Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Wapi waliprove scientifically kuwa juu Kuna molten glass firmament? Au unatupiga kamba
N.B usituletee link uchwara za YouTube tupe link ikiwezekana tupate na vitabu na hizo experiments walizofanya

IMG_4920.jpg

Fatilia vizuri hapa hizo organization zote utapata majibu.
 
Screenshot_20240102-180116.png
20240102_180225.jpg

Hata uliangalia hizo picha za sunrise, unaona ni wazi kabisa Dunia ni Duara, mwanga wa Jua unamulika mawingu Kwa chini while Jua halionekani,
 
Dunia ni flat. Siri kubwa wanayo nasa, ndo maana maswala ya anga ni mataifa matano tu ndo yanaruhusiwa kusomea. Dunia ina kingo, ingekuwa duara ndege ya kutoka australia ingepitia upande wa pili hadi marekani ila ndege zote zinapita bara la afrika kwenda marekani.
Kwa kuwa watu wengi tuna elimu ya geography tuliyofundishwa darasani hata sababu za kutetea sphericity huwa tunatoa huko.
Mfano
Kuna ishu ya the earth curve horizon na ship visibility inayofanya hivyo ni shape ya lense ya jicho la binadamu mtu anaweza akaprove mwenye bila hata kwenda angani


Pia picha za angani nyingi ni za kutengeneza

Dunia haizunguki, ukitaka kuamini angalia anga kila siku nyota zinakuwa katika shape na position ile ile. Shape of the earth nilitumia kujibia maswali tu darasani lakini ukweli nimeisha ujua.

Waambie ukweli mkuu maana vijana wameshikwa Akili hawataki kufuatilia ukweli.
 
Dunia ni flat. Siri kubwa wanayo nasa, ndo maana maswala ya anga ni mataifa matano tu ndo yanaruhusiwa kusomea. Dunia ina kingo, ingekuwa duara ndege ya kutoka australia ingepitia upande wa pili hadi marekani ila ndege zote zinapita bara la afrika kwenda marekani.
Kwa kuwa watu wengi tuna elimu ya geography tuliyofundishwa darasani hata sababu za kutetea sphericity huwa tunatoa huko.
Mfano
Kuna ishu ya the earth curve horizon na ship visibility inayofanya hivyo ni shape ya lense ya jicho la binadamu mtu anaweza akaprove mwenye bila hata kwenda angani


Pia picha za angani nyingi ni za kutengeneza

Dunia haizunguki, ukitaka kuamini angalia anga kila siku nyota zinakuwa katika shape na position ile ile. Shape of the earth nilitumia kujibia maswali tu darasani lakini ukweli nimeisha ujua.

IMG_4914.jpg


Tweet ya Elon hii, ila aliifuta.
 
Hapo umemtumia elon musk kwamba anafahamu dunia ni flat, vipi mission zake za rocket nazo unakubaliana nae? Au msimamo uko wapi

Unaijua Bermuda Triangle? Bhasi rocket zote zinaangukia hapa na ni siri kubwa sana.
 
Unaaonekana kilaza Sana ..maelezo ya huyo jamaa yamejitosheleza Kama hata physics ya form two unayo
Simply. Gravity inavuta vitu vyote kuelekeza kwenye kiini Cha tufe dunia kwa hiyo kadiri unavyotoka usawa was bahari unazidi kupanda mwinuko Sasa ukimwaga maji kwenye mwinuko lazima yatavutwa kuelekea usawa was bahari
Na ndiyo maana Tanki laa maji likipandishwa juu huhitaji mashine kuyatoa maji tankini. Unadhani Nini kinayavuta Yale maji?

Gravity ni Hoax, amkeni asee mtaendelea kudanganywa mpaka lini?.
 
Kazi sana kumuelewesha huyu jamaa, kwanza hajajibu uongo wake kuhusu hotuba ya Hillary [emoji1]

Nini kinamfanya mtu awe na sifa za kushiriki katika udanganyifu huu?

1. Kutokuwa na elimu ya msingi ya sayansi na maarifa ya ulimwengu asilia.

2. Kuamini moja au zaidi ya nadharia za njama maarufu (kama vile chemtrails au udanganyifu wa kutua kwa mwezi).

3. Hamu ya kuwa sehemu ya kundi lenye utata ambalo "linajua mambo."Kutokuwa na imani kubwa na serikali (au mamlaka yoyote, kwa kweli).

4. Tabia ya kuwa na urahisi kuaminishwa, au kushawishika kwa madai ya kipumbavu (kuangukia kwenye madai ya wachawi).

5. Kuamini katika ukweli wa Biblia na uumbaji wa dunia kwa kufuata maandiko kwa ufasaha.

5. Kukataa kuchunguza ushahidi wowote unaoweza kwenda kinyume na imani zao imara.

6. Ubunifu wa kutunga madai ya kichekesho yanayojaribu kuelezea mapungufu ya mfano wa dunia kuwa tambarare.Baadhi ya wanaodai dunia ni tambarare, wanapoona ongezeko la umaarufu wa nadharia hiyo, wanachochewa kutafuta faida kwa kuanzisha vituo vya YouTube vinavyoleta mapato kupitia matangazo.Asilimia fulani ya wanaodai dunia ni tambarare hawaamini kwa kweli wanayoyachimba, lakini ikiwa inaweka dola kadhaa mfukoni mwao, kwa kutojali wanajaribu kuwashawishi wote wanaosikiliza kwamba tumedanganywa na mamlaka kwa mamia ya miaka. Kwa kujifanya hivyo, ni kwa dhihaka kwamba wanaodai dunia ni tambarare ndio wenye udanganyifu.View attachment 2860099

Wewe unaamini sayansi mimk naamini katika bible. Naomba niambie Dunia ilitokea wapi?
 
Nilikuuliza swali mpaka leo hujajibu, unajua sababu ya kulindwa kwa Antartica?
Sijui hata kama inalindwa, na haitakuwa sehem ya kwanza kulindwa Kuna Area 51 pia nasikia. Kwahy haiwezi kuwa sabab ya Dunia kuwa Duara. Haya jibu swali langu
 
Bro, vipi kuhusu uongo wako wa Ile hotuba ya Hillary [emoji1], nimekwambia niambie jinsi lunar phases zinatokea na lunar eclipses naona kimyaa[emoji1][emoji1]

Ni vile akili yako imeshikwa na Matrix huwez elewa. Niliweka mpaka cartoon ya simpson lakini hamuelewi, kama wewe unaamini Dunia ni mpira ni sawa ila ukweli Dunia ni flat. Ndomana Pilots wote wa ndege wanatumia flat earth mapa na wengi wameprove Dunia ni flat.
 
Back
Top Bottom