Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
kaka nadhani hujaelewa kabisa ramani ya dunia tambarare ,,,na maswali yako yote yamejibiwa ,,,jaribu kusoma kwa kina uzi wangu
300px-SunAnimation.gif
this is how the sun revolve around the earth flat plane



ngoja kwanza nkutoe ujinga kidogo ,,,hizi sayari nyingine ulizo zitaja zamani zilijulikana kama woundering stars unajua kwasababu gani ??? kwanza kabisa naomba utambue kwamba picha zote za plannet nyingine unazoziona internet ni computer generated images(cgi) sio real images kwahiyo naweza kusema zile zenyewe ni fake images ,,,,me swali langu ni dogo sana kwanini na technologia ambayo tunayo leo hatuna picha halisi ya dunia lakin tunauwezo wa kwenda mars ,,,,maswali mengine mjiulize tu wenyewe sifa moja ya plannet kua plannet ni kwamba inatakiwa isiblink inabidi ing'ae tu through out lakin huo ni uongo ukiangalia venus ambayo inajulikana kama eavining star utagundua kwamba kuna mda ina blink embu nielezee kwanini,,,,,somethings we can observe with our own eyes ....alafu unanambia dunia ni kubwa sana siwezi kuona duara lake okay nmekubali na ni kweli dunia ni kubwa sana ,,haya vipi na ndege zinazo paa kila siku mbna hawaoni duara kumbuka the horizon always rise to the eye level ,,,,alafu huu uongo mataifa yote yanashirikiana kuificha ...ndo maana tunaiita global deception tangu dunia ianzishwe hatujawahi kuona planet yoyote inapita mbele ya jua kwa mocho yetu mawili,,,,na haiwezekani in real sance haiwezekani circles zote za planets zisi loops sehemu
300px-SunAnimation.gif
this is how the sun revolve around the earth flat plane
alafu hili swala halihusiani na dini kwani we unajua dini yangu au unaongea tu kujifraisha..,.,.,.,

kama ungekuja na hoja za maana na point kunipinga ningekuelewa ....,unanidhihirishia kua umefikia mwisho wa kutafakari na unavojinadi unaelimu its a shame..

hoja gani nmeshidwa kujibu,,,,,alafu usitegemee utapata majibu yote hapa,,,im just opening your mind to creatical thinking ndo maaana nliwaambia mtu anaetetea round earth aje na picha halisi ya dunia ya duara,,,,,najua hata ukishinda google hupati,,,lkn mimi i can prove the earth is flat na hamna sehemu kuna curveture na hata kama curvetureingekua baharini mbona nchi kavu hatuini kitu ,,,alafu try to explain to me jinsi maji yote ya bahari yanavyo weza kushikiliwa if the earth was round kumbuka water finds its ownlevel alafu water always maji yanafuata mkondo wake ,,,au nambie ndege inapaaje na kwenda accurate navyo sema nmefanya research nna maanisha
11143519_1144493992243423_2874492312554835064_n.jpg
think about the diferences between falt earth and ball round earth

ulicho andika hapo huwezi kukiprove kwa njia yoyote hata ukilalal unasali kwasababu amna kitu kama icho..,.,the earth is stationary and everything above is revoving around us sema hatufundishwi darasani kama unajuan nyota inaitwa polaris i fatilia au nijibu inawezekanaje constilation zote ziwe zina izunguka polaris najua ufahamu kuhusu hili kwahiyo kajifunze kwanza ,,,,dunia haizunguki wala hain'gooki,,,its a flat plane
think about the word planet the source ni plane ...now do you knw the meaning of the word plane??????

usiseme ivo wewe me naweza kusema watu wanashidwa kuelewa kwasabbu bongo zimelala bado,,,,,, mpaka leo unaamini dunia ni kama kipira kipo angani na kunazungushwa na nguvu inaitwa gravity alafu kila siku tunaona jua llinatuzunguka vizuri tu ,,,,wewe ulishawai kuona wapi dunia inaizunguka jua au kila siku unaona jua ndo linapita ,,alafu kwanza nyota na anga ni lile lile akibadiliki kitu ,,alafu fikiria kupatwa kwa jua kungewezekanaje wakati jua ni kubwa sana kuliko mwezi '''''''Scientists estimate that around 64.3 million moons would fit inside the sun. Earth's moon has a radius of around 1,080 miles and the sun has a radius close to 432,687 miles,,,,,, sasa how can this be possible....
mkuu kama ni hivo naomba unielekeze kupatw kwa mwezi kwa mujibu wa flat and stationary earth
 
Habari ya kupatwa kwa mwezi mbona kama inapigwa chenga hamuijibu??? Vipi kuhusu maji kupwa huwa yanakwenda wapi na kwa nguvu IPI kingo za dunia flat zipo wapi na picha HALISI ya flat earth ipo wapi
nimeuliza na mimi lunar eclipse inaonekana ni swali gumu
 
Aisee kweli nlikuwa najarib kudigest hiyo theory nimeona inaweza kueleza solar eclipse tuu
hata huyo mtoa mada anakikbia hili swali kama halioni ndio utajua hamna kitu hapa ni utapeli tu.
 
www.moonphases.info/why-stars-cant-be-seen-during-the-day.html

Soma hapo mkuu kama usipoelewa labda wewe ndo utoe ufananuzi kwanini nyota hazionekani mchana. Na kama ni object tu ndio inayoweza kuzuia tusione mbele je kuna object gani Kati ya dunia na nyota? Na object hio kwanini inaonekana mchana tu usiku inapotea?

Mrejesho wa link niliyopewa, mimi na ndugu tunatofautiana kwa Nini nyota mchana hazionekani? Ndugu anasema kuwa kwa sababu ya mwanga wa jua, mimi nakata siyo kweli. Hii taarifa yake aina sifa ya kuwa journal tunaweza kupeleka library ya chuo watu wakasoma hakuna jina la mwandishi, kitabu, mwaka walio chapisha, mji na source ya maelezo yake ni wapi?
Kwa wengine Nimenukuu baadhi ya mistali, ni vizuri ukaingia mwenyewe kwenye link ukasoma na kujilidhisha
Nukuu kwenye link " When our part of the Earth is
facing the sun during the day, the blue light that
radiates from the sun scatters through the
atmosphere and is what causes our sky to be
blue. This light is so bright that it blocks us from
seeing anything else in the sky. Due to this, it is
only during the night when we are not facing the
sun that the rest of the stars in the sky get to be
visible and shine". Mwandishi wa hii taarifa anatuambia kuwa mwanga ndo unatuzuia sisi kuona kitu chochote katika Anga. Siyo kweli sifa ya macho ni kuona na kutambua kama inafika wakati badala ya kuona watu unaona miti inatembea uwezo wa macho yako ni mdogo.
Nukuu nyingine " Furthermore, the rest
of the stars in our galaxy have a relatively weak
brightness compared to that of the sun.
Therefore, our eyes are not capable of seeing
them in the sky" mwandishi anatuambia kuwa macho yetu hayana uwezo wa kuangalia Anga . Ili ndo jibu langu nililokuambia kwenye post zangu za kwanza, kwa Nini mchana nyota hatuzioni??? naomba urejee tena uzisome vizuri post zangu.
Nukuu nyingine " Furthermore, air pollution, the amount of H2O, CO2 and other green house gases in the atmosphere can also affect one’s chances of
observing the stars in a city. Mwandishi haeleweke kazungumzia uharibifu wa hali ya hewa, kias cha maji, CO2 na green house gases kwa namna 1 na nyingine vina athiri kuangalia Anga. (1) Je hivi vitu vinakuwepo wakati wa mchana tu Angani, kuzuia nyota mchana tusizione?? (2) Je usiku hivi vitu vinakuwa wapi mbona nyota twazioni??. Ndugu toa maelezo
Nukuu nyingine " the main factor that blockades people from seeing many stars in the sky in populated,
urban cities is called light pollution, which occurs
when light from all of the houses and streets
gather together and cover the sky" mwandishi anatuambia kuwa sababu kuu la zuio ni mwanga wa uchafuzi. Wewe umetuambia kuwa mwanga wa jua ndo unazuia nyota zisionekane mchana, mwandishi yeye anasema main factor zuio la nyota ni light pollution na siyo mwanga wa jua. Kipi ni cha kweli mwandishi anajichanganya.
Mwandishi kajichanganya sana alafu hii taarifa imeegemea maeneo ya mjini (3) Je kwa mtu aliyeko kijijin yeye nyota mchana anaziona?? Ndugu Ungesoma hii taarifa neno kwa neno wala usingetupa tusome hii link , narudi mara ya 2 wewe hauko makini kusoma. Nasubiria maswali(3) niliyo kuuliza nahitaj maelezo zaidi. Kama utaendelea kutoa majibu kwa Google no problem.
 
Mrejesho wa link niliyopewa, mimi na ndugu tunatofautiana kwa Nini nyota mchana hazionekani? Ndugu anasema kuwa kwa sababu ya mwanga wa jua, mimi nakata siyo kweli. Hii taarifa yake aina sifa ya kuwa journal tunaweza kupeleka library ya chuo watu wakasoma hakuna jina la mwandishi, kitabu, mwaka walio chapisha, mji na source ya maelezo yake ni wapi?
Kwa wengine Nimenukuu baadhi ya mistali, ni vizuri ukaingia mwenyewe kwenye link ukasoma na kujilidhisha
Nukuu kwenye link " When our part of the Earth is
facing the sun during the day, the blue light that
radiates from the sun scatters through the
atmosphere and is what causes our sky to be
blue. This light is so bright that it blocks us from
seeing anything else in the sky. Due to this, it is
only during the night when we are not facing the
sun that the rest of the stars in the sky get to be
visible and shine". Mwandishi wa hii taarifa anatuambia kuwa mwanga ndo unatuzuia sisi kuona kitu chochote katika Anga. Siyo kweli sifa ya macho ni kuona na kutambua kama inafika wakati badala ya kuona watu unaona miti inatembea uwezo wa macho yako ni mdogo.
Nukuu nyingine " Furthermore, the rest
of the stars in our galaxy have a relatively weak
brightness compared to that of the sun.
Therefore, our eyes are not capable of seeing
them in the sky" mwandishi anatuambia kuwa macho yetu hayana uwezo wa kuangalia Anga . Ili ndo jibu langu nililokuambia kwenye post zangu za kwanza, kwa Nini mchana nyota hatuzioni??? naomba urejee tena uzisome vizuri post zangu.
Nukuu nyingine " Furthermore, air pollution, the amount of H2O, CO2 and other green house gases in the atmosphere can also affect one’s chances of
observing the stars in a city. Mwandishi haeleweke kazungumzia uharibifu wa hali ya hewa, kias cha maji, CO2 na green house gases kwa namna 1 na nyingine vina athiri kuangalia Anga. (1) Je hivi vitu vinakuwepo wakati wa mchana tu Angani, kuzuia nyota mchana tusizione?? (2) Je usiku hivi vitu vinakuwa wapi mbona nyota twazioni??. Ndugu toa maelezo
Nukuu nyingine " the main factor that blockades people from seeing many stars in the sky in populated,
urban cities is called light pollution, which occurs
when light from all of the houses and streets
gather together and cover the sky" mwandishi anatuambia kuwa sababu kuu la zuio ni mwanga wa uchafuzi. Wewe umetuambia kuwa mwanga wa jua ndo unazuia nyota zisionekane mchana, mwandishi yeye anasema main factor zuio la nyota ni light pollution na siyo mwanga wa jua. Kipi ni cha kweli mwandishi anajichanganya.
Mwandishi kajichanganya sana alafu hii taarifa imeegemea maeneo ya mjini (3) Je kwa mtu aliyeko kijijin yeye nyota mchana anaziona?? Ndugu Ungesoma hii taarifa neno kwa neno wala usingetupa tusome hii link , narudi mara ya 2 wewe hauko makini kusoma. Nasubiria maswali(3) niliyo kuuliza nahitaj maelezo zaidi. Kama utaendelea kutoa majibu kwa Google no problem.
Basi wewe ni mbishi, kuna mtu alikupa mfano, jaribu kuwasha mshumaa usiku, uweke usawa wa mlango wa gari au hat juu ya bonet, then washa taa za gali full dim, je utauona mshumaa au mwanga wake? So ni kipi kimekuzuia.
Na kwa mfano huo huo, ni kwa nini madereva huwa wanapata tabu sana kupishana usiku kama wamewasha full dim?
 
Lunar Eclipse According to Flat Earth.....

The Lunar Eclipse

A Solar Eclipse occurs when the moon passes in front of the sun.

A Lunar Eclipse occurs about twice a year when a satellite of the sun passes between the sun and moon.

This satellite is called the Shadow Object. Its orbital plane is tilted at an angle of about 5°10' to the sun's orbital plane, making eclipses possible only when the three bodies (Sun, Object, and Moon) are aligned and when the moon is crossing the sun's orbital plane (at a point called the node). Within a given year, considering the orbitals of these celestial bodies, a maximum of three lunar eclipses can occur. Despite the fact that there are more solar than lunar eclipses each year, over time many more lunar eclipses are seen at any single location on earth than solar eclipses. This occurs because a lunar eclipse can be seen from the entire half of the earth beneath the moon at that time, while a solar eclipse is visible only along a narrow path on the earth's surface.

Total lunar eclipses come in clusters. There can be two or three during a period of a year or a year and a half, followed by a lull of two or three years before another round begins. When you add partial eclipses there can be three in a calendar year and again, it's quite possible to have none at all.

The shadow object is never seen because it orbits close to the sun. As the sun's powerful vertical rays hit the atmosphere during the day they will scatter and blot out nearly every single star and celestial body in the sky. We are never given a glimpse of the celestial bodies which appear near the sun during the day - they are completely washed out by the sun's light.

It is estimated that the Shadow Object is around five to ten miles in diameter. Since it is somewhat close to the sun the manifestation of its penumbra upon the moon appears as a magnified projection. This is similar to how during a shadow puppet show your hand's shadow can make a large magnified projection upon your bedroom wall as you move it closer to the flashlight.

Dr. Samuel Birley Rowbotham has provided equations for finding the time, magnitude, and duration of a Lunar Eclipse at the end of Chapter 11 of Earth Not a Globe.

There is also a possibility that the Shadow Object is a known celestial body which orbits the sun; but more study would be needed to track the positions of Mercury, Venus and the sun's asteroid satellites and correlate them with the equations for the lunar eclipse before any conclusion could be drawn.

References:

Zetetic Cosmogony chapter on the Lunar Eclipse

Chapter 11 of Earth Not a Globe

Why the Earth may really be Flat

Also See:

Aristotle's Second Proof

Why the Lunar Eclipse is Red
 
Dunia sio flat.

Kuna satellite images na tuacheni kuleteana mada ya conspiracy na hoaxes.
 
Basi wewe ni mbishi, kuna mtu alikupa mfano, jaribu kuwasha mshumaa usiku, uweke usawa wa mlango wa gari au hat juu ya bonet, then washa taa za gali full dim, je utauona mshumaa au mwanga wake? So ni kipi kimekuzuia.
Na kwa mfano huo huo, ni kwa nini madereva huwa wanapata tabu sana kupishana usiku kama wamewasha full dim?

Ndugu ule mfano wake umeelewa vizuri na kuchambua kwa uwezo wangu wa kufikiri hauko sawa. Mfano wake upo hivi nyota zipo nyuma ya jua, jua linatoa mwanga mkali na kuzuia nyota zilizopo nyuma inamaana kuwa nyota zipo mstatili ulionyooka na jua. Je ni kweli. Nyota zimezunguka uko Anga. Na wewe huo mfano Wako inamaana mwanga ukitokea nyuma ya dereva au pembeni hatashindwa kuona. Tunapo angalia nyota angani hatuliangalii jua. Mimi siyo mbisha but ukinipa fact nakubali. Chunguza vizuri mfano wake alafu chunguza Anga vizuri. Anasema katikati weka kitu kinachotoa mwanga mkali nyuma weka mshumaa. Ndiyo nyota zilivyo jipanga uko angani kabla ya kuangalia nyota lazima uliangalie jua. Nyota zipo East, West, North, South.
 
kaka nadhani hujaelewa kabisa ramani ya dunia tambarare ,,,na maswali yako yote yamejibiwa ,,,jaribu kusoma kwa kina uzi wangu
300px-SunAnimation.gif
this is how the sun revolve around the earth flat plane

..

Kaka hii katuni ndio inakuvua nguo kabisa na theory yako ya Flat Earth,

Hivi kwa mzunguko huo wa Jua na Mwezi tungeweza kweli kuona KUPATWA KWA JUA au KUPATWA KWA MWEZI? Kama ndio hw?

Cc: Nafaka , jogi , Eiyer
 
Kaka hii katuni ndio inakuvua nguo kabisa na theory yako ya Flat Earth,

Hivi kwa mzunguko huo wa Jua na Mwezi tungeweza kweli kuona KUPATWA KWA JUA au KUPATWA KWA MWEZI? Kama ndio hw?

Cc: Nafaka , jogi , Eiyer

I agrees with your views.

Na huo mfano wake unaonyesha kuna eneo lina mchana tu.

Pia kwanini position ya nyota nayo haipo stationary?

Huyu anayeleta hii mada anatakuwa amekuwa brainwashed na conspiracy agents.

Hizi ndizo adhari za mtandao, tunaweza kujifunza au kujipotosha wenyewe kutokana na kuchagua tunachotaka kuelewa.

Zipo makala nyingi sana zinazoelezea vyema kuhusiana na Universe.
 
Ndivyo ilivyo kwa hili swali lako,ila kipenyo chake ni kikubwa sana na kuna joto kali kiasi kwamba kuchimba sidhani kama inawezekana
Mfano ukikwepa Centre ya dunia ukachimba (sio upate full kipenyo) such that kwa nje utatengeneza arc, je inawezekana uchimbe kwa kunyooka kutoka labda Afrika kusini hadi Chile au Antarctica? Am sure utakua umekwepa joto kali.
 
Mkuu kwa mfano kama kuna uwezekano
Tukichimba hapa tutatokea nchi nyingine?

Hii ndio prove ya mwisho kuwa dunia ni ya mviringo
Endapo kama wanasayansi wataprove hii
Basi nitaamini dunia ni ya mviringo
Maana mpaka sasa siamini nadharia yoyote juu ya hili
Kuchimba kwenyewe kuwe kwa kunyooka
 
Mrejesho wa link niliyopewa, mimi na ndugu tunatofautiana kwa Nini nyota mchana hazionekani? Ndugu anasema kuwa kwa sababu ya mwanga wa jua, mimi nakata siyo kweli. Hii taarifa yake aina sifa ya kuwa journal tunaweza kupeleka library ya chuo watu wakasoma hakuna jina la mwandishi, kitabu, mwaka walio chapisha, mji na source ya maelezo yake ni wapi?
Kwa wengine Nimenukuu baadhi ya mistali, ni vizuri ukaingia mwenyewe kwenye link ukasoma na kujilidhisha
Nukuu kwenye link " When our part of the Earth is
facing the sun during the day, the blue light that
radiates from the sun scatters through the
atmosphere and is what causes our sky to be
blue. This light is so bright that it blocks us from
seeing anything else in the sky. Due to this, it is
only during the night when we are not facing the
sun that the rest of the stars in the sky get to be
visible and shine". Mwandishi wa hii taarifa anatuambia kuwa mwanga ndo unatuzuia sisi kuona kitu chochote katika Anga. Siyo kweli sifa ya macho ni kuona na kutambua kama inafika wakati badala ya kuona watu unaona miti inatembea uwezo wa macho yako ni mdogo.
Nukuu nyingine " Furthermore, the rest
of the stars in our galaxy have a relatively weak
brightness compared to that of the sun.
Therefore, our eyes are not capable of seeing
them in the sky" mwandishi anatuambia kuwa macho yetu hayana uwezo wa kuangalia Anga . Ili ndo jibu langu nililokuambia kwenye post zangu za kwanza, kwa Nini mchana nyota hatuzioni??? naomba urejee tena uzisome vizuri post zangu.
Nukuu nyingine " Furthermore, air pollution, the amount of H2O, CO2 and other green house gases in the atmosphere can also affect one’s chances of
observing the stars in a city. Mwandishi haeleweke kazungumzia uharibifu wa hali ya hewa, kias cha maji, CO2 na green house gases kwa namna 1 na nyingine vina athiri kuangalia Anga. (1) Je hivi vitu vinakuwepo wakati wa mchana tu Angani, kuzuia nyota mchana tusizione?? (2) Je usiku hivi vitu vinakuwa wapi mbona nyota twazioni??. Ndugu toa maelezo
Nukuu nyingine " the main factor that blockades people from seeing many stars in the sky in populated,
urban cities is called light pollution, which occurs
when light from all of the houses and streets
gather together and cover the sky" mwandishi anatuambia kuwa sababu kuu la zuio ni mwanga wa uchafuzi. Wewe umetuambia kuwa mwanga wa jua ndo unazuia nyota zisionekane mchana, mwandishi yeye anasema main factor zuio la nyota ni light pollution na siyo mwanga wa jua. Kipi ni cha kweli mwandishi anajichanganya.
Mwandishi kajichanganya sana alafu hii taarifa imeegemea maeneo ya mjini (3) Je kwa mtu aliyeko kijijin yeye nyota mchana anaziona?? Ndugu Ungesoma hii taarifa neno kwa neno wala usingetupa tusome hii link , narudi mara ya 2 wewe hauko makini kusoma. Nasubiria maswali(3) niliyo kuuliza nahitaj maelezo zaidi. Kama utaendelea kutoa majibu kwa Google no problem.
Mbona kama unabishia vya wazi na huna grounds za ukwee? Mwanga mkubwa unazuia mdogo kuonekana. Hilo ni wazi. Sasa we unakataa kwa lipi?

Iwe dunia ni mviringo au tambarare, nyota huzioni mchana mainly kwa ajili ya uhafifu wa mwanga wake kwa huku tulipo compared na jua lilivyo kali kwa kuwa karibu nasi.

Mfano ukiwa unaendesha gari usiku, mbele yako unaongozana na gari imewasha taa za breki zile nyekundu, ikitokea unapishana na gari lenye mwanga mkali sana wa taa za mbele na kawasha full, hutoona zile brake lights za alie mbele yako. Nadhani inahusika pia kwa nyota vs jua.
 
Ingekuwa tambarare tusingepata usiku na mchana, kuhusu uduara wa dunia vipi picha live zinazopigwa ISS na zile za voyager 1 na 2 na bado satellite kibao zinaonyesha uduara wa dunia
Nadhani hilo kajibu kwa kusema Dunia ni Motionless ila vingine ndio vinazunguka around the earth, Yaani Jua, mwezi, nyota nk. Ambayo naona kama ni sahihi maana ukiangalia nyota na mwezi huwa vinatembea. hata jua ulipoliona asubuhi utaona liko mashariki sana lakini saa sita linakuwa katikati na baadae jioni magharibi kabisa.
 
Back
Top Bottom