Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Sijawahi kuona uzushi mkuu kama huu. Na aibu kubwa runners wa haya mawazo ya kizamani mwenyekiti wa taasisi ni Evolutionist kwa sababu anajua fika bibilia inakubaliana na wkin Galileo na NASA. Nilitegemea kwenye pics zake anionyeshe spaces photo au satellite photo to support his arguments. Analeta picha zilizopigwa ambazo sio reliable maana zinarepresent tiny particle ya Dunia.
Pili aeleze ni kwa vipi Russia ipakane na ulaya wakati huohuo inapakana na us kwa umbali uliochini ya km4 huko Alaska. Na kama Russia wasingewauzia marekani eneo lote la Alaska hoja hii ingeeleweka mapema zaidi.

Kazi kweli kweli
kweli mkuu, Alaska ilikuwa sehemu ya Urusi, na Marekani akainunua.
 
Sasa kama ni tambarare usiku na mchana unapatikanaje?
 
kweli mkuu, Alaska ilikuwa sehemu ya Urusi, na Marekani akainunua.
Hiyo iko wazi hadi bei mkataba na jinsi walivyouziana vipo wazi na sio siku nyingi ni 30/03/1867 Tena wakiinunua Alaska kwa thamani ya tsh billioni 14.4

Kama ni flat kwa akili ya awali kabisa tulitegemea kwa mfano mdogo kabisa ukitoka DSM kwenda Mtwara isiwezekane ukatokezea Tanga Tena. Ndiyo ilivyo kwa mfano wa Russia unaweza kupita Ulaya mashariki then magharibi ukavuka Bahari hadi us then ukanyooka hadi jambo la Alaska. Mwingine akatoka hapohapo Moscow akapita Siberia akachanja mbuga hadi kisiwa kidogo mpakani mwa Russia na US then akatua Alaska. Haiwezekani mtu mmoja akaenda mashariki bila kukata kona na mwigine anaenda magharibi bila kukata kona wote mkakutana sehemu moja kama Dunia ni flat.
 
Nimesoma uzi wote....mtoa mada umeegemea upande mmoja wa uzi wako.....
 
Hii elimu yenu huwa inanizingua tu

Class teacher anadai dunia inazunguka yenyewe na inajizunguka jua

Ajabu mwaka wa Saba kila nikiingia kulala kuna nyota mbili zinaonekana upande wa kusini mashariki mwa chumbani kwangu; hazijawai kuhama wala kwenda kokote kutokana na kuathiriwa na mjongeo wa Dunia , nikawaza au nazo zinahama sambamba na Dunia?

Mimi hapana najiongeza pia lakini mbona inasemekana nyota ni kubwa kuliko Dunia iweje Dunia iendeshe nyota, thou Mwl hakusema mjongeo wa nyota kama upo pamoja na kuzungumza mambo ya galaxy!
Nikifika hapo huwa simwamini mtu wala vyeti vyangu ila akili yangu mwenyewe

Nb ule utafiti wa vichaa; kama tungemchukua Plato ; Einstein ; Socrates na akina newton inawezekana watatu wao walikuwa vichaa katika level za juu na ndio maana tumekalili nyimbo zao weee bila hata kuwaza; wasomi wote ni at the lowest levels
 
Kaka moudytunechi hivi unaweza kuniambia sababu hasa ya watu kuficha kiwa Dunia sio flat? Maana haiingii akilini kanisa kuwa wanasayansi wameona dunia ni Tambarare alafu wanaficha, wanaficha nini?

Bendera ya UN imeyaonyesha mabara yote kwa mara moja na ndio maana imeonyesha Dunia kama flat ili yote yawe presented lakini haimaanishi kuwa Dunia kuwa ni tambarare,

Maswali mengine ambayo ningependa nikuulize ni haya,
1: je unamaamini sayari nyingine zote pamoja na Nyota zote likiwemo jua, na mwezi pia kuwa viko tambarare? Au Dunia tu ndio iko tambarare?
2: Kama Sayari zingine haziko Tambarare kwa nini Dunia pekee ndio iko Tambarare?

3: Kwa uelewa wako wa kuwa Dunia iko tambarare unaweza kunipa concept ya usiku na mchana inatokea vipi?

4: Unaweza kunieleza kwa kina inakuwaje sehemu moja ya Dunia inakuwa mchana na nyingine inakuwa Usiku wakati Dunia iko tambarare na Jua ni moja linaloangaza Dunia yote?
 
Sasa kama ni tambarare usiku na mchana unapatikanaje?
Galileo Galilaya aliuwawa na RC kwa kusema dunia ni duara.Halafu then Roman Catholic church walikubali kwamba dunia ni Duara na Galileo Galilei alizikwa tena upya kwa eshima yao ya RC.
Kuna swali moja ambalo huwa najiuliza kila siku.
kama kweli dunia inazunguka inakuaje nchi zingine barafu huwa zinaanguka miaka yote na wakati huo kwa tanzania barafu hazijawahi kuanguka hata siku moja.
Kuna swali moja ambalo huwa najiuliza kila siku.
kama kweli dunia inazunguka inakuaje nchi zingine barafu huwa zinaanguka miaka yote na wakati huo kwa tanzania barafu hazijawahi kuanguka hata siku moja.
Ata application tuu ya google Earth inawaumbua...... mtu anakurupuka anakwambia dunia ni tambarare [emoji23][emoji23]......kuna washkajii nlisoma nao walikua wamebase sana kwenye imani zao walibisha hata satelites hazipoo..... sasa mtu kama huyuu hamna namna ya kumsaidia zaidi ya kumsikitikia...... etii science imeletwa na wazungu alafu unashabikia dini.....kama mmeshindwa kuielewa science someni ata history basii muielewe kua ata izoo dini zililetwa pia
Kitu kinachonifanya niendelee kuamini kuwa dunia ni duara ni usiku na mchana,yaan huku kukiwa usiku nchi zingine kunakuwa mchana........kama dunia ingekuwa flat au nusu duara,jua lingekuwa linafika katikati basi dunia nzima yaan nchi zote ingekuwa mchana lakin hiki ktu hakiwezekan lazma kwingne kuwe usku kwingne mchana,afu UN bendera yao waliitoa hvo ili mabara yote yaonekane vizuri(yaan picha imechukuliwa juu ya dunia na sio pembeni kama picha zingine zinavyoonesha)
Wewe uliyefuatilia hebu nipe mwanga wa hili, jamaa amesema dunia ni tambarare na maji yamezuiliwa kwa mabonge makubwa ya barafu. Swali, mwisho wa hayo mabonge ya barafu ni wapi na baada ya hayo mabonge kuna nini!
Interesting...!! hapana asee mtu anakwambia hamna aliyefika mwezini huyo sio mwana science ata kama ni mwana science anaichanganya na imani apo ndo hutokea confusion
fuatilia mkuu it's very interesting and very confusing at the same time. wanaobisha sio watu wa dini ni wana sayansi pia.
ukishakua na akili mgando kwenye dini matokeo yake ndio hayaa............!! We binuka, jipinde, Science haidanganyii and u cant change reality.......... na ukwelii ni kwamba dini zinaharibu fikra za watu ata kama kitu kishakua proven kwasababu tuu kwenye vitabu vyenu visivokua na ukwelii ndani yake vimeeleza kivingine hamwezi kubali
Umejitahidi kutafsiri, Angalau tumempata The bold Wa Pili




Kwanza kabisa napenda kuwa shukuru kwa mapokeo mazuri
REMEMBER THAT YOU WILL DIE

NO ONE KNOWS EVERYTHING

LIVE AND LET LIVE

THINK AND ASK QUESTIONS

TRY NEW IDEAS

BE VALUABLE TO OTHERS

KNOW YOURSELF

PURSUE KNOWLEDGE, FRIENDSHIP, AND MEANING INSTEAD OF FAME, WEALTH, AND POWER

NEVER MIX BEER AND WINE

SHARE AND ENJOY

Kabla sjayajibu maswali ya watu kwa ujumla kiundani kidogo hili swala linaitaji utilize akili kwelikweli

Alaf just to be clear hili swala haliingiliii maswala dini wala halijabase kwene dini yoyote .this is whats happening right now catch up on reality ,,kuna tofauti kubwa kati ya dini na imani karne moja tu iliopita sisi tulikua hatuna dini yoyote lakin tulikua tunaongozwa na imani zetu na nadhani wote hapa tunatambua kwamba missionaries walikua agents of colonialism nadhani hapo utakua umenielewa kidogo ndo maana spendi kuongelea dini maana zina wagawanya watu kwasababu nadhani wote humu dini tulizikuta na hakuna aliechagua dini yake kwahiyo tunafata tu dini kwasababu mkoloni alisema usipokua na dini unakua hupati huduma kama watu wengine kwahiyo huu ni ufikiraji tofauti kidogo nje ya box so don’t ever judge others na dini zao dini tunarithi hatuchagui we unajuaje ungefundishwa uislamu na ukristo kwa pamoja ungeamua kua na dii gani mwishoni kwahiyo haya ya dini tuweke pembeni imani yako ndo itakuponya kwasababu kila dini inajiona yenyewe ndo inaukweli…kuna sheria moja inasema ''treat your neihboughr as your self'' tukizingatia hii nadhani hapo tutakua sana kiimani….cha msingi kikubwa hapa ni imani… …tafakari alafu pia hili swala la dunia kua tambarare lilibadilishwa zaidi ya miaka 500 jiulizeni kwanini hizi secreatsociety zina mizizi na historia ndefu na dunia hiii.

Na naomba nieleweke kuhusu hizi secreat society ..huu ni mwaka 2016 jamani sio mpaka uwaone live ndo uamini wapo the fact is indeed hizi organization zipo na they have agendas which they have to fulfill kuna mawe ya kumbukumbu yako huko mjini georgia na hayo mawe yana sheria zote za dunia mpya (amri kuu za dunia mpya)wanayo itaka wao na mawe hayo yameandikwa kwa luhga kuu nane za dunia ikiwemo Kiswahili mwaka 1980 hii inaonesha kua hii Dunia ina mambo mengi yenye siri kubwa swali kubwa la kujiuliza kwa pamoja ni kwanini tunafichwa kuhusu hayo mambo????

Na kumbuka hawa watu who ever they are 9elites ,,secreqat societies) wameiteka dunia nzimakuanzia ngazi za chini sana… makampuni ya televisheni redio masuper market kote wana mkono wao na wanaanika alama zao bila kuficha lakini sisi hatujitambui bado kwamfano mrahisi kabisa super market ya game iliopo mlimani city makao makuu yapo south Africa lakin ukifatilia zaidi unagundua kwamba ni kampuni ndogo ya walmart ya marekani na ukiantgalia logo yake huto amini kabisa skuzote tunaiona lakin mpaka ukae utulie ndo utaona kua kuan 666 katika hiyo logo yao sudhani hii ni concidance wao kuandika game kwa font yenye 666 nadhani mnaziona vizuri izo 666 zimegeuzwa tu lakin 6 zipo tatu
C:\Users\user\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image002.gif
nahii je tunafundishwa kua dunia inatilt 23.4 degrees on a right angle to the sun 90-23.4=66.6 hii nayo coincidence au fatilieni mambo sio kujudge na kusema ni conspiracy tu .

Naomba hii ya game isiwe mada ni mfano tu … na naomba niwe wazi kuwa sipingani na sayansi wala dini huu ni uchambuzi

Kwa uwelewa wangu mdogo naweza kusema kuwa sisi binadamu ni viumbe teule sana ( we are so special)

unaweza kujiuliza haya mawe ya Georgia yana maana gani kumbuka duniani ssa hvi tupo watu takribani billion saba na woao wana taka watu wasio zidi million mia tano

The English text is:

Maintain humanity under 500,000,000 in perpetual balance with nature.

Guide reproduction wisely — improving fitness and diversity.

Unite humanity with a living new language.

Rule passion — faith — tradition — and all things with tempered reason.

Protect people and nations with fair laws and just courts.

Let all nations rule internally resolving external disputes in a world court.

Avoid petty laws and useless officials.

Balance personal rights with social duties.

Prize truth — beauty — love — seeking harmony with the infinite.

Be not a cancer on the earth — Leave room for nature — Leave room for nature.

Ilikukamilisha malengo yao lengo namba moja inabidi asilimia 90% ya watu walio hai waondolewe duniani, so probably not a good idea.

Goal 2 is contradictory in the English version. The whole point of selective breeding is to reduce diversity by favoring some traits over others.Language fascinates me because it is the only way one mind can know another.

hivi kwa kweli mnashidwa kuelwewa ndugu zangu watu million mia tano na watu biilioni saba watatupunguzaje na haya mambo mii siyatungi yapo na ukifatilia utajua tu usishangae kuskia kunavita zinachochewa hii ni kupunguza watu duniani magonjwa pia yanatengenezwa kama zika virus its proved kabisa ilitengenezwa lab na wazungu ssa hvi hawa watu wana fanya mpaka wether modification duniani lakini watu bado tumelalal inaskitisha sana( google chemtrails uone

wanavyoweka sumu angani kupunguza life expectancy) lakin system walio iweka ndo inasababisha watu wawe gizani na ndo wanataka hivyo ..haya mambo yameongelewa vizuri zaidi kwen physichilogy na mass control of people..so haya mambo yapo,,, na yanaumiza kichwa ukiwqa unayafuatilia …….usinichukie mimijaribu kufanya utafiti na naomba niseme sibishani na mtu ukiwa mvivu wakufatilia mambo nakusoma vitabu tofauti utaishia kubisha tu na hapa tunajifunza kwa facts …nliwaambia kuhusu picha za CGI maranyingi watu wanaosema dunia ni duara ukiwaambia wauoneshe picha halisi ya dunia kutoka kwen setteliite fatilieni kuhusu van allen belt mtajua nasa hawajawai hata kwenada space find it van allen belt nuthhing can pass throuht it …sasa sisi tupo busy na system hatuna mda wa kuyapitia haya maswala kiundani na wenyewe wanataka watuy wawe ivoivo walewqe katika mambo wanayo yafanaya …haya mambo yanasikitisha sana na yanatia hasira unapokutana na watu wavivu kufatilia mambo mbalimbali…. Catch up to reality….l

Okay turudi kwene swala letu mojor la umbo la dunia ngoja nitoe tofauti kidogo ngoja nielezee jinsi dunia tambarare inavyo function

Kwa kawaida tulivyo fundishwa darasani solar syetem ni kwamba Dunia ina mizunguko miwili ule wa usiku na mchana na ule wa revolution au mzunguko wa dunia kulizunguka jua na mzunguko huu ndio inasababisha misimu tofauti ndani ya mwaka kuzingatia umbali wa dunia na jua kwamfano jua likiwa umbali wa mile 91,400,000 katika mwezi ya january ni wakati wa baridi na umbali ukiwa mile 94,500,000 mwezi wa saba joto linaongezeka au tunasema summer au kiangazi karibu dunia nzima na wanasema due to the ball-Earth’s tilt, different places receive different amounts of direct sunlight and that is what produces the seasonal and temperature changes. This makes little sense, however, because if the Sun’s heat travels over ninety million miles to reach the ball-Earth, how could a slight tilt, a mere few thousand miles maximum, negate the Sun’s ninety million mile journey, giving us simultaneous tropical summers and Antarctic winters?

Na tukija kwene mfumo tambarare iakuaje misimu inatokeaje na dunia inapataje usiku na mchana ?

katika mfumo tambarare ni dhahiri kwamba jua na mwezi ni nuru zinazoizunguka dunia kuleta misimu na usiku na mchana duniani na ndo mqaana ukiangalia polaris au nyota ya kaskazizi huwa haichange position jna constilation zote zinaizinguka polaris ambayo ni true north.. na kuhusu swala la ndetge kupaa ndege hupaa kwa njia ilionyooka kwahiyo kama dunia ingekua duara ingebidi kila baada ya mile nane pilot ashushe ndege kidogo ili ikae sawa maaana ukenda straight tu utajikuta unaelea space lakin kwa kua dunia ipo flat ndo maana kuna vitu kama auto pilot kwenye ndege alaf fatilieni kama kuna route ya ndege ambayo inapita juu ya antartica au ndege yoyote inayotoka bara la south america kuelekea australia au south africa direct bila connection yoyote jua na mwezi pia vipo karibu sana zaidi tunavoambiwa jaribu kuangalia mwezi vizuri usiku kwa wale mliobaatika kuwa na telescope au camera zenye nguvu unawezakuzoom mwezi na kuona kwamba kuna baadhi ya nyota zinaonekana nyuma ya mwezi yani mwezi unakua kama transparent ndomaana watu wazamani walkua wansema wanaona kama mwezi umetiboka hii nikwasababu mwezi sio something physical its like a projection and it produces its own light kwasababu kunatafauti ya kureflect lihgt na kuglow nadhani mwezi kwangu mimi na watu wengine walio tazama kwa macho yao mwezi una glow na nature ya mwanga wa mwezi ni tofauti na jua kabisa so the moon gives its own light as well...

pia wanasayansi wanavyosema jua lipo kilometer milioni 90 na ushee embu nielewesheni nduguzangu,
dah najaribu kutafakari kidogo niliaminije huu uongo wa dunia kua duara swali kubwa la kujiuliza ni kwamba kwanini hakuna picha halisi ya dunia from space;... wazee wa round earth naomba mnijibu hili swala with evidance na unambie walipitaje kwene Van Allen Belt kwenda mwezini au space ..inasikitisha na kufurahisha watu wanapojaribu kutetea mambo wasio yafuatilia kiundani

The earth is a stretched-out structure, which diverges from the central north in all directions towards the south. The equator, being midway between the north center and the southern circumference, divides the course of the sun into north and south declination. The longest circle round the world which the sun makes, is when it has reached its greatest southern declination. Gradually going northwards the circle is contracted. In about three months after the southern extremity of its path has been reached, the sun makes a circle round the equator. Still pursuing a northerly course as it goes round and above the world, in another three months the greatest northern declination is reached, when the sun again begins to go towards the south. In north latitudes, when the sun is going north, it rises earlier each day, is higher at noon and sets later; while in southern latitudes at the same time, the sun as a matter of course rises later, reaches a lesser altitude at noon and sets earlier. In northern latitudes during the southern summer, say from September to December, the sun rises later each day, is lower at noon and sets earlier; while in the south he rises earlier, reaches a higher altitude at noon, and sets later each day. This movement round the earth daily is the cause of the alternations of day and night; while his northerly and southerly courses produce the seasons. When the sun is south of the equator it is summer in the south and winter in the north; and vice versa. The fact of the alternation of the seasons flatly contradicts the Newtonian delusion that the earth revolves in an orbit round the sun. It is said that summer is caused by the earth being nearest the sun, and winter by its being farthest from the sun. But if the reader will follow the argument in any text book he will see that according to the theory, when the earth is nearest the sun there must be summer in both northern and southern latitudes; and in like manner when it is farthest from the sun, it must be winter all over the earth at the same time, because the whole of the globe-earth would then be farthest from the sun!!! In short, it is impossible to account for the recurrence of the seasons on the assumption that the earth is globular and that it revolves in an orbit around the sun.” -Thomas Winship, “Zetetic Cosmogeny” (124-125)

“The seasons are caused by the Sun’s circuit round the Earth in a spiral ecliptic. In the Winter Solstice (December 21st), the Sun is vertical over the Tropic of Capricorn. Looking South from London, he appears to make a small circuit in the Southern sky, during the same period he is seen to cross the sky at almost overhead in Cape Town, thus causing Summer in the Southern Hemisphere. In the Summer Solstice (June 21st), the Sun is vertical over the Tropic of Cancer, (nearly overhead in London), while looking North from Cape Town, he appears to make a small circuit in the Northern sky, causing Winter in the Southern and Summer in the Northern Hemisphere.” -E. Eschini, “Foundations of Many Generations” (7)

tusiishie hapa jamani
NO ONE KNOWS EVERYTHING

LIVE AND LET LIVE

THINK AND ASK QUESTIONS

TRY NEW IDEAS

BE VALUABLE TO OTHERS

KNOW YOURSELF
 

Attachments

  • 666 game logo.png
    666 game logo.png
    8.1 KB · Views: 221
  • 666.jpg
    666.jpg
    32.5 KB · Views: 214
  • guide stones.JPG
    guide stones.JPG
    9.4 KB · Views: 271
  • guide stones 1.jpg
    guide stones 1.jpg
    6.8 KB · Views: 206
  • guides stones2.jpg
    guides stones2.jpg
    9.6 KB · Views: 209
  • georgia guide stones nwo.JPG
    georgia guide stones nwo.JPG
    21.1 KB · Views: 218

haha kwahiyo wewe unaona hiyo ndo proove ya dunia kuwa duara jaribu kufatilia zaidi au jaribu kuangalia hiyo feed kwa masaa mawili uone dunia inazunguka marangapi ala unambie hiyo feed inaukweli gani
 
Kaka moudytunechi hivi unaweza kuniambia sababu hasa ya watu kuficha kiwa Dunia sio flat? Maana haiingii akilini kanisa kuwa wanasayansi wameona dunia ni Tambarare alafu wanaficha, wanaficha nini?

Bendera ya UN imeyaonyesha mabara yote kwa mara moja na ndio maana imeonyesha Dunia kama flat ili yote yawe presented lakini haimaanishi kuwa Dunia kuwa ni tambarare,

Maswali mengine ambayo ningependa nikuulize ni haya,
1: je unamaamini sayari nyingine zote pamoja na Nyota zote likiwemo jua, na mwezi pia kuwa viko tambarare? Au Dunia tu ndio iko tambarare?
2: Kama Sayari zingine haziko Tambarare kwa nini Dunia pekee ndio iko Tambarare?

3: Kwa uelewa wako wa kuwa Dunia iko tambarare unaweza kunipa concept ya usiku na mchana inatokea vipi?

4: Unaweza kunieleza kwa kina inakuwaje sehemu moja ya Dunia inakuwa mchana na nyingine inakuwa Usiku wakati Dunia iko tambarare na Jua ni moja linaloangaza Dunia yote?
jaribu kusoma reply yangu ya kwanza ujifunze mengine zaidi
 
Hii elimu yenu huwa inanizingua tu
Class teacher anadai dunia inazunguka yenyewe na inajizunguka jua
Ajabu mwaka wa Saba kila nikiingia kulala kuna nyota mbili zinaonekana upande wa kusini mashariki mwa chumbani kwangu; hazijawai kuhama wala kwenda kokote kutokana na kuathiriwa na mjongeo wa Dunia , nikawaza au nazo zinahama sambamba na Dunia? Mmm hapana najiongeza pia lakini mbona inasemekana nyota ni kubwa kuliko Dunia iweje Dunia iendeshe nyota, thou Mwl hakusema mjongeo wa nyota kama upo pamoja na kuzungumza mambo ya galaxy!
Nikifika hapo huwa simwamini mtu wala vyeti vyangu ila akili yangu mwenyewe
Nb ule utafiti wa vichaa; kama tungemchukua Plato ; Einstein ; Socrates na akina newton inawezekana watatu wao walikuwa vichaa katika level za juu na ndio maana tumekalili nyimbo zao weee bila hata kuwaza; wasomi wote ni at the lowest levels
hahaha dah nmecheka sana lakin ukweli ndo huo me najaribu kutafakari watu hawa walikua wanafikiria nini haswa na wote wana nobel prizes ssa hvi NASA wanasema the whole solar sytem is moving mambo yanazidi kuwa tyt sema huu ukweli utajulikana 2
 
Sijawahi kuona uzushi mkuu kama huu. Na aibu kubwa runners wa haya mawazo ya kizamani mwenyekiti wa taasisi ni Evolutionist kwa sababu anajua fika bibilia inakubaliana na wkin Galileo na NASA. Nilitegemea kwenye pics zake anionyeshe spaces photo au satellite photo to support his arguments. Analeta picha zilizopigwa ambazo sio reliable maana zinarepresent tiny particle ya Dunia.
Pili aeleze ni kwa vipi Russia ipakane na ulaya wakati huohuo inapakana na us kwa umbali uliochini ya km4 huko Alaska. Na kama Russia wasingewauzia marekani eneo lote la Alaska hoja hii ingeeleweka mapema zaidi.

Kazi kweli kweli


brother naomba unitafutie picha ya dunia from spece ya nasa ambayo sio cgi ambayo imepigwa live kutoka mwezini au sayari nyingine as simple as that ,,kabla hatujaingia kwenye vitu deep zaidi ,,,,,fanya utafiti kwanza
 
Kwanza kabisa napenda kuwa shukuru kwa mapokeo mazuri
REMEMBER THAT YOU WILL DIE

NO ONE KNOWS EVERYTHING

LIVE AND LET LIVE

THINK AND ASK QUESTIONS

TRY NEW IDEAS

BE VALUABLE TO OTHERS

KNOW YOURSELF

PURSUE KNOWLEDGE, FRIENDSHIP, AND MEANING INSTEAD OF FAME, WEALTH, AND POWER

NEVER MIX BEER AND WINE

SHARE AND ENJOY

Kabla sjayajibu maswali ya watu kwa ujumla kiundani kidogo hili swala linaitaji utilize akili kwelikweli

Alaf just to be clear hili swala haliingiliii maswala dini wala halijabase kwene dini yoyote .this is whats happening right now catch up on reality ,,kuna tofauti kubwa kati ya dini na imani karne moja tu iliopita sisi tulikua hatuna dini yoyote lakin tulikua tunaongozwa na imani zetu na nadhani wote hapa tunatambua kwamba missionaries walikua agents of colonialism nadhani hapo utakua umenielewa kidogo ndo maana spendi kuongelea dini maana zina wagawanya watu kwasababu nadhani wote humu dini tulizikuta na hakuna aliechagua dini yake kwahiyo tunafata tu dini kwasababu mkoloni alisema usipokua na dini unakua hupati huduma kama watu wengine kwahiyo huu ni ufikiraji tofauti kidogo nje ya box so don’t ever judge others na dini zao dini tunarithi hatuchagui we unajuaje ungefundishwa uislamu na ukristo kwa pamoja ungeamua kua na dii gani mwishoni kwahiyo haya ya dini tuweke pembeni imani yako ndo itakuponya kwasababu kila dini inajiona yenyewe ndo inaukweli…kuna sheria moja inasema ''treat your neihboughr as your self'' tukizingatia hii nadhani hapo tutakua sana kiimani….cha msingi kikubwa hapa ni imani… …tafakari alafu pia hili swala la dunia kua tambarare lilibadilishwa zaidi ya miaka 500 jiulizeni kwanini hizi secreatsociety zina mizizi na historia ndefu na dunia hiii.

Na naomba nieleweke kuhusu hizi secreat society ..huu ni mwaka 2016 jamani sio mpaka uwaone live ndo uamini wapo the fact is indeed hizi organization zipo na they have agendas which they have to fulfill kuna mawe ya kumbukumbu yako huko mjini georgia na hayo mawe yana sheria zote za dunia mpya (amri kuu za dunia mpya)wanayo itaka wao na mawe hayo yameandikwa kwa luhga kuu nane za dunia ikiwemo Kiswahili mwaka 1980 hii inaonesha kua hii Dunia ina mambo mengi yenye siri kubwa swali kubwa la kujiuliza kwa pamoja ni kwanini tunafichwa kuhusu hayo mambo????

Na kumbuka hawa watu who ever they are 9elites ,,secreqat societies) wameiteka dunia nzimakuanzia ngazi za chini sana… makampuni ya televisheni redio masuper market kote wana mkono wao na wanaanika alama zao bila kuficha lakini sisi hatujitambui bado kwamfano mrahisi kabisa super market ya game iliopo mlimani city makao makuu yapo south Africa lakin ukifatilia zaidi unagundua kwamba ni kampuni ndogo ya walmart ya marekani na ukiantgalia logo yake huto amini kabisa skuzote tunaiona lakin mpaka ukae utulie ndo utaona kua kuan 666 katika hiyo logo yao sudhani hii ni concidance wao kuandika game kwa font yenye 666 nadhani mnaziona vizuri izo 666 zimegeuzwa tu lakin 6 zipo tatu
C:\Users\user\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image002.gif
C:\Users\user\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image004.jpg
nahii je tunafundishwa kua dunia inatilt 23.4 degrees on a right angle to the sun 90-23.4=66.6 hii nayo coincidence au fatilieni mambo sio kujudge na kusema ni conspiracy tu .

Naomba hii ya game isiwe mada ni mfano tu … na naomba niwe wazi kuwa sipingani na sayansi wala dini huu ni uchambuzi

Kwa uwelewa wangu mdogo naweza kusema kuwa sisi binadamu ni viumbe teule sana ( we are so special)
C:\Users\user\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image005.jpg
C:\Users\user\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image007.jpg



C:\Users\user\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image009.jpg
unaweza kujiuliza haya mawe ya Georgia yana maana gani kumbuka duniani ssa hvi tupo watu takribani billion saba na woao wana taka watu wasio zidi million mia tano

The English text is:


Maintain humanity under 500,000,000 in perpetual balance with nature.


Guide reproduction wisely — improving fitness and diversity.

Unite humanity with a living new language.

Rule passion — faith — tradition — and all things with tempered reason.

Protect people and nations with fair laws and just courts.

Let all nations rule internally resolving external disputes in a world court.

Avoid petty laws and useless officials.

Balance personal rights with social duties.

Prize truth — beauty — love — seeking harmony with the infinite.

Be not a cancer on the earth — Leave room for nature — Leave room for nature.

Ilikukamilisha malengo yao lengo namba moja inabidi asilimia 90% ya watu walio hai waondolewe duniani, so probably not a good idea.

Goal 2 is contradictory in the English version. The whole point of selective breeding is to reduce diversity by favoring some traits over others.Language fascinates me because it is the only way one mind can know another.
hivi kwa kweli mnashidwa kuelwewa ndugu zangu watu million mia tano na watu biilioni saba watatupunguzaje na haya mambo mii siyatungi yapo na ukifatilia utajua tu usishangae kuskia kunavita zinachochewa hii ni kupunguza watu duniani magonjwa pia yanatengenezwa kama zika virus its proved kabisa ilitengenezwa lab na wazungu ssa hvi hawa watu wana fanya mpaka wether modification duniani lakini watu bado tumelalal inaskitisha sana( google chemtrails uone wnavyoweka sumu angani kupunguza life expectancy) lakin system walio iweka ndo inasababisha watu wawe gizani na ndo wanataka hivyo ..haya mambo yameongelewa vizuri zaidi kwen physichilogy na mass control of people..so haya mambo yapo,,, na yanaumiza kichwa ukiwqa unayafuatilia …….usinichukie mimijaribu kufanya utafiti na naomba niseme sibishani na mtu ukiwa mvivu wakufatilia mambo nakusoma vitabu tofauti utaishia kubisha tu na hapa tunajifunza kwa facts …nliwaambia kuhusu picha za CGI maranyingi watu wanaosema dunia ni duara ukiwaambia wauoneshe picha halisi ya dunia kutoka kwen setteliite fatilieni kuhusu van allen belt mtajua nasa hawajawai hata kwenada space find it van allen belt nuthhing can pass throuht it …sasa sisi tupo busy na system hatuna mda wa kuyapitia haya maswala kiundani na wenyewe wanataka watuy wawe ivoivo walewqe katika mambo wanayo yafanaya …haya mambo yanasikitisha sana na yanatia hasira unapokutana na watu wavivu kufatilia mambo mbalimbali…. Catch up to reality….l

Okay turudi kwene swala letu mojor la umbo la dunia ngoja nitoe tofauti kidogo ngoja nielezee jinsi dunia tambarare inavyo function

Kwa kawaida tulivyo fundishwa darasani solar syetem ni kwamba Dunia ina mizunguko miwili ule wa usiku na mchana na ule wa revolution au mzunguko wa dunia kulizunguka jua na mzunguko huu ndio inasababisha misimu tofauti ndani ya mwaka kuzingatia umbali wa dunia na jua kwamfano jua likiwa umbali wa mile 91,400,000 katika mwezi ya january ni wakati wa baridi na umbali ukiwa mile 94,500,000 mwezi wa saba joto linaongezeka au tunasema summer au kiangazi karibu dunia nzima na wanasema due to the ball-Earth’s tilt, different places receive different amounts of direct sunlight and that is what produces the seasonal and temperature changes. This makes little sense, however, because if the Sun’s heat travels over ninety million miles to reach the ball-Earth, how could a slight tilt, a mere few thousand miles maximum, negate the Sun’s ninety million mile journey, giving us simultaneous tropical summers and Antarctic winters?

Na tukija kwene mfumo tambarare iakuaje misimu inatokeaje na dunia inapataje usiku na mchana ????????? video
katika mfumo tambarare ni dhahiri kwamba jua na mwezi ni nuru zinazoizunguka dunia kuleta misimu na usiku na mchana duniani na ndo mqaana ukiangalia polaris au nyota ya kaskazizi huwa haichange position jna constilation zote zinaizinguka polaris ambayo ni true north.. na kuhusu swala la ndetge kupaa ndege hupaa kwa njia ilionyooka kwahiyo kama dunia ingekua duara ingebidi kila baada ya mile nane pilot ashushe ndege kidogo ili ikae sawa maaana ukenda straight tu utajikuta unaelea space lakin kwa kua dunia ipo flat ndo maana kuna vitu kama auto pilot kwenye ndege alaf fatilieni kama kuna route ya ndege ambayo inapita juu ya antartica au ndege yoyote inayotoka bara la south america kuelekea australia au south africa direct bila connection yoyote jua na mwezi pia vipo karibu sana zaidi tunavoambiwa jaribu kuangalia mwezi vizuri usiku kwa wale mliobaatika kuwa na telescope au camera zenye nguvu unawezakuzoom mwezi na kuona kwamba kuna baadhi ya nyota zinaonekana nyuma ya mwezi yani mwezi unakua kama transparent ndomaana watu wazamani walkua wansema wanaona kama mwezi umetiboka hii nikwasababu mwezi sio something physical its like a projection and it produces its own light kwasababu kunatafauti ya kureflect lihgt na kuglow nadhani mwezi kwangu mimi na watu wengine walio tazama kwa macho yao mwezi una glow na nature ya mwanga wa mwezi ni tofauti na jua kabisa so the moon gives its own light as well...
pia wanasayansi wanavyosema jua lipo kilometer milioni 90 na ushee embu nielewesheni nduguzangu,
dah najaribu kutafakari kidogo niliaminije huu uongo wa dunia kua duara swali kubwa la kujiuliza ni kwamba kwanini hakuna picha halisi ya dunia from space;... wazee wa round earth naomba mnijibu hili swala with evidance na unambie walipitaje kwene Van Allen Belt kwenda mwezini au space ..inasikitisha na kufurahisha watu wanapojaribu kutetea mambo wasio yafuatilia kiundani

The earth is a stretched-out structure, which diverges from the central north in all directions towards the south. The equator, being midway between the north center and the southern circumference, divides the course of the sun into north and south declination. The longest circle round the world which the sun makes, is when it has reached its greatest southern declination. Gradually going northwards the circle is contracted. In about three months after the southern extremity of its path has been reached, the sun makes a circle round the equator. Still pursuing a northerly course as it goes round and above the world, in another three months the greatest northern declination is reached, when the sun again begins to go towards the south. In north latitudes, when the sun is going north, it rises earlier each day, is higher at noon and sets later; while in southern latitudes at the same time, the sun as a matter of course rises later, reaches a lesser altitude at noon and sets earlier. In northern latitudes during the southern summer, say from September to December, the sun rises later each day, is lower at noon and sets earlier; while in the south he rises earlier, reaches a higher altitude at noon, and sets later each day. This movement round the earth daily is the cause of the alternations of day and night; while his northerly and southerly courses produce the seasons. When the sun is south of the equator it is summer in the south and winter in the north; and vice versa. The fact of the alternation of the seasons flatly contradicts the Newtonian delusion that the earth revolves in an orbit round the sun. It is said that summer is caused by the earth being nearest the sun, and winter by its being farthest from the sun. But if the reader will follow the argument in any text book he will see that according to the theory, when the earth is nearest the sun there must be summer in both northern and southern latitudes; and in like manner when it is farthest from the sun, it must be winter all over the earth at the same time, because the whole of the globe-earth would then be farthest from the sun!!! In short, it is impossible to account for the recurrence of the seasons on the assumption that the earth is globular and that it revolves in an orbit around the sun.” -Thomas Winship, “Zetetic Cosmogeny” (124-125)

“The seasons are caused by the Sun’s circuit round the Earth in a spiral ecliptic. In the Winter Solstice (December 21st), the Sun is vertical over the Tropic of Capricorn. Looking South from London, he appears to make a small circuit in the Southern sky, during the same period he is seen to cross the sky at almost overhead in Cape Town, thus causing Summer in the Southern Hemisphere. In the Summer Solstice (June 21st), the Sun is vertical over the Tropic of Cancer, (nearly overhead in London), while looking North from Cape Town, he appears to make a small circuit in the Northern sky, causing Winter in the Southern and Summer in the Northern Hemisphere.” -E. Eschini, “Foundations of Many Generations” (7)




tusiishie hapa jamani
NO ONE KNOWS EVERYTHING

LIVE AND LET LIVE

THINK AND ASK QUESTIONS

TRY NEW IDEAS

BE VALUABLE TO OTHERS

KNOW YOURSELF

Mm labda ninacho weza kuwaelewa wanasayansi kutokana kwamba dunia ni kubwa sana.
Na kuichora ramani yake ilikuwa ni ngumu kwahiyo waliaamua kuichora kwa mfano wa mduara ili kurahisisha kazi lakini hawa kumaanisha kwamba dunia ni mduara.

Kwasasababu tukisema dunia ni mduara je dunia imesimamia wapi?
Na ukisema dunia inazunguka je ni kitu gani kinacho izungusha dunia?
 
labda nijaribu kutoa mfano: ukitoka Afrika ukafika Amerika (mfano Alaska); ukapata safari ya kwenda China, je! ni lazima urudi Afrika? Je! huwezi kuvuka bahari ya pacific kwenda china? kama utafika china kwa njia hiyo, kufika Afrika utarudi kwa utaratibu wa kawaida kupitia nchi za arabuni.
naomba niweke wazi swala la route za ndege ijulikane kwamba ndege zote za masafa marefu zina exchange yani inabidi uende kubadili ndege ndo uendelee na hakuna ndege zinazopita kusuni mwa bahari ya indi na atlanic unawza kuangalia site za kutrackl ndege duniani ujionee mwenyewe . this multiple flight conections are just there to confuse people
 
I agree.....

Kimsingi tunaishi kwenye nyakati za uongo mkuu kuliko wakati mwingine wowote ule.Mimi ninaamini kabisa kuwa kuna mambo mengi sana ni ya uongo,angalau 90% ya mambo ambayo tunadhani tunayajua ni kwamba hatuyajui kabisa.....

Suala hili la umbo la dunia ni suala ambalo huwa naliangalia kwa wasiwasi tangu siku nyingi sana,kitu pekee ambacho ninataka kujua ni sababu ya kudanganya kuhusu uongo huu wa umbo la dunia.Nataka sababu itakayobiridhisha,sababu itakayoingia akilini mwangu.....

Kibaya kabisa,kama ulivyosema kwenye maandiko yako hapo juu ni kwamba,wale ambao tunadhani tunaujua ukweli ndiyo hatuujui kabisa.Kuna jambo moja la kutisha kabisa ambalo nimejifunza katika kipindi hiki hapa duniani,nimejifunza kuwa yale mambo ya kijinga kabisa ndiyo mambo ya kuzingatia kuliko mengine.....

Labda niseme hivi,yale mambo ambayo yanaonekana kuwa ya kipuuzi kwa watu "walioelimika" ndiyo mambo ambayo ni ya msingi zaidi kuliko yale yanayoonekana ni ya "akili". Kuna "watu" wamewafanya binadamu kwua kama mbuzi kabisa na hii ni mbaya zaidi.....

Acha tuendelee kujifunza.....

Hongera sana mkuu kwa mada nzuri sana japokuwa utatukanwa na kuonekana unaishi kwenye zama za giza,usijali iko siku watakuja kukukumbuka.....
shukrani ...inabidi tupate watu wanaojua kureason kidogo
 
Back
Top Bottom