Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
INTRO
Watu wengi wanaopenda kudadisi na kutafakari undani na ukweli wa mambo . Mara nyingi hugundua kwamba mfumo wetu wa elimu unamakosa mengi.

Tafakari ni mambo mangapi ambayo ulifundishwa shuleni lakin hukuwahi kuyatumia maishani mwako, na ni mambo mangapi hukuridhishwa na majibu yake ukiwa mdogo au hata mtu mzima ni mengi sana, how many laws, principals, theories and formulas you did not actually understand at all but cram them just to answer the exam. or how many things that do not make sense in real life ni mengi pia.

Ni wazi kwamba mfumo wa sasa wa elimu uliletwa na mkoloni kwa malengo yake ya kutawala watu weusi. Kinachonisikitisha ni kwamba bado tunatumia mfumo uele wa mkoloni alioleta kututawala. its amazing to see that most of the text books we use in schools are written by white people or Indians and we are proud, ingawa tuna miaka 54 ya uhuru.

Tunapata shallow knowlegde kuhusu historia ya mtu mweusi kabla ya kutawaliwa na mtu mweupe.
hata ssa hvi bado tunapewa mitahala na UN under common wealth countries inashangaza sana.

JARIBU KUA NA OPEN MIND NA UTAFAKARI KWA KUTUMIA UTASHI ULIOPEWA.

Tuongelee Dunia
Nadhani kila mtu hapa alifundishwa kuhusu umbo la DUNIA
according to wikipedia (Muundo wa dunia
unafanana na tufe kubwa yenye rediasi ya 6370 km kwa wastani[1]. Tufe la dunia yetu imeundwa kwa tabaka mbalimbali. Sayansi ina njia kuzitofautisha kufuatana na tabia zao.) hivi ndivyo wote tumefundishwa swali muhimu ni kujua maana ya tufe ni nini ?

(picha na maelezo kutoka wikipedia)



Picha ya tufe

Rediasi au nusukipenyo (= r) cha tufe
Tufe ni umbo la gimba linalofanana na mpira au chungwa. Lakini wala mpira wala chungwa ni tufe kamili.

Mwaka huu 2016 tunashuhudia ssa hivi DUNIA ipo katika maendeleo na mafanikio makubwa ya technolojia na sayansi (dunia ya utandawazi)

According to NASA {nadhani wote mnatambua NASA ni nini !!!} safari ya kwanza ya mafanikio kwa binadamu kutua mwezini ilkua mwaka 1969 jully kinachonishangaza pamoja na mafanikio yote ambayo mwanadamu ameyapata mpka sasa hakuna picha halisi ya Dunia duara au tufe picha zote za dunia tufe au duara ni CGI (computer generated image) mara nyingi picha za aina hii huwa na muonekano kama picha halisi lakin sio halisi kwa sababu zinatengenezwa na photoshop au program nyingine za kutengeneza CGI nadhani watu wenye ujuzi wa media na graphics mnaelewa nnachojaribu kuelezea hapa.

Dunia duara (spherical earth) iligunduliwa na (The discovery that the Earth is round is most commonly ascribed to the ancient Greek philosopher Pythagoras, while the credit for proving it is usually given to Aristotle. It appears that most ancient Greek philosophers that followed him believed in a round Earth. Since the records from that time are not perfect, it is quite possible that someone before him was aware of the Earth's round shape.)

Kwa ufupi tunaona kwamba dunia duara ipo mda mrefu sana lakin mpaka leo hakuna picha halisi ya DUNIA yenyewe unaweza kugoogle tafta '' picture of earth from space''

PICHA YA DUNIA KUTOKA MWEZINI ANGALIA TOFAUTI ZILIZOPO
images


images


Na pia kumbuka kwamba Dunia ina mizunguko miwili according to science na hizo spidi ni kali sana. Kwa mfano mzunguko wa usiku na mchana ni kilometer 1000 kwa lisaa hii ni spidi kubwa sana. Mara nyingi tulipokua wadogo tulkua tukiuliza inawezekanaje dunua inazunguka kwa spidi kubwa sana lakin hatuoni chochote, WAALIMU walitwambia ni GRAVITY au gravitation force ndo inavishikilia vitu vyote visidondoke kutoka duniani.... mara nyingi katika topic hii mwanafunzi anakua anajaribu kutafakari haya yote yanawezekanaje lakin jibu kamili hua halipatikani.


rounwrld.jpg

Nadhani mpaka ssa hvi utakua atleast umepata mwelekeo kidogo.. hili swala lipo deep sana na lipo connected mambo mengine mengi ulimwenguni.

Ukweli mwizito ni kwamba dunia ni tambarare na haina mzunguko wowote yani imetulia (fixed) na wanaojulikana kama (ELITES =a select part of a group that is superior to the rest in terms of ability or qualities.) hawa ni watu wanaoiongoza dunia kiutawala kiuchumi kidini na mambo mengine mengi kupitia mitandao yao ilioenea dunia nzima ..hili swala la elites pia linaweza kuzungumziwa separate kwasababu nalo lilpo deep na nivizuri kutambua njinsi media pia zinavotumiwa na viongozi katika uongozi.. kabisa kama nlivosema mwanzo mambo mengi yana husiana (everything is connected) ivi ulishawahi kujiuliza kwanini ramani ya dunia ambayo ipo kwenye bendera ya umoja wa mataifa ipo tofauti kabisa.
images

Bendera ya umoja wa mataifa

Jiulize kwanini ramani ambayo inatumiwa na umoja wa mataifa ni tofauti kabisa na ramani za kawaida? na ijulikane kwamba alama zote za bendera duniani au michoro yoyote kwene bendera inamaana flani au inaashiria kituflamni katika jamii au katika historia kiujumla.

Hii inamaanisha kwamba umoja wa mataifa wanajua kitu kuhusu dunia tambarare. Lakini kwanini wanatuficha?

un.png


Okay tuzungumie kuhusu dunia kua tambarare kwa undani kabisa na ushaidi
ngoja nielezee kwanza muundo wa dunia kutokana na reerch ya flatearth society.

Hoja ni;
Dunia ni tambarare na haizunguki yenyewe wala haizunguki jua bali jua na vitu vyote angani vinaizunguka dunia na milango yetu yote ya fahamu inatuambia hivyo maana jua tunaliona kila siku linavyotuzunguka kwasabu tunaliuona mizunguko yake na pia mwezi na nyota vyote vinatuzunguka hivi ndivyo fahamu zetu zitatuambia na ndo ukweli in short THE EARTH IS THE CENTER OF THE UNIVERSE. Na hili jambo lilikua linajulikana miaka 500 iliopita na pia DINI zote za kale na sasa walizungumzia kuhusu dunia kua katikati ya kila kitu. mfano mzuri ni katika BIBLIA katika kitabu cha mwanzo mungu alielezea vuzuri tu umbo la dunia yetu
Flat-Earth-Memes-57-6.jpg
images

Lakini chakushangaza binadamu tunakataa jinsi fahamu zetu tano zinavyotutuma achilia mbali milango yetu ya fahamu pia katika dini hili swala limezungumziwa lakin bado watu waaamini picha za NASA kwamba wameenda mwezini embu jaribu kukaanje skumoja usiku alafu angaliua mwezi vizuri kwa macho yako na unambie kama kuna mtu kaenda kwene mwezi
  • Dunia ni tambarare na maji yote ya bahari yameshikiliwa na kuta za barafu zilizozunguka dunia nzima
  • images
    images
    images
kama kuna mtu yoyote duniani anae weza kutonesha na kuthibitisha kua dunia ni duara maana yake dunia sio duara na HII infahamika toka zamani
na itambulike vita kati ya dini na wanasayansi na wanafilosofia wa zamani
DINI ZA DUNIA ZILINAJUA DUNIA NI TAMBARARE
1318069305657.png



The Earth has a radius of approximately 3965 miles. Using the Pythagorean theorem, that calculates to an average curvature of 7.98 inches per mile or approximately 8 inches per mile.
hii inamaana kua dunia inaanza kupinda au ku curve kwa nchi 8 kwa mile moja hii inamaanisha kwamba kwamfano kuna point mbili A na B mtu wa A hatoweza kumuona mtu wa B alie mile kumi au hata ishirini je hii ni kweli?
angalia kwa makini uelewe
bedford-experiment.jpg
bedford-rowbotham.jpg


Hii ilijulikana sio kweli kwasababu ya uwepo wa camera na vifaa vyenye nguvu kwa watu tofauti na zamani hizi zifuatazo ni picha zinazoonesha umbali mkubwa ulioweza kuonekana katika camera na vifaa vingine na zote hizi hazioneshi curveture yoyote angalia
bedford-level.jpg
flat-earth-is-flat.jpg

Nimejaribu kutoa mwanga tu kwa wataopenda kujua ukweli na kufatilia kuhusu flat earth nenda utapata kila kitu IFERS

Ukitaka kuelewa hili swala pamoja na mambo mengine usiyoyajua na agenda za dunia fatilia kuhusu
JARIBU KUFATILIA UKWELI SSA HVI KUNA MAKUNDI MENGI YA WATU WANAAMKA NA KUGUNDUA HAYA MAMBO KIMSINGI HUU NDIO UKWELI WA MSINGI WA KWANZA .. SABABU ZA HAWA ELITES NA INTERNATINALISTS KUFICHA HUU UKWELI PIA ZIPO ,,,,,,, CATCHUP TO REALITY FATILIA KUHUSU DUMBING DOWN OF THE SOCIETY NA THE USE OF MEDIA ON MASS CONTROL
HAYA YOTE NI KUTUFUNGA TUSIJUE UKWELI?/
KUMBUKA THOSE WHO CLAIM TO HAVE THE TRUTH ARE EASILY DECEIVED
  1. PIA FATILIA KUHUSU WHY NO ONE IS ALLOWED TO GO TO ANTARTICA
  2. FLATEARTH SOCIETY YOU TUBE INA VIDEO NYINGI KUHUSU HILI SWALA
  3. THE BEST NARRATOR IS ERIC DUBAY ACCORDING TO ME
  4. PIA FATILIA KUHUSU CHEMTRAILS AND FOOD POISONING
  5. KIKUBWA FATILIA KUHUSU UWEZO WA BINADAMU KIROHO/NAFSI PIA KUHUSU PINEAL GLAND NA THIRD EYE HII HAINA MAUSIANO NA DINI ZETU INFACT KILA MTU ANATEZI KATIKATI YA UBONGO INAITWA PINEAL HII NDIO HUMFANYA MWANADAMU KUA NA UWEZO WA KIROHO NA NAFSI ...HAYA MAMBO YAPO LAKIN HATUFUNDISHWI ..
  6. PIA FATILIA KUHUSU NEW WORLD ODER KIUNDANI
  7. PIA JARIBU KUFATILIA ANCIENT HISTORY AND KNOWLEDGE ( ANCIENT CIVILAIZATION)
  8. FATILIA ATLANTIAN CONSPIRACY
  9. THERE ARE NO SETTEKITES IN SPACE
  10. NASA IS A HOAX
  11. GLOBAL WORMING AND CLIMATE CHANGE IS A HOAX
  12. PIA FATILIA GEORGIA GUIDE STONES
  13. KIUFUPI BINADAMU TUNAUWEZO MKUBWA SANA LAKINI HATUJITAMBUI
  14. MANY OF THE THINGS WE KNW ARE JUST ALLEGORIES AND PLANE FACE LIES
  15. HII HAIWEZEKANI.......

WE ALL LIVE FOR A PURPOSE AND THE EARTH IS THE CENTER OF THE UNIVERSE
BIG BANG NA EVOLUTION THEORIES NI UMBEA NA PROPAGANDA

THIS POST WAS PUBLISHED BY ERIC DUBAY @ATLANIAN CONSIRACY BOOK
For daring to spread this most important and overlooked truth, I have received death threats, lost friends and family members, had my forum shut down, and been kicked off Facebook thrice and counting. As damning and easily provable as is this fact of Jewish Freemason control, there is one other incredible fact which has also been held from humanity for 500 years now. This fact is even more damning and more easily provable, and is also a direct result of the Jewish Freemason control over the minds of the masses worldwide. It is the most marginalized, ridiculed, censored and hidden fact in history. If this fact was made known to the world at large, just this one fact, has the power to completely transform the world and everyone in it for the better, holistically, in a myriad of ways. Our rulers are well aware of this, and that is exactly why this truth has been held from us so expertly for so long. It is about the truth of who we are, where we come from, the actual position and significance of humans, Earth, the Sun, Moon, and stars.

The fact is: The Earth is flat and motionless. That is all. And that is the revelation that will finally break the matrix. You have been taught from the earliest ages that you live on a spinning ball. That NASA has sent men to the Moon, that satellites are hovering in perpetual orbit overhead, that an International Space Station contains astronauts free-floating above us, that the Earth is a ball that tilts, wobbles, spins on its axis and revolves around the Sun, and that all these and you are the result of a Big Bang cosmogenic explosion 14 billion years ago which created everything out of nothing. Yet nothing could be farther from the truth.

13254105_10154190157034293_7954312585114140960_n.jpg


The truth is simple and easily proven. You can see for yourself the horizon is always flat and you can measure using sextants, theodolites, and lasers to prove the Earth and its massive oceans have absolutely no curvature whatsoever. You can feel for yourself that the Earth beneath you is motionless and you can measure as Michelson, Morley, Gale, Sagnac, Airy and other scientists have to prove that the Earth is completely motionless. That's right. It has been long proven by several scientific experiments, even in the elitist "peer-reviewed journals" you critics constantly harp on about, that the Earth is a stationary plane. The reason you haven't heard about it before is because the media is controlled by the same people who created this deception. The only time you have ever heard a "Flat Earther" mentioned in the media, it was in jest or ridicule. The only thing you have ever heard about "Flat Earth" is that its adherents are ignorant idiots. Sorry to burst your space bubble, but if you still think you're living on a spinning ball in 2016, you my friend, are the ignorant one.

13615254_10154988989848916_7297770299845639125_n.jpg


Millions of people worldwide are waking up to this incredible re-discovery and this "Flat Earth movement" has the potential to bring about positive change on a unprecedented level. Like a balloon held underwater for 500 years, the momentum of truth rising to the surface is causing and will continue to cause huge ripples in the control system. As the spinning ball-Earth is finally being exposed worldwide for the 500 year deception it was, Earth's entire population is suddenly being faced with the reality that every government, every space agency, university, secret society, religious organization, mainstream and alternative media outlet have ALL been duplicitous in propping up a monstrous manipulation to fleece and control the masses. The resulting mass mental exodus away from the control system is exactly what humanity needs. Once the flat Earth truth gets out, these lying politicians, spokesmen, reporters and teachers suddenly change from being heralded voices of authority to being ridiculed, shunned and denounced as they deserve. Once the flat Earth truth gets out, these governments, universities, media outlets and other entangled organizations which have long been hard at work weaving this multi-generational cosmological myth, suddenly and completely lose all credibility. Once the truth of our flat Earth gets out, so does the truth of these few elite families/societies who have kept this most important and fundamental reality from us for these hundreds of years! Essentially, once the flat Earth truth gets out, so does every other important truth by proxy, because this "mother-of-all-conspiracies" holds under its umbrella literally ALL of the other conspiracies, and exposes them.

As a result of deeply understanding this and wanting to bring about a better world, it has become my life mission to spread the flat Earth truth to everyone. I have written two books on the subject, "The Flat Earth Conspiracy" and "200 Proofs the Earth is Not a Spinning Ball." I have re-started the International Flat Earth Research Society and maintain a website with hundreds of articles on the subject. I have done flat Earth radio interviews, made flat Earth FAQs, flat Earth shirts, written flat Earth rap songs, audio/video books, documentaries, and created every other kind of media I can think of to try and promote this message.

Now in just a few short years, thanks to the efforts of the rapidly growing flat Earth community, this has gone from a completely unknown, undiscussed topic to one of the highest ranked google search terms on the internet with tens of millions of hits monthly. If you still haven't done your due diligence in researching to know for yourself 100% that you are living on a flat, stationary plane, please look into the links provided. And for those of you who do know, I implore you to help my mission Operation: Spread Flat Earth Truth.

Simply knowing the truth yourself will not and cannot save the world. The only way to save the world is for the whole world to know the truth. As a means to that end, the most important type of activism anyone can be doing right now is spreading these important truths on a mass scale. There are innumerable creative ways to help achieve this; the following are several effective methods myself or friends have had success with:

1. Conversation: One of the best ways to engage people with the flat reality is through conversation. Asking leading questions, dropping hints, or just telling people various proofs and evidences is a great way to wake people up. This only works, however, if you are very knowledgeable about the subject yourself and able to answer every possible question without hesitation like the liars at NASA do.

2. Viewing Parties: Another good way to engage people is by getting them to agree to sit down and watch an informative documentary on the subject such as my videos "The World's Biggest Secret," or "The Masonic Matrix Manipulators" After watching you can then do your best to field any questions people may have.

3. Book Gifting: A great indirect way of engaging people is by buying and giving them copies of "The Flat Earth Conspiracy" and "200 Proofs the Earth is Not a Spinning Ball" or other good books on the subject. If you own flat Earth books yourself, be sure to let friends and family borrow them as well.

4. School Projects: If you are currently in school or university, a great way to expose this information is by writing essays or doing projects which tackle various aspects of ball-Earth pseudo-science or expose true flat Earth findings.

5. Social Media: I have had great success using social media to spread flat Earth truth. Simply create accounts with all the big social media sites like Facebook, Google+, Twitter, LinkedIn, Instagram, Reddit, StumbleUpon etc., join relevant groups and pages, follow people interested in related subjects, and post the best flat Earth material you can find to as many places as you can, as often as you can. Don't bother arguing with the trolls and closed-minds that will inevitably hound you, but rather focus on dissemination, spreading the message far and wide. If people ask genuine questions, be sure to answer, but anyone merely looking to ridicule should be left alone to talk with themselves.

6. Use YouTube and Other Video Sharing Sites: With 13 million hits and growing, my YouTube channel has done an excellent job spreading this message. We need more people to start flat Earth YouTube and other video sharing site channels, however, either creating original content or just re-uploading other good content. I personally have given everyone permission to use any/all of my content to help spread the word. Once you upload a new video to YouTube, then go to all your social media accounts and post each new video to all the relevant pages, groups and timelines you can.

7. Translations: For multi-lingual flat Earthers, one of the best things you can do is help translate good flat Earth material into your native tongue. My book "200 Proofs Earth is Not a Spinning Ball" has now been translated into 12 different languages and counting, reaching people who would otherwise never have a chance of understanding this material, the majority of which currently exists only in English.

8. Graffiti/Artwork: Another great method of spreading the word is through artwork or graffiti. Writing important search terms or keywords and phrases on paper money is also very effective. On the borders of your dollar bills, simply write AtlanteanConspiracy.com, IFERS.123.st, the Earth is Flat!, Google Flat Earth, Google Eric Dubay, or other such messages.

9. Pamphleteering/stickers: Creating small brochures or stickers with flat Earth information on them and handing them out in public spaces is an excellent way to spread the word. Compile several photo proofs or text proofs and put them in an easily printable and readable format then hand out as many as you can.

10: Radio/TV Show Call ins: Many different TV and radio shows give their viewers/listeners the opportunity to call in and talk with the host about certain subjects. A great way to spread the word is either by calling into these shows and engaging them on the subject on the spot, or contacting their producers before-hand and seeing if you could actually be interviewed.

There are an infinite number of creative ways we can spread this most important message, but the key is numbers and consistency. We need to hit a critical-mass tipping-point of awakened individuals dedicated to helping unplug everyone else from the spinning ball-Earth matrix. If you have figured out the truth of our flat Earth and realize the amazing positive implications of this being exposed worldwide, please join me on my mission to help spread flat Earth truth to the entire flat world
empty.gif
by Cannalive on Sat Oct 29, 2016 11:25 pm

I was told about this in jest. But once I got curious, I openly learned more and became awake. If you truly want to wake up and find the edges of your cage, you eventually cannot get over the hurdle of flat earth. Even when meeting a new friend and getting high together we both subconsciously brought up flat earth during our discussion, not really taking it seriously...until I said something that blew his mind. A simple truth about time zones if the sun was so far away. That was when I realized we have so much ability to slip into someone's conscious thought by redirecting away from the subject itself head on and slip through one of the many backdoors of logical.

Yaan we jamaa hamna kitu kabisa, pamoja na maelezo yako hayo umejipinda weee! Sasa kama dunia ni tambarare tunawezaje kupata usiku na mchana? Muda uliopo sasa mpigie mtu aliyeko USA au Australia akwambie ni saa ngapi? Kama ni tambarare basi kungekua na mchana au usiku dunia nzima, dah! Yaan we jamaa hamna kabisa, unamanini kwa kichwa yako?
 
Yaan we jamaa hamna kitu kabisa, pamoja na maelezo yako hayo umejipinda weee! Sasa kama dunia ni tambarare tunawezaje kupata usiku na mchana? Muda uliopo sasa mpigie mtu aliyeko USA au Australia akwambie ni saa ngapi? Kama ni tambarare basi kungekua na mchana au usiku dunia nzima, dah! Yaan we jamaa hamna kabisa, unamanini kwa kichwa yako?
Kuondoa ubishi si watume vyombi vyao wanavyoviamini angani watupigie hiyo picha inayoonyosha dunia ni tambarare manake satellites zoote zilizopo angani zinapiga picha ya dunia duara na sio kwamba satellites zote ni za mtu mmoja kuna hadi satellites za makampuni binafsi zoote hizo hawaziamini.. Haya kuna sayari zinaonekana kwa macho kabisa angani na ukitafuta hata darubini za kutengeneza mwenyewe unaweza kuziona vizuri kabisa kuwa ni kama tufe.. Mwezi ni umbile la tufe na kuna hadi picha walizopiga watu wa kawaida kabisa online za sayari na mwezi zinaonyesha umbile la tufe so whats so special about our earth iwe tofauti kabisa na sayari nyingine zote? Na huko pembezoni mwa dunia (kama ni flat) mwisho wake wapi? ISS skuizi wanarusha live coverage yake inavyozunguka dunia na popote inapopita inaonekana vizuri kabisa ukiwa duniani(kama ni mfuatiliaji wa mambo ya vitu vya angani) at the same time kama inavyoonyesha kwenye live coverage(hii ya ISS hata mimi nimeshaishuhudia mara kadhaa tu) na wapo wengi waliopinga hii live coverage kuwa ni feki na nasa walishatangaza anayeona ni feki athibitishe hamna hata mmoja... Hivi kweli mataifa mengine makubwa kama Russia anaweza akakubali kulishwa uwongo na watu kama nasa?
 
Kuondoa ubishi si watume vyombi vyao wanavyoviamini angani watupigie hiyo picha inayoonyosha dunia ni tambarare manake satellites zoote zilizopo angani zinapiga picha ya dunia duara na sio kwamba satellites zote ni za mtu mmoja kuna hadi satellites za makampuni binafsi zoote hizo hawaziamini.. Haya kuna sayari zinaonekana kwa macho kabisa angani na ukitafuta hata darubini za kutengeneza mwenyewe unaweza kuziona vizuri kabisa kuwa ni kama tufe.. Mwezi ni umbile la tufe na kuna hadi picha walizopiga watu wa kawaida kabisa online za sayari na mwezi zinaonyesha umbile la tufe so whats so special about our earth iwe tofauti kabisa na sayari nyingine zote? Na huko pembezoni mwa dunia (kama ni flat) mwisho wake wapi? ISS skuizi wanarusha live coverage yake inavyozunguka dunia na popote inapopita inaonekana vizuri kabisa ukiwa duniani(kama ni mfuatiliaji wa mambo ya vitu vya angani) at the same time kama inavyoonyesha kwenye live coverage(hii ya ISS hata mimi nimeshaishuhudia mara kadhaa tu) na wapo wengi waliopinga hii live coverage kuwa ni feki na nasa walishatangaza anayeona ni feki athibitishe hamna hata mmoja... Hivi kweli mataifa mengine makubwa kama Russia anaweza akakubali kulishwa uwongo na watu kama nasa?
baharini kwenyewe kama ni tambarale mbona meli inapoanza kuonekana huanzia ncha ya juu na kuendelea kuonekana kama vile inaibuka kutoka ndani ya maji kidogo kidogo ? huo ni ushahidi rahisi sana kwamba dunia ni duara. halafu mtoa uzi kama alivyoambiwa inakuwaje nchi moja usiku na kwingine mchana ?
 
baharini kwenyewe kama ni tambarale mbona meli inapoanza kuonekana huanzia ncha ya juu na kuendelea kuonekana kama vile inaibuka kutoka ndani ya maji kidogo kidogo ? huo ni ushahidi rahisi sana kwamba dunia ni duara. halafu mtoa uzi kama alivyoambiwa inakuwaje nchi moja usiku na kwingine mchana ?
Yaan we jamaa hamna kitu kabisa, pamoja na maelezo yako hayo umejipinda weee! Sasa kama dunia ni tambarare tunawezaje kupata usiku na mchana? Muda uliopo sasa mpigie mtu aliyeko USA au Australia akwambie ni saa ngapi? Kama ni tambarare basi kungekua na mchana au usiku dunia nzima, dah! Yaan we jamaa hamna kabisa, unamanini kwa kichwa yako?
Hivi ukichukua taa ukiiweka juu ya kitu flat right on top of it kwa proportion ya distance ya jua na dunia si inamulika kitu kizima.. So inamaana pia tunadanganywa kua wakati nchi nyingine mchana kwengine ni usiku.. Kama dunia ni flat ilibidi jua linapokuwa katikati ya dunia basi dunia nzima iwe ni mchana na likishaondoka (sjui linaendaga wapi) kuna mda ilibidi dunia nzima iwe ni usku...
Kuondoa ubishi si watume vyombi vyao wanavyoviamini angani watupigie hiyo picha inayoonyosha dunia ni tambarare manake satellites zoote zilizopo angani zinapiga picha ya dunia duara na sio kwamba satellites zote ni za mtu mmoja kuna hadi satellites za makampuni binafsi zoote hizo hawaziamini.. Haya kuna sayari zinaonekana kwa macho kabisa angani na ukitafuta hata darubini za kutengeneza mwenyewe unaweza kuziona vizuri kabisa kuwa ni kama tufe.. Mwezi ni umbile la tufe na kuna hadi picha walizopiga watu wa kawaida kabisa online za sayari na mwezi zinaonyesha umbile la tufe so whats so special about our earth iwe tofauti kabisa na sayari nyingine zote? Na huko pembezoni mwa dunia (kama ni flat) mwisho wake wapi? ISS skuizi wanarusha live coverage yake inavyozunguka dunia na popote inapopita inaonekana vizuri kabisa ukiwa duniani(kama ni mfuatiliaji wa mambo ya vitu vya angani) at the same time kama inavyoonyesha kwenye live coverage(hii ya ISS hata mimi nimeshaishuhudia mara kadhaa tu) na wapo wengi waliopinga hii live coverage kuwa ni feki na nasa walishatangaza anayeona ni feki athibitishe hamna hata mmoja... Hivi kweli mataifa mengine makubwa kama Russia anaweza akakubali kulishwa uwongo na watu kama nasa?
Ninyi acherni utoto kwa kujaza sever za JF bila sababu za msingi,majibu ya mlichouliza yapo kwenye uzi huu huu,someni....

Nashangaa sana watu wavivu kuja kusoma mada lakini hawataki kutumia muda kusoma post za wengine,yaanbi wanaanzia hapo walipokuta bila kufikiria kusoma post za wengine ili wajue kama wanachotaka kuuliza kimeshajibiwa au hapana.....

Sitegemei kabisa watu ambao wako interested na mada hii wawe wavivu namna hii,zaidi naona watu wasiojielewa wakija na kutaka kuvuruga tu hapa.....

Acheni watu wenye maswali ya maana waje waulize hapa ili tupate changamoto zaidi na wengine wajifunze.....
 
Ninyi acherni utoto kwa kujaza sever za JF bila sababu za msingi,majibu ya mlichouliza yapo kwenye uzi huu huu,someni....

Nashangaa sana watu wavivu kuja kusoma mada lakini hawataki kutumia muda kusoma post za wengine,yaanbi wanaanzia hapo walipokuta bila kufikiria kusoma post za wengine ili wajue kama wanachotaka kuuliza kimeshajibiwa au hapana.....

Sitegemei kabisa watu ambao wako interested na mada hii wawe wavivu namna hii,zaidi naona watu wasiojielewa wakija na kutaka kuvuruga tu hapa.....

Acheni watu wenye maswali ya maana waje waulize hapa ili tupate changamoto zaidi na wengine wajifunze.....
Mzee uzi tumeupitia tangu mwanzo hamna majibu mliyoweka zaidi ya hoja za kupinga kuwa dunia sio tufe.. Maelezo yote mliyoweka humu hayana hoja za msingi za kisayansi na zina maswali mengi zaidi ta hayo unayoita majibu.. Umeweka historia nyingi za watu na link zao wanaotetea flat earth.. Watu hapa wanachotaka ni physical evidence na sio maneno mengi na hoja za kukanusha... Weka hoja za uthibitisho wa unachokisema.. Umeulizwa maswali jibu na sio kupiga kelele tu mtu aanze mwanzo wakati hoja ulizoweka ndo zinazoleta hayo maswali unayoulizwa mzee..
 
kama kweli unataka kujua ukweli na ushahidi wa dunia tambarare, kitu cha lazima kwako ni kuwa wewe kama wewe kwa akili zako wewe, then kama ulivyofundishwa dunia ni DUARA kama mpira (mviringo) inabidi na hapa uwe tayari kufundishwa kuwa dunia ni DUARA kama sahani (tambarare)

baada ya hapo kwakuzitumia akili zako, utachanganua ipi ni ipi bila kulazimishwa na mtu wala kumkosoa mtu coz hakuna zawadi wala kombe la mshindi wa hoja na hatushindanishi hoja humu, zaidi ya kuujua ukweli kupitia mafundisho tuliyoletewa,

maswali yako na wenzako wengi yapo humu humu kwenye uzi so kama unabishana na maandishi ni ngumu kueleweshwa hata kwa ushahidi unaoutaka. kama umeshindwa kujua usiku na mchana unapatikana vp ktk dunia tambarare... fanya hivi, nenda kalale ukiamka anza tena kuusoma uzi huu kuanzia uzi wenyewe na kila aliyechangia....

NAPENDA KUKUSAIDIA TUU, MSAADA WANGU UPO KATIKA MAJIBU UTAKAYOYAPATA KATIKA MASWALI NINAYOKUPA. ILA KAMA UNAAMINI WE NI MBISHI NA HAUTAKI KUSHINDWA.. KAUSHA!!

SWALI LA KWANZA........ KUJUA KAMA DUNIA NI TAMBARARE AU DUARA MVIRINGO
kabla haujafundishwa kuwa Dunia ni Duara Mviringo, na baada ya kufundishwa hvyo. wewe kama wewe unaionaje, je ni mviringo au tambarare?... nipe ushahidi wako wewe vile unavyoiona, yaani bila kudeal na kitabu chochote kile wala elimu yoyote ile wala video wala picha, JE DUNIA NI DUARA MVIRINGO AU NI TAMBARARE?

SWALI LA PILI..... KUJUA USIKU NA MCHANA.
pamoja na nchi kutofautiana masaa na hali ya usiku na mchana... ni kwanini hakuna nchi zenye utofauti wa MASAA KUMI NA MAWILI...? yaani kama huku kwetu ni saa sita mchana, ni nchi gani itakuwa saa sita usiku? kwanini?

SWALI LA TATU.......... JUU YA KUPATA PICHA INAYOONESHA DUNIA NI TAMBARARE AU MVIRINGO.
angani ni wapi...... je picha unayoipata ukiwa katika ndege... inakuonesha nini.....utambarare au uduara? Kipi kina speed kati ya ndege na dunia?

UKIYAJIBU HAYO TUTAENDELEA KUBADILISHANA UELEWA.
Ila kabla ya yote napenda kukushirikisha kitu kimoja hivi..... hivi haufikirii kuwa kutokana na macho yetu kuwa katika hali ya uduara flani yanaweza kufanya kitu kinachokuwa mbali sana tukione katika hali ya uduara kutokana na kucover eneo kubwa la upeo. ukitumia jicho moja kuangalia na unapotumia macho yote unadhani kwanini haoni picha mbili mbili. maana yangu ni kwamba...... lens za kamera hazina utofauti na mfumo wa lens za macho yetu, ndio maana unachokiona wewe hakitakuwa tofauti na ukipiga picha japo lenzi ni ya duara ila picha itatoka mstatiri, so tufikirie kiundani kama macho yetu yanapofika ukomo wa kuona kwanini yanaform taswira ya uduara. tena hilo duara huwa ni mbele ya upeo na angani tuu ila pembeni na ardhini uduara huwa hatuuoni, huwa ni kwanini, mimi mwenyewe natafuta majibu hayo.
kwa mfano baharini, kweli meli ikiwa inakuja kutoka mbali utaanza kuiona sehemu ya juu kwa macho ila kwa darubini inaonekana yote, (kabla ya kubisha uwe umejaribu zoezi hilo) vile vile ukitazama hiyo meli kwa umbali ule ule uliouiona pindi unaangali mbele, ukiiangalia kwa usawa wa mashariki magharibi napo utaiona yote, ili kunielewa namaanisha meli inaonekanaga nusu mtu anapoiangalia kwa usawa wa mbele, lakini kwa usawa wa pembeni inaonekana yote (pitia picha ya mleta uzi).
So kama macho yetu utengeneza uduara hakuna camera itakayokwenda kinyume na macho yetu. so ushahidi wa camera ni sawa na ushahidi wa macho tuu, kwa hiyo hata watu wa flat earth wakipiga picha uduara utaendelea kuonekana labda wabuni lens zao mpya za camera zisizofanan na lens za macho yetu.
pia kwa speed inayotumiwa na dunia katika kujizungusha hata mimi nitasema hiyo live streaming ya ISS ni uongo labda wawe wameweka slow motion.
 
kama kweli unataka kujua ukweli na ushahidi wa dunia tambarare, kitu cha lazima kwako ni kuwa wewe kama wewe kwa akili zako wewe, then kama ulivyofundishwa dunia ni DUARA kama mpira (mviringo) inabidi na hapa uwe tayari kufundishwa kuwa dunia ni DUARA kama sahani (tambarare)

baada ya hapo kwakuzitumia akili zako, utachanganua ipi ni ipi bila kulazimishwa na mtu wala kumkosoa mtu coz hakuna zawadi wala kombe la mshindi wa hoja na hatushindanishi hoja humu, zaidi ya kuujua ukweli kupitia mafundisho tuliyoletewa,

maswali yako na wenzako wengi yapo humu humu kwenye uzi so kama unabishana na maandishi ni ngumu kueleweshwa hata kwa ushahidi unaoutaka. kama umeshindwa kujua usiku na mchana unapatikana vp ktk dunia tambarare... fanya hivi, nenda kalale ukiamka anza tena kuusoma uzi huu kuanzia uzi wenyewe na kila aliyechangia....

NAPENDA KUKUSAIDIA TUU, MSAADA WANGU UPO KATIKA MAJIBU UTAKAYOYAPATA KATIKA MASWALI NINAYOKUPA. ILA KAMA UNAAMINI WE NI MBISHI NA HAUTAKI KUSHINDWA.. KAUSHA!!

SWALI LA KWANZA........ KUJUA KAMA DUNIA NI TAMBARARE AU DUARA MVIRINGO
kabla haujafundishwa kuwa Dunia ni Duara Mviringo, na baada ya kufundishwa hvyo. wewe kama wewe unaionaje, je ni mviringo au tambarare?... nipe ushahidi wako wewe vile unavyoiona, yaani bila kudeal na kitabu chochote kile wala elimu yoyote ile wala video wala picha, JE DUNIA NI DUARA MVIRINGO AU NI TAMBARARE?

SWALI LA PILI..... KUJUA USIKU NA MCHANA.
pamoja na nchi kutofautiana masaa na hali ya usiku na mchana... ni kwanini hakuna nchi zenye utofauti wa MASAA KUMI NA MAWILI...? yaani kama huku kwetu ni saa sita mchana, ni nchi gani itakuwa saa sita usiku? kwanini?

SWALI LA TATU.......... JUU YA KUPATA PICHA INAYOONESHA DUNIA NI TAMBARARE AU MVIRINGO.
angani ni wapi...... je picha unayoipata ukiwa katika ndege... inakuonesha nini.....utambarare au uduara? Kipi kina speed kati ya ndege na dunia?

UKIYAJIBU HAYO TUTAENDELEA KUBADILISHANA UELEWA.
Ila kabla ya yote napenda kukushirikisha kitu kimoja hivi..... hivi haufikirii kuwa kutokana na macho yetu kuwa katika hali ya uduara flani yanaweza kufanya kitu kinachokuwa mbali sana tukione katika hali ya uduara kutokana na kucover eneo kubwa la upeo. ukitumia jicho moja kuangalia na unapotumia macho yote unadhani kwanini haoni picha mbili mbili. maana yangu ni kwamba...... lens za kamera hazina utofauti na mfumo wa lens za macho yetu, ndio maana unachokiona wewe hakitakuwa tofauti na ukipiga picha japo lenzi ni ya duara ila picha itatoka mstatiri, so tufikirie kiundani kama macho yetu yanapofika ukomo wa kuona kwanini yanaform taswira ya uduara. tena hilo duara huwa ni mbele ya upeo na angani tuu ila pembeni na ardhini uduara huwa hatuuoni, huwa ni kwanini, mimi mwenyewe natafuta majibu hayo.
kwa mfano baharini, kweli meli ikiwa inakuja kutoka mbali utaanza kuiona sehemu ya juu kwa macho ila kwa darubini inaonekana yote, (kabla ya kubisha uwe umejaribu zoezi hilo) vile vile ukitazama hiyo meli kwa umbali ule ule uliouiona pindi unaangali mbele, ukiiangalia kwa usawa wa mashariki magharibi napo utaiona yote, ili kunielewa namaanisha meli inaonekanaga nusu mtu anapoiangalia kwa usawa wa mbele, lakini kwa usawa wa pembeni inaonekana yote (pitia picha ya mleta uzi).
So kama macho yetu utengeneza uduara hakuna camera itakayokwenda kinyume na macho yetu. so ushahidi wa camera ni sawa na ushahidi wa macho tuu, kwa hiyo hata watu wa flat earth wakipiga picha uduara utaendelea kuonekana labda wabuni lens zao mpya za camera zisizofanan na lens za macho yetu.
pia kwa speed inayotumiwa na dunia katika kujizungusha hata mimi nitasema hiyo live streaming ya ISS ni uongo labda wawe wameweka slow motion.


kama kweli unataka kujua ukweli na ushahidi wa dunia tambarare, kitu cha lazima kwako ni kuwa wewe kama wewe kwa akili zako wewe, then kama ulivyofundishwa dunia ni DUARA kama mpira (mviringo) inabidi na hapa uwe tayari kufundishwa kuwa dunia ni DUARA kama sahani (tambarare)

baada ya hapo kwakuzitumia akili zako, utachanganua ipi ni ipi bila kulazimishwa na mtu wala kumkosoa mtu coz hakuna zawadi wala kombe la mshindi wa hoja na hatushindanishi hoja humu, zaidi ya kuujua ukweli kupitia mafundisho tuliyoletewa,

maswali yako na wenzako wengi yapo humu humu kwenye uzi so kama unabishana na maandishi ni ngumu kueleweshwa hata kwa ushahidi unaoutaka. kama umeshindwa kujua usiku na mchana unapatikana vp ktk dunia tambarare... fanya hivi, nenda kalale ukiamka anza tena kuusoma uzi huu kuanzia uzi wenyewe na kila aliyechangia....

NAPENDA KUKUSAIDIA TUU, MSAADA WANGU UPO KATIKA MAJIBU UTAKAYOYAPATA KATIKA MASWALI NINAYOKUPA. ILA KAMA UNAAMINI WE NI MBISHI NA HAUTAKI KUSHINDWA.. KAUSHA!!

SWALI LA KWANZA........ KUJUA KAMA DUNIA NI TAMBARARE AU DUARA MVIRINGO
kabla haujafundishwa kuwa Dunia ni Duara Mviringo, na baada ya kufundishwa hvyo. wewe kama wewe unaionaje, je ni mviringo au tambarare?... nipe ushahidi wako wewe vile unavyoiona, yaani bila kudeal na kitabu chochote kile wala elimu yoyote ile wala video wala picha, JE DUNIA NI DUARA MVIRINGO AU NI TAMBARARE?

SWALI LA PILI..... KUJUA USIKU NA MCHANA.
pamoja na nchi kutofautiana masaa na hali ya usiku na mchana... ni kwanini hakuna nchi zenye utofauti wa MASAA KUMI NA MAWILI...? yaani kama huku kwetu ni saa sita mchana, ni nchi gani itakuwa saa sita usiku? kwanini?

SWALI LA TATU.......... JUU YA KUPATA PICHA INAYOONESHA DUNIA NI TAMBARARE AU MVIRINGO.
angani ni wapi...... je picha unayoipata ukiwa katika ndege... inakuonesha nini.....utambarare au uduara? Kipi kina speed kati ya ndege na dunia?

UKIYAJIBU HAYO TUTAENDELEA KUBADILISHANA UELEWA.
Ila kabla ya yote napenda kukushirikisha kitu kimoja hivi..... hivi haufikirii kuwa kutokana na macho yetu kuwa katika hali ya uduara flani yanaweza kufanya kitu kinachokuwa mbali sana tukione katika hali ya uduara kutokana na kucover eneo kubwa la upeo. ukitumia jicho moja kuangalia na unapotumia macho yote unadhani kwanini haoni picha mbili mbili. maana yangu ni kwamba...... lens za kamera hazina utofauti na mfumo wa lens za macho yetu, ndio maana unachokiona wewe hakitakuwa tofauti na ukipiga picha japo lenzi ni ya duara ila picha itatoka mstatiri, so tufikirie kiundani kama macho yetu yanapofika ukomo wa kuona kwanini yanaform taswira ya uduara. tena hilo duara huwa ni mbele ya upeo na angani tuu ila pembeni na ardhini uduara huwa hatuuoni, huwa ni kwanini, mimi mwenyewe natafuta majibu hayo.
kwa mfano baharini, kweli meli ikiwa inakuja kutoka mbali utaanza kuiona sehemu ya juu kwa macho ila kwa darubini inaonekana yote, (kabla ya kubisha uwe umejaribu zoezi hilo) vile vile ukitazama hiyo meli kwa umbali ule ule uliouiona pindi unaangali mbele, ukiiangalia kwa usawa wa mashariki magharibi napo utaiona yote, ili kunielewa namaanisha meli inaonekanaga nusu mtu anapoiangalia kwa usawa wa mbele, lakini kwa usawa wa pembeni inaonekana yote (pitia picha ya mleta uzi).
So kama macho yetu utengeneza uduara hakuna camera itakayokwenda kinyume na macho yetu. so ushahidi wa camera ni sawa na ushahidi wa macho tuu, kwa hiyo hata watu wa flat earth wakipiga picha uduara utaendelea kuonekana labda wabuni lens zao mpya za camera zisizofanan na lens za macho yetu.
pia kwa speed inayotumiwa na dunia katika kujizungusha hata mimi nitasema hiyo live streaming ya ISS ni uongo labda wawe wameweka slow motion.

Duhh we jamaa wa ajabu sana..hoja zote unazotoa ni zile za kupinga tu kuwa Earth sio tufe na kwamba tulifundishwa vibaya na tunapewa picha za kutungwa. Ila huleti facts za kuelewka zaidi ya hoja zinazoongeza maswali na kuendelea kung'ang'ania kuwa ulishatoa majibu(ambayo bado yanaleta maswali)... Sasa kama unasema camera zinazotumika zinafanana la lens za macho na zinatoa picha feki ya dunia kwa sababu ya lens ya duara kwaiyo hata macho yetu yanatupa picha nyingi ambazo ni feki hivyo kuna vitu vingi tunavyoviona ni feki maana unasema hizi camera ambazo zinafanana kila kitu na macho yetu haziaminiki sasa tutayaaminije macho yetu... Hizo camera mnazozitumia ardhini kuonyesha flat earth kwa nini msizitumie hizo kutupigia picha from above tukaiona jinsi dunia yote ilivyotambarare? Au hamziamini hizo camera sababu zikiwa kwa juu zinadanganya au...? Kama mnaweza kuiona meli ikiwa mbali kuwa dunia ni tambarare mziboreshe hizo kamera then mtupigie picha ya full earth..? Afu hiyo flat earth chini imeshikiliwa na nini sasa... Inaelea? Kama inaelea wat follows ukifika ukingoni mwake....?

Afu unataka kusema hapa ikiwa ni saa sita basi dunia yote ni sasa sita? Basi we noma! Hiyo ya 12+ diff ipo mzee.. Mfano Morocco ni GMT0 na fiji ni GMT +12 so tofauti ya mda baina yao ni 12 hours mzee.. Kama huamini hata hilo tafuta watu wa huko uwaulize manake nikisema usearch Google utasema wanadanganya... Na kama unaamini kama hapa kwetu ni mchana basi kuna nchi ni usiku thena wats happening hapo...inakuaje kama dunia ni flat? Hizo hoja zako zote za ndege mzee hazina maana... Hivi hujiulizi mbona nzi ndani ya gari akiwa anaruka anaenda pamoja na gari... Kwa nini asiwe anaachwa mpka anajigonga nyuma ya gari? Sababu ni sehem ya gari kwa mda huo...yupo ndani ya atmosphere ya gari... Hakuna ndege inayoweza kuruka nje ya atmosphere ya dunia mpaka ikaachwa kwa sababu ya mzunguko wa dunia.. Atmosphere ya dunia mzee inaenda mpaka 700km above surfaces na ndege haiendi zaidi ya 20km above earth.. Mambo mengine hayahitaji hata kutumia nguvu mzee.. Kwaiyo pia unataka kusema hao wanaoamini flat earth hamna hata mwenye uwezo kisayansi akaingia mashirika makubwa ya kisayansi na kutupa data za ukweli kuhusu hiyo flat earth?

Majibu ya maswali yako:
1. Haya mambo yote mzee tumejifunza tu hamna mtu amezaliwa anajua... Ila unachojifunza kinabebwa na facts.. Kama kuna ushahidi unaonekana kwa macho then its proven... Nimefundishwa dunia duara.. Wanasayansi woote hata wale wa kale kabisa wasiokuwa na vifaa vya kisasa walili prove hilo.. Mimi mwenyewe naona tofauti ya masaa hapa duniani.. Mwezi unaonekana kwa macho jua linaonekana kwa macho na zipo sayari zinaonekaka kwa mcho zote hizo ni tufe na satellites kbao hadi za watu binafsi zimejaa kibao zote zinaprove same thing..

2. Swali la pili nimekujibi hapo juu.. Chukua tu Morocco na Fiji ni tofauti ya masaa 12..na nchi nyingine zoote ambazo ni GMT 0 na GMT 12..

3. Unauliza juu ni wapi? Sasa kitu kikiwa tambarare juu ni wapi? Duh kazi ipo! Yaan we unasema dunia ni tambarare ila hamjui juu ni wapi ndo maana hamwezi kupiga picha ya dunia.... Ndege inaruka umbali mdogo sasa mzee kutokea ardhini ukilinganisha na ukubwa wa dunia..na huwezi kuona dunia nzima ukiwa juu ya ndege ila ingekuwa ni flat labda ungeweza kuiona dunia nzima.. Kama unataka picha ya dunia lazima uwe umbali wa kutosha na ndo maana nikasema nyie sasa ndo mtumie kamera zenu..mtupigie hiyo picha ya flat earth ya dunia nzima tuione..ila hampajui juu ni wapi......kuhusu speed ya ndege na dunia mzee hata ku search kidogo tu.. Aaah huiamini google...sorry! Hivi nzi na gari kipi kina speed kubwa.. Mbona nzi aliye ndani ya gari anaruka kwa uhuru anaoutaka bila kuonekana kuachwa na gari wakati gari ipo speed 130km/hr?
 
Afu unasema ISS ni slow motion? Kama unajua speed ya dunia kujizungusha na speed ya ISS kuzunguka dunia wala usingetoa hoja hiyo! Kitu kinachoenda speed ya 120 na kile cha 125 Kuna tofauti ya speed ya 5 hapo ambayo itaonekana ni ndogo sana kqa sababu ni relative speed... Unless useme na physics inadanganya... Mzee kwa technologia iliyopo saiz huwezi kudanganya kila mtu... Sayansi ni tofauti na imani mzee kwenye imani kuna vitu tunaamini bila kujali vinaonekanaje mzee ila sayansi is based on facts.. So dont mix science and faith baba.. Hata mimi ki imani naamini Biblia na yote yaliyomo na namuamini Mungu pia ila ki Science ina nafasi yake na hii ni kidunia tu na sio ki imani.. Science inatupa nafasi tu ya kuelewa mazingra yetu jinsi yalivyo .. Mfano creation kisayansi ni tofauti kabisa na kiimani na mimi naiamini imani ipo sa hihi.. So usijivuruge kwa kuchanganya imani na Science..
 
Mzee uzi tumeupitia tangu mwanzo hamna majibu mliyoweka zaidi ya hoja za kupinga kuwa dunia sio tufe.. Maelezo yote mliyoweka humu hayana hoja za msingi za kisayansi na zina maswali mengi zaidi ta hayo unayoita majibu.. Umeweka historia nyingi za watu na link zao wanaotetea flat earth..
Kuna mtu ameuliza hapo juu kuwa "kama dunia ni flat unawezaje kupata usiku na mchana"? Swali hili limejibiwa na hadi picha ya mfano imewekwa,watu wenye akili hujibu kilichojibiwa na siyo kuuliza swali lilelile lililojibiwa,hii ni kuonesha aliyeuliza hajielewi kabisa.....
Watu hapa wanachotaka ni physical evidence na sio maneno mengi na hoja za kukanusha...
Duh!!


Unataka physical evidence kwenye forum? Unajua hata unachohitaji kweli jombaa?
Weka hoja za uthibitisho wa unachokisema..
To begin with,kuna uthibitisho upi kuwa dunia ni duara?Hoja zote ambazo zilionekana kuonesha dunia ni duara zimejibiwa,hili linaonbesha umedanganya kuwa umesoma mada yote hii..
Umeulizwa maswali jibu na sio kupiga kelele tu mtu aanze mwanzo wakati hoja ulizoweka ndo zinazoleta hayo maswali unayoulizwa mzee..
Yaani mtu aulize mchana na usiku unapatikanaje halafu ajibiwe,ndiyo izae swali la mchana na usiku unapatikanaje?

Nyie watu ni shida sana....
 
Kuna mtu ameuliza hapo juu kuwa "kama dunia ni flat unawezaje kupata usiku na mchana"? Swali hili limejibiwa na hadi picha ya mfano imewekwa,watu wenye akili hujibu kilichojibiwa na siyo kuuliza swali lilelile lililojibiwa,hii ni kuonesha aliyeuliza hajielewi kabisa.....

Duh!!


Unataka physical evidence kwenye forum? Unajua hata unachohitaji kweli jombaa?

To begin with,kuna uthibitisho upi kuwa dunia ni duara?Hoja zote ambazo zilionekana kuonesha dunia ni duara zimejibiwa,hili linaonbesha umedanganya kuwa umesoma mada yote hii..

Yaani mtu aulize mchana na usiku unapatikanaje halafu ajibiwe,ndiyo izae swali la mchana na usiku unapatikanaje?

Nyie watu ni shida sana....
Hahahaa... Kila swali unalouliza unaambiwa limeshajibiwa ukitafuta unakuta maelezo yanayoleta maswali zaidi na ukiuliza unaambiwa umeshajibiwa... Picha mmeweka za mifano ukiuliza kwa nini wasipige picha ya dunia nzima sasa mtuwekee hapa mnaleta michoro ya kuchora.. Picha za wenzenu walizopiga mnasema feki za kutengeneza ila mlizopiga nyie kwa kutumia kamera hizohizo walizotengeneza wao ndo sahihi ila hamuwezi kutuwekea picha halisi ya dunia nzima kwa pamoja..

Mzee physical evidence kwenye forum ni picha halisi au video ya kitu husika.. Najua kuna picha na video za kutengeneza ila technology hiyo hiyo bado inaweza kutambua feki na original.. Sasa kwanini msiweke hiyo mnayoamini ni original ya flat earth?

Nyie ni sawa na mtu umemwambia nimeenda baharini huko nikakuta kuna sehem kuna bonge la nyumba..vifaa nilivyoondea nimekuonyesha ukitaka na wewe uende unabisha hamna nyumba baharini huku hata ufukweni mwa bahari hujawahi kufika ila unambishia yule aliekwambia amefika.. The only way ya kukataa ni wewe kwenda huko na kuthibitisha kuwa ni uwongo sio kutumia nadharia na kuanza kujenga hoja zisizokuwa na evidence..

Hoja yenu ya flat earth hatukatia inaweza kuwa kweli sawa ila how? Maswali ni mengi kuliko majibu mnayotoa ambayo hayajitoshelezi.. Na majibu yote mnayotoa yapo kinadharia zaidi ya vitendo.. Fanyeni kwa vitendo then tutaamini... Tumeni chombo au watu wenu mnaowaamini juu kabisa then watuletee picha au video ya hiyo flat earth mnayotuambia...its that simple..! Zaidi ya hapo ni maneno matupu tu ya kiimani zaidi ya ki science... Technology iliyopo saizi mzee unaweza ukathibitisha chochote kile unachohitaji ki Science.. Watu wanaenda space nyie mnasema waongo, satellite zipo huko mnakataa.. Ila mnaamini live coverage za mipira na vitu vingine vinavyorushwa kwa kutumia satellites hizo hizo zinazotuma picha ya dunia... Taabu sana.. Mnaongea sanan ila mpaka sasa hamna picha wala video hata moja inayoonyesha dunia yote kwa pamoja ikiwa flat...sababu hamna technology ya kuthibitisha hilo ila mnakataa technology iliyopo inayothibitisha dunia ni tufe..
 
Tatizo lako linaakisi matatizo ya watu wengi sana.......

Unaposoma maandiko halafu ukashindwa kuyaelewa unayatupia maandiko hayo lawama badala ya kuchunguza kama wewe ndiyo hujaelewa na maandiko hayo hayana tatizo kabisa.Ni sawa na wewe uwe umesimama barabarani na jamaa zako wanne ambao wanakuambia kuna gari la rangi ya bluu linapita barabarani na wewe unaendelea kukodoa na hulioni gari hilo,badala ya kufikiria tu kuwa inawezekana macho yako yana matatizo hivyo yanakufanya usilione gari hilo,wewe unakimbilia kusema jamaa zako ni waongo na gari hilo halipo.....

Nimezungumzia dunia flat ya CD,haiwezekani uwe na flat ya namna hiyo halafu kuwe na upande wa pili wa duara.Tatizo nililoliona hapa ni wewe kushindwa kusoma maandiko mengi na kuyaelewa.Kwenye maandiko yangu hapo juu nimezungumzia dunaia duara ya tufe kwa namna tofauti na dunia duara ya CD kwa namna tofauti,nikatoa na mifano. Nadhani mfano wa chungwa ndiyo umekuchanganya kabisa maana niliutoa nikionesha tofauti kati ya duara ya CD na duara ya tufe [chungwa] na uwezekano wa kuuona mti.....

Suala la upande wa pili lilikuwa kwenye duara ya chungwa na siyo duara ya CD.Nilisema mti uliosimikwa kwenye chungwa huwezi kuuona kwenye duara ya chuingwa unapokuwa upande mwingine wa duara ile hata ukitumia chomb cha kuonea mbali lakini, kwenye duara ya CD ambapo hakuna upande wa pili,ukisimika mti kisha ukaenda umbali wa kilomita 10 hutaweza kuuona mti huo pia lakini,ukitumia kifaa cha kuonea mbali unauona.....

Sasa kwa kutumia logic hiyo,meli inapokuwa haionekani kwenye macho yako baada ya kwenda mbali,wale ambao wanasema dunia ni duara ya tufe hudai kuwa unakuwa huioni kwasababu inakuwa imeshapotelea kwenye duara ya dunia hivyo inakuwa kwenye upande mwingine wa duara hiyo.Lakini ukichukua kifaa cha kuonea mbali unaiona meli hiyo.Swali la msingi,je kwanini uione wakati iko kwenye upande mwingine wa duara ya dunia?

Kama dunia ni duara ya tufe usingeweza kuiona meli hiyo na ungeishia kuona maji tu pale yalipopinda lakini ni kinyume chake,meli inaonekana bado na hii inathibitisha kuwa dunia ni flat lakini duara kama CD.Kama vile mti ukiusimika kwenye barabara ya urefu wa kilomota 10,halafu mti ule ukausimika mwanzo wa barabara ile kisha ukaenda umbali huo wa kilomita 10 ukatazama hutaweza kuuona mti ule,hii haimaanishi dunia imepinda kutokana na duara yake kama tufe bali huuoni kwasababu macho yako hayana tu uwezo wa kuona umbali huo.Ukichukua kifaa cha kuonea mbali utauona huo mti bila matatizo yoyote,hii inaonesha kuwa dunia haijapinda bali ni flat.....

Nadhani umenielewa....
Asante saaaana Mkuu!
 
Sawa......

Kutokubaliana na maandiko yangu ni haki yako ya msingi,hapa hatuangalii unakubali au haukubali isipokuwa ni kwanini hukubaliani na hayo maandiko yangu.....

Hakuna mahali popote nilipoielezea sayansi kwenye maelezo yangu isipokuwa nimeelezea hali halisi,hali halisi inaweza kuwa ni sayansi kwa sehemu tu na inaweza ikawa siyo sayansi kwa sehemu kubwa.Makosa yako ni kuanza kufikiri namna hii.....

Unasoma maandiko yangu huku unaongozwa na mihemko,nitakueleza ni kwanini nakuambia hivyo....

Hakuna mahali nimesema kuwa mwisho wa darubini ni maili 2 isipokuwa nimekuambia kuwa huwezi kutumia darubini yenye uwezo mdogo kutaka kuona sehemu inayohitaji darubini yenye uwezo mkubwa na nikatoa mfano wa umbali wa maili 2.Wewe umesema "hata ukitumia darubini 'kali' kiasi gani huwezi kuona",hivi Zenji kuna umbali upi? unajua darubini ya uwezo wa juu zaidi iliyoko duniani ni ya uwezo upi?

Ushawahi kuitumia?

Unahemkwa hadi unashindwa kuzingatia vitu vidogo kama hivi kwenye maandiko yako....

Kwa logic ya kuiona meli ambayo huioni kwa macho yako inashindikana nini kuiona Zenji?

Usijali,soon utajua ni nani kati yangu mimi na wewe anayeifanya kazi ya Shetani,nadhani hata Shetani humjui wewe.....

Kivipi?
Aha ha ha ha jamaa kajiwahi kujiona yeye ni wakala wa ibilisi halafu anakusingizia wewe.
 
Duh, mbona unaandika kwa mihemko kiasi hiki mkuu?? Kuna nini??
Ishu hapa nibkwamba hatujakubaliana kimtazamo, mfanyakazi wa shetani anatoka wapi tena!!
Tufanye "nimekuelewa", case closed kati ya mimi na wewe, HAPPY NOW??
Cheerz!
Wewe kweli barafu ya moto.
 
Kwa akili zangu hizi zakawada, sijawahi kubaliana na kuwa dunia ni ya mviringo kama tufe. Nilikuwa nakubaliana kuwa dunia ni tambarare yenye mviringo wa cd. Kwa sababu nilikua nikisimama kule kwetu Makete majira ya asubuhi jua litapo chomoza najioni jua linapo zama, ziwa nyasa huwa linaoneka na kutoka kule kwetu kwenda ziwa nyasa pana umbali wa km 70. Na kama dunia ingekuwa ya mviringo kama tufe naamini ziwa nyasa lisinge onekana. Halafu sababu nyingine ni hii ukisoma maandiko matakatifu kipindi cha gharika wakati wa Nuhu tunasoma kuwa tudia ilifunikwa na maji wato wote walikufa ikabaki familia ya Nuhu tu maana walikuwa kwenye meli. Sasa nikawa najiuliza kama dunia iko kama tufe maji yaliwezaje kujaa nakuifunika dunia yote. Sasa naomba tuendelee kutafakari zaidi.
Halafu tujiulize kuwa kwanini Mungu alimwambia Joshua asimamishe Jua na si dunia ikiwa dunia nayo inazunguka.
 
Hahahaa... Kila swali unalouliza unaambiwa limeshajibiwa ukitafuta unakuta maelezo yanayoleta maswali zaidi na ukiuliza unaambiwa umeshajibiwa...
Hatusemi na wala sisemi yamejibiwa kwasabau nataka kusema hivyo bali ninakuambia kitu ambacho ni kweli kabisa,uzuri nimekueleza pia kwamba ni namna ipi unapaswa kufanya swali linapokuwa limejibiwa kwa majibu ambayo wewe hujayakubali...

tatizo unaonekana uko hapa kiushabiki na kushindana zaidi na ukidhani kila mtu hapa anashindana kitu ambacho siyo kweli.Tupo hapa kusaidiana kuuona uhalisia....
Picha mmeweka za mifano ukiuliza kwa nini wasipige picha ya dunia nzima sasa mtuwekee hapa mnaleta michoro ya kuchora..
Wakati mwingine mnashangaza sana ninyi watu....

Ukiambiwa unadanganya na hujasoma mada unakataa.Mtoa mada amesema ni kwanini hakuna picha iliyoweza kupiga dunia nzima kama ilivyo,hapa naona unakuja na hoja ile ile ambnayo imeshajibiwa.Ambacho unapaswa kukifanya wewe siyo kupoteza muda kuuliza vitu ambavyo utaonekana tu unafanya ushabiki,soma mada kisha uulize maswali yanayoeleweka....

Mwenye busara angekuja na hoja kupinga hoja ya mtoa mada aliyosema ni kwanini haiwezekani kupiga picha dunia yote na siyo kuja na hoja ya kumtaka alete picha ya kitu ambacho alishasema haiwezekaniki kiwepo.....
Picha za wenzenu walizopiga mnasema feki za kutengeneza ila mlizopiga nyie kwa kutumia kamera hizohizo walizotengeneza wao ndo sahihi ila hamuwezi kutuwekea picha halisi ya dunia nzima kwa pamoja..
Mtoa mada ameshasema kuwa wao ambao wanasema kwamba wanakwenda huko angali mbali kabisa nje ya anga ya dunia wanaweza kuona na vyombo vyao vimepiga picha,cha ajabu ni kwamba zile picha siyo hata za kamera ambazo zimeonekana nazo zina sida bali ni picha za kutengeneza.Hii ina maana kwamba hakuna picha hata ya kamera a mabayo ni halisi ikionesha dunia ilivyo kutoka kwenye vyombo vya hao wanaosema kuwa wanakwenda huko anga za mbali na kuiona dunia kwa vifaa vyao,unadhani swali la picha anapaswa alijibu nani?

Hoja yako ya picha halisi ni ya ajabu na nimeishaielezea hapo juu....
Mzee physical evidence kwenye forum ni picha halisi au video ya kitu husika..
Picha na video zinaweza kuwa manipulated kama hujui na hivyo siyo ushahidi katika mambo haya.Ndiyo maana nilikuambia kuwa inawezekana hujui unachohitaji.....
Najua kuna picha na video za kutengeneza ila technology hiyo hiyo bado inaweza kutambua feki na original.. Sasa kwanini msiweke hiyo mnayoamini ni original ya flat earth?
Hili swali nimeshalijibu hapo juu....
Nyie ni sawa na mtu umemwambia nimeenda baharini huko nikakuta kuna sehem kuna bonge la nyumba..vifaa nilivyoondea nimekuonyesha ukitaka na wewe uende unabisha hamna nyumba baharini huku hata ufukweni mwa bahari hujawahi kufika ila unambishia yule aliekwambia amefika.. The only way ya kukataa ni wewe kwenda huko na kuthibitisha kuwa ni uwongo sio kutumia nadharia na kuanza kujenga hoja zisizokuwa na evidence..
Tatizo hujaliona bado....

Huwezi kuniambia umeenda huko ukiwa na vifaa ambavyo unaweza kupiga picha na kuchukua video kwa mfano,halafu uje huna picha na video halafu uniambie tu nikuamini.Kwanini hukupiga picha? Kwanini huna ushahidi wa maneno yako?

Hadithi za kufikirika hizi....
Hoja yenu ya flat earth hatukatia inaweza kuwa kweli sawa ila how?
Kwanza hoja hii siyo yangu,mimi ni mtu ninayehoji na kujihoji,natafuta ukweli,hoja na mtoa mada ina mashiko,kwanini nisihoji na kujihoji?

Au kwako wewe mtu anayehoji jambo anakuwa amelikana au kulikubali?
Maswali ni mengi kuliko majibu mnayotoa ambayo hayajitoshelezi.. Na majibu yote mnayotoa yapo kinadharia zaidi ya vitendo.. Fanyeni kwa vitendo then tutaamini... Tumeni chombo au watu wenu mnaowaamini juu kabisa then watuletee picha au video ya hiyo flat earth mnayotuambia...its that simple..!
Inaweza kuwa ni kweli kuna maswali zaidi ya majibu,lakini hayo maswalikila mtu ana wajibu wa kujibu siyo kundi fulani tu.Kwakuwa wameshakuonesha kuwa inawezekana kuna mahali umedanganywa ni jukumu lako kuutafuta ukweli na siyo kumbebesha aliyekuonesha uwezekano huo wa kudanganywa.....

Nakushauri uusome huu uzi utapata jibu la hoja yako ya kuhusu kutuma chombo.Ndiyo maana nakuambia hgujasoma hii mada lakini unabisha,unajenga hoja kutoka kwenye mambo ambayo yana majibu humu,acha uvivu....
Zaidi ya hapo ni maneno matupu tu ya kiimani zaidi ya ki science...
Dunia kuwa duara ni imani vile vile,hakuna uthibitisho,kama unao nipe....
Technology iliyopo saizi mzee unaweza ukathibitisha chochote kile unachohitaji ki Science..
Naomba uthibitishe wewe upo na siyo kwamba unaota....

Tumia sayansi yako hapa....
Watu wanaenda space nyie mnasema waongo, satellite zipo huko mnakataa.. Ila mnaamini live coverage za mipira na vitu vingine vinavyorushwa kwa kutumia satellites hizo hizo zinazotuma picha ya dunia... Taabu sana..
Haya yote una uthibitisho au umeambiwa tu na wewe umeyemeza tu?

Unajua hata maana ya uthibitiosho?
Mnaongea sanan ila mpaka sasa hamna picha wala video hata moja inayoonyesha dunia yote kwa pamoja ikiwa flat...sababu hamna technology ya kuthibitisha hilo ila mnakataa technology iliyopo inayothibitisha dunia ni tufe..

Soma mada na angalia kama unasoma kwa makini acha kujadili mambo ambayo unaona uvivu kuyafuatilia....
 
Hatusemi na wala sisemi yamejibiwa kwasabau nataka kusema hivyo bali ninakuambia kitu ambacho ni kweli kabisa,uzuri nimekueleza pia kwamba ni namna ipi unapaswa kufanya swali linapokuwa limejibiwa kwa majibu ambayo wewe hujayakubali...

tatizo unaonekana uko hapa kiushabiki na kushindana zaidi na ukidhani kila mtu hapa anashindana kitu ambacho siyo kweli.Tupo hapa kusaidiana kuuona uhalisia....

Wakati mwingine mnashangaza sana ninyi watu....

Ukiambiwa unadanganya na hujasoma mada unakataa.Mtoa mada amesema ni kwanini hakuna picha iliyoweza kupiga dunia nzima kama ilivyo,hapa naona unakuja na hoja ile ile ambnayo imeshajibiwa.Ambacho unapaswa kukifanya wewe siyo kupoteza muda kuuliza vitu ambavyo utaonekana tu unafanya ushabiki,soma mada kisha uulize maswali yanayoeleweka....

Mwenye busara angekuja na hoja kupinga hoja ya mtoa mada aliyosema ni kwanini haiwezekani kupiga picha dunia yote na siyo kuja na hoja ya kumtaka alete picha ya kitu ambacho alishasema haiwezekaniki kiwepo.....

Mtoa mada ameshasema kuwa wao ambao wanasema kwamba wanakwenda huko angali mbali kabisa nje ya anga ya dunia wanaweza kuona na vyombo vyao vimepiga picha,cha ajabu ni kwamba zile picha siyo hata za kamera ambazo zimeonekana nazo zina sida bali ni picha za kutengeneza.Hii ina maana kwamba hakuna picha hata ya kamera a mabayo ni halisi ikionesha dunia ilivyo kutoka kwenye vyombo vya hao wanaosema kuwa wanakwenda huko anga za mbali na kuiona dunia kwa vifaa vyao,unadhani swali la picha anapaswa alijibu nani?

Hoja yako ya picha halisi ni ya ajabu na nimeishaielezea hapo juu....

Picha na video zinaweza kuwa manipulated kama hujui na hivyo siyo ushahidi katika mambo haya.Ndiyo maana nilikuambia kuwa inawezekana hujui unachohitaji.....

Hili swali nimeshalijibu hapo juu....

Tatizo hujaliona bado....

Huwezi kuniambia umeenda huko ukiwa na vifaa ambavyo unaweza kupiga picha na kuchukua video kwa mfano,halafu uje huna picha na video halafu uniambie tu nikuamini.Kwanini hukupiga picha? Kwanini huna ushahidi wa maneno yako?

Hadithi za kufikirika hizi....

Kwanza hoja hii siyo yangu,mimi ni mtu ninayehoji na kujihoji,natafuta ukweli,hoja na mtoa mada ina mashiko,kwanini nisihoji na kujihoji?

Au kwako wewe mtu anayehoji jambo anakuwa amelikana au kulikubali?

Inaweza kuwa ni kweli kuna maswali zaidi ya majibu,lakini hayo maswalikila mtu ana wajibu wa kujibu siyo kundi fulani tu.Kwakuwa wameshakuonesha kuwa inawezekana kuna mahali umedanganywa ni jukumu lako kuutafuta ukweli na siyo kumbebesha aliyekuonesha uwezekano huo wa kudanganywa.....

Nakushauri uusome huu uzi utapata jibu la hoja yako ya kuhusu kutuma chombo.Ndiyo maana nakuambia hgujasoma hii mada lakini unabisha,unajenga hoja kutoka kwenye mambo ambayo yana majibu humu,acha uvivu....

Dunia kuwa duara ni imani vile vile,hakuna uthibitisho,kama unao nipe....

Naomba uthibitishe wewe upo na siyo kwamba unaota....

Tumia sayansi yako hapa....

Haya yote una uthibitisho au umeambiwa tu na wewe umeyemeza tu?

Unajua hata maana ya uthibitiosho?


Soma mada na angalia kama unasoma kwa makini acha kujadili mambo ambayo unaona uvivu kuyafuatilia....
Hahahaa... Mzee nimesoma mada vizuri tangu mwanzo na kama ulivyosema swala sio kubishana ila ni kuelimishana na pale ninapokuwa na swali inanibidi kuuliza.. Nasema hoja za flat earth zina maswali mengi zaidi ya majibu sababu inaonesha kwa hoja hizo kuwa haiwezekani kupiga picha ya dunia yote kwa pamoja ila mnaweza kuichora kwa kutumia hizo theories.. Kwaiyo kwa kifupi unasema kwa technologia yooote tuliyonayo saiz HAIWEZEKANI kupata picha ya dunia yote na kuona umbile lake kwa pamoja...? Kwaiyo unasema pia picha zooote zinazopigwa na satellite zote hizo zilizopo angani ni feki maana yake tusiamini kitu chochote kinachorushwa kwa njia ya satellite? Manake maelezo yenu asilimia kubwa ni kwamba technology yote iliyopo saiz inaongozwa na hao ma secrets society na ndo waliobuni huu uongo wa dunia tufe au sio? Kwaiyo kwa kifupi tusiiamini hii technology...
 
Dunia haiwezi kuwa flat hata siku moja. Simple answer ni kama dunia ingekuwa flat kusingekuwa na nyakati tofauti.
 

Mimi ninachojua ni kuwa jua linazunguka dunia. Hata mtumishi wa Mungu Joshua alitamka hilo ebu soma hii


Joshua 10:12-13

12: Ndipo Yoshua akanena na Bwana katika siku hiyo ambayo Bwana aliwatoa Waamori mbele ya wana wa Israeli; akasema mbele ya macho ya Israeli, Wewe Jua, simama kimya juu ya Gibeoni; Na wewe Mwezi, simama katika bonde la Aiyaloni.
13: Ndipo jua likasimama, na mwezi ukatulia, Hata hilo taifa lilipokuwa limekwisha jipatiliza juu ya adui zao.
hapo naomba kutafautiana na wewe. Inamaana wakati huo wazungu walikuwa hawajajuwa kuwa dunia ni mduara. kwa sababu walikuja kujuwa kuwa dunia ni duara karne ya 14 AD
Mimi najuwa kuwa dunia ni duara. nilifanya utafuti kwa kuweka nguzo za miti. ilikuwa wakati wa kiangazi. Mti wa kwanza asubuhi, kivuli chake huoni kinaishia wapi. lakini ikifika kuanzia saa 3 au 4 ndiyo unaona kivuli kinaonekana kutokea magarbi kurudi mashariki.
hii ikanipa picha kwa mfano ukiwa unasafiri kwenye gari na uko kwenye spidi kali. Utaona kuwa miti au vitu ambavyo havihamishiki vinakimbia kukufata. wakati ukweli wewe ndiye unakimbia kwenye gari kuvielekea. hii ni wazi kuwa dunia ndiyo inazunguka juwa kilekivuli cha miti nilile juwa unona lina hama wakati dunia ndiyo ina hama. Hivyo dunia ni mduara ndiyo maana kuna usiku na mchana.
Hivyo ndivyo nilivyo elewa.
 
Hahahaa... Mzee nimesoma mada vizuri tangu mwanzo na kama ulivyosema swala sio kubishana ila ni kuelimishana na pale ninapokuwa na swali inanibidi kuuliza.. Nasema hoja za flat earth zina maswali mengi zaidi ya majibu sababu inaonesha kwa hoja hizo kuwa haiwezekani kupiga picha ya dunia yote kwa pamoja ila mnaweza kuichora kwa kutumia hizo theories.. Kwaiyo kwa kifupi unasema kwa technologia yooote tuliyonayo saiz HAIWEZEKANI kupata picha ya dunia yote na kuona umbile lake kwa pamoja...?
Huwezi kuwa umesoma mada halafu unaendelea kuuliza maswali yale yale tu unless uwe huelewi unachosoma au unachouliza...

Unachopaswa kukifanya wewe ni kuonesha inawezekana kupiga picha dunia yote na siyo kuendelea kuuliza maswali yale yale tu....
Kwaiyo unasema pia picha zooote zinazopigwa na satellite zote hizo zilizopo angani ni feki maana yake tusiamini kitu chochote kinachorushwa kwa njia ya satellite?
Ndigu,nakushauri uache kuendelea kupost hapa maana unaendelea kuonekana wa ajabu zaidi....

Mtoa mada ameeleza ni aina ipi ya picha unazodhani ni halisi,unaweza kukagua ili kuona kama amedanganya au hajadanganya,unapoendelea kupost post za namna hii hapa unaendelea kujionesha namna ulivyo,nakushauri acha au anza kuhoji mambo ya msingi....

Kama unaona uvivu kusoma mada acha kubisha kishabiki hapa......
Manake maelezo yenu asilimia kubwa ni kwamba technology yote iliyopo saiz inaongozwa na hao ma secrets society na ndo waliobuni huu uongo wa dunia tufe au sio? Kwaiyo kwa kifupi tusiiamini hii technology...
Hunaelewa mambo kinyume kabisa....

Kukosoa kitu siyo kukana uwezo wake.Unahoji uwezo wa teknolojia,hivi unadhani unahitaji teknolojia yenye uwezi upi kuweza kupiga picha dunia yote?

Halafu mbona hujathibitisha uwepo wako jombaa? Maana ulisema inawezekana,au hukuona hili swali?
 
Back
Top Bottom