Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
kama dunia imesimama na vinavyoizunguka ni jua na mwezi inamaana kuna tym itafika jua lipo katikati ya dunia na mwezii hahahahah am trying to imagine that situation[emoji23][emoji23] jamaa una mawazo mgando paka yamepitiliza..... ustake niamini ata kwenye port yoyote hujawahi fika uone meli zinavokuja na kuondoka!! etii milango ya fahamu including yo eyes acha kuyasemea uongo macho yako.......vp kuhusu day n nyt naona ushaulizwa sana bado hutaki kujibu.........utaezaje kuelewa gravitational ilivo ilhali ubongo wako umeshindwa kuelewa vitu simple kama solar eclipse, day n nyt, seasons of the year, ship visibility na vingine vingii mbna inahitajii geography ya form two pekee kuelewa izii mambo ila itakuwia ngumu ata usome paka chuo kikuu kama tayarii unamawazo mgando ya dini kichwani kwako OVA
 
dhana ya kuyaamini hayo maFreemasin na maIlluminata ndio hivyo kuchanganyikiwa
kwani nini jua linaanzia mashariki kwa kuchomoza na huzama hivyo hivyo magharibi je inekuwa km meza si lingegeuka likatokea kusini
yaani Geografia ya darasa la 5 leo wanadai dunia ni meza TAMBARARE?
DUNIA NI MZUNGUKO WA DUARA
 
Ndio ma nini sasa haya!!?
Ufafanuzi tafadhali.
Sorry nimejua ni kitu gani.
Sasa adhana iwe kwa kiswahili, na ile swalaa swalaa iwe kwa kiswahili.

Tengenezeni na appl. ya adhana muondoe tu zile loudspeakers.

Ndio matumizi ya tech kwa faida.

Soma kijana, usipende kila kitu kufanyiwa .
 
Yaani Dunia inachanganya sana. Huu ni upande mmoja tu. Dunia ni Duara ni theory. Dunia sio Duara kwa maana ni FLAT ni theory pia. Na zote zinapotolewa tunaambatanishiwa picha na maelezo. Tunasaidiwa kwa picha kueleweshwa kila theory. Najiuliza for what Purpose? Kwa Faida ya Nani? Kwanini too many Conspiracy theories?

Viongozi wakuu wa dini na kisiasa wanayajua haya. Kuna Ukweli tunafichwa kwa Makusudi. Kuna namna tunaleweshwa na hizi taaluma.

Marastafarians wanahimizana kusoma vile ambavyo havijawahi kuandikwa.

It is all about theories and assumptions.
 
Huu uzushi umejipatia umaarufu karne ya 19 baada ya kuzimwa na Galileo. Hivi karibuni wameupload maelfu ya video zao YouTube kama sehemu ya mission ya kutanua hii myth.
Wenda huko ndiko walipomuokotea mleta Mada.

Kuficha ujinga watasema kwenye kingo za hiyo disk kumezingirwa na barafu so mtu hawezi kwenda kuona huko wala hapafikiki wanasahau kitu kidogo tu ndege inayopaa anga za juu haiwi limited na hiyo structure. Kwa hiyo tungukuwa tumeshaona huo utupu.

Hiyo akili alikuwa nayo bushman katika Ile movie god must be crazy. Akawa anachukua chupa akaitupe kwenye ukingo wa disk dunia maana iliwaletea shida.

Huu ni ujima wa kiwango cha uprofessor. Wapeleke huko jukwaa la dini maana movement hii inajulikana na agenda yao inajulikana nitaweka thread oneday.
 

Kama hujui maana ya gravity au huamini kama ipo Utasemaje jua na mwezi vinaizunguka dunia? Unajua kwamba gravity ndio Inasababisha vitu viwe kwenye orbit sasa jua na mwezi vina orbit vipi dunia bila gravity? Hata kama earth is the center of the universe bado upo wrong.
 
Hivi unaamini kweli arguements zako au unaandika tu.
Yani wote emirates, ethiopia airways na mashirika kama malysia airways, sijui nini woote wanafanya hivyo kuconfuse people kweli hiki kichekesho.
Pili you keep mentioning NASA kila mara NASA.
Kwani nasa tu ndiyo wamesema hivyo?
India ana satelite angani hajasema kuwa dunja ni flat.
China ana satelites angani tena yeye kaenda mbali zaidi ameanza jenga space station yake peke yake hajasema dunua ni flat.
Urusi ana satelites zake angani hajasema dunia ni flat.
Ulaya wana satelites zao angani hawajasema dunia ni flat.
Japan ana satelites zao angani hawajasema dunia ni flat.
Nigeria wana satelite angani hawajasema dunia ni flat.
Amazing yani nchi zote hizo na nyingine ni hasimu lakini unaamini wameshirikiana kukudanganya hilo wote.
halafu unakuja na argiements za kitoto eti unachange ndege ili wakuchanganye what a crap.
 
Kujua photoshop na neno cgi kusikutishe.
hebu weka na wewe picha iliyopigwa na hao unaowmini ikionyesh dunia kuwa ni flan.
Je ukifika mwisho wa circumference ya dunia kama picha yako invyoonyesha undondoka wapi au kuna ukuta?
 
i guec ata ndege hujawahi panda ww at least ungekua na experience kidogo....... usingekua unaongea huu upuuzi etii picha maalum
prove to me the earth is round now we ndo umepanda ndege na kuizuguka dunia ,,,au prove to me the earth's movement me naweza kuprove dunia ni flat kwasababu kwazanza kabisa sehemu zangu za fahamu zinatambua hilo yani nikiangalia kwa macho na ona kabisa dunia ni tambarare ssa sjui wewe unaonaonaje pia me naweza kutumia macho yangu kuona jinsi jua na mwezi pamoja na nyota zinavyo zunguka angani lakin sisi tumesimama 2 ,,,,,sasa dunua ingekua inazunguka ndege zingewezaje kupaa jamani tumienni akili wanasayansi watasema ni GRAVITY lakin sidhani kuna mtu anaeweza kunipa difinition ya gravity humu ndani kwasabbu niliangalia kipindi kimoja cha nasa ambapo proffesor alishidwa kudefine gravity ,,,,ni sumaku gani hii ya maajabu inayo vuta kila kitu na kutufanya tuone dunia imetulia tuli japokua tunazunguka kwa spidi kubwa kuliko hata ya ndege,,,,jaribu kutafakari kwa kina
kweli ndugu, hii inamaana kuwa mmoja anaweza kurudi magharibi na mwingine mashariki. wote watakutana Moscow ...
embu jaribu kufatilia route zako ulizo sema na utupe ushahidi kama zipo kuna website nyingi za kutrack route za ndege sidhani kama unatambua hilo angalia na uone kama kuna ndege inapaa kupita juu ya north pole au ndege zinazotoka brasili mpaka australia zinatumia route gani hakuna ndege direct...jifunze zaidi
 

kwanza kabisa naomba nikuelimishe kwamba water finds its own level maji hayawezi kupinda hata sikumoja lakin macho yetu yana kikomo cha kuona lakini pale unapoona meli kama inazama ni kwamba ipo mbali sana na pia sea waves zina affect sight ya macho yako chini ya meli inapoonekana kama kudidimia ..ukichukua telescope camera yenye nguvu unaona tu vizuri ile meli vizuri jiulizeni manahodha wa meli wangekua wanawezaje kutumia dalubini kama mbele yao kuna bonde na dunia inapinda lakin najua kwa watu walio panda meli wanatambua kua hakuna hata mara moja ambapo meli inaonekana inapanda au inashuka meli sku zote inaenda straight na baharini hakuna muinuko wala mbonyeo wowote labda hali ya hewa ichafuke mawimbi yawe makali
 
Kujua photoshop na neno cgi kusikutishe.
hebu weka na wewe picha iliyopigwa na hao unaowmini ikionyesh dunia kuwa ni flan.
Je ukifika mwisho wa circumference ya dunia kama picha yako invyoonyesha undondoka wapi au kuna ukuta?
this proves that your failing ,,,,umeshidwa huna hoja wewe fanya reserch kwanza
 

nasa inabidi wapewe nafasi yao katiika hili maana wao ndo wanacontradict watu na kama wewe ni mfatiliaji mzuri utagundua kwamba nasa ananafasi kubwa kwenye hii deception ,,kuhusu swala picha halisi ya dunia ,, naomba noweke wazi kwamba dunia ni kubwa sana na pia there is nothing that can go far enough kupiga picha ya dunia yote kabisa kama mnavujua kuna VAN ALLEN BELT HAPO NDO MWISHO WA BINADAMU KUFIKA NA NI KABLA YA KUFIKA HATA KWENYE MWEZI,,,FATILIA AISEE THATS WHY HAKUNA PICHA HALISI YA DUNIA NZIMA ...NAONA MMEKUBALI KUA PICHA ZA NASA SIO ZA UKWELI
 
me nadhani hujafatilia na pia wewe unaakili nyingi sana unashidwa kujua kwamba sheep visibility is limited to your eyes kama meli ingekua inashuka ungekua uioni ukitumia darubini,,lakin chakushangaza ni kwamba ata meli ikipotea machoni kwako ukitumia darubini unaona vizuri dont take things so easy nyie ndo mna cram hata hamuelewi unamezeshwa tu nawewe unameza tu kama dunia inazunguka mbona ndege zinapaa straight bila kuadjust curvature ,,,uvivu wako wakutafuta maarifa na habari unakufunga ubongo wako ,,,,,,embu amka we ulivo imbishwa form two ukaamini ndo unadhani ni ukweli fatilia vitu kwa undani ,,,alaf how brave will i be kutunga haya yote,,,,,??? kutojua mambo bhna
 
tatizo lako pia hujafatilia hakuna ndege wala kifaa chochote kilichowahi kupita VAN ALLEN BELT ,, nadhani hili ni jibu tosha lakin watu bado hawaelewi ,,,, na hakuna ndege wala kifaa chochote kilichowahi kupita juu ya antartika kwasababu haiwezekani.....fatilia kwanza unatudanganya hapo kuhusu GALLILEO GALLILEI YEYE NDO ALIULETA MFUMO WA SPHERICAL EARTH ,,,FATILIA MAMBO ACHA KUDANGANYA WATU
 
I KEEP MENTINING NASA BECAUSE ITS A FACT THAT NASA NDO WANA APROVE ALL OTHER SPACE STATIONS ITS HARD TO BELIVE LAKIN UKWELI NDO HUO,,,,,,,,, ALAF KUMBUKA I KEEP MENTIONING NASA BECAUSE NASA NDIO THE LEADING SPACE AGENCY NA WAO NDO WAMEARCHIVE HADI KWENDA MARS NA WATU BADO WANAAMINI WAKATI AT THE SAME TIME HAWAJAWAI VUKA VAN ALLEN BELT
THE FACT YA KUWA NA SPECE AGENCIES KATIKA NCHI TOFAUTI NI KUKAMILISHA AGENDA YA KUTUFICHA,,,,YANI AMBACHO HUAMINI WEWE MPAKA SSA HVI NI KWAMBA TUMEDANGANYA NA TUNAENDELEA KUDANGANYWA ,,,
 
Wewe uliyefuatilia hebu nipe mwanga wa hili, jamaa amesema dunia ni tambarare na maji yamezuiliwa kwa mabonge makubwa ya barafu. Swali, mwisho wa hayo mabonge ya barafu ni wapi na baada ya hayo mabonge kuna nini!
kwanza amefuatilia wap?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…