Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
Nina vitu vingi vya kujibu humu ndani. Kesho niko free nitakujibu, nimesave reply usiwe na wasiwasi. Muda sio rafiki mambo ni mengi.Mkuu, jana nikikuuliza maswali kama matatu kama sio manne, nikakupa na link 3 za youtube ambapo moja ni short video (zile za sekunde kadhaa) na mbili ni ndefu moja ina dakika 4 nyingine kama 15 hivi, ulizicheki? Yale maswali unaweza jibu.
NYongeza ni maajabu mtu mzima kupinga gravity, physics ipo wazi kama hutojali advance ulisoma physics?
Kutoka Uganda mpaka Egypt sio globe tena. Unarudi kwenye Flat πYani kaka unacheka wakati jana umetuuliza kwanini maji yanatoka uganda yanapanda juu kwenda misri,
Nikakuuliza altitude structure ya kutoka uganda mpaka misti unafahamu hukujibu,
Kwamba wewe unadhani north ni mlimani south ni bondeni mkuu?
Wewe jamaa kuna kitu hielewi nakuuliza altitude unafahamu ni nini?Kutoka Uganda mpaka Egypt sio globe tena. Unarudi kwenye Flat π
Ndioo, zamani watu walijua Dunia ni flat, lakini gunduzi zinakuwa updated Kila siku na ndio maana baada ya hapo wakaja wakasema Dunia ni sphere, lakin mambo yamechange zaidi wakagundua Dunia sio exactly sphere Bali ni ellipsoid, kwahy tafiti Bado zinaendelea zaidi ila huko kwenye flat wameshatoka zamani sana sijui ww umeshikishwa nn?,Wenzenu toka 1897 wanajua ukweli kuhusu the Flat Earth. NASA ndo wamekuja kushika kushika akili za watu subconsciously.View attachment 2856895
Alafu vingne unavirukaaππ umetutumia clip ya Hillary nimekuonesha hiyo hotuba alikuwa anaongelea nn lkn umejikalisha kimya na uongo wako, pili niambie how eclipses zinatokea.Nina vitu vingi vya kujibu humu ndani. Kesho niko free nitakujibu, nimesave reply usiwe na wasiwasi. Muda sio rafiki mambo ni mengi.
Naww nikikuuliza hiyo Dunia yako tambarare imeshikiliwa na nn utanambia? (umekataa uwepo wa gravity).Mkuu kwa akili yako unaona hili linawezekana??View attachment 2856915
2023 flat earth wanatoa wapi ujasiri hawaπ€£Naww nikikuuliza hiyo Dunia yako tambarare imeshikiliwa na nn utanambia? (umekataa uwepo wa gravity).
2023 flat earth wanatoa wapi ujasiri hawa[emoji1787]
Dunia ni flat. Siri kubwa wanayo nasa, ndo maana maswala ya anga ni mataifa matano tu ndo yanaruhusiwa kusomea. Dunia ina kingo, ingekuwa duara ndege ya kutoka australia ingepitia upande wa pili hadi marekani ila ndege zote zinapita bara la afrika kwenda marekani.Ndioo, zamani watu walijua Dunia ni flat, lakini gunduzi zinakuwa updated Kila siku na ndio maana baada ya hapo wakaja wakasema Dunia ni sphere, lakin mambo yamechange zaidi wakagundua Dunia sio exactly sphere Bali ni ellipsoid, kwahy tafiti Bado zinaendelea zaidi ila huko kwenye flat wameshatoka zamani sana sijui ww umeshikishwa nn?,
Kwanza jibu uongo wako wa hiyo hotuba ya Hillary[emoji1].
Mkuu salama? Nakujibu kuhusu video zako za post No. 1001 & 1005 kwanza utambue hatuko hapa kubishana ila kupeana ukweli wa hii Dunia tunayoishi.
Video ulizonitumia niangalie nimeelezea sana lakini naona bado huelewi, sawa ngoja nirudie tena kwa mara nyingine. Acha tuanze na video ya No. 1003 then tumalizie No.1005
Mkuu nina swali kwako, ni nini maana ya straight line? Hii ni straight line au curved line?.
Unajua maana ya straight line?
View attachment 2859359View attachment 2859360
Hii ndo strait line na ndege zote za Alaska kutoka Asia lazima zipite Anga la Russia. Kuzunguka na ndege kama video inavyoonesha ilibidi apitie Antarctica na kitu ambacho hakiwezekani , katumia janjajanja tu kwenye kuelezea kairuka antartica maana anajua watu wangehoji, fatilia hata comments za wadau humo wamemkatalia.
View attachment 2859361View attachment 2859362
Hio juu ndo ramani ya Flat earth ambayo Rubani wote wa ndege wanaitumia kwasababu ndo uhalisia wa hii Dunia yetu.
Good news kuna comment ya Elon hapo, actually he knows the truth angalia reply yake hapo chini amekuwa surprised maana wanajua ukweli wa hii Dunia. Amka ndugu tunadanganywa sana.
βWhoaβ
οΏΌοΏΌ
Nyingine hio
οΏΌ
οΏΌ
(2)
Video ya Pili maelezo yake hayana utofauti na juu, Why planes fly on a curve?
Kwanza tambua hakuna Curve na Dunia ni flat, hizo ni janja zao katika kuendelea kuwaaminisha kwamba kweli Dunia ni globe, kwanini nasema sio? Ok twende taratibu
Dunia ingekuwa ina curve kusingekuwa na Auto piloting, kumbuka ndege inanjia yake na ni straight. Autopilot haifanyi kazi kwenye curve.
Maelezo yote aliyotoa anaficha kusema ukweli kwamba the "curved" line is actually a straight path in reality. Ndomana Pilots wote Duniani wanatumia βFlat Earth Mapβ na sio globe Map, na hii ndo reality japo mnakuwa wagumu sana kuelewa.
Kitu kingine cha kukumbuka βMagnetic Northβ inafanyaje kazi kwenye globe? ni totally impossible amkeni fanyeni research. Kabla ya yote inatakiwa ujue kwanza sababu ya kukudanganya kuhusu ukweli wa Dunia, hapa utapata mwanga wa kudig deep zaidi.
Basi hata hiyo clip hujaelewaMkuu nina swali kwako, ni nini maana ya straight line? Hii ni straight line au curved line?.
Unajua maana ya straight line
Hapo umemtumia elon musk kwamba anafahamu dunia ni flat, vipi mission zake za rocket nazo unakubaliana nae? Au msimamo uko wapiDunia ni flat. Siri kubwa wanayo nasa, ndo maana maswala ya anga ni mataifa matano tu ndo yanaruhusiwa kusomea. Dunia ina kingo, ingekuwa duara ndege ya kutoka australia ingepitia upande wa pili hadi marekani ila ndege zote zinapita bara la afrika kwenda marekani.
Kwa kuwa watu wengi tuna elimu ya geography tuliyofundishwa darasani hata sababu za kutetea sphericity huwa tunatoa huko.
Mfano
Kuna ishu ya the earth curve horizon na ship visibility inayofanya hivyo ni shape ya lense ya jicho la binadamu mtu anaweza akaprove mwenye bila hata kwenda angani
Pia picha za angani nyingi ni za kutengeneza
Dunia haizunguki, ukitaka kuamini angalia anga kila siku nyota zinakuwa katika shape na position ile ile. Shape of the earth nilitumia kujibia maswali tu darasani lakini ukweli nimeisha ujua.
Naww ni NASA maana Siri wanayo NASADunia ni flat. Siri kubwa wanayo nasa, ndo maana maswala ya anga ni mataifa matano tu ndo yanaruhusiwa kusomea. Dunia ina kingo, ingekuwa duara ndege ya kutoka australia ingepitia upande wa pili hadi marekani ila ndege zote zinapita bara la afrika kwenda marekani.
Kwa kuwa watu wengi tuna elimu ya geography tuliyofundishwa darasani hata sababu za kutetea sphericity huwa tunatoa huko.
Mfano
Kuna ishu ya the earth curve horizon na ship visibility inayofanya hivyo ni shape ya lense ya jicho la binadamu mtu anaweza akaprove mwenye bila hata kwenda angani
Pia picha za angani nyingi ni za kutengeneza
Dunia haizunguki, ukitaka kuamini angalia anga kila siku nyota zinakuwa katika shape na position ile ile. Shape of the earth nilitumia kujibia maswali tu darasani lakini ukweli nimeisha ujua.
Nakupa task,Dunia ni flat. Siri kubwa wanayo nasa, ndo maana maswala ya anga ni mataifa matano tu ndo yanaruhusiwa kusomea. Dunia ina kingo, ingekuwa duara ndege ya kutoka australia ingepitia upande wa pili hadi marekani ila ndege zote zinapita bara la afrika kwenda marekani.
Kwa kuwa watu wengi tuna elimu ya geography tuliyofundishwa darasani hata sababu za kutetea sphericity huwa tunatoa huko.
Mfano
Kuna ishu ya the earth curve horizon na ship visibility inayofanya hivyo ni shape ya lense ya jicho la binadamu mtu anaweza akaprove mwenye bila hata kwenda angani
Pia picha za angani nyingi ni za kutengeneza
Dunia haizunguki, ukitaka kuamini angalia anga kila siku nyota zinakuwa katika shape na position ile ile. Shape of the earth nilitumia kujibia maswali tu darasani lakini ukweli nimeisha ujua.
Unaaonekana kilaza Sana ..maelezo ya huyo jamaa yamejitosheleza Kama hata physics ya form two unayoUmeandika maelezo mengi ambayo hayana mantiki. Kwenye point hapo uliposema Gravity inavuta maji juu, kwahiyo gravity inavuta maji juu na sio chini tena πππ nyie watu amkeni bwana.
Nakupa task mwaga maji nje unakoishi afu leta majibu hapa maji yataelekea uelekeo upi??.
Kazi sana kumuelewesha huyu jamaa, kwanza hajajibu uongo wake kuhusu hotuba ya Hillary πUnaaonekana kilaza Sana ..maelezo ya huyo jamaa yamejitosheleza Kama hata physics ya form two unayo
Simply. Gravity inavuta vitu vyote kuelekeza kwenye kiini Cha tufe dunia kwa hiyo kadiri unavyotoka usawa was bahari unazidi kupanda mwinuko Sasa ukimwaga maji kwenye mwinuko lazima yatavutwa kuelekea usawa was bahari
Na ndiyo maana Tanki laa maji likipandishwa juu huhitaji mashine kuyatoa maji tankini. Unadhani Nini kinayavuta Yale maji?
Kama hizo nyota ulikua unaziona mda fulani usiku, ungejaribu kuamka masaa 3-5 mbele uangalie kama hizo nyota utaziona tena zikiwa pale paleHii elimu yenu huwa inanizingua tu
Class teacher anadai dunia inazunguka yenyewe na inajizunguka jua
Ajabu mwaka wa Saba kila nikiingia kulala kuna nyota mbili zinaonekana upande wa kusini mashariki mwa chumbani kwangu; hazijawai kuhama wala kwenda kokote kutokana na kuathiriwa na mjongeo wa Dunia , nikawaza au nazo zinahama sambamba na Dunia?
Mimi hapana najiongeza pia lakini mbona inasemekana nyota ni kubwa kuliko Dunia iweje Dunia iendeshe nyota, thou Mwl hakusema mjongeo wa nyota kama upo pamoja na kuzungumza mambo ya galaxy!
Nikifika hapo huwa simwamini mtu wala vyeti vyangu ila akili yangu mwenyewe
Nb ule utafiti wa vichaa; kama tungemchukua Plato ; Einstein ; Socrates na akina newton inawezekana watatu wao walikuwa vichaa katika level za juu na ndio maana tumekalili nyimbo zao weee bila hata kuwaza; wasomi wote ni at the lowest levels
Wapi waliprove scientifically kuwa juu Kuna molten glass firmament? Au unatupiga kambaHakuna curve hapo hio juu ni molten glass firmament ambayo imeifunika dunia na juu ni maji. Soma vizuri genesis, mkuu mimi natumia bible na pia hata scientifically viko proved labda wewe useme dunia ilitokea wapi? Pamoja na jua na mwezi kama huamini bible. Mimi naamini Mungu yupo na ndo muumba wa hii dunia, kma wewe unaamini science prove Dunia ilikotokea.
Nyota haziwi kwenye position ile ile, Hilo nmechunguza mimi mwenyewe..Dunia ni flat. Siri kubwa wanayo nasa, ndo maana maswala ya anga ni mataifa matano tu ndo yanaruhusiwa kusomea. Dunia ina kingo, ingekuwa duara ndege ya kutoka australia ingepitia upande wa pili hadi marekani ila ndege zote zinapita bara la afrika kwenda marekani.
Kwa kuwa watu wengi tuna elimu ya geography tuliyofundishwa darasani hata sababu za kutetea sphericity huwa tunatoa huko.
Mfano
Kuna ishu ya the earth curve horizon na ship visibility inayofanya hivyo ni shape ya lense ya jicho la binadamu mtu anaweza akaprove mwenye bila hata kwenda angani
Pia picha za angani nyingi ni za kutengeneza
Dunia haizunguki, ukitaka kuamini angalia anga kila siku nyota zinakuwa katika shape na position ile ile. Shape of the earth nilitumia kujibia maswali tu darasani lakini ukweli nimeisha ujua.
Tabu kweli kweliπ, mbona hajawahi kujiuliza kwann Kila saa 2 asubuh Jua linakuwa pale pale.Kama hizo nyota ulikua unaziona mda fulani usiku, ungejaribu kuamka masaa 3-5 mbele uangalie kama hizo nyota utaziona tena zikiwa pale pale