Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
View attachment 3185516

Wewe pia huna tofauti na huyo jamaa hapo,.
Yes, you have to explain it. If you claim it's not gravity then what? Density and buoyancy? If so what decides the downward 👇 direction for that man or any other object? Because there are for sides all with air which is less dense than that man(or object). You've nothing to tell me about this? No any explanations?
 
Majibu yako ya refraction na illusion? Ambayo umeshindwa kuelezea? Majibu ya density? Ambayo nimekuuliza swali na hujajibu? Ok believe what you believe.
Sometimes ili kuokoa muda huwa nafupisha maelezo,...maana sioni dalili za kufikia hitimisho kuhusu huu mjadala,...wewe 100% unaamini dunià ni tufe na inazunguka japo hufeel chochote na huwezi kuthibitisha kuhusu hilo,.... Sasa nadhani ni busara ukaendelea kuamini tu cause haipunguzi kitu.
 
Unatakiwa ujiulize hivi kitu chochote kiki apply force na mechanism sahihi ,..kina uwezo wa kuruka away from Earth's surface.

Kwanini sasa kitu kikikosa mechanism husika na force kitashindwa kuruka au kitaanguka chini.?
 
Sio kuamini!! Unaeamini ni ww. Am 100% sure that the earth is oblate sphere and not flat anymore as the ancient people believed. Go to Ecuador learn something why it has such a name.

Wewe ndo unaamini tena blindly kabisa wewe unasubiri uthibitisho wakat uthibitisho tayari upo wa kutosha.
 
Unatakiwa ujiulize hivi kitu chochote kiki apply force na mechanism sahihi ,..kina uwezo wa kuruka away from Earth's surface.

Kwanini sasa kitu kikikosa mechanism husika ma force kitashindwa kuruka au kitaanguka chini.?
Swali lako halina mantiki!!

Ukitembea kutoka point Moja kwenda point nyingine let's say 3m away, Kuna tofaut Gani na mtu aliyeruka juu 3m aways? The only different is direction. Sasa kwann alietembea harudi kwenye point aliyokuwepo lkn aliruka anarudi? That is the basic question to answer.
 
Hahahaa, sijui Dunia ikiwa flat unapata zawadi Gani kiasi kwamba unakuwa hivi? Swali halina mantiki Kwa sababu zipi?
Anauliza kwamba kwanini Jua linabadilisha position ya kuzama na kuchomoza ikiwa kweli Dunia ni flat,.. hilo swali linakosa mantiki kwasababu kwanza halihusiani na shape of the earth bali linahusiana na whether Dunia Ina move/not, Lakini pia hawezi kuthibitisha huko kubadilika kwa position ya Jua kuzama na kuchomoza, probably yeye ndiyo anakua kubadilisha position kisha anasema Jua ndiyo limebadilisha position ,....
 
Maelezo yako hayana mantiki,....Kuruka na kutembea ni vitu viwili tofauti.

Ili uweze kuruka unahitaji force na mechanism tofauti na kutembea,..unafahamu?

Eti the only different is direction,...basi kama unataka kwenda juu,. Usiruke/usipae, TEMBEA!
 
Ili uweze kuruka unahitaji force na mechanism tofauti na kutembea,..unafahamu?
Wewe kweli hamna kitu😀,, kwahy unapotembea huhitaji force?? Unajikuta shwaa unatembea smoothly? Kama tu hata kuchezesha jicho Kuna nguvu inatumika ije kuwa kutembea!!!
 
Eti the only different is direction,...basi kama unataka kwenda juu,. Usiruke/usipae, TEMBEA!
Na wasiwasi na uwezo wako wa kuelewa mambo!! Swali dogo tu limekushinda. Nikiweka kitu hewani kwann kianguke chini na sio kwenda pembeni au juu wakati sehem hizo zote Kuna air ambayo ni less dense kuliko hicho kitu? Unabwabwaja tu hapa!!
 
Wewe kweli hamna kitu😀,, kwahy unapotembea huhitaji force?? Unajikuta shwaa unatembea smoothly? Kama tu hata kuchezesha jicho Kuna nguvu inatumika ije kuwa kutembea!!!
Wewe ndiyo hamna kitu sasa,...nimekuambia kuruka kunahitaji force na mechanism tofauti na kutembea,....au huelewi hapa?

kuruka na kutembea vyote vinahitaji force & mechanism,...lakini force & mechanism hizo ni tofauti,...


au hujui maana ya neno "TOFAUTI"....

Daah kweli kazi Ipo hapo 🙌🏼
 
Na wasiwasi na uwezo wako wa kuelewa mambo!! Swali dogo tu limekushinda. Nikiweka kitu hewani kwann kianguke chini na sio kwenda pembeni au juu wakati sehem hizo zote Kuna air ambayo ni less dense kuliko hicho kitu? Unabwabwaja tu hapa!!
Mimi na wewe nani anabwabwaja,...

Wewe si ndiyo umesema the only difference kati ya kuruka na kutembea ni direction tu,.....huoni kama umeongea ujinga?


Au tufanye upo sahihi basi,.
 
Wewe ndiyo hamna kitu sasa,...nimekuambia kuruka kunahitaji force na mechanism tofauti na kutembea,....au huelewi hapa?
Unabadirisha nn sasa?? Ulichoandika hapa ni nn?

Ili uweze kuruka unahitaji force na mechanism tofauti na kutembea,..unafahamu?
Halafu hata kama mechanism ni tofaut point ni kwamba umemove from one point to another regardless of the mechanism used, sasa kwann ukiruka usigande hapo hapo badala yake unarudi wakat ukitembea unabaki hapo hapo Hilo ndio swali.

Au unataka kusema jibu lako ni Kwa sabab mechanism ni tofaut?
 
Wewe si ndiyo umesema the only difference kati ya kuruka na kutembea ni direction tu,.....huoni kama umeongea ujinga?
Tofaut ndio ni kuruka na kutembea, then jibu swali kwann hujibu👇


Nikiweka kitu hewani kwann kianguke chini na sio kwenda pembeni au juu wakati sehem hizo zote Kuna air ambayo ni less dense kuliko hicho kitu?
 
Unabadirisha nn sasa?? Ulichoandika hapa ni nn?
Sijabadilisha kitu ili nimefafanua zaidi,..maana imekua ngumu kwako kuelewa,... naamini umeelewa sasa baada ya maelezo hayo,.
Unarudi chini kwasababu ili ugande/uelee on air utahitaji mechanism ya kukusaidia kufanya hivyo,. La sivyo lazima urudi chini, cause:-
1. Force ya kukufanya uende juu = 0
2. Force ya kukufanya uende kushoto = 0
3. Force ya kukufanya uende kulia = 0

Hence,...utakuwa umebaki uzito wako tu ambao ni mkubwa kuliko hewa iliyopo chini,..so utaanguka,.


Hopefully umenipata,.
 
Hahahaahaaa!! Kuna mtu ana namba ya coy mzungu😀😀(jokes)

Kwahy unakubali hiyo object itarudi chini Kwa sabab Kuna force inayoifanya hiyo object irudi chini ambayo ni downward force?


Hence,...utakuwa umebaki uzito wako tu ambao ni mkubwa kuliko hewa iliyopo chini,..so utaanguka,.
Uzito wangu ambao ni mkubwa kuliko hewa?
Unaongelea density au? Kama ni density unarudi pale pale maana hata juu, pembeni(kulia na kushoto) pia Kuna hewa ambayo inadensity ndogo kuliko ww au nakosea?

Kama ni uzito in terms of kg, how do you know uzito wa hewa mpk useme uzito wangu ni mkubwa kuliko wa hewa?
 
Hopefully umenipata,.
Labda kukurahisishia tu,

1. Unapowekan object in air, hiyo object inakuwa surrounded na air which is less dense than hiyo object. RIGHT??

2. Kama density peke yake ndo inahusika na movement ya hiyo object(Kwa maana ya kwamba chenye destiny Kubwa kitachukua nafasi ya chenye density ndogo) basi hiyo object itakosa option ya sehem ya kwenda Kwa maana pande zote zina air of the same density(1.2).

3. Sasa kwann object inarudi chini? Kama ulivyosema uzito(weight) ya hiyo object ambayo always inaact downwards(why?) itasababisha object ifall down Kwa sabab force nyingne zote zimebalance, hence downward direction.

Swali: kwann weight always inaact downwards?? (Weight ni jina lingine la gravity😀😀) Kama Kuna gravity inayoact otherway nambie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…