The celebrity
JF-Expert Member
- Jul 9, 2020
- 1,972
- 559
Ndo maana upo hapa tutoe tulichofundishwa lete hoja zako kuhusu umbo la Dunia tambarare zenye logic, me nakujaji kulingana na unachosema ww.Ujinga ni kubaki na elimu usiyohitaji kuithibitisha kwa akili zako mwenyewe, kumbuka AKILI ninkile kinachobaki pindi ukiyatoa yooote uliyofundishwa. Je Mtoto ambaye hajaanza kufundishwa Sayansi, ukimuuliza Jua linatembea au limesimama atakujibu vipi? Au ukimuuliza Mwezi unatembea au Umesimamabatakujibu vipi?
Basi kwann unazunguka lete hiyo elimu, elezea Hilo umbo tambarare nasi tutakuuliza maswali uelezeeMimi nina elimu zote juu ya umbo la dunia kati ya utambarare duara na mviringo duara ndio maana kupitia milango yangu ya fahamu nimeujua ukweli ni upi. Je wewe una Elimu ya dunia ni Tambarare? Au je Elimu ya Dunia Mviringo uliipatia hapa jukwaani.?
Sawa, sasa kwann Kuna muda Jua linapotea kabisa? Kumbuka lipo juu hata liende mbali litaonekana tu,Kwenye flat Jua kuzunguka dunia usiku na mchana unapatikana vizuri tuu, unachotakiwa kufahamu jua ni dogo sana kuliko dunia, hivyo haitaweza kuangaza pande zote, mfano ni saa yako ya mshare ikiwa na kataa kadogo katika point ya mshale wa saa kawe kanamulika kwa chini hautaweza kuziona namba zote zaidi ya zitakazokua karibu na point ya mshale huo
Simple like that??Mengine kama formula zinazopatikana katika shape ya mviringo ndizo hizohizo zinazofanya kazi katika dunia tambarare, isipokua ni kwa njia ya utambarare.
Seriously hii ndo proof!! Uthibitisho wako haujafikia hata kuitwa theory, labda tuite hekaya maana unaongea tu bila ushahidi.Proof ya nchi ambazo ukienda utaukuta huo ukingo, ni nchi zote ambazo kwenye ramani zimekaribiana na bara la Antactica maana kwenye flat bara la Antactica ni kingo za barafu zinazoizunguka dunia, kama utayafanya yale majaribio, utaelewa zaidi. Na proof ya person aliyefika, ni wale wote waliofika katika bara hilo.
What is your point here??Jaribio la pii chukua karatasi kubwa likate duara, halafukati kati yake lichore ramani ya dunia na mabara yake ila usilichore bara la Antactica, badara yake pembezini mwa kingo za hilo karatasi andika neno Antactika kuzunguka karatasi hilo. Baada ya hapo tafute kitu cha duara mviringo kama chungwa au hololi kinachoweza kufunikwa na hilo karatasi then utujulishe neno Antactika limekaa wapi
Kwann unaconclude hivyo? Na wakati tunaona kabisa watu wanatoka.Kama kuna dunia nyingine siwezi au hatuwezi jua maana kutoka nje ya dunia ni kitu kisichowezekana kabisa.
Asanteh!!
Hata chai sijanywa๐๐, Hawa jamaa wanajiona wanauwezo wa pekee na wanafikria kuliko wengine.The celebrity wee jamaa ukishakunywa chai tuu unakuja huku kubishana kama dunia duara au dunia tufe...
The celebrity sio mchana wala usiku wewe upo hapa kuwaambia watu dunia duara...
The celebrity wewe upo tayari chakula cha mchana ukose ila tu watu wajue dunia duara
Sasa wewe sio mda tutakuloga ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
Hapo kumbe ujanywa chai mkuu..Hata chai sijanywa๐๐, Hawa jamaa wanajiona wanauwezo wa pekee na wanafikria kuliko wengine.
Sasa mtu anakwambia toa ulivyofundishwa alafu tumia akili yako angalia unaona Dunia ni duara na inazunguka? Sasa kwann kwanza aniambie nitoe nilivyofundishwa๐?? Na wanakimbilia tumemezeshwa as if sisi hatifikrii tunachofundishwa.
Na wanaujua ukweli na ndio maana wanakataa GRAVITY haipo. Wakikubali tu Kuna gravity mjadala unaisha na wanajua Hilo,
Na ukija na physics wanakuja na biblia Ili ubishane na MUNGU๐๐Hapo kumbe ujanywa chai mkuu..
Naona mku wewe upo seriously mtu anapogusa habari za dunia flat Mara duara..
Endelea kuwapa dozi naona wanaanza kupungua maana watu walikua wanaogopa hu uzi maana ukija na phy yako ya form four wanakukanda vilivyo๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
๐๐๐๐๐ Ili mradi wakugombanishe na baba wa mbinguni...Na ukija na physics wanakuja na biblia Ili ubishane na MUNGU๐๐
Hahahaa, balaa sana humu. Tumia akili yako usikaririshwe๐, wao wanajua Siri nyingi za Dunia. Okay๐๐๐๐๐ Ili mradi wakugombanishe na baba wa mbinguni...
Uchanganyikiwe tuu
Siri gani Bana...washakula mchele mbichi hao ๐๐๐๐Hahahaa, balaa sana humu. Tumia akili yako usikaririshwe๐, wao wanajua Siri nyingi za Dunia. Okay
Sayansi inahangaika kuthibitisha iliyoyakuta yameumbwa na kwasababu hiyo kila siku tafiti zinafanyika ikiwa na maana bado haijafikia kikomobchabkuthibitisha kuankitu hiki kipo hivi kwasababu ya hivi.
Ujinga ni kubaki na elimu usiyohitaji kuithibitisha kwa akili zako mwenyewe, kumbuka AKILI ninkile kinachobaki pindi ukiyatoa yooote uliyofundishwa. Je Mtoto ambaye hajaanza kufundishwa Sayansi, ukimuuliza Jua linatembea au limesimama atakujibu vipi? Au ukimuuliza Mwezi unatembea au Umesimamabatakujibu vipi?
Ujanja sio kupinga usiyoyajua, bali ujanja ni kutetea yale uliyo na uhakika nayo. Hivi unadhani kuna kuna mtu ambaye hajafundishwa kua Dunia ni kama tufe? Je kuhoji uhakika wa hilo somo ni Ujinga.
Turudi katika Imani. Je yaliyopo katika Sayansi kwenye Imani hayapo? Nipe mfano hatabmmoja kipinkipo katika Sayansi ila katika Imani za Dini hakipo.
Biblia katika kitabu cha Mwanzo tuu, Unapata habari za uumbwaji wa Dunia na Shape yake. Je imeelezea ipo katika umbo gani? Je Jua au Mwezi vimetofautishwaje kiimani kuankimoja kimesimama kingine kinatembea. Na ndio nikauliza, Ni nini Utofauti wa Jua na Mwezi pondi tuviangaliapo kwa Macho vikiwa vinahama position yake yaani kutembea. Au nikubariki na Swali hili, kwanini unaamini Mwezi haujasimamansehemu moja kama unavyoamini kwa Jua?
Kiimani au Kiroho kuna Vita ya Shetani na Mungu kila mmoja akitaka Mwanadamu Amtumikie, Mungu kaleta Masharti yake kupitia Imani na shetani kaleta Masharti yake kupitia Sayansi, so Uamuzi ni wako maana hakuna linalowezekana Kisayansinkiimani likashindikana vivyo hivyo Sayansi Inahangaika kuyawezesha ya Kiimani yawezekane Kisayansi. Narudia upande wa kiimani au Kiroho ni Somo lingine pana zaidi ili uweze kuielewa Sayansi na Malengo yake.
Hapa kwakua unabishania kitu ulichofundishwa dhidi ya uhalisia wa milangonyako ya fahamu namna unavyoona kuhisi nk, ni ngumu kutoka katika kifungo ulichofungwa kwa zaidi ya miaka saba dhidi ya Uhuru unaooneshwa kwa Sekunde kadhaa za kusoma hojabzinazopingana na uliyomezeshwa, maana naamini haujawahi kuthibitisha kwa hisia zako kua Dunia inazunguka ila kwa Macho yako huwa unaliona Jua likitembea.
Wewe nenda kale kwanzaExplain this, how is it possible kwenye Dunia tambarare?
View attachment 3174372
Ukomo wa hiyo circular line ni any point after the black circle ring............ Nimejaribu kukuwekea alama ujue kikomo cha hiyo ring ni kipi......bila shaka utaelewa.
Kwahiyo wewe unaona Jua linaibuka chini hapo....HhahhExplain this, how is it possible kwenye Dunia tambarare?
View attachment 3174372
We unaona umeeleweka hapo?? Sasa ukomo wake ni wapi hapo? Maana Kuna mishale minne na mwingne anaweza kuongeza atakavyo kama ulivyofanya wewe.Ukomo wa hiyo circular line ni any point after the black circle ring............ Nimejaribu kukuwekea alama ujue kikomo cha hiyo ring ni kipi......bila shaka utaelewa.