Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Hivi mkuu hata hiyo van allen belt ulijishughulisha kusoma ukajua ni nini kabla ya kuandika?
mkuu labda ww ndo haujaisoma labda nikusaidie maelezo haya
A radiation belt is a zone of energetic charged particles ,
most of which originate from the solar wind that is
captured by and held around a planet by that planet's
magnetic field . The Earth has two such belts and
sometimes others may be temporarily created. The
discovery of the belts is credited to James Van Allen , and
as a result the Earth's belts are known as the Van Allen
belts. Earth's two main belts extend from an altitude of
about 1,000 to 60,000 kilometers above the surface in
which region radiation levels vary. Most of the particles
that form the belts are thought to come from solar wind
and other particles by cosmic rays. [1] By trapping the
solar wind, the magnetic field deflects those energetic
particles and protects the Earth's atmosphere from
destruction.
The belts are located in the inner region of the Earth's
magnetosphere. The belts trap energetic electrons and
protons . Other nuclei, such as alpha particles , are less
prevalent. The belts endanger satellites
 
Unadhani wanadanganya ili wapate nini?
Wamarekani, waingereza, wafaransa, wakanada na wataliano watudanganye sawa unadhani warusi, wachina na wakorea wangeendeleza uongo huo? Namaanisha "KIM JONG UN"

Hao sio ccm wewe.

Dunia ni duara.
Soma uzi kwa makini Mkuu.
 
Duhh we jamaa wa ajabu sana..hoja zote unazotoa ni zile za kupinga tu kuwa Earth sio tufe na kwamba tulifundishwa vibaya na tunapewa picha za kutungwa. Ila huleti facts za kuelewka zaidi ya hoja zinazoongeza maswali na kuendelea kung'ang'ania kuwa ulishatoa majibu(ambayo bado yanaleta maswali)... Sasa kama unasema camera zinazotumika zinafanana la lens za macho na zinatoa picha feki ya dunia kwa sababu ya lens ya duara kwaiyo hata macho yetu yanatupa picha nyingi ambazo ni feki hivyo kuna vitu vingi tunavyoviona ni feki maana unasema hizi camera ambazo zinafanana kila kitu na macho yetu haziaminiki sasa tutayaaminije macho yetu... Hizo camera mnazozitumia ardhini kuonyesha flat earth kwa nini msizitumie hizo kutupigia picha from above tukaiona jinsi dunia yote ilivyotambarare? Au hamziamini hizo camera sababu zikiwa kwa juu zinadanganya au...? Kama mnaweza kuiona meli ikiwa mbali kuwa dunia ni tambarare mziboreshe hizo kamera then mtupigie picha ya full earth..? Afu hiyo flat earth chini imeshikiliwa na nini sasa... Inaelea? Kama inaelea wat follows ukifika ukingoni mwake....?

Afu unataka kusema hapa ikiwa ni saa sita basi dunia yote ni sasa sita? Basi we noma! Hiyo ya 12+ diff ipo mzee.. Mfano Morocco ni GMT0 na fiji ni GMT +12 so tofauti ya mda baina yao ni 12 hours mzee.. Kama huamini hata hilo tafuta watu wa huko uwaulize manake nikisema usearch Google utasema wanadanganya... Na kama unaamini kama hapa kwetu ni mchana basi kuna nchi ni usiku thena wats happening hapo...inakuaje kama dunia ni flat? Hizo hoja zako zote za ndege mzee hazina maana... Hivi hujiulizi mbona nzi ndani ya gari akiwa anaruka anaenda pamoja na gari... Kwa nini asiwe anaachwa mpka anajigonga nyuma ya gari? Sababu ni sehem ya gari kwa mda huo...yupo ndani ya atmosphere ya gari... Hakuna ndege inayoweza kuruka nje ya atmosphere ya dunia mpaka ikaachwa kwa sababu ya mzunguko wa dunia.. Atmosphere ya dunia mzee inaenda mpaka 700km above surfaces na ndege haiendi zaidi ya 20km above earth.. Mambo mengine hayahitaji hata kutumia nguvu mzee.. Kwaiyo pia unataka kusema hao wanaoamini flat earth hamna hata mwenye uwezo kisayansi akaingia mashirika makubwa ya kisayansi na kutupa data za ukweli kuhusu hiyo flat earth?

Majibu ya maswali yako:
1. Haya mambo yote mzee tumejifunza tu hamna mtu amezaliwa anajua... Ila unachojifunza kinabebwa na facts.. Kama kuna ushahidi unaonekana kwa macho then its proven... Nimefundishwa dunia duara.. Wanasayansi woote hata wale wa kale kabisa wasiokuwa na vifaa vya kisasa walili prove hilo.. Mimi mwenyewe naona tofauti ya masaa hapa duniani.. Mwezi unaonekana kwa macho jua linaonekana kwa macho na zipo sayari zinaonekaka kwa mcho zote hizo ni tufe na satellites kbao hadi za watu binafsi zimejaa kibao zote zinaprove same thing..

2. Swali la pili nimekujibi hapo juu.. Chukua tu Morocco na Fiji ni tofauti ya masaa 12..na nchi nyingine zoote ambazo ni GMT 0 na GMT 12..

3. Unauliza juu ni wapi? Sasa kitu kikiwa tambarare juu ni wapi? Duh kazi ipo! Yaan we unasema dunia ni tambarare ila hamjui juu ni wapi ndo maana hamwezi kupiga picha ya dunia.... Ndege inaruka umbali mdogo sasa mzee kutokea ardhini ukilinganisha na ukubwa wa dunia..na huwezi kuona dunia nzima ukiwa juu ya ndege ila ingekuwa ni flat labda ungeweza kuiona dunia nzima.. Kama unataka picha ya dunia lazima uwe umbali wa kutosha na ndo maana nikasema nyie sasa ndo mtumie kamera zenu..mtupigie hiyo picha ya flat earth ya dunia nzima tuione..ila hampajui juu ni wapi......kuhusu speed ya ndege na dunia mzee hata ku search kidogo tu.. Aaah huiamini google...sorry! Hivi nzi na gari kipi kina speed kubwa.. Mbona nzi aliye ndani ya gari anaruka kwa uhuru anaoutaka bila kuonekana kuachwa na gari wakati gari ipo speed 130km/hr?
We are not feeling the motion of the earth because we are moving with it..... nafikir kama ameenda shule hakuzingatia alichofundishwa na akama hajaelewa alichofundishwa na uwezo wa kumeza ni mdogo obvious alifeli. He questions about the earth kuwa duara ila hajawahi kuhoji vile alivyoaminishwa lakini hajawi kuviona....
 
Ndugu dunia ni duara! Na hii inaweza kujipambanua kwa namna mbalimbali! hata tu kwa namna usiku na Mchana unavyopishana katika dunia ingawa ingekuwa flat haya yasingetokea
 
Mie enz wananifundisha eti dunia ndo inazunguka nilgoma had leo nmegoma sema tu in case ya kufaulu nami naandka dunia inazunguka ila sihtaj kufanya utafiti kwa kitu nachokiona kila siku kuwa jua linazunguka.

Hata ktk Biblia kuna verse moja katka Kitabu cha Yoshua inasema Mungu alisimamisha jua had Israel ikashinda vita. sasa kama Mungu alismamisha jua maanake lilikua linazunguka otherwise angesimamisha dunia kama kweli dunia ndo inazunguka,Na mimi najua Mungu hasemi uongo.

Hvyo nimebaki kumtukuza Mungu kwa huu uumbaji wa ajabu.
Siku ambayo nitasikia au kusoma a bible au quran inayodai very clear dunia ni flat na jua ndio linaizunguka dunia... ndio mwisho wangu wa kuwa muumin.
 
Kama haielei chini kuna nini ukichimba beyond dunia na kinaanzia wapi mpaka wapi nikiwa na maana mfano nyumba hailei, inamsingi ulioanzia kwenye ardhi.
Sasa dunia imeanzia wapi ukisema iko hivi hivi hueleweki.
Kuna watu wengine sio wa kuwajibu huenda anafanya makusudi au ni kizibo.....
 
Hata upinde wa mvua ni duara, anyway ilitabiriwa kuwa siku za mwisho maarifa yataongezeka
 
Whatever you say about the world not being round/spherical, the world is definetely not flat...

I cant change what you wanna believe, but you are more of theorist than those propose what we know...

Natamani nikujibu kwenye kila point iliyopo hapo juu lakini itakuwa ndefu sana.

Mwisho, ukisema mtu mweupe alileta elimu hiyo ili kututawala weusi, sasa mbona weupe wanaisoma the same kind of education?... Na pia mbona walianza kututawala kabla ya elimu yenyewe kutolewa?... Na kuhusu vitabu vimeandikwa na watu wa nje, kwani ilitakiwaje labda coz we are not even interested in that...

Lets just stop blamming white people for everything wakati we are the ones who hate each other... Jiulize dunia imejaa utapeli na propaganda, lakini kwa nini ni sisi tu ndo hatupendani, tunauana, tunalogana, tunaibiana...

Do you know whats a lie? The love to each other.
 
Lengo kubwa ni kuelekezana Kuna kitu kinaitwa worldview ni mtazamo wa watu wengine kuhusu dunia wanaionaje. Kuna watu walikuwa wanaona dunia kama meza, tambarare na duara
Naamini kabisa akija mtu kuandika uzi umbo la mstatili una pembe 5 watambisha sana na kuonekana mjinga tumekalilishwa kuwa mstatili una pembe 4 ajuwi kama mtu alikaa chini kufikiria na wengine wakifikiria wanaonekana wajinga. Kuna kanuni ya pembe 3 watu walikaa chini kufikiri wakatengeneza a^2 +b^2=c^2 ukijiundia formula yako majibu utakayoyapata mmhh
Kuna kitu nafikiria hivi Galileo kwa mara anagundua dunia inazunguka jua alitumia kifaa gani? Je alitoka nje ya dunia.
He studied the other planets.... hapo mwanzoni watu walifikir kila tukionacho juu ni nyota except jua na mwezi.

Ni hivi hata kama umekaririshwa... inshu inabaki kwenye consistency and understanding, kuna mambo kama yalingelikuwa hayajawekwa sawa mimi na wewe tusingeelewana kamwe. Kila mtu angekuwa anaongea anavyoelewa yeye binafsi. (Maswali kama una nyumba ngapi au miti mingapi kwa aina ingekuwa vigumu kuexpress kwa mtu asiyeelewa your language)

Imagine, nikiweka 3 + 2 na 3 x 2.. ninaamini kila moja including yourself tutatoa majibu yanayofanana.

Dont say ni kukaririshwa ila ni language ambayo mimi na wewe tunaielewa. (Kama kuna mtu atakuja na kusema mstatili una pembe 5 hapa atakuwa hajabadili uhalisia bali alichokifanya ni renaming tu... kitu chenye nguvu hapa ni umbo na si jina... u can call whatever but fact itakuwa pale pale, je umbo hilo lina pembe ngapi?? Sasa ukiamua pembe 4 kuita pentagon na pembe tano kuita mstatili... is up to u. Cha msingi ni application ya kitu hiki, umuhimu wake utaujua kwenye kununua maeneo yaani kiwanja, tv, meza etc).
 
Hivi ukichukua taa ukiiweka juu ya kitu flat right on top of it kwa proportion ya distance ya jua na dunia si inamulika kitu kizima.. So inamaana pia tunadanganywa kua wakati nchi nyingine mchana kwengine ni usiku.. Kama dunia ni flat ilibidi jua linapokuwa katikati ya dunia basi dunia nzima iwe ni mchana na likishaondoka (sjui linaendaga wapi) kuna mda ilibidi dunia nzima iwe ni usku...
Haya mambo yapo wazi sana. .
Ila kuna waliosoma HKL ndio huwa wanaleta shida humu.
Kuna jamaa kauliza kitu simple tena kwa lengo la kuelimisha.
Kama dunia ni flat huko mwisho wa dunia kuna kitu gani?
Lakini ukitaka kujifunza vizuri angalia ndege inavoruka na zile space shuttle zinavo ruka.
Utapata jibu zuuuuuri kabisaa
 
Asante kwa somo la unajimu.Kama dunia si Duara chukua ndege Dar uruke kuelekea East same Latitute na umaintain height kama haujajikuta umerudi Daresalaam.Dunia si tambarare.
 
U ar not big enough to see the curvature of the earth..we are like a crawling baby.... je unajua kwamba kwenye jengo la Burj Khalifa Dubai lenye urefu zaidi ya half a mile (160 floors)... the difference between the sunrise/sunset kwa aliyekuwa at the top and at the base ni dakika 2??? How can this be explained katika flat earth???

b355999f0743bddb865b53d852c4acc9.jpg



209a9c55095217e99e7212979289c1e8.jpg


CC: Kifyatu
 
Kuna option ya kuhakiki utufe wa dunia. Mzingo wa dunia ni takribani 40,045km ambapo ukizibadali kuwa katika nyuzi (degree) 360, nyuzi 1 = 111km, hivyo ili uone uviringo wake pale inapoanza ku-bend basi darubini yako iwe na uwezo kuona kuanzia nyuzi 45=5005km na kuendelea.
 
tatizo la wabongo ni lack of knowledge we unanambia tuchukulie nna ndege alaf niende straight na ikweta ,,hii haiwezekani nlisema sema route zote za ndege duniani zina julikana kwahiyo unaweza kwenda flighttracker.com utaona route zote za ndege duniani alafu unambie kuna rout gani inazunguka dunia zote ni short cut so uwezi kunambia tuchukulie haiwezekani we nambie kwa facts labda nipe route flani ya ndege inayo zunguka dunia au inayopita north pole ......please naomba uresearch kwanza vitu vingine mnajifunga wenyewe kimawazo.....
aloafu haya mambo yote nmeeleezea kwenye maelezo yangu pitia tena vizuri ujifunze
https://www.quora.com/Do-any-airline-flights-fly-over-Antarctica
 
Nina umri wa miaka 24
Kwetu mm ni mtoto wa kwanza ambae nategemewa na ndugu zangu wakiwemo wadogo zangu na mama yangu mzazi.
Nina fani ya ujenzi na tour guide by professional ila KILA NINAPOTAFUTA KAZI NAKOSA KISA NINA UMRI MDOGO.
PIA SINA REFER
Istoshe wadogo zangu wanarudi shule mwakani na mm ndio wakuwatafutia ADA.
NAUZA PIA FIGO PAMOJA NA INI.
naombeni msaada wenu.
Pesa za masharti nahitaji
mkui unauza ini alafu ubaki na nini.
 
Flat earth society wanadai jua lipo umbali wa mile 4000 tu.
 
Back
Top Bottom