Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Kwahiyo Dunia ndio haiwezi kuzunguka kwa uwezo wa Mungu mwenyewe 😁
ungeimalizia sentesi nzima halafu unipe maelezo ya dunia inavyojizungusha kama shape ya No 9maana hapo ndipo uweza wa Mungu unapotamalaki.
 
Sasa nimeelewa tunapopishania.. ni hivi uwezo wako wakunielewa mimi ni mdogo. pili mimi sikujibu direct na swali au hoja yako kwakua napenda utumie tafakari kulipata jibu la kile ulichouliza.
Asante Kwa kuelewa kuwa uwezo wangu wa kukuelewa ni mdogo basi nijibu direct.

ni kweli nimejibu ulichouliza tofauti na majibu uliyoyataka wewe. ukisema mimi sijala hapo tutadeal na wewe kama wewe kupitia jina lako. the celebrity hajala.
Safi kabisa, kwahy nikisema mm sijala inamaana ni mm tu na sio binadamu wengine.

sasa mimi nikajibu, kama ukisema silagi hapo utakua umejumlisha binadamu wote maana tutasema ni kitu kisichowezekana.
Kisichowezekana kivipi wakati Mimi silagi na naishi? Yaani unatengeneza mfano mwenyewe alafu unauwekea mazingira ya kutowezekana. Kwahy kwenye mfano wako hapo mm ntakuwa nimedanganya ama?

ndio narudi kwako, ulipouliza kua je mimi nimeumbwa? hapo nilichoelewa ni mimi kama binadamu na jibu lake ni ndio. kwasababu natokana na chanzo cha binaadam kuumbwa. kipi sasa ambacho sikukijibu. au kwavile nilikujibu kwa mfumo wa swali la kati ya kichanga na mtu mzima binaadam alianzia wapi? Mbona hili haulijibu.
Unajua kwann sikuuliza kama binadamu ameumbwa na nikakuuliza ww kama umeumbwa? kwahy kutengeneza swali lako na kulijibu sio sawa unatakiwa ujibu swali husiku basi.

jibu lake ni ndio. kwasababu natokana na chanzo cha binaadam kuumbwa. kipi sasa ambacho sikukijibu. au kwavile nilikujibu kwa mfumo wa swali la kati ya kichanga na mtu mzima binaadam alianzia wapi? Mbona hili haulijibu.
Kutokana na chanzo kilichoumbwa haimaanishi naww umeumbwa, nikiandika barua Moja alafu nikatoa copy nyingi, je UTASEMA nimeandika barua zote Mimi?
kwavile nilikujibu kwa mfumo wa swali la kati ya kichanga na mtu mzima binaadam alianzia wapi? Mbona hili haulijibu.
Soma swali lako vzr alafu uliza upya.
Kati ya kichanga na mtu mzima binadamu nani alianza au alianzia wapi?

Kama unamaanisha nani alianza, Sasa sijajua unamaanisha kati ya kichanga na mtu mzima kipi kilianza(Kwa maana same human) au nani alianza(Kwa maana binadamu wawili).

Chukulia mfano uchukue mzee wa miaka 60 na kichanga Cha miezi 2 halafu uniulize nani alianza? Ntakushangaa sana Kwa maana mzee wa miaka 60 ndio alianza kuzaliwa

Au chukulia mfano Mimi uniulize kati ya utu uzima wangu na ukichanga wangu kipi kilianza pia ntakushangaa Kwa sababu kichanga ndio kilianza.
 
kama unaamini mimi nazunguka kukujibu, acha niamini, uwezo wako wa kunielewa mimi ni mdogo. Asante kwa muda wako kama ni Ushindi nimekupa muda tuu au hadi Makombe?
Usiseme hivyo😀,, naomba nijibu tu maswali yangu 🙏🙏.
 
Sisi pia tumeumbwa maana hata huo mfumo wa kuzaliana lengo ni kuendeleza Uumbaji........ Yaani sawa na wewe ufanye innovation ya product mpya then utengeneze mfumo unaowezesha ku recreate.
Kwahy wewe MUNGU amekuumba? Nini maana ya kuumba?
 
Kutokana na chanzo kilichoumbwa haimaanishi naww umeumbwa, nikiandika barua Moja alafu nikatoa copy nyingi, je UTASEMA nimeandika barua zote Mimi?
Hahh dah,...sasa ushasema umezitoa copy,... that means hazijajitoa copy zenyewe umezitoa copy wewe!!

Mbona unajichanganya sana,..
 
NkumbiSon acha kukimbilia kichaka Cha kusema Mimi nabishana, au kuuliza maswali kuhusu dhana yako ndo kubishana?

Unasema Kwa sababu ninaelimu ya Dunia flat na inanitatiza ndo unatumia kusema nipo hapa kubishana, mbona wewe una Elimu ya Dunia Duara na huiamini sijasema wewe upo hapa kubishana?

Tuondoe Janja Janja tuweke hoja mezani tusitafte kichaka Cha eti Mimi nipo hapa KUBISHANA ni wapi nimebishana? Kama kitu hujui unasema tu.
 
NkumbiSon acha kukimbilia kichaka Cha kusema Mimi nabishana, au kuuliza maswali kuhusu dhana yako ndo kubishana?

Unasema Kwa sababu ninaelimu ya Dunia flat na inanitatiza ndo unatumia kusema nipo hapa kubishana, mbona wewe una Elimu ya Dunia Duara na huiamini sijasema wewe upo hapa kubishana?

Tuondoe Janja Janja tuweke hoja mezani tusitafte kichaka Cha eti Mimi nipo hapa KUBISHANA ni wapi nimebishana? Kama kitu hujui unasema tu.
Dah, naomba niwe upande wa SIJUI. hapa nadhani tutakua tumemalizana vizuri.
 
Toa maelezo mafupi kama unayo, how illusion sio kusema tu illusion. nimekuuliza swali dogo tu kama Jua linapotea Kwa sababu linaenda mbali zaidi na tulipo, kwann tusione likipungua size mpk tuone like a point of light then ndio lipotee instead tunaona linapotea likiwa na size yake Ile ile?

Labda nikuulize tu kati ya Nyota na Jua kipi kikubwa na kipi Kiko mbali zaidi kutoka tulipo?
hateeb10 naona umerudi lakn maswali ya awali umeruka😀, naomba majibu hapa.
Thibitisha mwenyewe Ruka juu je hautarudi chini? Sasa hiyo observation ndo tunaita GRAVITY. Au wewe una allergy na neno Gravity?
Napenda mtu analeta hoja na kujibu maswali

Sawa kabisa, Sasa chukua container let say ndoo weka maji then inyanyue na uigeuze upside down, je maji yataendelea kukaa kwenye ndoo? Kumbuka hata hapo yapo kwenye container(contained).
Hoja zote hivi umeziruka futi sita
K

Kama hazitoniikoa nijibu ni kwann vitu vinafall😀😀😀, kwann unalikimbia hili swali?? Na Bado hujajibu maswala yako ya Illusion na refraction lkn Bado uko hapa kuuliza maswali yako ambayo nayajibu.
ACHA UOGA.
Wewe kweli kichwa wazi😀😀,
Kwanza unakubaliana namm Kuna kitu kinaitwa GRAVITY na kinatokea??

Nataka nikufundishe GRAVITY tu kwanza maana nishagundua hujui lolote kuhusu gravity 😀
 
Kwahy wewe MUNGU amekuumba? Nini maana ya kuumba?
Kuumba ni kitendo cha kufanya kitu ambacho hakikiuepo mwanzo, kuwepo...

Sasa kwa akili ya kawaida tu,...Mimi nikiunda kitu kisha ndani ya hicho kitu nikatengeneza mfumo wa hicho kitu kutoa copy nyingi za aina hiyo hiyo,....huwezi kusema hizo copy sijaziunda mimi kwa kuwa mfumo wote mimi ndiyo nimeuunda,.
 
Hahh dah,...sasa ushasema umezitoa copy,... that means hazijajitoa copy zenyewe umezitoa copy wewe!!

Mbona unajichanganya sana,..
Kwahy COPY na KUANDIKA ni vitu sawa?
Au unajitoa akili swali nililouliza?
Kutokana na chanzo kilichoumbwa haimaanishi naww umeumbwa, NIKIANDIKA barua Moja alafu nikatoa COPY nyingi, je UTASEMA nimeandika barua zote Mimi?
 
hateeb10 naona umerudi lakn maswali ya awali umeruka😀, naomba majibu hapa.

Napenda mtu analeta hoja na kujibu maswali


Hoja zote hivi umeziruka futi sita
Nilikuambia Grvaity ipo exaggarated,.. ukiona kitu huwezi kuelezea unasingizia gravity,.... kwa mfano nilikuuliza Maji yanaweza kustick kwenye object ambayo ipo round kama mpira,,.ukajibu maji hayawezi kustick kwenye object yenye umbo hilo yatamwagika,........Unakumbuka si ndiyo

Then,. nikakuambia kwamba kwa mantiki hiyo kwa kuwa unaamini Dunia ni round basi tuhitimishe kwamba hayawezi kustick,..ukasema hapana kwenye Dunia gravity inashikilia maji yasimwagike,...hapo ndiyo exaggaration of gravity ilipoanzia,... kama kweli gravity inaweza kufanya running water to stick and not fall away from the running ball,.LETE UTHIBITISHO!

Nilivyokuambia ulete uthibitisho wa jinsi gravity inavyofanya maji yasianguke away from running ball,..ULILETA HUO UTHIBITISHO?
 
Kuumba ni kitendo cha kufanya kitu ambacho hakikiuepo mwanzo, kuwepo...

Sasa kwa akili ya kawaida tu,...Mimi nikiunda kitu kisha ndani ya hicho kitu nikatengeneza mfumo wa hicho kitu kutoa copy nyingi za aina hiyo hiyo,....huwezi kusema hizo copy sijaziunda mimi kwa kuwa mfumo wote mimi ndiyo nimeuunda,.
Tusizunguke sana kwenye mada ambayo Haina maana Kwa sasa, Kwa kifupi wewe hujaumbwa Bali ni zao la uumbaji wa awali. Kama unaamini umeumbwa ni sawa pia Kwa mtamzamo wako lakini maana tunayomanisha ni hiyo hiyo.
 
Back
Top Bottom