Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
1.Kwenye suala la ramani ya U.N,,wakati wanafanya chaguzi ya ramani,walitaka ambayo ingeweza kuionesha mabara na visiwa vyote ambavyo binadamu wanakaa.

Uduara wa dunia, unafanya ngumu kuichora kwenye karatasi, mfano;ukipewa chungwa/chenza (chungwa ni duara) umenye ,yale maganda yake ukiweka kwenye meza hayawezi yakawa flat,ukilazimisha yatameguka au kukatika, ndiyo hata kwenye dunia kuna mitindo tofauti ya kuiwasilisha kwenye flat surface/karatasi japo kimahesabu nayo haipo sawa mana kuna nchi uonekana kubwa kuliko au ndogo kuliko.

Tukirudi kwenye bendera ya UN,wamechukua mtindo wa Azimuthal equidistant, ambapo North Pole ndiyo kama kitovu, na vipimo vya umbali kutokea hapo kwenda point yoyote vinalingana ila kama wangechukua Mercantile Projection,kuna nchi zisingeonekana.

2.Tukienda kwenye suala la mwendokasi wa Dunia. Katika sheria tatu za Mwendo za Isaac Newton.sheria ya kwanza inasemaan" object will not change its motion unless a force acts on it."yaani "kiumbe hakitobadili mwendokasi wake mpaka kani ya nguvu iingilie "
Mfano:kabla haujapanda lift unakuwa kwenye mwendokasi wako, ili ukiingia na kupanda,lift ikianza kwenda juu au kushuka ghafla unahisi mwili kutaka kuruka au kudidimia, hii ni kwasababu mwendokasi wa Lift ndiyo force inayoingilia mwendokasi wako.
Sasa hauwezi kuhisi huo mwendokasi wa dunia kwasababu umezaliwa Dubai,yaani tangia upo tumboni kama yai tayari uli-adopt mwendokasi wake kama wako.
Wale Astronauts wanaotoka na kuingia dunia ,vyombo vyao kutumia nguvu nyingi ili niweze kutoka au kuingia katika mwendokasi wa dunia.

3.Hapo kwenye kusema Dunia ina eneo la maili 3965,ambazo ni sawa na Km 6381 sasa hapo mbona kimahesabu ni uongo. Kwa maana nchi yetu tu ina zaidi ya huo ukubwa.
Kwa tuliosoma sayansi tunabatilisha mahesabu ya chini yote yaliyofuata

4.Suala la mwanga:
Kama dunia ni tambarare basi hata mwanga wa jua ungemulika kote sawa. Chukua tochi mulika daftari kwenye chumba giza, Utaliona daftari zima,,,aya sasa chukua tochi mulika chungwa kuna upande wa chungwa utakuwa na giza.

Kama dunia haijizungushi na tambarare basi jua linavyochomoza asubuhi kutoka magharibi na kwenda mashariki si lingeenda mona kwa moja ama ? Na ulisema
Jua ndiyo lazunguka basi by the time Jua katika upande wa pili wa kipenzi cha dunia basi baridi lingetuuwa wote.
Na jua linalozunguka dunia inawezaje kuhakikisha kwa masaa 24 kuna upande wa dunia unapata mwanga.

5.Mawingu, always yanaenda upande mmoja,kama dunia tambarare basi inamaana yakifika ukingo wa dunia yanapotea kule.

6.Hesabu ya mwaka: Hivi unajua kuwa hesabu ya siku 365.25 hutokana na mzunguko wa dunia na solar system na katika tenge lake.
Aya,dunia ni tambarare ,hiyo hesabu ya miaka yako uliyonayo, itakuwa imezingatia mahesabu gani.

7. NASA :ushahidi wako mwingi umejikita kwenye kuwasema NASA ni waongo, kwahyo hata Warusi wanshirikiana na NASA,hata Wairan na Wakorea (hawa wote wana satellite angani) wanashorikiana na NASA kwenye uongo.

8.ANTARTICA:Nenda usome wataka wa U.N why wachache wanenda kule.
Kwanza like ndiyo jangwa kubwa dunia kwa mana linaweza kukaa hata miaka mi5 vila mvua. Barafu zina unene mpaka wa km2 ndiyo unagusa ardhi.

9.Toa hoja za kisayansi na kutumia vitabu vya dini na hisia kama sehemu za kujitetea
Kama Dunia ni Tufe,...

1. Kwanini kitendo cha maji kustick kwenye round-ball Kisiwe included kwenye Seven wonders of the world?

2. Kwanini kitendo cha maji kustick kwenye round-ball upside down kisiwe kama kivutio cha utalii ambapo watu wanaenda na kufanya observation Kwa kulipia?

Karibu greater than tuchangamshe akili na kujichunguza kama Sisi ni wajinga juu ya umbo la Dunia ama la.
 
1.Kwenye suala la ramani ya U.N,,wakati wanafanya chaguzi ya ramani,walitaka ambayo ingeweza kuionesha mabara na visiwa vyote ambavyo binadamu wanakaa.

Uduara wa dunia, unafanya ngumu kuichora kwenye karatasi, mfano;ukipewa chungwa/chenza (chungwa ni duara) umenye ,yale maganda yake ukiweka kwenye meza hayawezi yakawa flat,ukilazimisha yatameguka au kukatika, ndiyo hata kwenye dunia kuna mitindo tofauti ya kuiwasilisha kwenye flat surface/karatasi japo kimahesabu nayo haipo sawa mana kuna nchi uonekana kubwa kuliko au ndogo kuliko.

Tukirudi kwenye bendera ya UN,wamechukua mtindo wa Azimuthal equidistant, ambapo North Pole ndiyo kama kitovu, na vipimo vya umbali kutokea hapo kwenda point yoyote vinalingana ila kama wangechukua Mercantile Projection,kuna nchi zisingeonekana.

2.Tukienda kwenye suala la mwendokasi wa Dunia. Katika sheria tatu za Mwendo za Isaac Newton.sheria ya kwanza inasemaan" object will not change its motion unless a force acts on it."yaani "kiumbe hakitobadili mwendokasi wake mpaka kani ya nguvu iingilie "
Mfano:kabla haujapanda lift unakuwa kwenye mwendokasi wako, ili ukiingia na kupanda,lift ikianza kwenda juu au kushuka ghafla unahisi mwili kutaka kuruka au kudidimia, hii ni kwasababu mwendokasi wa Lift ndiyo force inayoingilia mwendokasi wako.
Sasa hauwezi kuhisi huo mwendokasi wa dunia kwasababu umezaliwa Dubai,yaani tangia upo tumboni kama yai tayari uli-adopt mwendokasi wake kama wako.
Wale Astronauts wanaotoka na kuingia dunia ,vyombo vyao kutumia nguvu nyingi ili niweze kutoka au kuingia katika mwendokasi wa dunia.

3.Hapo kwenye kusema Dunia ina eneo la maili 3965,ambazo ni sawa na Km 6381 sasa hapo mbona kimahesabu ni uongo. Kwa maana nchi yetu tu ina zaidi ya huo ukubwa.
Kwa tuliosoma sayansi tunabatilisha mahesabu ya chini yote yaliyofuata

4.Suala la mwanga:
Kama dunia ni tambarare basi hata mwanga wa jua ungemulika kote sawa. Chukua tochi mulika daftari kwenye chumba giza, Utaliona daftari zima,,,aya sasa chukua tochi mulika chungwa kuna upande wa chungwa utakuwa na giza.

Kama dunia haijizungushi na tambarare basi jua linavyochomoza asubuhi kutoka magharibi na kwenda mashariki si lingeenda mona kwa moja ama ? Na ulisema
Jua ndiyo lazunguka basi by the time Jua katika upande wa pili wa kipenzi cha dunia basi baridi lingetuuwa wote.
Na jua linalozunguka dunia inawezaje kuhakikisha kwa masaa 24 kuna upande wa dunia unapata mwanga.

5.Mawingu, always yanaenda upande mmoja,kama dunia tambarare basi inamaana yakifika ukingo wa dunia yanapotea kule.

6.Hesabu ya mwaka: Hivi unajua kuwa hesabu ya siku 365.25 hutokana na mzunguko wa dunia na solar system na katika tenge lake.
Aya,dunia ni tambarare ,hiyo hesabu ya miaka yako uliyonayo, itakuwa imezingatia mahesabu gani.

7. NASA :ushahidi wako mwingi umejikita kwenye kuwasema NASA ni waongo, kwahyo hata Warusi wanshirikiana na NASA,hata Wairan na Wakorea (hawa wote wana satellite angani) wanashorikiana na NASA kwenye uongo.

8.ANTARTICA:Nenda usome wataka wa U.N why wachache wanenda kule.
Kwanza like ndiyo jangwa kubwa dunia kwa mana linaweza kukaa hata miaka mi5 vila mvua. Barafu zina unene mpaka wa km2 ndiyo unagusa ardhi.

9.Toa hoja za kisayansi na kutumia vitabu vya dini na hisia kama sehemu za kujitetea

Also kuongezea point zako, dunia ingekuwa flattery satellite zilizorushwa angani, zingekuwa stationary at only place.

Maana lengo la sattelite ni ziwe zina point at one particular point.

Kungekuwa hakuna haja ya kuzi design ziwe zinazunguka angali sawa na rotation ya dunia kwa ajili ya kumaintain position.
 
Kuna watu humu wamekariri kwamba Dunia ina rotate...na wanapambana kuaminisha wengine kwamba Dunia ina rotate.....sasa mwenye akili timamu na njaa ya kujifunza ajaribu kupitia mtazamo wa Albert Einstein juu ya either Dunia inazunguka ama la kisha atuambie amejifunza nini kutoka kwa Mwanasayansi huyu ambae Inasemekana ni miongoni mwa Wanasayansi wakubwa Duniani kuwahi kutokea.

Albert Einstein's view on the motion of the Earth was consistent with the principles of his theory of relativity. According to his theory, motion is relative, meaning there is no absolute frame of reference. This implies that whether the Earth is considered to be at rest and other celestial bodies move around it, or the Earth moves while other bodies are at rest, is a matter of choice of reference frame. This idea is encapsulated in his famous equation \(E=mc^2\), which revolutionized our understanding of space, time, and motion.
 
kukubali Dunia inazunguka ni Ujinga mwingine watu wamekaririshwa.......... Inastaajabisha Sana Kwa spidi tajwa tushindwe kuhisi chochote sio sisi tuu Bali hata Maji yaliyolifunika hili "tufe"
 
kukubali Dunia inazunguka ni Ujinga mwingine watu wamekaririshwa.......... Inastaajabisha Sana Kwa spidi tajwa tushindwe kuhisi chochote sio sisi tuu Bali hata Maji yaliyolifunika hili "tufe"
Speed ndio inayokuchanganya ?

Kitu ambacho hata ukiwa kwenye ndege angani pamoja na speed yote ile ya ndege hauhisi chochote vile vile.
 
kukubali Dunia inazunguka ni Ujinga mwingine watu wamekaririshwa.......... Inastaajabisha Sana Kwa spidi tajwa tushindwe kuhisi chochote sio sisi tuu Bali hata Maji yaliyolifunika hili "tufe"
Mkuu umeshapanda treni inayokwenda kwa constant speed? Hata ikiwa speed mia ikiwa constant unaeza cheza hadi disko.
 
Kuna watu humu wamekariri kwamba Dunia ina rotate...na wanapambana kuaminisha wengine kwamba Dunia ina rotate.....sasa mwenye akili timamu na njaa ya kujifunza ajaribu kupitia mtazamo wa Albert Einstein juu ya either Dunia inazunguka ama la kisha atuambie amejifunza nini kutoka kwa Mwanasayansi huyu ambae Inasemekana ni miongoni mwa Wanasayansi wakubwa Duniani kuwahi kutokea.

Albert Einstein's view on the motion of the Earth was consistent with the principles of his theory of relativity. According to his theory, motion is relative, meaning there is no absolute frame of reference. This implies that whether the Earth is considered to be at rest and other celestial bodies move around it, or the Earth moves while other bodies are at rest, is a matter of choice of reference frame. This idea is encapsulated in his famous equation \(E=mc^2\), which revolutionized our understanding of space, time, and motion.
Nyinyi ndio mmekariri,

Na mpo kiimani zaidi.

Kuna maswali ambayo ilikua simple sana kututhibitishia kwa nadharia mliyonayo lakini imeonekana ni magumu kupita maelezo maana mkiulizwa tu mnaanza porojo.


Mmeshindwa kutaja nchi ambazo kingo za Dunia ndio zilipo, tunaomba hata picha basi mtuonyeshe Kingo za Dunia zilipo.

Mkifanya hivyo tuu, kuanzia leo ntajiona nlikua mjinga sana.
 
Hilo swali nadhani tukuulize wewe uliyesema hivi [emoji1370]

"Sikufikiria kwenye Dunia tambarale wala Dunia tufe."
Ona unavyozidi kuniaminisha madai yangu kwenye swali langu

Mimi ni "Kwasababu nlikua mtoto, Nlikua naendelea kujifunza"
 
Ona unavyozidi kuniaminisha madai yangu kwenye swali langu

Mimi ni "Kwasababu nlikua mtoto, Nlikua naendelea kujifunza"
Yes,. ndiyo maana nikasema hilo swali la ugonjwa wa kufikiri lingekufaa wewe Kwasababu mtoto mwenye akili inayofanya kazi vizuri atafikiria Tu kuhusu umbo la dunia....& That's why ulisema, ulivyokua mtoto ulikua unajiuliza mwisho wa Dunia ni wapi...

Au ushasahau kama ulisema hivyo?
 
Nyinyi ndio mmekariri,

Na mpo kiimani zaidi.

Kuna maswali ambayo ilikua simple sana kututhibitishia kwa nadharia mliyonayo lakini imeonekana ni magumu kupita maelezo maana mkiulizwa tu mnaanza porojo.


Mmeshindwa kutaja nchi ambazo kingo za Dunia ndio zilipo, tunaomba hata picha basi mtuonyeshe Kingo za Dunia zilipo.

Mkifanya hivyo tuu, kuanzia leo ntajiona nlikua mjinga sana.
Sawa vizuri..,Kwa lengo la kujifunza,..umemuelewa vipi Einstein hapo?
 
Yes,. ndiyo maana nikasema hilo swali la ugonjwa wa kufikiri lingekufaa wewe Kwasababu mtoto mwenye akili inayofanya kazi vizuri atafikiria Tu kuhusu umbo la dunia....& That's why ulisema, ulivyokua mtoto ulikua unajiuliza mwisho wa Dunia ni wapi...

Au ushasahau kama ulisema hivyo?
Hahah nna wasi wasi na wewe mkuu.

Kwahiyo chief ulipokua mtoto tayari ulikua unafikiria kuhusu Dunia ni tambarale ?
 
Sawa vizuri..,Kwa lengo la kujifunza,..umemuelewa vipi Einstein hapo?
Albert Einstein never directly said that the Earth is not spinning/rotating in its axis. No object in the sky can be considered stationary, and we can observe this by the rising and setting of the Sun, the Moon, the stars, and other planets.

What Einstein did, was formulate the theory of relativity. With this theory, gravity and the Earth's rotation can be considered relative. For example, if we are standing on the North Pole looking at the sky we can see the celestial bodies spinning all around us, but have a position that might cause us to question if it is the sky that is revolving around the Earth or the Earth that is spinning (it's the Earth that's spinning on its axis).
 
Hahah nna wasi wasi na wewe mkuu.

Kwahiyo chief ulipokua mtoto tayari ulikua unafikiria kuhusu Dunia ni tambarale ?
Yes,..nilifikiria hivyo kwasababu niliona hivyo Kwa macho na still nimekua na naona hivyo hivyo hakuna kilichobadilika.

Swali nililokua najiuliza ni kama wewe tu,..Kwamba Je,ni wapi mwisho wa Dunia?! So, utagundua kwamba shape ya Dunia haikua ishu since then & now..it's a flat plane all over.
 
Yes,..nilifikiria hivyo kwasababu niliona hivyo Kwa macho na still nimekua na naona hivyo hivyo hakuna kilichobadilika.

Swali nililokua najiuliza ni kama wewe tu,..Kwamba Je,ni wapi mwisho wa Dunia?! So, utagundua kwamba shape ya Dunia haikua ishu since then & now..it's a flat plane all over.
Unamaanisha ni flat isiyo na mwisho au kikomo ?
 
Back
Top Bottom