Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
unaweza ukathibitisha gravitational force ndani ya mwili wa Binadamu?
 
Kwahy unauliza kitu nilichokielezea😃😃, unasomaga kweli ww??👇👇

View attachment 3192113
Hujajibu swali,..Nimekuuliza kinachofanya gravity ishindwe kuvuta vitu mpaka vifike kwenye center of the earth kama mnavyoamini ni nini?......

Una mfano wa kitu chochote ambacho kishawahi kuvutwa na gravity mpaka kikafika at the center of the earth?
 
Mimi mawazo yangu hayaongozwi na kundi lolote,... ninaposema Dunia ni flat& stationary ni kwasababu observation inaonyesha hivyo na sio kwamba kuna wadau nimewasikia wakisema hivyo,..

Watu wanaoelezea movement, distance, ukubwa wa objects zilizopo angani hawajui exactly 100% kuhusu hivyo vitu aslimia kubwa ya models zina base on assumptions.
 
Sasa kwenye mfano wa maji na shillingi kipi kinauzito mkubwa🤣🤣🤣
Umeamua kupuuza role ya density?

weight na density kwa pamoja vina determine scenarios husika.,...gravity is nowhere to be seen.
 
Maswali yangu umeacha kuyajibu, Na nliamua kuanza na maswali mepesi tu lakini kwako yamekua ni magumu na hayajibiki

Kiufupi hata nadharia yako bado haujaielewa thats why unajikuta kuna maswali kwako hayajibiki
 
Maswali yangu umeacha kuyajibu, Na nliamua kuanza na maswali mepesi tu lakini kwako yamekua ni magumu na hayajibiki

Kiufupi hata nadharia yako bado haujaielewa thats why unajikuta kuna maswali kwako hayajibiki
maswali gani sijajibu,..
 
Hapana,.. namaanisha Ndege inasafiri horizontally ikiwa angani,...unapinga hili?

Utaalamu gani specifically? kujua kwamba Ndege ina safiri horizontally/vertically inahitaji haihitaji utaalamu wowote.
 
Hapana,.. namaanisha Ndege inasafiri horizontally ikiwa angani,...unapinga hili?

Utaalamu gani specifically? kujua kwamba Ndege ina safiri horizontally/vertically inahitaji haihitaji utaalamu wowote.
Kaka, Kuna swali ulijibu umeonyesha hujui vitu vingi kuhusu nadharia yako hiyo,

Ila tu nawewe umejikuta umekariri kama wengine walivyokariri

Thats why nkikuuliza maswali kama kingo ya Dunia ilipo haujawahi kushuhudia na hautawahi,

Kuna maswali kama kufahamu uelekeo wa magimba tofauti huko angani huwezi kujibu maswali yake

Anyways kwa kuwa sisi wengine tunajua Dunia ni Tufe tunaweza kufahamu muelekeo wa magimba mengine kwenye anga, Tarehe 25 mwezi huu January toka nje utalii utaziona sayari zote 8 zimejipanga vizuri kabisa

Maswali mengine naona nsikuulize maana sitaambulia kitu kutoka kwako
 
ulicho quote na ulichojibu ni vitu viwili tofauti,..kama wewe ni smart na mwerevu jibu kile nilichouliza... ⤵️

"Hapana,.. namaanisha Ndege inasafiri horizontally ikiwa angani,...unapinga hili?

Utaalamu gani specifically? kujua kwamba Ndege ina safiri horizontally/vertically haihitaji utaalamu wowote."
 
Hujajibu swali,..Nimekuuliza kinachofanya gravity ishindwe kuvuta vitu mpaka vifike kwenye center of the earth kama mnavyoamini ni nini?.
Soma tena

Una mfano wa kitu chochote ambacho kishawahi kuvutwa na gravity mpaka kikafika at the center of the earth?
Unarudia maswali,,
Mimi mawazo yangu hayaongozwi na kundi lolote,..
Sawa nataka mawazo yako sasa
. ninaposema Dunia ni flat& stationary ni kwasababu observation inaonyesha hivyo na sio kwamba kuna wadau nimewasikia wakisema hivyo,..
Sawa naomba mawazo yako kuhusu MZUNGUKO WA JUA
Watu wanaoelezea movement, distance, ukubwa wa objects zilizopo angani hawajui exactly 100% kuhusu hivyo vitu aslimia kubwa ya models zina base on assumptions
Nataka wewe hapo sasa, au hujui??
 
Maswali yangu umeacha kuyajibu, Na nliamua kuanza na maswali mepesi tu lakini kwako yamekua ni magumu na hayajibiki

Kiufupi hata nadharia yako bado haujaielewa thats why unajikuta kuna maswali kwako hayajibiki
😃😃😃😃😃, hajui chochote atakudanganya tu huyo....,
 
Hata Leo, saivi atoke nje aangalie juu karibu na mwezi Kuna Sayari inaonekana, na ilitabiriwa mapema sana.

Huyu hajui chochote kwanza kichwani mweupe hajui hata force. Anakwambia kutembea friction force haihusiki😃😃, mara aseme ukipuliza et hiyo ni force ya mpulizo 🤣🤣🤣🤣
 
Rudi hapa hakuna kukimbia🤣🤣
hateeb10
 
Njoo hapa hateeb10
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…