Hizi ni organization ambazo hujawahi kufundishwa na nyingine ndo unazijua leo, nitaelezea kwa ufupi but fatilia mwenyewe deep uzijue kwa undani.
1. OPERATION HIGHJUMP (1946).
(DISCOVERY OF THE ICE WALLS)
hii operation iliweza kugundua uwepo wa Ice walls ambazo zina act kama container kwa maji yote ya bahari. Antartica sio bara kama tunavyoambiwa bali ni Ice walls ambazo zimeizunguka Dunia yote ndo zinaya keep maji ya bahari, kumbuka maji yanahitaji container. Ukiangali vizuri hio logo ya “operation highjump” pembeni haina tofauti na ile ya UN, hizo pembeni ndo ICE WALLS zenyewe.
2. OPERATION DEEP FREEZE (1955)
(DISCOVERY OF THE FIRMAMENT)
Kupitia hii operation ndo waligundua kuna kitu kinaitwa Firmament ambayo ipo juu na pembeni, we under the God’s firmament hakuna anayeweza kutoka au kuingi, na juu kuna maji.
3. NASA ilinzishwa (1958)
Mpaka kufikia mwaka 1960 ramani ya dunia ilikuwa ni flat kabla ya NASA kuanza kuja na ma theory yao. NASA ilianzishwa kimkakati na ni Satan Organization ambayo inasimamia show zote za space na organization nyingi hapa duniani ziko under NASA control. NASA ni neno la kiebrania ambalo ukilitafrisi kwa kiingereza ni “deceive” na ukileleta kwa kiswahili ni “kudanganya au kupinga”. Wanapinga nini? uumbaji wa Mungu, unaweza jiuliza hivi wakitudanganya wanapata faida gani?, ukweli ni kwamba hawataki uujue uumbaji halisi wa Mungu kuhusu hii Dunia.
Baada ya NASA kuanzishwa walikuja na “VAN ALLEN BELT” ambapo walisema kwamba huwezi kuvuka kwenye hii horizon, lakini ukweli Van allen belt ndo firmament yenyewe. NASA wanasema Van allen belt distance kutoka duniani ni kuanzia 1000km-12,000km, swali la kujiuliza mimi na wewe waliwezaje kwenda mwezini umbali wa 240,000km??🤷🏻♂️.
4. ANTARTIC TREATY (1959)
(GUARDING THE FIRMAMENT)
Baada ya kugundua uwepo wa mwisho wa dunia huko Antartica wakaja na antartica treaty na mataifa karibu yote yamesign huu mkataba. Ukifuatilia sababu why? watakwambia sababu ya kulinda mazingira, unabaki unajiuliza hivi ni nani aende huko?. Ukweli wanoficha hawataki mjue ndomana angle zote zinalindwa kwa Ulinzi mkali.
5. OPERATION FISHBOWL (1962)
(NUKING THE FIRMAMENT)
Series of high altitude nukes zilitumwa angani kujaribu kuvunja firmament ya juu ili waone kama wataweza kutoka nje ya Dunia, lakini hawakufanikiwa na mpaka leo wanaendelea na hii project na nyuma akiwepo master mind mwenyewe Elon musk, lakini hawatafanikiwa.
6. APOLLO
Wote tunajua APOLLO ndo wanafanya operation za mwezi na masuala mengi tu ya space na wako chini ya NASA. Wanadanganya wameland mwezini, mara wamefika Mars na madudu kibao lakini ni uongo mtupu.
Twende Direct kwenye Antartica.
Antarctica sio Bara! Hapo chini nimekuwekea ramani ambazo ziko proved both scientifically and practically, ndio raman ambayo kila Pilot wa ndege anatumia. Sasa Huo weupe unaouona unaozunguka 360° ni kitu kinaitwa ICE WALLS. Ziliumbwa na MUNGU mwenyewe kwaajili ya kukeep yale maji yote ya bahari yalio kwenye Flat Earth ili yasifall kwenye edges! Hilo walipoligundua wakaficha na wakabadilisha wakaitwa Bara la Antarctica! Tukadanganywa.
Ushahidi wa Kibiblia about Ice walls 👇
(Methali 8:27-29 "Alipozithibitisha mbingu nalikuwako, alipopiga DUARA KATIKA USO WA BAHARI. Alipoipa bahari mpaka wake kwamba maji yake yasiasi amri yake alipoiagiza misingi ya nchi") Ukitumia ya kingereza itakua vizuri zaidi!
Ukienda Kule Antarctica huruhusiwi kuvuka behind the walls! Kuna ulinzi mkali sana tena maalum wa special forces wa NASA. Wanaruhusu researchers wao tu na labda tourist nao huwa wanapelekwa maeneo ya hapo mbele tu na wanakua wamethibitishwa sana ili kwenda. Mataifa yote yamesign makubaliano ya kutokwenda kule hata Tanzania.
Kwanini? Sababu behind Ice walls is where exact the Earths edges are and probably the firmament is settling down the ground level. Lakini pia uwezekano upo kwamba Mungu alificha firmament to the ground level kama alivoficha bustan ya Eden na vitu vingine baada ya dhambi kuingia, maana alijua haya yote tungejaribu kuanza kuidestroy kama wanavotuma rocket kupasua ile ya juu.
Lakini the fact is that, behind the ice walls there's something, ni uhakika ndio edges zilipo na there's a lot of land behind the walls ambayo huwenda firmament to the ground level ipo haijafuchwa na MUNGU.
Kwanini wanafanya ulinzi mkali huko? Jiulize ni nini wanatuhide?? Ni nini hawataki tukijue??, fanya Research mkuu.
So edges zipo ni vile tuko limited na ANTICHRIST tuone, tuskie, wanatuamlia tufatilie wanachotaka wao tu n.k
Angalia hata United Nations official Logo mekuekea hapo, ina raman ya Flat Earth na lile lilozunguka ndio Ice Walls zenyewe. Na wanajua ukweli ila sisi ndio tunadanganywa.
Tunaishi kwenye Dunia Flat iliofunikwa na Firmament. Mungu hajawah ficha kitu, yote yameelezewa kwenye Biblia, na hata scientifically tunaweza kuyaprove. Good luck