Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ Wee si umesema ujawahi hisi ukivutwa na gravity
Nadhani ww ndo hujaelewa๐Ÿ˜…, alitoa mfano wa sumaku inavovuta na kunasa vitu, akataka ifanane na gravity(feel), Sasa ww hapo unaona unahisi unavutwa kama sumaku ifanyavyo?
 
Nadhani ww ndo hujaelewa๐Ÿ˜…, alitoa mfano wa sumaku inavovuta na kunasa vitu, akataka ifanane na gravity(feel), Sasa ww hapo unaona unahisi unavutwa kama sumaku ifanyavyo?
hateeb10 naskia anatumia mbege kwanza ๐Ÿ˜„ ๐Ÿ˜„ ๐Ÿ™Œ ๐Ÿ™
 
Hivi unaelewa kweli kaka,...Nimekuambia Density & Weight kwa pamoja zina influence kipi kiende chini na kipi kibaki juu,....
Elezea Sasa Kwa mpangilio, jinsi weight na density zinafanya vitu vifall.
Umeuliza, Je Density ni force?,...nakujibu, HAPANA DENSITY SIO FORCE,.
Sasa inasababishaje vitu vifall?
Kuhusu weight,.. Weight,..Yes Weight ina exert force na ni kanuni ya kiasili kitu chenye uzito zaidi kushuka chini kufuata kanuni ya kiasili (Natural law)....
How weight Ina exert force?
....zingatia kwamba hakuna force yoyote inayovuta vitu chini kama ulivyokiri mwenyewe kwenye previous posts.
Hueleweki๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ‘†๐Ÿ‘†๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

Weight,..Yes Weight ina exert force
Alafu unasema hamna force๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Nadhani ww ndo hujaelewa๐Ÿ˜…, alitoa mfano wa sumaku inavovuta na kunasa vitu, akataka ifanane na gravity(feel), Sasa ww hapo unaona unahisi unavutwa kama sumaku ifanyavyo?
Hahh,.. yap hatuvutwi mkuu therefore hakuna hiyo force inayovuta vitu&watu chini.

Mjadala umeisha....Hence proved NO GRAVITY!
 
Me naona tunazunguka tu๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€, mtu kshasema vitu vinaanguka Kwa sabab ya weight, Sasa ambacho yeye Bado haelewi ni nn?? Au weight anayoongelea ni ipi??
Kwahiyo umekubali kwamba uzito ndiyo unafanya vitu vianguke na sio kwamba kuna force nyingine ya ziada (gravity) kama ulivyofundishwa?

Vizuri,. ume graduate sasa.
 
Umesema umenipa uthibitisho,...samahani sijaona huo uthibitisho.
๐Ÿ‘‡
1968_Earthrise_297755main_GPN-2001-000009_full.jpg


Naomba kwa mara ya mwisho uuweke hapa,...baada ya hapo sitokusumbua tena kuhusu uthibitisho wa Dunia kuwa tufe na kuzunguka....

Sorry sana kwa usumbufu,..weka tena uthibitisho kila mtu auone.
 
Kwahiyo umekubali kwamba uzito ndiyo unafanya vitu vianguke na sio kwamba kuna force nyingine ya ziada (gravity) kama ulivyofundishwa?

Vizuri,. ume graduate sasa.
Force ya ziada Gani tena? Ulishasema mass ni scalar na sio force, Sasa weight ni vector na ni force,

Ulielewa haya maelezo sidhani kama utakupa shida tena, weight ni force inayokuwa exerted by gravity kwenye Kila object,

Weight = massร— g.

Labda unieleze weight unayoongelea ww ni ipi?
 
Elezea Sasa Kwa mpangilio, jinsi weight na density zinafanya vitu vifall.

Sasa inasababishaje vitu vifall?

How weight Ina exert force?

Hueleweki๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ‘†๐Ÿ‘†๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡


Alafu unasema hamna force๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
Wewe ushakiri gravity hakuna kwa statement zako ulizotoa awali,...sasa ili kurahisisha mjadala futa statement zako zifuatazo:-

a. "Uzito ni jina lingine la gravity."
b. "Tokea nizaliwe sijawahi kuhisi nikivutwa chini na kitu chochote,......"

Kwakuwa hizo statement ulizitoa mwenyewe,..nadhani ni busara tuhitimishe kwamba mjadala wa gravity umefungwa kwa kukubaliana kwamba gravity haipo,....unless useme ulitoa hizo kauli ukiwa hujitambui au umelewa.
 
Wewe ushakiri gravity hakuna kwa statement zako ulizotoa awali,...sasa ili kurahisisha mjadala futa statement zako zifuatazo:-

a. "Uzito ni jina lingine la gravity."
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ Hapa nilisharekebisha na kumuelewesha ila umeamua kukaza sio makosa yangu.
b. "Tokea nizaliwe sijawahi kuhisi nikivutwa chini na kitu chochote,......"
Umequote wapi haya maelezo? Ila ndo ivo na haibadirishi uwepo wa Gravity.
Kwakuwa hizo statement ulizitoa mwenyewe,..nadhani ni busara tuhitimishe kwamba mjadala wa gravity umefungwa kwa kukubaliana kwamba gravity haipo,....unless useme ulitoa hizo kauli ukiwa hujitambui au umelewa.
Huwezi kufunga ikiwa Bado Kuna maswali๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Force ya ziada Gani tena? Ulishasema mass ni scalar na sio force, Sasa weight ni vector na ni force,

Ulielewa haya maelezo sidhani kama utakupa shida tena, weight ni force inayokuwa exerted by gravity kwenye Kila object,

Weight = massร— g.

Labda unieleze weight unayoongelea ww ni ipi?
Sasa hizo formula ulizofundishwa si ndiyo zinazofanya uamini vitu ambavyo kwenye uhalisia hujawahi kuhisi vikikuvuta?

Wewe umeamini tu haimaanishi kwamba hiyo formula ndiyo uhalisia,...ni sawa na mtu anaeamini viumbe wote wametokana na ancestor mmoja ataleta formulas na documents nyingi tu akiamini ipo hivyo,...kumbe ni nadharia tu.

Shida nyingine ni kuamini kwamba kila ulichofundishwa ni cha kweli.......
 
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ Hapa nilisharekebisha na kumuelewesha ila umeamua kukaza sio makosa yangu.

Umequote wapi haya maelezo? Ila ndo ivo na haibadirishi uwepo wa Gravity.

Huwezi kufunga ikiwa Bado Kuna maswali๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
Hahh wewe kuna mitego ulijiingiza mwenyewe,.....na unajua kwamba hamna chochote nilichokusingizia.

Kikawaida Binadamu tukivutwa huwa tunahisi,.. gravity haipo ndiyo maana hatuhisi tukivutwa.
 
Sasa hizo formula ulizofundishwa si ndiyo zinazofanya uamini vitu ambavyo kwenye uhalisia hujawahi kuhisi vikikuvuta?
Nimekuuliza au ww weight unayoongelea ww ni ipi? Hujajibu.
Wewe umeamini tu haimaanishi kwamba hiyo formula ndiyo uhalisia,...
Ndo tunaitumia katika maisha ya Kila siku, na ulishawahi kukiri application yake humu humu, na hata katika engineering zote hasa za majengo lazima itumike, Sasa ww ndumila kuwili kutokea huko ulikotoka unasemaje??
ni sawa na mtu anaeamini viumbe wote wametokana na ancestor mmoja ataleta formulas na documents nyingi tu akiamini ipo hivyo,...kumbe ni nadharia tu.
Hakuna formula hapo ni uthibitisho unaletwa kama jinsi tu ambavyo ww ukienda kupima DNA na mtoto wako
Shida nyingine ni kuamini kwamba kila ulichofundishwa ni cha kweli.......
Hili chaka mnapenda kukimbilia๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€, sa hata kama naongea nilivyofundishwa si uvipinge Kwa hoja???
 
Hahh wewe kuna mitego ulijiingiza mwenyewe,.....na unajua kwamba hamna chochote nilichokusingizia.

Kikawaida Binadamu tukivutwa huwa tunahisi,.. gravity haipo ndiyo maana hatuhisi tukivutwa.
Jibu maswali acha siasa๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Nimeelezea sana,...labda kama maelezo niliyotoa hukubaliani nayo.
Maelezo ya awali yalikuwa yanajitegemea, density ulielezea kama density tu ndo sabab, ulipokuja kwenye weight ukaelezea weight tu kama ndo sabab,

Sasa nataka uelezee Kwa pamoja vyote
 
Back
Top Bottom