Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Hata flat sijaiona, nlipo kuna kijilima kwa chini kuna bonde 😎

Sijaona Flat brother 😎
Hahh uzuri wa flatness hata ufanyeje utaiona tu,...ila curvature tokea uzaliwe hujawahi kuiona kiuhalisia labda kwenye CGI na katuni.
 
Hahh uzuri wa flatness hata ufanyeje utaiona tu,...ila curvature tokea uzaliwe hujawahi kuiona kiuhalisia labda kwenye CGI na katuni.
Curvature mbona naiona mara kwa mara nkiwa beach, Naona sehemu ambayo curve imeanzia

So madai yako ni ya uongo 😎
 
Curvature mbona naiona mara kwa mara nkiwa beach, Naona sehemu ambayo curve imeanzia

So madai yako ni ya uongo 😎
Hahh curve imeanzia wapi?

Leo hutoboi,..wakati huu tunasubiri hizo video za uthibitisho, tuambie hapo curve inapoanzia.
 
mchwa wanajua kutofautisha mkunjo na flatness,.. wewe hujui, sasa si bora mchwa?
Alafu unachonishangaza kuhusu Dunia Duara unapinga na unasema tutumie akili ya tunachokiona kwa milango ya fahamu,

Ajabu tukirudi kwenye Sunrise and Sunset pamoja na Ship visibility unaleta habari za

sijui illusion, Sijui kalikwenda kakarudi hahah
 
Sasa mbona mnajichanganya? mwenzako Chosen Rich alisema hapo alipo pia kuna curvature (yaani sio flat) ila yeye ni very tiny so hawezi kuona,...
Note: Alipo na Mimi nilipo, alafu unganisha na statement ya the earth is an oblate sphere. Kwa mfano nilipo mm pametengenezwa pakawa flat kabisa(by humans)🀣
Atleast wewe umekubali kwamba hapo ulipo ni flat bila mkunjo wowote,.....
 
Nakuambia ni illusion kwasababu hakuna curvature,...

Basi ili kuondoa utata,..lete video inayoonyesha curvature then nitaamini kweli ships disappear over the curvature.

Usisahau ku zoom tafadhali tuone watu kabisa wanavyoendesha maisha yao kwenye sehemu mbalimbali za Dunia tufe inayozunguka.
 
Hahh kwani wewe unavyoona kila jibu ni sahihi ilimradi umejibu?,.......unalazimisha nikujibu unavyotaka wakati huo wewe umeshindwa kuthibitisha kwamba Dunia ni tufe na inazunguka(Unaleta katuni), umeshindwa kuthibitisha gravity.........
😎😎😎😎😎😎???????
Sijaona ulipojibu kwann meli zinaanza kuonekana Kwa juu tu na sio chini zinapokuwa zina approach land, 🀣🀣🀣🀣. Umekopi tu hata ww huelewi ulichojibu
 
Note: Alipo na Mimi nilipo, alafu unganisha na statement ya the earth is an oblate sphere. Kwa mfano nilipo mm pametengenezwa pakawa flat kabisa(by humans)🀣
kwahiyo hapo ulipo wewe ni flat kabisa.. mfundishe na mwenzako.

vizuri sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…