Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
We ni mpumbavu kumbe
Hizo satellite zipo wapi Kama sio nje ya dunia ,, nje ya dunia mvutano Ni kidogo sana ndo Mana inahitajika ma rocket yenye fuel ya kutosha kutoka nje ya dunia ila ukishatoka unahitaji solar panel tu kutembea ..nguvu kidogo sana
Matusi hayatakiwi kwenye mijadala kama hii, satellite zipo ila hazipo kwa space kama unavyoambiwa na zimeshikiliwa na Balloons, mpaka ushahidi upo na nyingi zinaanguka zikiwa na maballons.