The celebrity
JF-Expert Member
- Jul 9, 2020
- 1,972
- 559
Na ndio maana unaambiwa gravity inavuta vitu vyote vyenye mass kwenda kwenye center of the earth. Force yoyote lazima ihusishe MASS, wewe unaweza kusukuma kitu hakina mass? Huwezi.Unaambiwa chanzo cha gravity ni uzito wa vitu,... that means kama uzito usipokuepo na gravity inakua hakuna,.....
Sasa nimekuuliza kwann huo uzito unaelekea downward tu?? Na sio other directions?? Naona unaogopa kujibu😀😀😀😀😀kama una akili hii ingetosha kuhitimisha kwamba the so called gravity is just an A.K.A of Uzito!!!
The celebrity
Ungesoma hapa ungepata mwanga zaidi lakini naona unajitia upofu ila sitokata tamaa kukukumbusha unaporukaJibu nimeshakupa hapo juu, 👇
Kwahy chenye mass Kubwa kitavutwa Kwa force Kubwa kuliko chenye mass ndogo. Najua ubongo wako ni mdogo kuelewa ila usijali nipo hapa Kwa ajili yako.
Unaona sasa😀, usijali. Nitakupa mfano wa sumaku, si inatabia ya kuvuka material ya chuma?
Sasa chukua kitu(objects) ziwe mbili zenye the same materials, let's say chuma. Assume ziwe Cube, Moja iwe na uzito 1kg na nyingne iwe 0.15kg je ni chuma ipi itavutwa Kwa nguvu Kubwa na sumaku?
Ukielewa huu mfano sizani kama utauliza tena hili swali lako.🙏
hateeb10 ungejibu hapa ungekuwa wa maana sana😀Basi jibu swali kwann huo uzito unaelekea chini tu na sio pande zingne????????
Kwani wewe nikikuambia kati ya Object A & B ipi ina uzito mkubwa,..utaanza kuuliza kuhusu weight na Mass?........kwa maana kwamba huelewi directly uzito ni kitu gani? hata layman hawezi ku complicate hapo.Nimekuuliza swali dogo naona hukijibu😀, uzito unaongelea ww ni mass in kg au ni weight? Ukijibu hili nadhani utapata mwanga.
Na kama ni mass(Kg) je mass ni vector quantity au scalar quantity? Nadhani unaanza kupata picha.
Kitakuwa na uvuto mkubwa kulinganisha na chenye uzito mdogo ila vyote vita accelerate at the same speed, 9.81m/s per second. Mbona uelewa mdogo tu.
Sasa ww unadhani formula zinatokana na nn? Si ni expression ya nilivyovielezea tu au ndugu yangu ww unaelewa nn? Nisije kuwa naelewesha NDEZI hapa.
Kwann unaogopa kujibu?? Okay tuachane na Hilo. Mass ni scalar au ni vector quantity??Kwani wewe nikikuambia kati ya Object A & B ipi ina uzito mkubwa,..utaanza kuuliza kuhusu weight na Mass?........kwa maana kwamba huelewi directly uzito ni kitu gani? hata layman hawezi ku complicate hapo.
Kweli kukariri ni tatizo,.
Wewe unajichanganya,.. ulisema gravity ni jina lingine la uzito,.. si ndiyo?Na ndio maana unaambiwa gravity inavuta vitu vyote vyenye mass kwenda kwenye center of the earth. Force yoyote lazima ihusishe MASS, wewe unaweza kusukuma kitu hakina mass? Huwezi.
Sasa nimekuuliza kwann huo uzito unaelekea downward tu?? Na sio other directions?? Naona unaogopa kujibu😀😀😀😀😀
Niogope kujibu nini sasa,.Kwann unaogopa kujibu?? Okay tuachane na Hilo. Mass ni scalar au ni vector quantity??
Nilimaanisha huwezi kuongelea uzito(weight) bila kuhusisha gravity.Wewe unajichanganya,.. ulisema gravity ni jina lingine la uzito,.. si ndiyo?
Hawezi kuwa sawa, Bali uzito ndio unavutwa.Sasa kama gravity ni jina lingine la uzito,......that means mtu akitumia statement " Uzito unavuta vitu vyote vyenye uzito kwenda kwenye center of the earth"....atakuwa sawa.?
Unaumwa ww!! Mzani unavyofanya kazi ni uthibitisho tosha, unavyokuwa na uzito mkubwa una exert more force ndo maana mshale utaenda zaidi ya yule mwenye uzito mdogo that's simple.Hata ukiangalia jinsi mizani inavyofanya kazi,. ndiyo utajua hakuna force inayovuta vitu chini,.
Nimekuuliza kwann chini? Kwann uzito uelekee chini tu?.bali chenye uzito zaidi kitashuka chini and that's just a natural law,.
😀😀 Basi jibuNiogope kujibu nini sasa,.
Unaposoma uwe unaelewa..."Uzito wake" upo sawa kabisa 👍, na nimeshakwambia uzito(weight) ni jina lingine la gravity😀. Kama unabisha nambie kwann huo uzito una-act chini tu?? Na sio othersides?
Je, uzito usipokuwepo,...gravity itakuepo?Nilimaanisha huwezi kuongelea uzito(weight) bila kuhusisha gravity.
Hawezi kuwa sawa, Bali uzito ndio unavutwa.
Unaumwa ww!! Mzani unavyofanya kazi ni uthibitisho tosha, unavyokuwa na uzito mkubwa una exert more force ndo maana mshale utaenda zaidi ya yule mwenye uzito mdogo that's simple.
Nimekuuliza kwann chini? Kwann uzito uelekee chini tu?
Hahh ngoja nikuwekee statement yako mwenyewe hapa usije sema nakusingizia,.... " na nimeshakwambia uzito(weight) ni jina lingine la gravity."Unaposoma uwe unaelewa...
hateeb10
Utakuwepo ndio, ila haitavuta kitu. Kwani chuma isipokuwepo usumaku kwenye sumaku haupo?Je, uzito usipokuwepo,...gravity itakuepo?
(Weight)??????Hahh ngoja nikuwekee statement yako mwenyewe hapa usije sema nakusingizia,.... " na nimeshakwambia uzito(weight) ni jina lingine la gravity."
Sasa kwa kauli yako hiyo,. kwa mfano wewe ukiwa na majina mawili tutasema nyie ni watu wawili tofauti?
NOTE: Hiyo kauli niliyo bold hapo juu ni yako mwenyewe,. usije sema ulikua umelewa.
Unaniuliza mimi tena?(Weight)??????
Niogope kujibu nini sasa,.
Mbn mpk Sasa hujibu??Niogope kujibu nini sasa,.
Namaanisha niliweka kwenye mabano weight, yes weight ni another name for gravitational forceUnaniuliza mimi tena?
Wakati ulisema mwenyewe kwamba,,,,, . " na nimeshakwambia uzito(weight) ni jina lingine la gravity."
Ushasema uzito ni jina lingine la gravity,.. so logically kama uzito hakuna na gravity hakuna.Utakuwepo ndio, ila haitavuta kitu. Kwani chuma isipokuwepo usumaku kwenye sumaku haupo?
Kwa mantiki hiyo tunakubaliana kwamba weight (uzito) usipokuepo na gravity haipo?Namaanisha niliweka kwenye mabano weight, yes weight ni another name for gravitational force