Dini ni shambulio la akiliHizi Bible verses zote zinaelezea flatness ya Dunia ni zaidi ya 200 lakini bado wapi watu hamuelewi.View attachment 2855778
Umeniacha hoi kabisa kwenye hotuba ya Hilary ClintonMkuu hakuna kitu kinachoitwa Space ni hoax hao akina Russia, China, NK na US nknk hao lao ni moja tu. Satellites zinashikiliwa na ballons huko juu na ziko kwenye high altitude ambayo wewe ni ngumu kuona. Hakuna anayeweza kuvuka Van allen belt, na hizi satellites zinaanguka sana zikiwa na maballon hili liko wazi kabisa hadi videos zipo huko youtube kama ukitaka naweza kukupa link uzione.
Hakuna kitu kinachoitwa ISIS hakuna aliyewahi kuvuka hii dunia akatoka nje wala kuingia. Mwaka 1961 US waliconduct operation inaitwa “fishbowl” series za nuclear rockets zilitumwa kujaribu kuona kama wanaeza ivunja firmament wakatoka nje ya Dunia lakini walishindwa.
Lakini bado wanaendelea kutuma Rockets zao kila siku kuiharibu firmament ya juu na hii kazi now ipo under Elon.
Haya ni maneno ya Hillary clinton “"Although we weren't able to shatter that highest, hardest glass ceiling this time, thanks to you, it's got about 18 million cracks in it and the light is shining through like never before, filling us all with the hope and the sure knowledge that the path will be a little easier next time," Clinton said in 2008.
Nakutumia video ya Hillary clinton akiongea. Wanajua ukweli kuhusu hii Dunia .
View: https://x.com/exquisite_255/status/1719717108009914836?s=46
Hii ni katuni ya Simpson wanaonesha wana crack ile high glass ceilling, they’re mocking us ndo hivyo akili zetu zimeshiliwa hatuwezi kukaa chini na kufikiria uumbaji wa Mungu.
View: https://youtu.be/ymVgF1ipQ-k?si=02kZyXR7sHqS8TBs
Hatariii yaani kachukua kipande kidogo aje adanganye huku, wakati hotuba ilikuwa inaongelea kitu kingine, na hapo hapo anakwambia ni Siri hawataki tujue Sasa kwanini aseme hadharani😄😄.Umeniacha hoi kabisa kwenye hotuba ya Hilary Clinton
Aisee we jamaa ni kilaza, muongo na huna unalojua zaidi ya kuokoteza na kucopy hekaya za mitandaoni na kuja kupaste hapa 😂😂😂
Mimi nataka anielezee jinsi lunar eclipse inavyotokea Kwa concept yake hiyo, kwanini tusivione vyote Jua na mwezi Kwa pamoja Kwa sabab vipo juu vinazunguka kwenye circle Moja ambayo ni ndogo kuliko Dunia.Umeniacha hoi kabisa kwenye hotuba ya Hilary Clinton
Aisee we jamaa ni kilaza, muongo na huna unalojua zaidi ya kuokoteza na kucopy hekaya za mitandaoni na kuja kupaste hapa 😂😂😂
Majibu yote mtayapata hapahapaMimi nataka anielezee jinsi lunar eclipse inavyotokea Kwa concept yake hiyo, kwanini tusivione vyote Jua na mwezi Kwa pamoja Kwa sabab vipo juu vinazunguka kwenye circle Moja ambayo ni ndogo kuliko Dunia.
BROKE BOYS una uhakika gani dunia imesimama wima kama picha yako inavyoonekana?Hii picha inafanana na hii?? View attachment 2855602
Huwezi kuelewa chief sababu akili yako imeshikwa na MATRIX, Mwaka 1961 US waliconduct operation wakaaita “Fishbowl” series za nuclear rockets zilitumwa ili kuharibu firmament ya juu kuona kama wataweza kutoka nje ya firmament lakini walishindwa. Mpaka sasa wanafanya hii kazi ya kutuma series za rockets sababu hatufuatilii mtu ukimwambiaa haelewi. Clinton yale maneno yalikuwa na message kubwa sana, hata ile cartoon ya simpson ina message kubwa sana ila watu bado hatuelewi😂😂🙌🏿🙌🏿Umeniacha hoi kabisa kwenye hotuba ya Hilary Clinton
Aisee we jamaa ni kilaza, muongo na huna unalojua zaidi ya kuokoteza na kucopy hekaya za mitandaoni na kuja kupaste hapa 😂😂😂
Hiki ndo kile kizazi ambacho kinatazama lakini hakioni, kinasikia lakini hakisikii. Hawa watu wanajua ukweli kuhusu hii Dunia ila ndo hivyo.🙌🏿Hii cartoon unaeza dharau lkn hapa kuna kitu wameonesha ,cha kufikirika km dunia ni duara au flat ...unaeza kupuuza lkn unaeza jiuliza Mhaya
Mkuu kwa akili yako unaona hili linawezekana??BROKE BOYS una uhakika gani dunia imesimama wima kama picha yako inavyoonekana?
Halafu BROKE BOYS unapaswa kuelewa kwamba maji yamechukua sehemu kubwa sana duniani tunaongelea 71% kwahiyo hayo mabara ni vijisehemu vidogo sana, so coverage yake ni ndogo mno na wala haiko kama linavyoonekana bara la africa hapo pichani limetambaa kutoka kusini mpaka kaskazini.Hii picha inafanana na hii?? View attachment 2855602
Soma hii halafu ingia Facebook kam follow jamaa anaitwa Cekam cekamsWazee wa Spinning Ball nina swali hapa. Kama Dunia ni globe maji ya mto nile yanawezaje kupanda mlima kwenda Egypt?? Toka lini maji yakapanda mlima?? Naombeni majibu hapa.
Naona kumbe wewe reasoning yako juu ya hili inaendeshwa na picha zisizo na uhalisia, halafu hivi unafuatiliaga yale matukio yanayotokeaga mara chache chache yanayohusu kuonekana kwa sayari fulani fulani katika muda fulani huko angazi ulishawahi kuona ziko flat au unaziona rounded instead.Mkuu kwa akili yako unaona hili linawezekana??View attachment 2856915
Umeandika maelezo mengi ambayo hayana mantiki. Kwenye point hapo uliposema Gravity inavuta maji juu, kwahiyo gravity inavuta maji juu na sio chini tena 😂😂😂 nyie watu amkeni bwana.Soma hii halafu ingia Facebook kam follow jamaa anaitwa Cekam cekams
Huu ni walaka nilioandika kwenye comment kufuatia post ya ndugu Comred Mbwana Camerôò Allyamtu alipouliza kuhusu mseleleko wa maji ya mto Nile kuelekea Kaskazini alikopaita "Juu"
Nilianza kwa kusema....
Bro, Kaskazini sio Juu.!
Kaskazini ni moja ya pande nne za Dunia zilizobuniwa kwa ajili ya kuonesha uelekeo, Mashariki ni upande kunakochomoza Jua asubuhi, Magharibi ni upande unaozama Jua jioni.
Ukiweka upande wa Mashariki mkono wa kulia wako, Magharibi itakuwa kushoto, Kaskazini itakuwa mbele na kusini itakuwa nyuma, maana yake Kaskazini imeelekea (Anticlockwise) 90° kwenye "First Quadrant" ya nyuzi, Kusini ikiwa 270° (Anticlockwise) kutokea Mashariki kwenye "Third Quadrant"
Hizi ni pande za kuonesha uelekeo sio kuonesha muinuko, juu wala chini.
Unaweza kuwa unaelekea kasikazini lakini unaingia bondeni, na ukawa unaelekea Kusini huku ukipanda mlima.
"Juu" tunayoitaja ni kile kiwango cha urefu kutoka kwenye kiini cha Dunia, ardhi hii tunayokanyaga ipo karibu kilomita 6400 kutoka kwenye (kokwa) kiini cha Dunia, kilomita zinavyozidi kuongezeka tunasema unaenda Juu.
Hivyo ndege uko Juu kuliko mtu aliye kileleni mwa mlima Kilimanjaro, na kilele cha mlima Kilimanjaro kipo juu ukilinganisha na mtu aliye kwenye usawa wa bahari ya Mediterranea, na usawa wa bahari upo juu ya mashimo kwenye machimbo ya madini, kama atatokea mtu kushuka chini kabisa tutasema yuko chini (Ardhini)
Hivyo kaskazini kule kwenye usawa wa bahari ya Mediterranea kupo "Chini" ukilinganaisha na Safu za milima ya ukanda wa Ikweta, na hii picha yako ndiyo inakufunga kabisa ikidhibitisha dunia kuwa Duara.
Kwa sababu kama Dunia isingekuwa Duara, basi maji yote yangemwagika Kusini kwa namna unavyosema, au kama yote yanaelekea Kasikazini (kulingana na picha yako) tusingetegemea Kusini kuwe kuna Maji.
Ila kwa kuwa Dunia ni Duara, basi gravity imekuwa distributed kila point ya Sphere kuvuta vitu "Chini"
Chini namaanisha kule kwenyemkiini cha Dunia, katikati ya ule "mpira".
Kwa namna mpira ulivyo, ukiukata katika nusu mbili kunakuwa na kipenyo (Diameter) kubwa kuliko ukichana slice ndogo kule Kasikazini.
Hivyo kwenye ukanda wa Ikweta Dunia, kama mpira, **** mnofu mkubwa wa kuunda kipenyo kikubwa, na unavyozidi kwenda Kaskazini au Kusini ule mduara wa Slice unapungua, assume kama unakata mkate wenye umbo la mpira.
Kule unakokuita juu (kaskazini) utaona umbali wake kuelekea kwenye kitovu unapungua, hii inasababisha kwenye eneo la katikati kuwe "juu" wakati kule kwenye ncha kuwe "chini"
Ukiangalia katika tafiti za kisayansi za umbo la dunia, inaonekana urefu wa kutoka kwenye kiini hadi kwenye Ikweta ni kitu kama kilomita 6400 wakati kutoka kwenye kiini kuelekea pole yoyote iwe South au North urefu ule unapungua, kitu kama 6250Km.
Hii inafanya kwenye ukanda wa Ikweta kuwa Juu na kwenye ncha za Kusini na Kasikazini kuwe Chini.
"Chini" ukiwa umesimama ni ile point iliyo chini ya miguu yako, kuelekea ardhini au tuseme kuzimu, kwenye kiini cha Dunia, "Juu" ni ile point ya juu ya kichwa chako kuelekea Angani.
Yes, Ni gravity inayovuta hayo Maji kutoka Victoria kwenda Mediterranea, surprisingly nenda angalia mto Mississippi wa Marekani.! Ili kuchanya zaidi angalia mto Themes wa Uingereza.
Gravity ni kani ya uvutano yenye asili yake kwenye kiini cha Dunia (tutaiongelea kimapana siku nyingine) Kani hii huvuta vitu vyote kwenye kiini cha Dunia, kule Chini.!
Kwa hiyo sehemu yeyote iloyoinuka Juu kidogo ya usawa wa bahari (6400km) basi chini yake ni ile point kuelekea ardhini.
Mediterranean Sea iko chini kuelekea center ya Dunia ukilinganisha na Victoria Highlands zilizo kwenye ukanda wa Ikweta.
Gravity ikianza kuvuta Maji, naturally tu maji yatatafuta mseleleko uko wapi kufuata point ya Chini kuelekea kwenye kiini cha gravity, hii haijalishi kama chini ni Kasikazini au Mashariki.
*****
Niongezee kitu... Dunia ni Duara.!
Vipo vithibitisho vingine vingi kuwa dunia ni Duara kinachoharibu ni watu wanaosema Dunia sio Duara hawana vidhibitisho, wao wanajitahidi kukanusha vithibitisho vinayosema Dunia ni Duara.
Tunataka vithibitisho vya kuwa Dunia ni Bapa (flat) na isewe kusema Dunia sio Duara.
Maana kama Dunia sio Duara (mpira/ Sphere) basi kuna umbo lingine wanalotaja inaweza kuwa pembenne, mche mraba, mche pembetatu, Bapa au vyovyote.
Wao wanasema Bapa, wengine bapa kwa mfumo wa Saani, wengine wanasema ni bapa kwa mfumo wa mcheduara. Sasa tunataka vithibitisho vya Dunia kuwa Bapa.
Sio kuja na namna ya kukanusha.!
Kwa kutumia mseleleko wa maji na mpangilio wa vyanzo vya maji vikubwa Duniani kama bahari Dunia inaonekana kuwa Duara, maana kama ingekuwa Flat basi kuna sehemu tungepata ukingo ulioshikilia maji.
Lakini kwa kuwa Dunia ni Duara, na Kani ya gravity inashikilia kila kitu kuelekea katikati basi maji yote yanavutwa kwenye kiini yasimwagike,
Maji hutoka sehemu iliyoinuka mfano nyanda za Maziwa makuu ya miinuko ya Ikweta na kuvutwa Chini kwenye usawa wa bahari ulio bondeni, usawa wa Bahari haijalishi uko Kasikazini, kusini au Mashariki.
Maji yanafata mseleleko wa gravity.!
Cekam Cekam's
Hakuna sayari mkuu sile ni wondering stars, amekeni asee. Mtaendelea kudanganywa mpaka lini??Naona kumbe wewe reasoning yako juu ya hili inaendeshwa na picha zisizo na uhalisia, halafu hivi unafuatiliaga yale matukio yanayotokeaga mara chache chache yanayohusu kuonekana kwa sayari fulani fulani katika muda fulani huko angazi ulishawahi kuona ziko flat au unaziona rounded instead.
Huwezi kuelewa chief sababu akili yako imeshikwa na MATRIX, Mwaka 1961 US waliconduct operation wakaaita “Fishbowl” series za nuclear rockets zilitumwa ili kuharibu firmament ya juu kuona kama wataweza kutoka nje ya firmament lakini walishindwa. Mpaka sasa wanafanya hii kazi ya kutuma series za rockets sababu hatufuatilii mtu ukimwambiaa haelewi. Clinton yale maneno yalikuwa na message kubwa sana, hata ile cartoon ya simpson ina message kubwa sana ila watu bado hatuelewi😂😂🙌🏿🙌🏿
Hivi unajua Hilary Clinton alisema hayo akiwa kwenye tukio gani mkuu?Huwezi kuelewa chief sababu akili yako imeshikwa na MATRIX, Mwaka 1961 US waliconduct operation wakaaita “Fishbowl” series za nuclear rockets zilitumwa ili kuharibu firmament ya juu kuona kama wataweza kutoka nje ya firmament lakini walishindwa. Mpaka sasa wanafanya hii kazi ya kutuma series za rockets sababu hatufuatilii mtu ukimwambiaa haelewi. Clinton yale maneno yalikuwa na message kubwa sana, hata ile cartoon ya simpson ina message kubwa sana ila watu bado hatuelewi😂😂🙌🏿🙌🏿
Duh! ila wee jamaa, kudanganywa kwa lengo gani labda?Hakuna sayari mkuu sile ni wondering stars, amekeni asee. Mtaendelea kudanganywa mpaka lini??
Mkuu, jana nikikuuliza maswali kama matatu kama sio manne, nikakupa na link 3 za youtube ambapo moja ni short video (zile za sekunde kadhaa) na mbili ni ndefu moja ina dakika 4 nyingine kama 15 hivi, ulizicheki? Yale maswali unaweza jibu.View attachment 2856978View attachment 2856980View attachment 2856982View attachment 2856983GRAVITY NI HOAX
Kwanza kabisa nataka nikwambie kuwa GRAVITY HAIPO! na haijawahi kuwepo hapa duniani toka kuumbwa Kwa hii dunia. TUNAPANGWA SANA! Yes najua inasound crazy! Twende taratibu 👇
GRAVITY sio force halisi, ni kitu cha kufikirika tulichoingiziwa kwenye akili zetu tu! Concept ya Gravity ililetwa ili kujustify uongo wa BIG BANG THEORY, kuwa Dunia ni a spinning ball inayosafiri na madude mengine mengi kwenye space bila vitu vyote hivi kuanguka!
Na bila huu uongo wa GRAVITY tungehoji kwanini Dunia inasafiri kwenye space Kwa speed ya 66000 miles per hour na bado hatuanguki? Wangekosa jibu! Tungehoji kwanini maji yanajikunja kwenye lile limpira? Wangekosa jibu! Tungehoji kwanini maji yanahitaji container na siku zote yanatafuta level yake huo ndio uhalisia kitu ambacho kwenye lile li sphere la Globe hakiezekani? Wangekosa jibu! Mwisho wa siku BIG BANG ingekua fake! So wakaamua wainstall theory inaitwa GRAVITY kwenye akili zetu na wakafanikiwa.
Ukweli ni kwamba GRAVITY ni illusion iliojadiliwa na kupangwa tu na akachaguliwa mtu mmoja kujifanya ndio mgunduzi then akapresent GRAVITY, CALCULUS NA TRIGONOMETRY. Masonic master alietumiwa kuigiza kama mtu wa kwanza kugundua theory ya gravity (NEWTON) hata yeye hakuwahi kuweza kuelezea vizuri theory yake wala kuiprove na haijawahi kuwa proved wala haitawahi maana hakuna hicho kitu.
Gravity kwenye MATH MODEL haiapply kabisa na imeumbuliwa mara nyingi tu na kuonekana ni ya UONGO na watu wenye akili na hekima!
Hata general theory ya relativity by Einstein, ilipojaribiwa kutumika kupresent GRAVITY FORMULA geometrically, iligeuka kuwa 4 dimension space time. Inaonesha vitu haviendeshwi na force ya GRAVITY, ila ni sababu viko hewani kwenye curved region around space time inayofanya viwe kama an illusion ya attraction force! (Ona hata wao tu wanapingana)
Tangu watoto tunafundishwa kuhusu GRAVITY, hiyo ni moja ya installations ya system ya MATRIX kwenye ubongo wa mtoto wakijua anachoshika mtoto mara ya kwanza ndio ataishi nacho, hiyo system anakua nayo mpaka anakua mzee na ni ngumu sana kuiuninstall kuingiza kitu kingine ambacho ndio TRUTH!
Hakuna Gravity means hakuna BIG BANG, Kuna FLAT ROUND SURFACED EARTH WITH A DOME na vitu vinavyosaidia Kila kitu kina operate ni vitatu tu; DENSITY, BUOYANCY NA ELECTROSTATIC! Na hivi vyote vitatu vimekua proved a million times unlikely GRAVITY!
The thing is, Kama kitu ni kizito kuliko hewa lazima kitadondoka chini (DENSITY), na kama kitu ni chepesi kuliko hewa lazima kitaelea (BUOYANCY).
Lakini pia kitu chenye negative charges na kitu chenye positive charges lazima vinavutana kukutana pamoja Right? Ok Ground ya Dunia ina Neutral negative charges all around na kitu chochote above the ground kina positive charges na inaatract each Kila kitu kinachotuzuguka ni electric hata mwili wa binadamu. So Kila kitu kina seak equilibrium kwenye ground level based to the ELECTROSTATIC.
Sasa hivi vyote: Density, Buoyancy na Electrostatic! Nenda katafute hata kwenye page za hao hao watu unaowaamini vimekua proved scientifically, practically na theoretically mara mamilioni. Lakini Cha kushangaza hakuna sehemu nimewahi ona GRAVITY imekuaje proved tofauti na theoretically kwenye makaratasi tu! SHTUKA!
Wanafahamu na wanajua ila wameficha ukweli. Kukuingizia mitazamo ya kukuweka mbali na MUNGU wa kweli MUUMBAJI wako subconsciously!
HAKUNA GRAVITY, HAKUNA BIG BANG, DUNIA NI FLAT, HAITEMBEI IKO STATIC TUKO NDANI YA GOD'S FIRMAMENT!View attachment 2856976
Yani kaka unacheka wakati jana umetuuliza kwanini maji yanatoka uganda yanapanda juu kwenda misri,Umeandika maelezo mengi ambayo hayana mantiki. Kwenye point hapo uliposema Gravity inavuta maji juu, kwahiyo gravity inavuta maji juu na sio chini tena 😂😂😂 nyie watu amkeni bwana.
Nakupa task mwaga maji nje unakoishi afu leta majibu hapa maji yataelekea uelekeo upi??.