumbe ujanywa chai mkuu..
Naona mku wewe upo seriously mtu anapogusa habari za dunia flat Mara duara..

Endelea kuwapa dozi naona wanaanza kupungua maana watu walikua wanaogopa hu uzi maana ukija na phy yako ya form four wanakukanda vilivyo😀😀😀😀😀😀🙌🙌🙌🙌
Na ukija na physics wanakuja na biblia Ili ubishane na MUNGU😄😄
 
Sayansi inahangaika kuthibitisha iliyoyakuta yameumbwa na kwasababu hiyo kila siku tafiti zinafanyika ikiwa na maana bado haijafikia kikomobchabkuthibitisha kuankitu hiki kipo hivi kwasababu ya hivi.

Ujinga ni kubaki na elimu usiyohitaji kuithibitisha kwa akili zako mwenyewe, kumbuka AKILI ninkile kinachobaki pindi ukiyatoa yooote uliyofundishwa. Je Mtoto ambaye hajaanza kufundishwa Sayansi, ukimuuliza Jua linatembea au limesimama atakujibu vipi? Au ukimuuliza Mwezi unatembea au Umesimamabatakujibu vipi?

Ujanja sio kupinga usiyoyajua, bali ujanja ni kutetea yale uliyo na uhakika nayo. Hivi unadhani kuna kuna mtu ambaye hajafundishwa kua Dunia ni kama tufe? Je kuhoji uhakika wa hilo somo ni Ujinga.

Turudi katika Imani. Je yaliyopo katika Sayansi kwenye Imani hayapo? Nipe mfano hatabmmoja kipinkipo katika Sayansi ila katika Imani za Dini hakipo.

Biblia katika kitabu cha Mwanzo tuu, Unapata habari za uumbwaji wa Dunia na Shape yake. Je imeelezea ipo katika umbo gani? Je Jua au Mwezi vimetofautishwaje kiimani kuankimoja kimesimama kingine kinatembea. Na ndio nikauliza, Ni nini Utofauti wa Jua na Mwezi pondi tuviangaliapo kwa Macho vikiwa vinahama position yake yaani kutembea. Au nikubariki na Swali hili, kwanini unaamini Mwezi haujasimamansehemu moja kama unavyoamini kwa Jua?

Kiimani au Kiroho kuna Vita ya Shetani na Mungu kila mmoja akitaka Mwanadamu Amtumikie, Mungu kaleta Masharti yake kupitia Imani na shetani kaleta Masharti yake kupitia Sayansi, so Uamuzi ni wako maana hakuna linalowezekana Kisayansinkiimani likashindikana vivyo hivyo Sayansi Inahangaika kuyawezesha ya Kiimani yawezekane Kisayansi. Narudia upande wa kiimani au Kiroho ni Somo lingine pana zaidi ili uweze kuielewa Sayansi na Malengo yake.

Hapa kwakua unabishania kitu ulichofundishwa dhidi ya uhalisia wa milangonyako ya fahamu namna unavyoona kuhisi nk, ni ngumu kutoka katika kifungo ulichofungwa kwa zaidi ya miaka saba dhidi ya Uhuru unaooneshwa kwa Sekunde kadhaa za kusoma hojabzinazopingana na uliyomezeshwa, maana naamini haujawahi kuthibitisha kwa hisia zako kua Dunia inazunguka ila kwa Macho yako huwa unaliona Jua likitembea.

Explain this, how is it possible kwenye Dunia tambarare?
main-qimg-b87dbc2626b68231a38e35866a863761-lq.jpeg
 
abdulrahman Said tukichukua ndoo tukaijaza maji kisha tukaifunga kamba na kuizungusha constantly maji hayatomwagika....


JE, tukichukua object ambayo Ipo ball- shaped kisha tukaweka maji kwenye hiyo object na kuanza kuizungusha constantly,..nini kitatokea?





 
Ukomo wa hiyo circular line ni any point after the black circle ring............ Nimejaribu kukuwekea alama ujue kikomo cha hiyo ring ni kipi......bila shaka utaelewa.
We unaona umeeleweka hapo?? Sasa ukomo wake ni wapi hapo? Maana Kuna mishale minne na mwingne anaweza kuongeza atakavyo kama ulivyofanya wewe.

Na hapo umeonesha Kwa nje nje Kwa ndani?😄
 

Attachments

  • PXL_20241214_170722152.NIGHT.jpg
    PXL_20241214_170722152.NIGHT.jpg
    251.9 KB · Views: 4
Back
Top Bottom