Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
dini kazi yake kubwa ni kudumaza uwezo wa kufikiri. unanyimwa uwezo wa kutumia akili yako. mwandishi wa makala hii ni kasuku. ktk hoja yake ya dunia tambarare, ni upi unene wa hiyo dunia? mbona jua halichomoko na kutua ghafla? ajiongeze kielimu.
 
Kama dunia inazunguka kwanini kila cku naona nyota hizo hizo haibadiliki kwa zaidi ya miezi 5
 
Sasa usibishe kuwa kuna uwezekano wakudanganywa, haya hizo za jesi na za watafiti huwa zina uwezo wakutabiri hali ya hewa au wanatumia sababu hizo ili kificha ukweli.... Ina maana kaweza kwenda anga za mbali na anaplan yakupeleka na abiria ila kuwavusha antaktika ni issue?
Mzee kuna ndege za watalii na wanamichezo ya kwenye ice zinakwenda huko.. Usiwe mvivu.. Fuatilia privates plane zipo nyingi huko.. Kuna watalii wengi tu wanaenda huko south na North pole mzee..
 
Kama dunia inazunguka kwanini kila cku naona nyota hizo hizo haibadiliki kwa zaidi ya miezi 5
Na baada ya hiyo miezi mitano zinakwenda wapi? Unajua ni kwa nini kuna kipindi sayari flani zinakuwa zinaonekana kwa macho na wakati mwingine huzioni? Unajua ni kwa nini kuna kipindi jua linakuwa kali sana afu kuna wakati linakuwa la kawaida..?
 
Nimecheka sana watu tunapata shida sana bila ya kujua kuna upeo(horizons)huu ni mwisho wa ukomo wa jicho la mwanadamu lililoumbwa kuwa ROUND ,so chochote kile kinachotumia kuonea mbali kama camera nayo lazima KUTENGENEZA kwa mfano wa jicho,sasa huwezi kusema Dunia ni DUARA wakati jicho ni DUARA pia.(usikurupuke km hujanielewa kaa kimya)
Kwaiyo tusiyaamnini macho yetu maana kuna vitu tutakuwa tunaviona vya duara wakati sio vya duara ila macho yetu ndo ya duara.. Ok
 
Ukilewa Sayansi utadanganywa na binadamu wenzako na kufanywa kama ndondocha kwa kuamini vitu ambavyo unapandikizwa bila kutumia akili yako, ukitumia akili za binadamu wa kawaida kutafakari utagundua kuwa dini iko sahihi kabisa kuhusu Dunia yetu.
Eti wanasayansi waligundua kifaa cha Carbon_14 ambacho kimepima umri wa binadamu wa kwanza kuwa kaishi miaka zaidi ya milion 3 na asili yake ilikuwa ni sokwe.
 
Kama dunia inazunguka kwanini kila cku naona nyota hizo hizo haibadiliki kwa zaidi ya miezi 5
Ni mtu asiyetaka kutafakari kwa ndani zaidi ndo anaweza akamuona mleta mada ni muongo ila ukiamua ufungue akili zako utaona kuwa yupo sahihi kabisa.
 
Kikundi gani hicho kilichosema binadamu anatokana na nyani? Weka jina usiongee bila kuwa na facts. Hakuna mwana science anaesema binadamu alitokana na nyani na hakuna mwana science anaesema dunia ni flat hayo yote mnayosema nyie ni conspiracy theories sio facts. Dunia kuwa duara anajulikana tangia enzi za zamani sio jambo jipya. Wewe sema hicho kikundi chako kilianzishwa mwaka gani?
thibitisha Dunia ni duara... take your time and research alafu ulete majibu
 
You did well, umetafuta materials etc hongera. But Mimi najiuliza..kwanini tunahangaika na kujua earth is flat or round. Then what????
 
You did well, umetafuta materials etc hongera. But Mimi najiuliza..kwanini tunahangaika na kujua earth is flat or round. Then what????
Kwasababu ya darasani ni tofauti sana na ya mazingira halisi, mfano darasani tunaambiwa ukitaka kujua dunia duara angalia mei ikwa inagokea mbali itanza kuonekana juu kwanza kiha yote coz ipo ktk cve ya dunia, lakini ktk mazingira halisi hyohyo meli inayolnekan juu tuu ikiwa mbali kma uttumia darubini unaiona yote sasa kwanini tusihoji uhalisia wake?
 
Mkuu amejitahidi kuipinga theory ya spherical earth ila hajatoa ushahidi wa flat earth
 
Wewe uliyefuatilia hebu nipe mwanga wa hili, jamaa amesema dunia ni tambarare na maji yamezuiliwa kwa mabonge makubwa ya barafu. Swali, mwisho wa hayo mabonge ya barafu ni wapi na baada ya hayo mabonge kuna nini!
Mabonge ya barafu, siku yakipigwa na jua yakayeyuka hapo ndo tutaisoma namba.
 
Th
Kitu kinachonifanya niendelee kuamini kuwa dunia ni duara ni usiku na mchana,yaan huku kukiwa usiku nchi zingine kunakuwa mchana........kama dunia ingekuwa flat au nusu duara,jua lingekuwa linafika katikati basi dunia nzima yaan nchi zote ingekuwa mchana lakin hiki ktu hakiwezekan lazma kwingne kuwe usku kwingne mchana,afu UN bendera yao waliitoa hvo ili mabara yote yaonekane vizuri(yaan picha imechukuliwa juu ya dunia na sio pembeni kama picha zingine zinavyoonesha)
That's the point....
 
Hua sipendi matusi lakini vitu vingine vinaua kabisa tolerance, hii ni karne ya 21 hatuna muda wa kukaa kuendelea kubishana na vila.za!

Hii article nimeona kwa kurukaruka sana, in short nimetumia sekunde kama 30 tu kuiangalia nikapotezea maana umeandika kitu probably saa nzima ila ni upuuzi mtupu.

Twende sasa kwenye common sense, nitajaribu kutokutumia chochote cha kisayansi pamoja na kua wewe unapinga sayansi ila unakuja kusema evidence yako ni picha iliyochukuliwa na kamera (iliyotokana na sayansi), huna hata idea kamera imetengenezwaje na kwa nini haijaonyesha dunia ikipinda kwenye hizo picha, sababu ninayo ila tusiende huko hutoelewa kwa akili yako.

Akili ya kawaida kabisa, hapa tutaona kama wewe kweli unafikiria au ovyo. Unapochukua maji na kuyaachia yaanguke chini yanajaribu kujiweka kwenye shape gani? Jibu ni jepesi tu, sphere (round) sababu ni ndogo, kila kitu kinajaribu kujivuta pamoja kutengeneza shape yenye area ndogo kuliko zote, huwezi achia maji yaanguke yakatengeneza shape ya box hata siku moja.

Sasa kutokana na nilichokisema, mwezi angani ukiwa full hua unauona kama box au sphere? obvious ni sphere, sababu ni ndogo, upo angani particles zake zimejivuta pamoja kutengeneza shape yenye area ndogo kuliko zote ambayo ni sphere, kama huamini mwezi nao ni sphere basi nenda mirembe ukatibiwe akili au tafuta daktari wa macho. Dunia nayo ipo angani vilevile, unadhani ina nini special cha kuifanya isijaribu kuobey hiyo rule ya kujivuta pamoja kutengeneza sphere alafu iende kujiweka kua flat??

Darubini zipo madukani zinauzwa, chukua moja jaribu kuangalia night sky, itafute venus au mars, zote zipo katika shape ya sphere, unaziona kwa macho yako mawili. Dunia ina nini special yenyewe tu ndiyo iwe flat?

Hujaona watu wanazunguka dunia nzima kwa meli kwa kufuata njia moja tu (forward)?? Ina maana walifika mwishoni kwenye hizo barafu zako alafu wakapita uvunguni kurudi mwanzoni au? Hehe hata aliyevuta bangi hili hawezi kutoliona lipo wazi kabisa.

Nimejaribu kukujibu kwa logic ya kawaida kabisa, kama hadi hiyo hujaielewa basi sina muda wa kubishana na watu wanaopoteza muda kusoma ujinga kwenye internet alafu wanajifanya wanasanyansi huku internet yenyewe wanayotumia imetengenezwa na haohao wanaowabishia. Akili ndogo kujaribu kuendesha akili kubwa. Hehehe siamini umeandika kitabu kizima ukisupport ujinga.
Kwa mfano hizo barafu ambazo ndo ukingo wa dunia zikiyeyuka ukaendelea na safari mwisho wake utakuwa wapi?
 
Back
Top Bottom