Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
OKAY KAMA GRAVITY INASABISHA ORBIT,,,ACCORDING TO GRAVITY SMALL BODIES REVOLVE AROUND BIG BODIES HII INGEKUA KWELI KWANINI MWEZI UNAIZUNGUKA DUNIA NA SIO JUA NIPE MAELEZO YA KISAYANSI TAFADHALI,,,,,,,AKAFU SASA GRAVITY MAANA YAKE NNI HASWA MAANA ME NAJUA WAT GOES UP MUST COME DOWN LAKIN KWENYE MFUMO WA DUARA AMNA UP WALA DOWN MAANA WAT WA RUSSIA WANAPOPAITA JUU NI CHINI KWA WATU WA AUSTRALIA ,,DOES IT MAKE SANSE KWELI,,,,,ALAFU PIA JARIBU KUFIKIRIA RULE YA WATER FINDS ITS OWN LEVEL ALAF UNAMBIE GRAVITY INAYASHIKILIAJE MAJI YOTE ,,,,NA PIA KUMBUKA KUA UKIPANDA JUU YA PUCK UP UKARUKA IKIWA INATEMBEA UTADONDOKA TU SASA NDEGE ZINGEKUA ZINAPAAJE WAKATI DUNIA INAMIZUNGUKO MIWILI NA MIZUNGUKO HIYO YOTE INA SPEED ZAIDI YA MILE ELFU MOJA KWA LISAA HAIWEZEKANI UNLESS GRAVITY INAVUTA MPAKA HEWA NA INAMOVE NA ATMOSPHERE IVI KWELI TUNASHINDWA KUTUMIA MACHO YETU,,,,YAAMINI MACHO YAKO MAANA AMNA KIFAA KINACHOWEZA KUPROJECT KITU KAMA MACHO YAKO
 
Thou unasema kwamba Nasa ndo leading ila unasahau kuwa Mrusi ndiye wa kwanza kabisa kurusha chombo kikazunguka dunia, kwa hiyo naye aliamua kukudanganya.
Mrusi ndiye aliye build hiyo space station iliyoko angani wengine kama USA, Japan na wengine walikuja tu kuleta vyombo vtao vika ji attach kwenye hiyo space station.
Mrusi ndiye anasafirisha satelites almost za nchi zote kuzipeleka anga za juu kwakuwa rocket zake ndizo cheap and realiable compared to USA shuttles which killed majority of astronomers and were expensive to run something that has led to stop using them.
So Nasa siye anayeongoza kwa kila kitu kwa uhodari wa mrusi nilioutaja angesha kwambia kuwa akiwa anga za juu anaona dunia ni flat.
China mwaka huu ametengeneza rocket zake binafsi za kurusha vyombo na wana anga anga za juu. Ameacha utegemezi wa kusubiri mrusi ndiye ampelekee.
Pia ameenda mbali zaidi anatengeneza space station yake.
Ndani ya space station kuna wanasayansi toka nchi mbalimbali kuanzia USA,China, Russia, nchi za ulaya n.k na wote hakuna hata mmoja aliyerudi akasema akiwa juu aliona dunia ni flat. Bado unaamini kwa miaka yote hiyo hakuna aliye kuwa kama snowden akarudi akavujisha siri.
Kuhusu suala la ndege kama nilivyosema hapo mwanzo arguement yako ni kichekesho... ila nakuuliza pia kuwa, kuna ndege za mabillionea ambao wana private jets na hawafuati routes za hawa commercial airliners.
So nao uwa wakiteremka kujaza mafuta uwa wana lengo la kujichanganya wenyewe?
Na nimekuuliza swali hukunijibu.
Kama dunia iko flat kama picha yako inavyoonyesha, nikifika mwisho wa circumference ya dunia nitaanguka wapi au kuna ukuta?
Naomba jibu tafadhali.
Na ebu google Elektro-L earth images. Hii ni satelite ya Warusi na si NASA.
Google RISAT-1 earth images hii ni satelite ya wahindi.
So you talk about NASA as if unadhani wengime hawajawahi release picha.
 
this proves that your failing ,,,,umeshidwa huna hoja wewe fanya reserch kwanza
Wewe unataka picha iliyopigwa katika kupinga kwako we mwenyewe unaleta picha ya kutengeneza tu sibkichekesho.
 
NWO.... Walishapanga dunia waiendesheje...na ndio kinachotekelezwa....
Nimejifunza kitu mkuu....
 
Ngoja nigoogle, kuna watu walishawahi kuizunguka dunia kutoka A wakajikuta wamerudi palepale A
 

Kaka mi bado sijakuelewa kabisa hapa, kuconfuse watu kwa lipi khasa?, anayeficha kuwa Dunia sio Tambarare ni nani khasa?, Mrusi, Mchina au Mmarekani? Au wote wamekubaliana waseme uongo?

Ngoja nikuulize kaka, tuchukulie una ndege na ukasafiri kutokea east Africa kwenye line ya mstari wa ikweta bila kutoka nje ya line na ukaelea east, mwisho wako utakuwa wapi? Utaenda mpaka infinite au utajikuta umerudi ulipoanzia?
 
Ukisema duina ni duara je huo mduara umesimamia wapi?
 

Yote ni kampeni ya kututawala kifikra,
ikianzia na kuziacha fikra zetu njia panda.

Ili kupunguza uwezo na kasi ya fikra zetu. Kwa maana ya muda mwingine kutuogofya kwa kile tunacho fikiria.

Siku ambayo tutajua ukweli ndio siku yao ya mwisho kututawala, japo ni kitu ambacho hakiwezekani kwa sasa, kwa sababu ya teknolojia.

Cha msingi ni sisi kuwekeza katika teknolojia na kuvipa vipaji vipya, muongozo wa Elimu mzuri kama Nchi.

Bila ya kusahau mila na desturi za kwetu, kama nembo yetu kuu na njia yetu kuu.
 
Ww acha utani dunia haiwezi ikaelea kama vipulizo hii dunia ni nzito sana.
Kwani unahisi umejiegemeza wapi maana hata kusema dunia iko flat still nitakuuliza huo uflat umeshikiliwa na nini.
Unasema dunia ni nzito sana compared to what.
Dunia uzito wake ni sawa na punje ya mchanga baharini compared na ukubwa wa ulimwengu
 
Kwa unahisi umejiegemeza wapi maana hata kusema dunia iko flat still nitakuuliza huo uflat umeshikiliwa na nini.
Unasema dunia ni nzito sana compared to what.
Dunia uzito wake ni sawa na punye ya mchanga baharini compared na ukubwa wa ulimwengu
Ivi huyo mtu ambaye alikudanganya kwamba dunia inaelea yeye alisimama wapi hadi akaona kwamba dunia inaelea.
Mm ninakuuliza hivyo sio kwamba nimesoma sana ila natumia akili yangu ya kuzaliwa.
 
Ivi huyo mtu ambaye alikudanganya kwamba dunia inaelea yeye alisimama wapi hadi akaona kwamba dunia inaelea.
Mm ninakuuliza hivyo sio kwamba nimesoma sana ila natumia akili yangu ya kuzaliwa.
Nimekuuliza pia swali hujanijibu we unahisi dunia imeshikiliwa na nini?
Pili kuna hundreds of satelites in space siku hizi hata hawabaitishi tena.
 
Nimekuuliza pia swali hujanijibu we unahisi dunia imeshikiliwa na nini?
Pili kuna hundreds of satelites in space siku hizi hata hawabaitishi tena.
Ww naona unaifuatilia sana sayansi kabla sijakujibu hilo swali kwanza naomba inasaidie swali moja.
Hivi ktk huo mduara dunia mawingu vyoye vimeungana?
 
Ww naona unaifuatilia sana sayansi kabla sijakujibu hilo swali kwanza naomba inasaidie swali moja.
Hivi ktk huo mduara dunia mawingu vyoye vimeungana?
Dunia ni tufe kama ilivyo sayari zote kila sayari ina anga lake lililo izunguka (atmosphere). Ambalo sayari ikiwa inazunguka na kujizunguka inazunguka na kuzunguka na anga lake.
Kwa dunia ndiyo hivyo atmoshphere imezunguka dunia ikiwa inazunguka jua na kujizungusha kwenye muhimili wake inaenda nalo sambamba
Halafu mbona hujanijibu kama dunia hailei imejishikiliwa na nini?
 
Kwanza nikupongeze kwa kuwa mdadisi. Hata mm hi theory ya curved earth inachanganya kidogo. Kwa mfano ktk suala la Circumnavigation of the earth wanasema Magellan alisafiri baharini bila kukata kona akatokea pale pale alipoanzia safari. Lakini ukiichunguza ramani ya dunia hakina sehemu ambapo unaweza kusafiri baharini straight bila ya kukutana na nchi kavu ( visiwa). Swali je alipokutana na ardhi aliendelea tu kunyoosha au alifanyage? Kwa ufupi circumnavigatio ya baharini haiwezekani kwa ramani zilizopo. Kwa hiyo kuna utata kidogo kuhusiana na umbo halisi la dunia
 
Wewe mwenyewe ni mtumwa wa fikira unawezaje kuwaponda wazungu, umejitahidi kutetea hoja yako lakini uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana unachanganya lugha hata isipotakiiwa moja kwa moja inaonyesha umbumbumbu wako.

1.Kama Dunia haizunguki ipo tambarare ni nn kinasababisha majira kutofautiana ktk msimu wa Mwaka?

2.Umewahi kusafiri na ndege kutoka mashariki kwenda kasikazini labda Tanzania- Misiri Ethiopia au popote ukautumia mda huo kujifunza?

3.Kwanini usiku na mchana unatokea kwenye Dunia tambarale inakuwaje?

4.Kama Dunia tambarale Mwezi una unajificha wapi kipindi unacho kuwa hauonekani?
 
Wewe mwenyewe ni mtumwa wa fikira unawezaje kuwaponda wazungu, umejitahidi kutetea hoja yako lakini uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana unachanganya lugha hata isipotakiiwa moja kwa moja inaonyesha umbumbumbu wako.

1.Kama Dunia haizunguki ipo tambarare ni nn kinasababisha majira kutofautiana ktk msimu wa Mwaka?

2.Umewahi kusafiri na ndege kutoka mashariki kwenda kasikazini labda Tanzania- Misiri Ethiopia au popote ukautumia mda huo kujifunza?

3.Kwanini usiku na mchana unatokea kwenye Dunia tambarale inakuwaje?

4.Kama Dunia tambarale Mwezi una unajificha wapi kipindi unacho kuwa hauonekani?
 
Sasa kama dunia ni mduara na inaelea angani na muda wote inazunguka kwanini maji ambayo yapo baharini hayamwagiki na wakati huo hayajaganda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…