Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
What a crap...haiingii akilini..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
...Kama Dunia in Tambarare:
1. Kwa mini nisiweze kusimama kwenye Gorofa refu kwenye pwani ya Dar nikaiona Z'bar ili maili chache tu kutoka Dar?
Kwa mini nisiweze tu kusimama kwenye eneo LA juu pale Mbezi Mwisho nikaweza kuiona Z'bar ileee...!!

2. Hawa wanaomini kuwa Dunia in Tambarare wameshindwa kujikusanya kweli na kutuma ka Satellite kadogo tu anga za huu na kupiga picha zinazothibitisha kwamba Dunia imekaa kama Meza??
Mbona wenzao wameweza kupiga picha kutoka angani zinzothibitisha kuwa Dunia in Duara halafu wanazikataa??
Watoe zao za kuthibitisha kwamba Dunia in Meza..!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Punguza Uzwazwa....
Zanzibar inatazamana kwa usawa na Pwani ya Bagamoyo na sio Dar
Hata ukiwa unaenda Zanzibar kutokea Bandarini Dar utaona inafuata uelekeo wa kaskazini kuipita Msasani Peninsula ( can you imagine now )
Labda useme tujenge jengo refu maeneo ya Pwani ya Bagamoyo halaf tuone kama tunaweza kuiona Zanzibar na sio kutokea Dar....
The same to Mbezi
 
Kwa kifupi ile ni logo.... na lengo lao ni kuonyesha mabara yote. Ni vigumu kupata picha moja yenye mabara yote kiuhalisia hata ipigwe kutoka umbali gani.



______________[emoji36][emoji2958]_______________
" With or without religion, good people can behave well and bad people can do evil; but for good people to do evil - that takes religion.
 
brother naomba unitafutie picha ya dunia from spece ya nasa ambayo sio cgi ambayo imepigwa live kutoka mwezini au sayari nyingine as simple as that ,,kabla hatujaingia kwenye vitu deep zaidi ,,,,,fanya utafiti kwanza
Tunaomba picha halisi ya Flat Earth ili na sisi tukubaliane na wewe.



______________[emoji36][emoji2958]_______________
" With or without religion, good people can behave well and bad people can do evil; but for good people to do evil - that takes religion.
 
Na kiduku nae akubali kudanganywa, hakuna uongo ambao ukweli wake ukajulikana alafu ukadumu, hakuna.



______________[emoji36][emoji2958]_______________
" With or without religion, good people can behave well and bad people can do evil; but for good people to do evil - that takes religion.
 
Ukiwa kwenye chombo cha usafiri huwa unaona miti, nyumba, yaani kwa kifupi vitu vilivyo nje ya usafiri huo, vinatembea in opposite direction. Hapo vipi macho yako pia yanakwambia ni kweli hivyo vitu vinatembea? Unamiss points ya msingi kabisa relativity.

Kwa wale wanaovuka kwa pantoni/ferry fanya utafiti kidogo, jaribu kufumba macho yako wakati pantoni ikiwa kwenye mwendo, je, unaweza kuhisi pantoni ipo kwenye mwendo. Je, unadhani kama ikienda kwa constant speed kwa kasi kubwa sana je, unadhani utahisi tofauti?



______________[emoji36][emoji2958]_______________
" With or without religion, good people can behave well and bad people can do evil; but for good people to do evil - that takes religion.
 
Vipi kuhusu picha za mwezi nazo sio za kweli, je mwezi nao ni flat?.... kama mwezi sio flat kwanin dunia iwe flat?



______________[emoji36][emoji2958]_______________
" With or without religion, good people can behave well and bad people can do evil; but for good people to do evil - that takes religion.
 



______________[emoji36][emoji2958]_______________
" With or without religion, good people can behave well and bad people can do evil; but for good people to do evil - that takes religion.
 
Ww acha utani dunia haiwezi ikaelea kama vipulizo hii dunia ni nzito sana.
Kwahiyo mwezi unaona umeshikiliwa na wapwa zako?



______________[emoji36][emoji2958]_______________
" With or without religion, good people can behave well and bad people can do evil; but for good people to do evil - that takes religion.
 
Sasa kama dunia ni mduara na inaelea angani na muda wote inazunguka kwanini maji ambayo yapo baharini hayamwagiki na wakati huo hayajaganda.
Ni sawa na kuuliza kwanin ukiwa kwenye gari abayo umefunga vioo, nzi anaruka very comfortable in any direction na hajigongi kwenye gari.



______________[emoji36][emoji2958]_______________
" With or without religion, good people can behave well and bad people can do evil; but for good people to do evil - that takes religion.
 
Kasema Mungu au wamesema watu.?



______________[emoji36][emoji2958]_______________
" With or without religion, good people can behave well and bad people can do evil; but for good people to do evil - that takes religion.
 
Yes mwezi tunaweza kusema unafanya spiral movement, kwa sababu baada ya mzunguko mmoja dunia haiwezi kuwa pale inakuwa imesogea kwa almost 1/12 ya length ya orbit yake.. kwa maama every second dunia inasonga mbele so as moon (conservation of momentum).



______________[emoji36][emoji2958]_______________
" With or without religion, good people can behave well and bad people can do evil; but for good people to do evil - that takes religion.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…