greater than
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 1,653
- 3,060
Kwanza niambie level yako ya Physics ni ipi bro?Sawa,... Kwa kuwa unaijua vizuri Physics tafadhali tuambie,....
1. Physics inasema nini kuhusu curvature of the earth,.. where is it then?
2. Unaweza kuthibitisha pasina shaka yoyote kwamba Dunia ina rotate,...
Yan umepinga na kujijibu...Na sisi tuko ndani ya Dunia au nje ya Dunia? Ndege inakimbia speed ipi?, ukiwa ndani ya ndege ile movement unaifeel vzr kabisa na ukiangalia kwa kioo unaona mvt ya ndge mbona tofauti kwa Dunia inayozunguka kwa speed ya 66,700mph?
Actually muanzilishi wa nadhalia hiyo ni Padre wa Kiroma...Maana ya NASA ni kupinga, na ndo waanzilishi wa the big bang theory hawa wako nyuma ya kila kitu hata hizo unazoona Apollo ni project zao za kuendelea kutudanganya na kuficha uumbaji wa Mungu.
Nataka nikuokoe na ugonjwa wa kukariri theories,..Kwa bahati mbaya still unaamini kwenye theories ndiyo kuna absolute facts 100%.Kwanza niambie level yako ya Physics ni ipi bro?
Soma Heliocentric theories
Soma Relativity theories
Hebu nyie wana arts mbaki kwenye arts basi,,,Satellite zipo but sio kama mnavyoambiwa ziko wa orbit na internet zaidi ya 90% inatumia undersea cable. Ukishajua ukweli wa hii Dunia mambo mengine hata hayawezi kukupa shida,
Check ukibananishwa, unaona leta philosophy,Nataka nikuokoe na ugonjwa wa kukariri theories,..Kwa bahati mbaya still unaamini kwenye theories ndiyo kuna absolute facts 100%.
NB: Theories are not merely a facts 100%., ukishafahamu hilo then you are good to go with a clear and unburdened mind.
Umenibananisha na nini sasa?!,..na hizo nadharia au?Check ukibananishwa, unaona leta philosophy,
Nijibu kwanza level yako ya physics ni ipi ?
Mana mpaka sasa umesha pinga theories of motion by Newton,Ushapinga Theories of Relativity by Einstein na hata za nicolaus copernicus...
Tena hizo theories zinakuwa applied katika mashine za kila siku.
Kwanz mpaka zimepewa heshima ya kuwa theories ni proofed by 90%,Hiyo hubaki ili kuruhusu kama kuna atakayepinga aje na theories zake,aweke ushahidi wake na mahesabu yake.
So,far non of you guys have done,full kujikanyaga.
So,.wewe ni Mwanasayansi?Hebu nyie wana arts mbaki kwenye arts basi,,,
Kwa this kind of comment,niwie radhi ila sidhani kama unaijua physics, yan hapo umegewa simple concepts za physics ambazo katila maisha ya kila siku unaziishi...usiweke philosophy kwenye physics.
Yan hapa naona wewe utakuwa ulisoma Arts unaleta sanaa kwenye Sayansi.
Tatizo imani ikizidi kichwani,.hata macho yanaingiwa na upofu,. Watu wapo tayari kuitupa mbali logic ili tu wabaki na walichoaminishwa tokea wanapata akili.
Ukiwauliza sea ball inapatikanaje kwenye round-ball watasema Dunia sio complete TUFE,..ila picha wanatuletea hizi [emoji1371][emoji288] complete round-ball,.. Inashangaza [emoji1373]
Narudia tena....Nitajie level yako ya elimu ya physics kwanza, ili watu waone level ya evidence ya kukupa.So,.wewe ni Mwanasayansi?
Kukariri nadharia hakukufanyi uwe Mwanasayansi,... atleast Mtu ambae anafanya his own observations akijiita Mwanasayansi tunaweza kumuelewa.
1. Hujawahi kuona/kuhisi kwamba Dunia ina move, unaamini Tu,. kisha unajiita Mwanasayansi?
2. Hujawahi kuona umbo la Dunia Tufe zaidi ya CGI, unaamini Tu,. kisha unajiita Mwanasayansi?
3. You know nothing about the curvature of the earth and it's whereabouts, unaamini Tu ipo...kisha unajiita Mwanasayansi?
_______
Narudia tena....Nitajie level yako ya elimu ya physics kwanza, ili watu waone level ya evidence ya kukupa.So,.wewe ni Mwanasayansi?
Kukariri nadharia hakukufanyi uwe Mwanasayansi,... atleast Mtu ambae anafanya his own observations akijiita Mwanasayansi tunaweza kumuelewa.
1. Hujawahi kuona/kuhisi kwamba Dunia ina move, unaamini Tu,. kisha unajiita Mwanasayansi?
2. Hujawahi kuona umbo la Dunia Tufe zaidi ya CGI, unaamini Tu,. kisha unajiita Mwanasayansi?
3. You know nothing about the curvature of the earth and it's whereabouts, unaamini Tu ipo...kisha unajiita Mwanasayansi?
_______
Kwanza niambie level yako ya Physics ni ipi bro?
Soma Heliocentric theories
Soma Relativity theories
Yan umepinga na kujijibu...
Mwili ukishapanda kitu kilicho chenye mwendo hapo hapo huanza ku-adopt hiyo kasi ya mwendo na kuwa at rest...
Baada ya hapo hauwezi sense ile movement,,
Ili u-sense hiyo movement ni pale ukiangalia nje tu,au kuwe na external force yenye kuleta mtikisiko.
Sasa tupo upo on earth, ili uweze sense hiyo motion inabidi reference point yako uchukulie kwenye sayari au celestial bodies za nje, na ili uweze ona nje ndiyo utumie telescope at night mkuu
Duh...hebu tupe picha za Flat earths basi.Hakuna video kutoka angani inayoonesha Dunia ina spin. Wanatuonesha picha ambazo ni CGI photoshop
Actually muanzilishi wa nadhalia hiyo ni Padre wa Kiroma...
Sasa kama hata haujui kazi za NASA,hapa si kupoteza mda tu.
Duh...hebu tupe picha za Flat earths basi.
Okay,tufanye dunia ni flat,Kwahiyo Marekani na Russia hazijapakana...check ramani kwanza halafu uelewa hili swali.
Hilo swali ni lipi ....Hujajibu swali kuhusu Curvature ya Dunia, na hapa na mimi nasubiri majibu yako.
Nimemuuliza juu ya level ya elimu ya physics, kwasababu kapinga hadi laws za Newton za motion...ambazo ndizo hutumika kusaidia kutenengeneza vyombo vya usafiri.Hujajibu swali kuhusu Curvature ya Dunia, na hapa na mimi nasubiri majibu yako.
Bro,hiyo ni azimuthal equidistant projection ni mojawapo ya projection ya dunia(tufe) kwenye flat surface,Logo za UN ni jibu tosha, Pilots wanatumia flat earth map. Sasa bado huamini nini?View attachment 2918026
Uzuri wa hawa watu always watakuonesha ukweli ila ndo hivyo akili zetu zisharuhusu kutawaliwa we cant judge au kufanya research.
Na huo weupe unaoona ni Ice walls wao wakakwambia Antartica[emoji23]