Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
Wapi waliprove scientifically kuwa juu Kuna molten glass firmament? Au unatupiga kamba
N.B usituletee link uchwara za YouTube tupe link ikiwezekana tupate na vitabu na hizo experiments walizofanya
Bro, vipi kuhusu uongo wako wa Ile hotuba ya Hillary 😄, nimekwambia niambie jinsi lunar phases zinatokea na lunar eclipses naona kimyaa😄😄View attachment 2860229
Fatilia vizuri hapa hizo organization zote utapata majibu.
Dunia ni flat. Siri kubwa wanayo nasa, ndo maana maswala ya anga ni mataifa matano tu ndo yanaruhusiwa kusomea. Dunia ina kingo, ingekuwa duara ndege ya kutoka australia ingepitia upande wa pili hadi marekani ila ndege zote zinapita bara la afrika kwenda marekani.
Kwa kuwa watu wengi tuna elimu ya geography tuliyofundishwa darasani hata sababu za kutetea sphericity huwa tunatoa huko.
Mfano
Kuna ishu ya the earth curve horizon na ship visibility inayofanya hivyo ni shape ya lense ya jicho la binadamu mtu anaweza akaprove mwenye bila hata kwenda angani
Pia picha za angani nyingi ni za kutengeneza
Dunia haizunguki, ukitaka kuamini angalia anga kila siku nyota zinakuwa katika shape na position ile ile. Shape of the earth nilitumia kujibia maswali tu darasani lakini ukweli nimeisha ujua.
Dunia ni flat. Siri kubwa wanayo nasa, ndo maana maswala ya anga ni mataifa matano tu ndo yanaruhusiwa kusomea. Dunia ina kingo, ingekuwa duara ndege ya kutoka australia ingepitia upande wa pili hadi marekani ila ndege zote zinapita bara la afrika kwenda marekani.
Kwa kuwa watu wengi tuna elimu ya geography tuliyofundishwa darasani hata sababu za kutetea sphericity huwa tunatoa huko.
Mfano
Kuna ishu ya the earth curve horizon na ship visibility inayofanya hivyo ni shape ya lense ya jicho la binadamu mtu anaweza akaprove mwenye bila hata kwenda angani
Pia picha za angani nyingi ni za kutengeneza
Dunia haizunguki, ukitaka kuamini angalia anga kila siku nyota zinakuwa katika shape na position ile ile. Shape of the earth nilitumia kujibia maswali tu darasani lakini ukweli nimeisha ujua.
Hapo umemtumia elon musk kwamba anafahamu dunia ni flat, vipi mission zake za rocket nazo unakubaliana nae? Au msimamo uko wapi
Nakupa task,
Nielezee jinsi Gani eclipses zinatokea, nielezee jinsi lunar phases zinatokea,
View attachment 2859538
Unaaonekana kilaza Sana ..maelezo ya huyo jamaa yamejitosheleza Kama hata physics ya form two unayo
Simply. Gravity inavuta vitu vyote kuelekeza kwenye kiini Cha tufe dunia kwa hiyo kadiri unavyotoka usawa was bahari unazidi kupanda mwinuko Sasa ukimwaga maji kwenye mwinuko lazima yatavutwa kuelekea usawa was bahari
Na ndiyo maana Tanki laa maji likipandishwa juu huhitaji mashine kuyatoa maji tankini. Unadhani Nini kinayavuta Yale maji?
Hiyo operation fishbowl ilikuwa ni nuclear weapon test.View attachment 2860229
Fatilia vizuri hapa hizo organization zote utapata majibu.
Nilikuuliza hapo nyuma kama gravity ni hoax, nambie hii Dunia yako flat isiyo na gravity imeshikiliwa na nini?Gravity ni Hoax, amkeni asee mtaendelea kudanganywa mpaka lini?.
Kazi sana kumuelewesha huyu jamaa, kwanza hajajibu uongo wake kuhusu hotuba ya Hillary [emoji1]
Nini kinamfanya mtu awe na sifa za kushiriki katika udanganyifu huu?
1. Kutokuwa na elimu ya msingi ya sayansi na maarifa ya ulimwengu asilia.
2. Kuamini moja au zaidi ya nadharia za njama maarufu (kama vile chemtrails au udanganyifu wa kutua kwa mwezi).
3. Hamu ya kuwa sehemu ya kundi lenye utata ambalo "linajua mambo."Kutokuwa na imani kubwa na serikali (au mamlaka yoyote, kwa kweli).
4. Tabia ya kuwa na urahisi kuaminishwa, au kushawishika kwa madai ya kipumbavu (kuangukia kwenye madai ya wachawi).
5. Kuamini katika ukweli wa Biblia na uumbaji wa dunia kwa kufuata maandiko kwa ufasaha.
5. Kukataa kuchunguza ushahidi wowote unaoweza kwenda kinyume na imani zao imara.
6. Ubunifu wa kutunga madai ya kichekesho yanayojaribu kuelezea mapungufu ya mfano wa dunia kuwa tambarare.Baadhi ya wanaodai dunia ni tambarare, wanapoona ongezeko la umaarufu wa nadharia hiyo, wanachochewa kutafuta faida kwa kuanzisha vituo vya YouTube vinavyoleta mapato kupitia matangazo.Asilimia fulani ya wanaodai dunia ni tambarare hawaamini kwa kweli wanayoyachimba, lakini ikiwa inaweka dola kadhaa mfukoni mwao, kwa kutojali wanajaribu kuwashawishi wote wanaosikiliza kwamba tumedanganywa na mamlaka kwa mamia ya miaka. Kwa kujifanya hivyo, ni kwa dhihaka kwamba wanaodai dunia ni tambarare ndio wenye udanganyifu.View attachment 2860099
Sijui Dunia imetokea wapi lakini ninauhakika Dunia ni Duara.Wewe unaamini sayansi mimk naamini katika bible. Naomba niambie Dunia ilitokea wapi?
Nilikuuliza hapo nyuma kama gravity ni hoax, nambie hii Dunia yako flat isiyo na gravity imeshikiliwa na nini?
Siku izi rocket zinarudi kambini mkuuUnaijua Bermuda Triangle? Bhasi rocket zote zinaangukia hapa na ni siri kubwa sana.
Hiyo operation fishbowl ilikuwa ni nuclear weapon test.
Yaani Bado umewaweka na NASA wakati umesema ndo wanatuficha?View attachment 2860229
Fatilia vizuri hapa hizo organization zote utapata majibu.
Sijui hata kama inalindwa, na haitakuwa sehem ya kwanza kulindwa Kuna Area 51 pia nasikia. Kwahy haiwezi kuwa sabab ya Dunia kuwa Duara. Haya jibu swali languNilikuuliza swali mpaka leo hujajibu, unajua sababu ya kulindwa kwa Antartica?
Bro, vipi kuhusu uongo wako wa Ile hotuba ya Hillary [emoji1], nimekwambia niambie jinsi lunar phases zinatokea na lunar eclipses naona kimyaa[emoji1][emoji1]
Sa nifanye research zipi? There are too many conspiracies kwenye mambo yanayoendelea hapa dunianiWake up mzee, Fanya Research ujue ukweli
View attachment 2860227View attachment 2860228
Hata uliangalia hizo picha za sunrise, unaona ni wazi kabisa Dunia ni Duara, mwanga wa Jua unamulika mawingu Kwa chini while Jua halionekani,