Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Leo nataka nikukande hateeb10 yaani miaka miwili nimekomaa na chand, universal phy na nelkon..
Leo nakupa na full equation ujue kwanini T³ = t²
Hahh nikajua unataka unikande kwa kuleta uthibitisho usio na doubts kwamba Dunia ni tufe na inazunguka,...kumbe unaleta equation.

Nakubaliana na wewe kwamba on paper na equation (s) ni rahisi kuonyesha kwamba Dunia inazunguka ila kwenye uhalisia ndiyo mnaanza hadithi kwamba unajua unajua,...........


Hahh umenikumbusha kuhusu Chand kuna Jamaa wa PCM walikua wakiishika hiyo Chand na ukubwa wake pages kibao wana feel kama ni Newton au Tesla (Jokes),...kwa ufupi na appreciate elimu kwa kiwango kikubwa lakini hiyo haizuii kuweka criticism kwenye vitu vinavyo tatiza.
 
Kwamba gravity na mabonde ndiyo yanayofanya maji yastick kwenye spinning ball-shaped earth?

Hapo hata Dunia tufe mwenzako The celebrity hawezi kukubaliana na wewe............
Nisikubaliane nae kivipi?? Point Kubwa ni gravity, mabonde yanafanya maji yaflow ardhini bila mabonde na Dunia ingekuwa perfect sphere maji yasingekuwa yanaflow in any direction. So mabonde yanaplay part kwenye flow ya maji lakini point Kubwa hapo ni Gravity.
 
Hicho sio kipimo sahihi,.. Nakupa kazi rahisi tafuta usiku ambao anga lipo clear..then chukua kiti kaa utazame mwezi (Ikiwa full moon itakua vizuri zaidi ili uone kwa usahihi)........ concetrate kuuangalia mwezi ukiweza hata dakika 15 au 30........Utagundua mwezi kuna muda unakua umesimama at the exact point kwa dakika zote hizo., sasa jiulize swali kama kweli Dunia ina move kwanini umetumia dakika zote hizo kuutazama mwezi as your reference object (point) lakini hujaona wewe uki move away toka location ambayo Mwezi upo ?
Kwani hata ukiangalia Jua Kwa dakika zote hizo utaona limemove?
 
Kwanini nitoe maelezo marefu kwa kitu ambacho naweza kuelewesha in easiest way possible.......

Ikiwa unajua kwamba Jua actually halizami,..unatakiwa uelewe kwamba hata kuliona half ni illusion tu inayosababishwa na refractionary effect sasa kasome kuhusu refraction.
Toa maelezo mafupi kama unayo, how illusion sio kusema tu illusion. nimekuuliza swali dogo tu kama Jua linapotea Kwa sababu linaenda mbali zaidi na tulipo, kwann tusione likipungua size mpk tuone like a point of light then ndio lipotee instead tunaona linapotea likiwa na size yake Ile ile?

Labda nikuulize tu kati ya Nyota na Jua kipi kikubwa na kipi Kiko mbali zaidi kutoka tulipo?
 
Kwahiyo Gravity ndiyo inafanya Maji yastick kwenye spinning ball-shaped earth?.........Unaweza kuthibitisha?

au ni nadharia tu?
Ndio uthibitisho upo wa experiment uliofanyika kuthibitisha uwepo wa Gravity. Sasa kama ww unapinga nambie kwann vitu vinafall maana hili swali nimekuuliza mara nyingi sasa naona unaruka mita mia 😀😀.

Na Kwa kuongezea, Kuna experiment nyingi tu zimefanyika na Bado zinatoa same results na vitu vyote vinafall(accelerate downwards) at a constant accelaration 9.8m/s regardless of their mass.
 
Nakubaliana na wewe kwamba on paper na equation (s) ni rahisi kuonyesha kwamba Dunia inazunguka ila kwenye uhalisia ndiyo mnaanza hadithi kwamba unajua unajua,..
Uhalisia upi huo? Wewe Dunia yako tambarare hata kwenye karatasi umeshindwa kuitetea ije kuwa kwenye uhalisia? Stop being imbecile ignorant.
 
.kwa ufupi na appreciate elimu kwa kiwango kikubwa lakini hiyo haizuii kuweka criticism kwenye vitu vinavyo tatiza.
Ni vizuri basi tuambie Gravity imekutatiza wapi? Na utueleze hiyo illusion unayoitaja humu inayofanya Jua lipotee na ukubwa wake au lionekana half wakati wa sunset na sio porojo.
 
Hicho sio kipimo sahihi,.. Nakupa kazi rahisi tafuta usiku ambao anga lipo clear..then chukua kiti kaa utazame mwezi (Ikiwa full moon itakua vizuri zaidi ili uone kwa usahihi)........ concetrate kuuangalia mwezi ukiweza hata dakika 15 au 30........Utagundua mwezi kuna muda unakua umesimama at the exact point kwa dakika zote hizo., sasa jiulize swali kama kweli Dunia ina move kwanini umetumia dakika zote hizo kuutazama mwezi as your reference object (point) lakini hujaona wewe uki move away toka location ambayo Mwezi upo ?

Au utasema Dunia ina move together with Moon? Hahh ukisema hivyo ndiyo utajiweka kwenye mtego mgumu zaidi.
Ngoja ninywe chai kwanza mkuu
 
Kwanini nitoe maelezo marefu kwa kitu ambacho naweza kuelewesha in easiest way possible.......

Ikiwa unajua kwamba Jua actually halizami,..unatakiwa uelewe kwamba hata kuliona half ni illusion tu inayosababishwa na refractionary effect sasa kasome kuhusu refraction.
Kwa nadharia ya Dunia flat, Elezea hii picha
 

Attachments

  • Img_2024_12_19_22_02_18.jpeg
    Img_2024_12_19_22_02_18.jpeg
    140 KB · Views: 1
Nisikubaliane nae kivipi?? Point Kubwa ni gravity, mabonde yanafanya maji yaflow ardhini bila mabonde na Dunia ingekuwa perfect sphere maji yasingekuwa yanaflow in any direction. So mabonde yanaplay part kwenye flow ya maji lakini point Kubwa hapo ni Gravity.
Kwahiyo na wewe unakubali kwamba pia Mabonde yanaplay part kwenye kushikilia maji yasianguke away from Spinning round-earth?


Unasema point kubwa ni gravity,..sasa nitakuamini vipi kwa maneno tu?
 
Nimemuuliza same question Hana majibu, anajibu tu ni illusion. Sasa illusion how?
Ni mtu wa kuruka ruka tu,

Huko nyuma nmewahi kumtaka kwa nadharia yake ya Dunia flat aelezee sunset na kwanini wakati wa sunset jua linaonekana kuwa kubwa zaidi,

Hakuweza kujibu kwa maelezo yaliyonyooka
 
Kwahiyo na wewe unakubali kwamba pia Mabonde yanaplay part kwenye kushikilia maji yasianguke away from Spinning round-earth?


Unasema point kubwa ni gravity,..sasa nitakuamini vipi kwa maneno tu?
Kama umesoma maelezo yangu vzr nadhani nimeelezea role ya mabonde vzr sijui huwa unasoma unawaza kujibu tu?

Kuhusu gravity Naweza kukupa maelezo zaidi sio maneno tu mfano observational facts kama objects kufall down, au unapinga vitu havifall down? That's is called scientific fact ukipinga nioneshe kitu kinacho anguka Kwa kwenda juu.

Sasa hii observational fact ndo inahitaji some scientific explanations ambayo tunaita Scientific theory.

Wewe unasema uniamini vipi Kwa maneno naww ulivyosema ILLUSSION unataka nikuamini Kwa manen😀.
 
Ni mtu wa kuruka ruka tu,

Huko nyuma nmewahi kumtaka kwa nadharia yake ya Dunia flat aelezee sunset na kwanini wakati wa sunset jua linaonekana kuwa kubwa zaidi,

Hakuweza kujibu kwa maelezo yaliyonyooka
Akijibu hili swali a la gravity nakubaliananae kuanzia sasa hivi.
 
Kwani hata ukiangalia Jua Kwa dakika zote hizo utaona limemove?
Mwezi unaonekana kwenye direction tofauti tofauti,..that means una move.., sasa nakushauri utumie mwezi kama reference point utajua je Dunia ina move kama unavyoambiwa ama La,.......

Ukitumia Jua unaweza ukapata changamoto,..Tumia mwezi simple kabisa utakutana na ukweli unaoingia akilini.
 
Ni mtu wa kuruka ruka tu,

Huko nyuma nmewahi kumtaka kwa nadharia yake ya Dunia flat aelezee sunset na kwanini wakati wa sunset jua linaonekana kuwa kubwa zaidi,

Hakuweza kujibu kwa maelezo yaliyonyooka
Sasa kwanini mpaka leo unaruka ruka,...Mwaka unaisha na huwezi yaani umeshindwa kabisa kuthibitisha kama Dunia ni tufe na inazunguka?

Kama una uhakika 100% na unachokisema na kukiamini lete uthibitisho,..ukishindwa maana yake unadhania tu!

Sawa????
 
Back
Top Bottom