Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Kama haielei chini kuna nini ukichimba beyond dunia na kinaanzia wapi mpaka wapi nikiwa na maana mfano nyumba hailei, inamsingi ulioanzia kwenye ardhi.
Sasa dunia imeanzia wapi ukisema iko hivi hivi hueleweki.
hata mm hilo swali limeanza kunipa utata na inawezekana kweli dunia ikawa inaelewa kwa sababu najiuliza kitu kimoja mbona mawingu huko juu nyota jua mwezi vyote vinaelea kwani vyewewe vimeshikilia wapi.
Inanwezekana kabisa kweli dunia ikawa inaelea kwasababu wanasema dunia nayo ni sayari.
 
Dunia ni duara, oval! Shuleni nilikariri hivyo ila sasa hivi sijakariri. Nimechunguza kwa experiment ndogo tu na kujiridhisha!
Pia ukienda beach za baharini, jaribu ku-observe ile kitu tilisomaga, THE APPROACHING OF A SHIP, let say from zenj, hautoiona yote kwa mbali bali utaanza kuona chimney kana kwamba meli/ boat inatokea chini ya bahari kwa mbali.
 
Kitu kinachonifanya niendelee kuamini kuwa dunia ni duara ni usiku na mchana,yaan huku kukiwa usiku nchi zingine kunakuwa mchana........kama dunia ingekuwa flat au nusu duara,jua lingekuwa linafika katikati basi dunia nzima yaan nchi zote ingekuwa mchana lakin hiki ktu hakiwezekan lazma kwingne kuwe usku kwingne mchana,afu UN bendera yao waliitoa hvo ili mabara yote yaonekane vizuri(yaan picha imechukuliwa juu ya dunia na sio pembeni kama picha zingine zinavyoonesha)
Hapa umemaliza kila kitu kwa maelezo na mfano mdogo na unaoeleweka kabisa!
Ume-crash "kitabu" chote alichokiandika hapo juu kionekane hamna kitu.
 
Ushahidi au evidence ninayo! wewe nina uhakika huna uhakika na unachong'ang'ana nacho...umefundishwa na kukaririshwa kama mtoto asiyejitambua.
Ushahidi kuwa dunia ni flat upo dhahiri na wazi
1. Maji naturally ni flat haiwezekani bahari na maziwa yakae kwenye round ball. Wewe kwa ujinga utasema yanakaa kwa nguvu za uvutano wa dunia, sio kweli.
2. Maji pia hufuata mkondo, yaani yanatoka kwenye miiniko kwenda bondeni mfano maji ya Victoria kuelekea Mediteranian, dunia isingekuwa flat yasingefika huko.
3. Ungekuwa rubani wa ndege ungetambua kuwa unapokuwa hewani akiisha kaa kwenye degree zone fulani hakuna muda unabadilisha angle kufuatia bending.
Unataka kuendelea kuamini ujinga wa kukaririshwa kuwa dunia ni sphere kwa sababu tu ya upatikanaji wa usiku na mchana?
Mungu mwenyewe namna alivyoitengeneza mifumo ya jua na mwezi hakuna binadamu anayejua. Hao NASA na CERN wanatumabia kutoka Big bang theory kuwa the Universe is Expanding, na hizo nyota tunazoziona juu ni makundi ya nyota yaani galaxies, na umbali wake ni milions of light years, hii yote ni uongo kama ilivyo uongo kwenye kipimo cha carbon14, Hizi zote theory knowledge ni global agenda na imefanikiwa sana. Wapagani sasa ndo wameshika hatamu.
Na siwasingizii Vatican kuwa wapo behind yote haya, nadhani kwa kuwa huielewi historia ya hizi dini na historia ya ulimwengu na empire zake. Na kwa sababu huelewi hayo hujui sasa hivi tupo wapi katika historia na hivyo basi hujui tunapopelekwa na hii historia. Wakati wewe kazi yako ni kula, kunywa na kulala wapo wanaume duniani wanaishi wakifikiria wakufanyie nini ili uwe mtumwa wao. Tafakari, naamini muda sio mrefu moderators wataambiwa wauondoe uzi huu.
Unasema wapagani wameshika hatamu sasa, Pia umesema Mungu mwentewe anajua alivoiweka mifumo ya jua na mwezi, Sasa hapo si mnajicontradict wenyewe?
Wapagani washike hatamu while waamini Mungu anajua mwenyewe aliyoyafanya? Au me dio sijakuelewa? Na wewe ni miongoni mwa wapagani walioshika hatamu kama unavosema?
 
Ushahidi au evidence ninayo! wewe nina uhakika huna uhakika na unachong'ang'ana nacho...umefundishwa na kukaririshwa kama mtoto asiyejitambua.
Ushahidi kuwa dunia ni flat upo dhahiri na wazi
1. Maji naturally ni flat haiwezekani bahari na maziwa yakae kwenye round ball. Wewe kwa ujinga utasema yanakaa kwa nguvu za uvutano wa dunia, sio kweli.
2. Maji pia hufuata mkondo, yaani yanatoka kwenye miiniko kwenda bondeni mfano maji ya Victoria kuelekea Mediteranian, dunia isingekuwa flat yasingefika huko.
3. Ungekuwa rubani wa ndege ungetambua kuwa unapokuwa hewani akiisha kaa kwenye degree zone fulani hakuna muda unabadilisha angle kufuatia bending.
Unataka kuendelea kuamini ujinga wa kukaririshwa kuwa dunia ni sphere kwa sababu tu ya upatikanaji wa usiku na mchana?
Mungu mwenyewe namna alivyoitengeneza mifumo ya jua na mwezi hakuna binadamu anayejua. Hao NASA na CERN wanatumabia kutoka Big bang theory kuwa the Universe is Expanding, na hizo nyota tunazoziona juu ni makundi ya nyota yaani galaxies, na umbali wake ni milions of light years, hii yote ni uongo kama ilivyo uongo kwenye kipimo cha carbon14, Hizi zote theory knowledge ni global agenda na imefanikiwa sana. Wapagani sasa ndo wameshika hatamu.
Na siwasingizii Vatican kuwa wapo behind yote haya, nadhani kwa kuwa huielewi historia ya hizi dini na historia ya ulimwengu na empire zake. Na kwa sababu huelewi hayo hujui sasa hivi tupo wapi katika historia na hivyo basi hujui tunapopelekwa na hii historia. Wakati wewe kazi yako ni kula, kunywa na kulala wapo wanaume duniani wanaishi wakifikiria wakufanyie nini ili uwe mtumwa wao. Tafakari, naamini muda sio mrefu moderators wataambiwa wauondoe uzi huu.
Basi tueleze historia ya historia za dini hizi. Tulipotoka, tulipo na tunapoelekea
 
Huku ni kubishana na FACTS. Na whenever there is facts, then science is absolutely related and embended within.
Waafrika kila siku tunalishwa sumu za kimapokeo, sio kwenye dini wala theories na tunavimeza kila mtu kwa mtazamo na upembuzi separately!

Swali la kujiuliza tu ni kwamba kwa nini tuendekeze huu upuuzi wa kupokea, kumeza kisha kubishana?? Je, sisi Waafrika hivi ni kweli bado tu hatuja advance to the extent dat we capable of collecting and organizing facts that will defend our own thoughts?? cant we become perculate and blag for our own creativities??
Tumevishwa ufinyu wa fikra kimatendo na kwa kutafakari.
Afrika bara la weusi. Afrika bara la wajinga.
 
nasa inabidi wapewe nafasi yao katiika hili maana wao ndo wanacontradict watu na kama wewe ni mfatiliaji mzuri utagundua kwamba nasa ananafasi kubwa kwenye hii deception ,,kuhusu swala picha halisi ya dunia ,, naomba noweke wazi kwamba dunia ni kubwa sana na pia there is nothing that can go far enough kupiga picha ya dunia yote kabisa kama mnavujua kuna VAN ALLEN BELT HAPO NDO MWISHO WA BINADAMU KUFIKA NA NI KABLA YA KUFIKA HATA KWENYE MWEZI,,,FATILIA AISEE THATS WHY HAKUNA PICHA HALISI YA DUNIA NZIMA ...NAONA MMEKUBALI KUA PICHA ZA NASA SIO ZA UKWELI
Achana na uzushi labla kama kuna maslahi yako humo.
Nasa, Russia,China, India (Project on progress) etc wote wanatoka duniani na kwenda nje ya Dunia. Hata hao founders wa upuuzi huu wakipandishwa kwenye apollo wakipelekwa nje kidogokidogo ya Dunia Wakiiona dunia ilivyo watabisha waseme wanaonyeshwa video.
mkuu hii dunia unaweza kujikuta unafuata mawazo ya watu

Nio maana nimekwambia unahitaji practical VAN ALLEN BELT huo ni ujanja ujanja usio na mbele wala nyuma. With what device did you use to prove that myth.
 
tatizo lako pia hujafatilia hakuna ndege wala kifaa chochote kilichowahi kupita VAN ALLEN BELT ,, nadhani hili ni jibu tosha lakin watu bado hawaelewi ,,,, na hakuna ndege wala kifaa chochote kilichowahi kupita juu ya antartika kwasababu haiwezekani.....fatilia kwanza unatudanganya hapo kuhusu GALLILEO GALLILEI YEYE NDO ALIULETA MFUMO WA SPHERICAL EARTH ,,,FATILIA MAMBO ACHA KUDANGANYA WATU
Galileo alitumia sayansi na vifaa, hawa wa leo wanakwenda kabisa nje ya dunia. Wewe unakaa nyuma ya keyboard unatunga story ndeefu bila scientific evidence. Aristotle wahindi na hizo dini ulizoziquote zote walikuwa wanadhani/wanafikiri ndio maana wakawa wanasema kama ni flat basi imebebwa na matembo makubwa. Yaani scientific issue unaleta evidence ya bendera ya UN.
Hizo ni miradi za watu research upya.
 
Huku ni kubishana na FACTS. Na whenever there is facts, then science is absolutely related and embended within.
Waafrika kila siku tunalishwa sumu za kimapokeo, sio kwenye dini wala theories na tunavimeza kila mtu kwa mtazamo na upembuzi separately!

Swali la kujiuliza tu ni kwamba kwa nini tuendekeze huu upuuzi wa kupokea, kumeza kisha kubishana?? Je, sisi Waafrika hivi ni kweli bado tu hatuja advance to the extent dat we capable of collecting and organizing facts that will defend our own thoughts?? cant we become perculate and blag for our own creativities??
Tumevishwa ufinyu wa fikra kimatendo na kwa kutafakari.
Afrika bara la weusi. Afrika bara la wajinga.
Mkuuu..people are still stiff naked brain....their pineal glands are total destroyed bf free radical hence can release their selotonin hormones responsible to open their third eye..
Only few people will understand the truth under real speculation..na watakaopona na wachache ...yafaaa wachache wapone kwa ajili ya ushahid mbele za mungu...

Ndo mana ikawa no fumbo la imn not every body will unlock the puzzle but only few will to justify the genuine of the truth..
The real truth is hidden under specific conpoiracy na lazima yatimie yaliyoandikwa..
Wachache watakuelewa na wengi hawataelewa simply bicoz when you protect your pineal gland from incoming and exposing toxicity condition the more you become aware and run away from danger zone but the more your pineal gland receives high input of toxic situation the more the bogus you become na hautakuja kuuelewa ukweli wa mambo hayo...

In short people can search a book written by Sir .Albeth pike known as Central dogma ofbyhe trusty about hidden conspiracy zinzoongoza dunia...
Their are secret societies who are controlling the world for their own missions and they alwz want people not to understand their meaning and existanve under hidden conspiracy.....
Dunia inatakiwa iongozwe na watu wachache only Ellitea one and many illiterate one should be turned to slave and be perished away from the universe..
Only fluorine free radical can bring massive spoiling of your pineal gland ndo mana wamebuni namna ya kutokomeza nguvu za jicho la tatu la mwanadamu ili asiweze jua mbinu na mipango yao ndo MNA wameweka flour in katika ka toothpaste unayokula kwa mswaki na hiyo hiyo ndo inayotoxify your pineal gland..
Ndo mana uwezo wako wa akili kadri unapozid kuamka unapungua na uwezo wa kusahau kumbukumbu unaongolezeka in tofaut na mtoto mdgo ...ndo mana mtoto mdgo unaona mambo meng during child hood kimaono zaid kuliko MTU mzima uliyereceive high input of free radical from foods,toothpaste and some harmful irradiation which destroy your pineal gland slowly...

Njia pekee ya kutaka kuyajua haya mambo yakupasa ujidhatiti binafsi na uombe mungu akufungulie jicho la tatu update kuona mbali na prevent yourself from toxifying your pineal gland hence you will be able to see the world how it is and where it ends.....
Thanks much for your kindly way of presenting this short hints on one of truth hidden na no mambo mengi yamefichwa ila binadamu hawatambui na Nazi kubwa ni kubishi tu mpaka yawatokee...
No kama jins watu wanavyoamini kua osam bin laden is dead but the person is alive and enjoying the life lakini kwa mipango iliyofanywa na mmarekani ya kuudanganya ulimwengu kuwa he killed him no no no no ...EDWARD SNOWDEN explains much on false tracts done by US ...huyu no MTU aliyefanya kazi CIA na FBI kwa muda wa miaka zaid ya 23 he knows the tricks done by the secret societies...jiulize usikalie kubisha find the facts and understand......she world is too secret and when you expose the truth they always find you and vanishes you on telling people that don't listen to this man kidding you.....inahitaji moyo kusimamia katika ukweli and the truth is open to those with opened third eye.....
 
Mkuuu..people are still stiff naked brain....their pineal glands are total destroyed bf free radical hence can release their selotonin hormones responsible to open their third eye..
Only few people will understand the truth under real speculation..na watakaopona na wachache ...yafaaa wachache wapone kwa ajili ya ushahid mbele za mungu...

Ndo mana ikawa no fumbo la imn not every body will unlock the puzzle but only few will to justify the genuine of the truth..
The real truth is hidden under specific conpoiracy na lazima yatimie yaliyoandikwa..
Wachache watakuelewa na wengi hawataelewa simply bicoz when you protect your pineal gland from incoming and exposing toxicity condition the more you become aware and run away from danger zone but the more your pineal gland receives high input of toxic situation the more the bogus you become na hautakuja kuuelewa ukweli wa mambo hayo...

In short people can search a book written by Sir .Albeth pike known as Central dogma ofbyhe trusty about hidden conspiracy zinzoongoza dunia...
Their are secret societies who are controlling the world for their own missions and they alwz want people not to understand their meaning and existanve under hidden conspiracy.....
Dunia inatakiwa iongozwe na watu wachache only Ellitea one and many illiterate one should be turned to slave and be perished away from the universe..
Only fluorine free radical can bring massive spoiling of your pineal gland ndo mana wamebuni namna ya kutokomeza nguvu za jicho la tatu la mwanadamu ili asiweze jua mbinu na mipango yao ndo MNA wameweka flour in katika ka toothpaste unayokula kwa mswaki na hiyo hiyo ndo inayotoxify your pineal gland..
Ndo mana uwezo wako wa akili kadri unapozid kuamka unapungua na uwezo wa kusahau kumbukumbu unaongolezeka in tofaut na mtoto mdgo ...ndo mana mtoto mdgo unaona mambo meng during child hood kimaono zaid kuliko MTU mzima uliyereceive high input of free radical from foods,toothpaste and some harmful irradiation which destroy your pineal gland slowly...

Njia pekee ya kutaka kuyajua haya mambo yakupasa ujidhatiti binafsi na uombe mungu akufungulie jicho la tatu update kuona mbali na prevent yourself from toxifying your pineal gland hence you will be able to see the world how it is and where it ends.....
Thanks much for your kindly way of presenting this short hints on one of truth hidden na no mambo mengi yamefichwa ila binadamu hawatambui na Nazi kubwa ni kubishi tu mpaka yawatokee...
No kama jins watu wanavyoamini kua osam bin laden is dead but the person is alive and enjoying the life lakini kwa mipango iliyofanywa na mmarekani ya kuudanganya ulimwengu kuwa he killed him no no no no ...EDWARD SNOWDEN explains much on false tracts done by US ...huyu no MTU aliyefanya kazi CIA na FBI kwa muda wa miaka zaid ya 23 he knows the tricks done by the secret societies...jiulize usikalie kubisha find the facts and understand......she world is too secret and when you expose the truth they always find you and vanishes you on telling people that don't listen to this man kidding you.....inahitaji moyo kusimamia katika ukweli and the truth is open to those with opened third eye.....
Albert Pike,
33rd Degree Mason and head of the Southern Masonic Jurisdiction of the Scottish Rite of Freemasonry.

Muandishi wa kitabu Kinaitwa Morals and Dogma. Kitabu hadimu na chenye siri nyingi jinsi dunia inavyochezeshwa na watu wachache. Kinachopatikana google is not the true copy
Hiki kinachojadiliwa himu ni branch tu ya haya mambo ya kupumbaza dunia. FLAT EARTH Movement
 
Albert Pike,
33rd Degree Mason and head of the Southern Masonic Jurisdiction of the Scottish Rite of Freemasonry.

mkuu angalia sana watu unaowaamini na kuwaquote biography zao. Dunia imeshaharibika
Namjua sana huyu jamaaa kaandika atico nyingi kuhusiana na secret societies zao....kaandika vitu vingi so people can search him and understand the truth
 
Inawezekana japo so kwa mfano ulotoa
flat-earth-society.jpg

INAWEZENA KWA KUPITA SAKAFUNI MWA FLAT EARTH
 
Back
Top Bottom