hateeb10
JF-Expert Member
- Dec 8, 2022
- 2,920
- 1,223
Kwahiyo heading na maelezo haviendani,....hapo kosa la nani sasaUnasoma kweli maelezo??? Au unachukua heading tu???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo heading na maelezo haviendani,....hapo kosa la nani sasaUnasoma kweli maelezo??? Au unachukua heading tu???
Sasa kama unajua Ndoo ukiigeuza upside down,.. Maji yatamwagika............kwanini unaamini Licha ya kwamba Dunia ni tufe (which means it's not a container) Maji yana stick bila kumwagika?Sawa kabisa, Sasa chukua container let say ndoo weka maji then inyanyue na uigeuze upside down, je maji yataendelea kukaa kwenye ndoo? Kumbuka hata hapo yapo kwenye container(contained).
Usichojua container inafanya maji yasiflow horizontally tu lakini Haina effect yoyote Kwa maji kustick kwenye Dunia. Ndo maana hata hapo juu nimekwambia role ya mabonde
Kuzama ndio (sunset), the sun goes below our horizon due to curvature.Hahh,..kwahiyo Jua linazama kweli?
Tushajadiri kivipi? Tungekuwa Bado hapa? Ni nn hiko unaogopa kuelezea bwana? Kama unajua unajua tu we leta Nondo.kuhusu vitu ku fall mbona tushajadili sana humu,. au unataka majibu mapya?
Umeshindwa kuthibitisha kwamba Dunia ni tufe na inazunguka?
Hivi ww unawaza Kwa kutumia nini? Jibu nimeshakupa ni GRAVITY ya Dunia inayovuta vitu vyote vilivyopo Duniani including hayo maji is strong compared to nguvu ya hayo maji kuivuta Dunia. Na ndo maana as a result maji ndo yanavutwa na Dunia.Sasa kama unajua Ndoo ukiigeuza upside down,.. Maji yatamwagika............kwanini unaamini Licha ya kwamba Dunia ni tufe (which means it's not a container) Maji yana stick bila kumwagika?
Unauhakika sijaleta???Unasema wewe kila swali nikikuuliza unajibu,,..mbona nakuomba uthibitisho wa jinsi maji yanavyostick kwenye uncontained spinning-ball huleti uthibitisho,..unatoa hadithi tu?
hateeb10 au hapa nilikuwa namjibu nani?? Leta majibu Ili nikuamini.Basi chukua maji yarushe juu je hayatarudi chini? Yakirudi chini hiyo observation fact inaitwa gravity.
Sasa heading imeelezea Kila kitu??Kwahiyo heading na maelezo haviendani,....hapo kosa la nani sasa
Soma hapa uelewe then uliza ambapo hujaelewa.@hateeb
GRAVITY is a name given to what we observe, labda kama neno gravity linakukereketa tafta neno lako, lkn kama unapinga the so called "GRAVITY" basi ruka juu usirudi chini😀. Kitendo Cha vitu kustick kwenye earth ground hata kama vitarushwa juu WATAALAM waliita GRAVITY.
Kwahy kama unataka uite jina lako lingine labda la kisukuma we ita tu hata KISHOSHA KUKAYA lakini haibadirishi observation tunayoiona😀.
Leta majibu tueleweshane acha janja janja kama umeshindwa sema. Sema kwanini vitu vinafall maana hiyo phenomenon ya vitu kufall iliitwa GRAVITY wewe unaikataa Sasa labda utuambie je ukiruaha vitu juu havifall down? Kama vitafall basi hiyo phenomen inaitwa gravity, Haina haja ya kuleta equation Kwa observation kama hiyo.kuhusu vitu ku fall mbona tushajadili sana humu,. au unataka majibu mapya?
Huyo akija atakwepa swali na kukurudisha nyuma utasikia "nithibitishie kwa nini dunia ni tufe na inazunguka"Leta majibu tueleweshane acha janja janja kama umeshindwa sema. Sema kwanini vitu vinafall maana hiyo phenomenon ya vitu kufall iliitwa GRAVITY wewe unaikataa Sasa labda utuambie je ukiruaha vitu juu havifall down? Kama vitafall basi hiyo phenomen inaitwa gravity, Haina haja ya kuleta equation Kwa observation kama hiyo.
😄😄😄 Kichwa wazi yule. Yaani huyo jamaa hata mm nikigeuka nikaanza kutetea hoja ya flat nayeye atetee ya duara Bado atakuwa mweupe tu.Huyo akija atakwepa swali na kukurudisha nyuma utasikia "nithibitishie kwa nini dunia ni tufe na inazunguka"
Nimekuambia thibitisha jinsi maji yanavyostick kwenye dunia tufe linalozunguka........Hivi ww unawaza Kwa kutumia nini? Jibu nimeshakupa ni GRAVITY ya Dunia inayovuta vitu vyote vilivyopo Duniani including hayo maji is strong compared to nguvu ya hayo maji kuivuta Dunia. Na ndo maana as a result maji ndo yanavutwa na Dunia.
Sasa wewe uliposema kuwa container ndo inafanya vitu vistick mbn tulipogeuza ndoo maji hayajastick?
Ndiyo nina uhakika 100%,...............hujaleta uthibitisho. yaani wewe ukitamka neno "GRAVITY" ndiyo unaona tayari ushathibitisha hapo?Unauhakika sijaleta???
Harudishwi nyuma bali hiyo ndiyo hoja ya msingi,........kama unamuonea huruma msaidie kuthibitisha!Huyo akija atakwepa swali na kukurudisha nyuma utasikia "nithibitishie kwa nini dunia ni tufe na inazunguka"
Sawa sawa,... Kuthibitisha kama kichwa chako sio empty lete uthibitisho kwamba Dunia ni tufe na inazunguka.,hadithi za gravity hazitokuokoa bali you are just beating around the bush.....😄😄😄 Kichwa wazi yule. Yaani huyo jamaa hata mm nikigeuka nikaanza kutetea hoja ya flat nayeye atetee ya duara Bado atakuwa mweupe tu.
Kinachokataliwa kuhusu gravity ni exaggeration (inatiwa chumvi nyingi),.......kwa mfano mtu akishindwa kuelezea kitu utasikia gravity hiyo ndiyo ina sababisha,.....kwa mfano nimekuambia Thibitisha jinsi maji yanavyoweza kustick kwenye spinning-ball,...Badala ya kuleta uthibitisho unaingizia gravity ukiambiwa thibitisha basi gravity inafanya vipi maji yastick kwenye ball 🌎 huwezi.....Leta majibu tueleweshane acha janja janja kama umeshindwa sema. Sema kwanini vitu vinafall maana hiyo phenomenon ya vitu kufall iliitwa GRAVITY wewe unaikataa Sasa labda utuambie je ukiruaha vitu juu havifall down? Kama vitafall basi hiyo phenomen inaitwa gravity, Haina haja ya kuleta equation Kwa observation kama hiyo.