Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Kama Dunia ni Tufe,...

1. Kwanini kitendo cha maji kustick kwenye round-ball Kisiwe included kwenye Seven wonders of the world?

2. Kwanini kitendo cha maji kustick kwenye round-ball upside down kisiwe kama kivutio cha utalii ambapo watu wanaenda na kufanya observation Kwa kulipia?

Karibu greater than tuchangamshe akili na kujichunguza kama Sisi ni wajinga juu ya umbo la Dunia ama la.
 

Also kuongezea point zako, dunia ingekuwa flattery satellite zilizorushwa angani, zingekuwa stationary at only place.

Maana lengo la sattelite ni ziwe zina point at one particular point.

Kungekuwa hakuna haja ya kuzi design ziwe zinazunguka angali sawa na rotation ya dunia kwa ajili ya kumaintain position.
 
Kuna watu humu wamekariri kwamba Dunia ina rotate...na wanapambana kuaminisha wengine kwamba Dunia ina rotate.....sasa mwenye akili timamu na njaa ya kujifunza ajaribu kupitia mtazamo wa Albert Einstein juu ya either Dunia inazunguka ama la kisha atuambie amejifunza nini kutoka kwa Mwanasayansi huyu ambae Inasemekana ni miongoni mwa Wanasayansi wakubwa Duniani kuwahi kutokea.

Albert Einstein's view on the motion of the Earth was consistent with the principles of his theory of relativity. According to his theory, motion is relative, meaning there is no absolute frame of reference. This implies that whether the Earth is considered to be at rest and other celestial bodies move around it, or the Earth moves while other bodies are at rest, is a matter of choice of reference frame. This idea is encapsulated in his famous equation \(E=mc^2\), which revolutionized our understanding of space, time, and motion.
 
kukubali Dunia inazunguka ni Ujinga mwingine watu wamekaririshwa.......... Inastaajabisha Sana Kwa spidi tajwa tushindwe kuhisi chochote sio sisi tuu Bali hata Maji yaliyolifunika hili "tufe"
 
kukubali Dunia inazunguka ni Ujinga mwingine watu wamekaririshwa.......... Inastaajabisha Sana Kwa spidi tajwa tushindwe kuhisi chochote sio sisi tuu Bali hata Maji yaliyolifunika hili "tufe"
Speed ndio inayokuchanganya ?

Kitu ambacho hata ukiwa kwenye ndege angani pamoja na speed yote ile ya ndege hauhisi chochote vile vile.
 
kukubali Dunia inazunguka ni Ujinga mwingine watu wamekaririshwa.......... Inastaajabisha Sana Kwa spidi tajwa tushindwe kuhisi chochote sio sisi tuu Bali hata Maji yaliyolifunika hili "tufe"
Mkuu umeshapanda treni inayokwenda kwa constant speed? Hata ikiwa speed mia ikiwa constant unaeza cheza hadi disko.
 
Nyinyi ndio mmekariri,

Na mpo kiimani zaidi.

Kuna maswali ambayo ilikua simple sana kututhibitishia kwa nadharia mliyonayo lakini imeonekana ni magumu kupita maelezo maana mkiulizwa tu mnaanza porojo.


Mmeshindwa kutaja nchi ambazo kingo za Dunia ndio zilipo, tunaomba hata picha basi mtuonyeshe Kingo za Dunia zilipo.

Mkifanya hivyo tuu, kuanzia leo ntajiona nlikua mjinga sana.
 
Hilo swali nadhani tukuulize wewe uliyesema hivi [emoji1370]

"Sikufikiria kwenye Dunia tambarale wala Dunia tufe."
Ona unavyozidi kuniaminisha madai yangu kwenye swali langu

Mimi ni "Kwasababu nlikua mtoto, Nlikua naendelea kujifunza"
 
Ona unavyozidi kuniaminisha madai yangu kwenye swali langu

Mimi ni "Kwasababu nlikua mtoto, Nlikua naendelea kujifunza"
Yes,. ndiyo maana nikasema hilo swali la ugonjwa wa kufikiri lingekufaa wewe Kwasababu mtoto mwenye akili inayofanya kazi vizuri atafikiria Tu kuhusu umbo la dunia....& That's why ulisema, ulivyokua mtoto ulikua unajiuliza mwisho wa Dunia ni wapi...

Au ushasahau kama ulisema hivyo?
 
Sawa vizuri..,Kwa lengo la kujifunza,..umemuelewa vipi Einstein hapo?
 
Hahah nna wasi wasi na wewe mkuu.

Kwahiyo chief ulipokua mtoto tayari ulikua unafikiria kuhusu Dunia ni tambarale ?
 
Sawa vizuri..,Kwa lengo la kujifunza,..umemuelewa vipi Einstein hapo?
Albert Einstein never directly said that the Earth is not spinning/rotating in its axis. No object in the sky can be considered stationary, and we can observe this by the rising and setting of the Sun, the Moon, the stars, and other planets.

What Einstein did, was formulate the theory of relativity. With this theory, gravity and the Earth's rotation can be considered relative. For example, if we are standing on the North Pole looking at the sky we can see the celestial bodies spinning all around us, but have a position that might cause us to question if it is the sky that is revolving around the Earth or the Earth that is spinning (it's the Earth that's spinning on its axis).
 
Hahah nna wasi wasi na wewe mkuu.

Kwahiyo chief ulipokua mtoto tayari ulikua unafikiria kuhusu Dunia ni tambarale ?
Yes,..nilifikiria hivyo kwasababu niliona hivyo Kwa macho na still nimekua na naona hivyo hivyo hakuna kilichobadilika.

Swali nililokua najiuliza ni kama wewe tu,..Kwamba Je,ni wapi mwisho wa Dunia?! So, utagundua kwamba shape ya Dunia haikua ishu since then & now..it's a flat plane all over.
 
Unamaanisha ni flat isiyo na mwisho au kikomo ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…