Chosen Rich
JF-Expert Member
- Jan 7, 2019
- 1,467
- 989
Point yangu ilikua kukubadilisha mtazamo wako wewe,Vizuri,..muelimishe na Chosen Rich aelewe maana anabisha hadi kitu anachokiona Kwa macho yake[emoji1373]
Nadhani wewe unaeamini kuna point of sight ambayo maji yanaonyesha Ku bend down the earth's curvature ungetuambia if there's something like that and can simply be observed.Umekaa wapi na ukayaangalia uelekeo gani kuthibitisha hiki??
Sasa mkuu mbona Mimi mtazamo wangu sio Dunia Tufe 👉🏼 🌍....huu ni mtazamo wako wewe tokea mwanzo, labda ujaribu kubadilisha mtazamo wako.Point yangu ilikua kukubadilisha mtazamo wako wewe,
The way unavyoichukulia Dunia tena kwa ukubwa wake kucompare na mpira sio sawa.
Ziko sehemu maji yanapanda mrima, ili nalo tumedanywa?Hakuna point hapa mkuu ya kunishawishi, kumbuka maji hayapandi mlima, kwahiyo hapo umekiri maji yanatitirika kutoka sehem ya juu kwenda ya chini. So kwa hii point unataka kusema Tanzania iko kwenye mwinuko na Egypt iko bondeni
Na hapo ndipo nilitaka ujipeleke mwenyewe na sis kukupeleka mimi, ukweli sikuzote haulazimishwi una ji releasing.Nadhani wewe unaeamini kuna point of sight ambayo maji yanaonyesha Ku bend down the earth's curvature ungetuambia if there's something like that and can simply be observed.
Ujawahi kushuhufia maji yakifanyaje kilasiku naona bahari Job ipo hivyoKwasababu Kwa upande wangu sijawahi kushuhudia maji ya bahari yakifanya hivyo na ndiyo maana nasema haipo,..vipi kuhusu wewe?
So,.wewe ni kama Mimi hujawahi kushuhudia Maji yaki bend down to the earth's curve? Yes/No?Na hapo ndipo nilitaka ujipeleke mwenyewe na sis kukupeleka mimi, ukweli sikuzote haulazimishwi una ji releasing.
Simply l, hio cave ndio cave ya duara la dunia means ukitoka pont of sight ukaenda kwenye point unayoona cave utaona cave tena mbele ukienda tena utaona tena mpaka utarudi palepale point yako A kukamilisha mzunguuko mzina cave kama hizo utaziona zaidi ya million to assume.
Kutokana na Ukubwa wa dunia Cave yake uta experience kwa macho tu point A to B ila ukichukua mpira wa gozi size ndogo utapogusa na kidore cave ipo kila sehemu.
Suala ni Mindset yako na psychology imezoea small round inapokuja ukubwa wa round ya Dunia mindset inakataa.
Ujawahi kushuhufia maji yakifanyaje kilasiku naona bahari Job ipo hivyo
Sijakuelewa sijawahibshuhudia nawakati mimi nipo feli hapa kilasiku mpaka navyoandika hapa nisishuhudie kiaje.So,.wewe ni kama Mimi hujawahi kushuhudia Maji yaki bend down to the earth's curve? Yes/No?
Maana ni maelezo tu hayo,.au imekaaje..
Vizuri..,Tubariki japo picha/video basi ili tuondoe utata kumbe mambo ni rahisi kabisa.🤝🏼Sijakuelewa sijawahibshuhudia nawakati mimi nipo feli hapa kilasiku mpaka navyoandika hapa nisishuhudie kiaje.
Camera yangu haipo vizuri hata jana nilishindwa kupiga satellite za starlinkVizuri..,Tubariki japo picha/video basi ili tuondoe utata kumbe mambo ni rahisi kabisa.🤝🏼
At last this debate comes to an end..
Sawa,.. ukipata camera nzuri fanya hivyo mkuu hata ikiwezekana unaweza ukamuazima mtu ili tupate Video/Picha inayoonyesha bending of the water towards the earth's curvature,.....itakua safi sana.Camera yangu haipo vizuri hata jana nilishindwa kupiga satellite za starlink
Kuwarahisishia.Sawa,.. ukipata camera nzuri fanya hivyo mkuu hata ikiwezekana unaweza ukamuazima mtu ili tupate Video/Picha inayoonyesha bending of the water towards the earth's curvature,.....itakua safi sana.
[emoji288]View attachment 2918075
Kwanini isiwezekane??
Na jambo linalonishangaza kuhusu ninyi,, Kuna mambo mnaona hayawezekani na mnayashangaa.
lakini kwenye nadharia yenu hiyo hiyo kwa ufikiri wenu huo mkiutumia kuna mambo ingepasa mseme hayawezekani pia ( Maana kwa upande wenu mambo ambayo yapo nje ya uwezo wenu wa kufikiri mnaita hayawezekani )
Mfano ni huu; Mnasema jua ndio inazunguka Dunia..Nguvu inayoendesha jua kuzunguka kwa uwezo wenu mdogo wa kufikiri huoni kama ilipasa mshangae na hilo pia ?
Ziko sehemu maji yanapanda mrima, ili nalo tumedanywa?
Sasa maji nayo si yana spinSasa wewe unawezaje kuamini dunia ina spin na maji yanastick kwenye ball? Hata pysics tu inakataa[emoji23]