Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
We ni mpumbavu kumbe
Hizo satellite zipo wapi Kama sio nje ya dunia ,, nje ya dunia mvutano Ni kidogo sana ndo Mana inahitajika ma rocket yenye fuel ya kutosha kutoka nje ya dunia ila ukishatoka unahitaji solar panel tu kutembea ..nguvu kidogo sana
Hivi hujiulizi mbona nzi ndani ya gari akiwa anaruka anaenda pamoja na gari... Kwa nini asiwe anaachwa mpka anajigonga nyuma ya gari?
Unawaza ujinga
Kwani ukisafiri na bus speed 100 huwa unaanguka?
Unaangukaje na dunia haijabinya brake
Una smartphone lkn haikusaidii kitu..kazi yenu Ni kufatilia connection
Mbona YouTube ziko video nyingi zikionesha watu wakiwa space
Hata kwa channel ya Sam chui walipanda ndege boeng Kuna eneo wanafika Wana experience hicho kitu pia ili wa enjoy ilikuwa Ni ndege ya cargo
Eneo wanaliita parabola bila shaka wanakuwa kwa ndege wanaanza elea kwenye ndege
Unajua atmosphere Ni Nini?
Dunia Ina move na vitu vyake na anga lake ndo Mana ukipaa na chopper ukasimama angani haikuachi ila ukitoka nje ya space dk moja ukirudi utajikuta hata upo nchi za nje
Kwani ukiwa kwa gari linalotembea 120kph afu nzi akatoka kwa dereva akaja kwako je huyo nzi na yeye anatembea 120 ku keep up na gari au inakuaje hapo
....Hivi Hawa Watu wa Flat Earth Bado Wapo ?
Pole Zao.
Warudi Shule, Tena Darasa la Nne TU, Mwalimu awaeleze Kwa Nini Meli Ukiona Ipeo Macho Unaanza kuiona Mlingoti kwanza na jinsi inavyosegea ndio inazidi kuonekana Yote !
Kwa Nini Usiione Yote Toka Mwanzo, Flat Earth ? SI Akili za Kawaida za Darasa la Nne ??? [emoji57][emoji57]
Ndio maana mnaitwa Flat Earth ni CONCIPIRACY TU !....
Wewe ukiwa ndani ya gari hauwi ndani ya atmosphere ya gari?
Em panda kwenye gari kubwa alafu ruka uone
Hivo Ni vitabu viliandikwa nyuma na huenda alioandika sio Joshua bali Ni mtu aliesimuliwa na joshuaHalafu tujiulize kuwa kwanini Mungu alimwambia Joshua asimamishe Jua na si dunia ikiwa dunia nayo inazunguka.
Hilo najua pia hausogei mbele unasogea nyuma maana gari linaenda linakuacha , swali je kwanini nzi haachwi na gariTafuta gari kubwa zile Scania ndefu zenye kichanja, ikiwa kwenye spidi kali wewe jaribu kuruka juu ukitua chini utaona umesogea mbele, huwezi baki palepale na hii nimeiprove mwenyewe hata wewe unaweza kufanya hili.
Unatuonaje wewe?Antartica so bara kama tunavyodanganywa ni ICE WALLS surrounding our earth, na angle zote za kuingilia zinalindwa kwa ulinzi mkali wa NASA
Earth revolve and rotates on its own axis plus everything on it Yani na atmosphere yakeMkuu kama picha za satelite zinaweza kuonyesha mabara yote, iweje jua lishindwe kumulika mabara yote!? Pia jamaa alisema kwamba dunia imetulia na haina movment yeyote bali jua na vingine ndo vinazunguka dunia na akahoji pia kama dunia inazunguka kwa kasi mbona hatuhisi huo mzunguko?
Kuna nyakati hasa za usiku sana ukitoka nje pametuliaaa...! Hakuna hata upepo, huo mzunguko ni wa aina gani ambao hauwezi hata kuhisi upepo?
Na zaidi kimfano mvua inaweza kunyesha labda masaa 7 eneo flani tu, ni kwa nn iendelee kunyesha hapo hapo tu ilhali dunia inazunguka!? Au na mawingu ya mvua nayo yanazunguka pamoja na dunia?
Haya mambo hayahitaji hasira, ukifikiria kwa makini kuna maswali mengi hayana majibu ya kuridhisha, na mwanasayansi wa kwanza aliesema dunia inazunguka alihukumiwa kifo baada ya kukataa kukanusha kauli yake!
Dunia ina milima na mabonde kijiji A wanaweza kuliona jua saa 1 asubui lakini kijiji B wakaliona saa 3 hapahapa tz sembuse huko mbali!
Hilo najua pia hausogei mbele unasogea nyuma maana gari linaenda linakuacha , swali je kwanini nzi haachwi na gari
Wale watu waliokuwa wanakufa Italy ilikuwa uongo right?Unaamini hizo video ni kweli ndugu? [emoji23]
Umedanganywa kuhusu CoVid
Umedanganywa kuhusu evolution of man
Umedanganywa kuhusu moon landing
Bado unaawaamini hawa watu kuhusu globe??
Hata yeye anawashangaa kwa kweliPole sana, Flatearthers wanazidi kuongezeka day after day. We under the Gods firmament
Wewe hali uliofikia unatakiwa uombewe kwanzaHapo unakubali kwamba kama dunia inaspin niki hang kwenye balloon au helicopter bhadi point ya land haiwezi baki point ileile hivyo itaniletea point nyingine.
Unatakiwa pia ujiulize kama dunia ina spin vipi kuhusu ndege zinazokuwa angani??
Dunia inazunguka jua kwa spidi ya 66,700 miles per hour, bado inatilt kwa speed ya 1000 mph, utaona “Earth is SPINNING SO fast that everything is MOTIONLESS” [emoji23][emoji23]
Amkeni asee, fanya utafiti wako kupata ukweli
Unaweza kujiuliza,
1. Maji yanawezaje kukaa kwenye mpira?
2. Compass inafanyaje kazi kwenye ball?
3. Ruti za ndege zote zinatumia flat earth map
4. Logo ya UN ina flat earth map
5. Jua liko distance ya 93million? Vipi kuhsu mwezi?
Wale watu waliokuwa wanakufa Italy ilikuwa uongo right?
Wewe hali uliofikia unatakiwa uombewe kwanza
Huo ukuta ni mrefu kiasi gani na ndege inapita usawa ganina kwa wale wanaoendelea kuulizia baada ya huo ukuta wa barafu mbele kuna nini? nimekaa nikiwaza nikapata jibu hili,...: Baada ya kuta za barafu zinazokinga maji ya bahari katika theory ya dunia tambarare, mbele yake ni ngumu kujua kuna nini zaidi ya kuamini kutakuwa na barafu zaidi.. so hata kufikika itakuwa ngumu coz bado science haina vyombo vyakupita katika barafu nyingi kupita kiasi..... REJEA KUAHIRISHWA SAFARI ZA NDEGE PINDI BARAFU INAPOKUWA NYINGI, unadhani ni kwanini?
Sasa unasemaje nimedanganywa na unajua ilikuepo?Hujui kwamba Covid ni biological weapon iliyotengenezwa maabara?
Mkuu, mbona Una maswali ya kitoto Sana?Hilo najua pia hausogei mbele unasogea nyuma maana gari linaenda linakuacha , swali je kwanini nzi haachwi na gari