Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Hakuna sehemu nimesema density inavuta vitu chini,...bali ni kwamba The denser the object, the higher the likelihood that it will sink or drop, and vice versa,.......mfano A person weighing 98 kilograms climbing onto the back of a person weighing 20 kilograms is like objects with greater weight that tend to sink or be less able to carry load, depending on their molecular density.
Kama vitu venye uzito mkubwa(Kg) ndio vinasink sasa kwann meli inaelea wakati shilling inazama? Na kimsingi meli ina kg nyingi kuliko shilling?

Maana naona umekwepa kuwa 'density' umekimbilia uzito😀.
 
Nyingi sana Zimebadilika Mkuu Ni nyingi Labda kama Hujasoma Science Subjects..
I mean hii ya umbo la Dunia, je imebadirika? Mpaka ww uje hapa useme umbo la Dunia ni tambalale.

Zamani ilikuwa inaaminika umbo la Dunia ni tambalale lkn baada ya gunduzi na tafiti mbalimbali wakagundua si kweli, Bali umbo la Dunia ni oblate sphere,

Sasa hizi hoja za Dunia ni tambarare unazozileta hapa wewe umetoa wapi? Je Kuna any published document mpya iliyothibitisha hicho? Au Kuna ugunduzi wowote wewe kama ww ulioufanya mpka ufikie hii conclusion? Au upo hapa Ili kujua ukweli, au upo hapa kuchangamsha ubongo?????????
 
Nyingi sana Zimebadilika Mkuu Ni nyingi Labda kama Hujasoma Science Subjects..
Sayansi sio porojo, mahali inaupungufu (weakness) inasema hailazimishi uongo uwe ukweli Ili kujifurahisha.

Kwa sayansi ya sasa, Dunia ni duara (oblate sphere) so kama Kuna mtu anakuja kupinga aje na sababu za kisayansi na experiment zinazothibitisha kuwa Dunia si tufe.

Lakini pia tunapaswa tujue sio Kila mtu anaweza kufanya tafiti hizi, Kwa sababu tofauti tofauti. Kwahy tupo limited na tafiti zetu na ndio maana jamaa yako, hateeb10 utafiti wake umeishia kwenye observation tu na aka conclude anachokiona ni sahihi😀, akasahau observation no hatua ya mwanzo kabisa kwenye scientific investigations.

Mfano: ukitumia observation tu, Kwa mfano ukichukua school ruler ukai submerge kwenye maji, utaona kama imepinda je, unaweza kuconclude kuwa ruler ukiweka kwenye maji inapinda?

Kwahiyo tunapojenga hoja humu tutumie logic na sababu zinazomake sense, sio unaforce Dunia iwe duara tu au flat tu, ndo hapo unakuta mtu anaforce gravity isiwepo😀 Ili tu hoja yake I make sense.
 
Nyingi sana Zimebadilika Mkuu Ni nyingi Labda kama Hujasoma Science Subjects..
Na lastly, tujue tu ya kwamba mostly tupo limited kufanya utafiti wa kina kwenye hili swala. Kwahy tunahitaji tafiti zilizofanywa na watu wengine tuzisome tukiona zinamake sense na zina obey scientific laws then hoja hizo zitakuwa na mashiko zaidi.

Unakuta mtu amekomaa picha za NASA zime editiwa, NASA wanatudanganya😀. Sasa mtu anashindwa kuelewa kuwa image zinakuwa processed Ili zionekane kulingana na uhitaji.
 
Kuna wakati unatakiwa uwe serious, sawa umeamua kubishana lakn tumia logic basi Ili mjadala uwe ma mantiki.

Sasa hapo unauliza akuoneshe curvature inapoanzia unaona unamake sense kweli? Mfano wewe nikikuuliza, kwenye Mpira(⚽) unioneshe curvature inapoanzia, utaweza?

Every point kwenye huo Mpira ni curvature. Ili uweze kuelezea curvature hiyo lazima uwe na point mbili of reference.
Ni vichekesho mkuu, ni wazi kabisa haelewi anachozungumza
 
Sayansi sio porojo, mahali inaupungufu (weakness) inasema hailazimishi uongo uwe ukweli Ili kujifurahisha.

Kwa sayansi ya sasa, Dunia ni duara (oblate sphere) so kama Kuna mtu anakuja kupinga aje na sababu za kisayansi na experiment zinazothibitisha kuwa Dunia si tufe.

Lakini pia tunapaswa tujue sio Kila mtu anaweza kufanya tafiti hizi, Kwa sababu tofauti tofauti. Kwahy tupo limited na tafiti zetu na ndio maana jamaa yako, hateeb10 utafiti wake umeishia kwenye observation tu na aka conclude anachokiona ni sahihi😀, akasahau observation no hatua ya mwanzo kabisa kwenye scientific investigations.

Mfano: ukitumia observation tu, Kwa mfano ukichukua school ruler ukai submerge kwenye maji, utaona kama imepinda je, unaweza kuconclude kuwa ruler ukiweka kwenye maji inapinda?

Kwahiyo tunapojenga hoja humu tutumie logic na sababu zinazomake sense, sio unaforce Dunia iwe duara tu au flat tu, ndo hapo unakuta mtu anaforce gravity isiwepo😀 Ili tu hoja yake I make sense.
Kabisa kaka kabisa! Nilichogundua jamaa ni mnasiaji nasiaji, anadonoa donoa tu hatumii hata common sense ilimradi tu abishane
 
I mean hii ya umbo la Dunia, je imebadirika? Mpaka ww uje hapa useme umbo la Dunia ni tambalale.

Zamani ilikuwa inaaminika umbo la Dunia ni tambalale lkn baada ya gunduzi na tafiti mbalimbali wakagundua si kweli, Bali umbo la Dunia ni oblate sphere,

Sasa hizi hoja za Dunia ni tambarare unazozileta hapa wewe umetoa wapi? Je Kuna any published document mpya iliyothibitisha hicho? Au Kuna ugunduzi wowote wewe kama ww ulioufanya mpka ufikie hii conclusion? Au upo hapa Ili kujua ukweli, au upo hapa kuchangamsha ubongo?????????
Imagine mtu anakuja na model yake ya flat earth na anaanza kwa kupinga uwepo wa gravity, vitu vyengine havimake sense kabisa ni basi tu ilimradi aongee na yeye
 
Na lastly, tujue tu ya kwamba mostly tupo limited kufanya utafiti wa kina kwenye hili swala. Kwahy tunahitaji tafiti zilizofanywa na watu wengine tuzisome tukiona zinamake sense na zina obey scientific laws then hoja hizo zitakuwa na mashiko zaidi.

Unakuta mtu amekomaa picha za NASA zime editiwa, NASA wanatudanganya😀. Sasa mtu anashindwa kuelewa kuwa image zinakuwa processed Ili zionekane kulingana na uhitaji.
Nikikuuliza maswali ya msingi utaweza kujibu?


Utaweza kuthibitisha pasina shaka yoyote kwamba Dunia ni tufe linalozunguka?


Ukiwa tayari kujibu maswali ya msingi,.sema ili nikuulize uweke uchambuzi wako yakinifu hapa..
 
Kuna wakati unatakiwa uwe serious, sawa umeamua kubishana lakn tumia logic basi Ili mjadala uwe ma mantiki.

Sasa hapo unauliza akuoneshe curvature inapoanzia unaona unamake sense kweli? Mfano wewe nikikuuliza, kwenye Mpira(⚽) unioneshe curvature inapoanzia, utaweza?

Every point kwenye huo Mpira ni curvature. Ili uweze kuelezea curvature hiyo lazima uwe na point mbili of reference.
Kwahiyo hatuwezi kujua exactly point where the earth starts to curve,..Si ndiyo?

Haya tuambie umejuaje kama kuna mkunjo wa Dunia,..? ikiwa hatuna njia yoyote ya ku observe hicho unachosema.,

Umetumia njia gani ikiwa hakuna njia?!
 
Kwahiyo hatuwezi kujua exactly point where the earth starts to curve,..Si ndiyo?

Haya tuambie umejuaje kama kuna mkunjo wa Dunia,..? ikiwa hatuna njia yoyote ya ku observe hicho unachosema.,

Umetumia njia gani ikiwa hakuna njia?!
Simply put, there are pictures of spherical Earth ambazo nyinyi kwasababu zenu binafsi mmeamua msiamini. Wewe apo una picha za flat Earth?
 
Mwezi ukipatwa unaona kabisa kimvuli cha dunia kwenye mwezi, unaona kikoje shehe ???
Wachilia mbali kimvuli kuonekana round, dunia ingekuwa flat. Jua na dunia zimekaa vipi na iweje kimvuli cha dunia kionekane kwa mwezi? Kwamba dunia ni kama sahani alafu jua linamulika kwa chini kama tochi ama?
 
Kwahiyo hatuwezi kujua exactly point where the earth starts to curve,..Si ndiyo?
Simple question tu, kwenye Mpira ⚽ unaweza kuonesha just a point kuwa hiyo point ndio Kuna curvature?

Curvature is not a point and cannot be shown by using a single point, it is continuous and every point is a curvature. Ni sawa na straight line nikuulize unioneshe point ambapo straight line ilipo.
 
Utaweza kuthibitisha pasina shaka yoyote kwamba Dunia ni tufe linalozunguka?
Umbo la Dunia limeshathibitishwa muda sana, labda kama unataka kunimock au kunichallenge sawa.
Otherwise uje na weakness ulizoziona kwenye huo uthitisho tujadili Kwa pamoja.
 
Mwezi ukipatwa unaona kabisa kimvuli cha dunia kwenye mwezi, unaona kikoje shehe ???
Wachilia mbali kimvuli kuonekana round, dunia ingekuwa flat. Jua na dunia zimekaa vipi na iweje kimvuli cha dunia kionekane kwa mwezi? Kwamba dunia ni kama sahani alafu jua linamulika kwa chini kama tochi ama?
Hili suala la kupatwa Kwa mwezi niliwahi kumuuliza majibu yake aliyonipa ni vituko tu😀😀
 
Tuliza kichwa, sio kwamba hakuna njia. Nimekwambia huwezi kuchagua point Moja kuonesha curvature ya kitu chochote. Point is just a point. Tumia akili yako kufikria zaidi utanielewa.
Kuna wakati mi hata najiuliza kama huyu jamaa anatumia kichwa, arguments zake ni za kipuuzi sana!
Umempa mfano mzuri sana hapo kwenye curvature lakini kichwa chake hakiwezi hata kuutafakari, kwa mtu anayeelewa anachokisema hawezi kusema eti ntajie point gani inaanza kuwa curve.
Basi tunakubali anamapungufu kwenye kuelewa vitu kwa upana, avute picha mpira akiulizwa curve inaanza wapi anasemaje???
 
Back
Top Bottom