Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Hujajibu swali,..Nimekuuliza kinachofanya gravity ishindwe kuvuta vitu mpaka vifike kwenye center of the earth kama mnavyoamini ni nini?......


Una mfano wa kitu chochote ambacho kishawahi kuvutwa na gravity mpaka kikafika at the center of the earth?
Bado unabishana tu mtu wangu? Ila anayebishana na wewe inabidi ajitoe ufahamu maana anabishana na mtu ambaye hajui kwamba hajui.
 
Bado unabishana tu mtu wangu? Ila anayebishana na wewe inabidi ajitoe ufahamu maana anabishana na mtu ambaye hajui kwamba hajui.
Unajua hoja yangu hasa ni nini? sipo hapa kubishana,...nipo hapa kuomba uthibitisho wa vitu kadhaa......

so,.upo free kutafsri utakavyo.
 
Soma tena


Unarudia maswali,,
Yap, narudia maswali maana huyajibu unayaruka,... Nimekuuliza kinachofanya gravity ishindwe kuvuta vitu mpaka vifike kwenye center of the earth kama mnavyoamini ni nini?

Una mfano wa kitu chochote ambacho kishawahi kuvutwa na gravity mpaka kikafika at the center of the earth?



Nimekukumbusha hayo maswali nadhani hukuyaona,..
 
ulicho quote na ulichojibu ni vitu viwili tofauti,..kama wewe ni smart na mwerevu jibu kile nilichouliza... ⤵️

"Hapana,.. namaanisha Ndege inasafiri horizontally ikiwa angani,...unapinga hili?

Utaalamu gani specifically? kujua kwamba Ndege ina safiri horizontally/vertically haihitaji utaalamu wowote."
Tulikubaliana mimi ntakua nakuuliza maswali wewe, Lakini kwa sasa sikuelewi

Huwezi kujibu maswali kwa ufasaha, Ukiulizwa swali gumu kwako unapotezea

Kiufupi ni kuwa haujui chochote kuhusu nadharia yako na unafahamu hilo.
 
Tulikubaliana mimi ntakua nakuuliza maswali wewe, Lakini kwa sasa sikuelewi

Huwezi kujibu maswali kwa ufasaha, Ukiulizwa swali gumu kwako unapotezea

Kiufupi ni kuwa haujui chochote kuhusu nadharia yako na unafahamu hilo.
Kwa mfano swali gani sijakujibu,? Kati ya maswali uliyouliza

Wewe mbona nikikuuliza maswali magumu haujibu unaanza visingizio na kujitetea,...au hutaki kuulizwa maswali?
 
Unajua hoja yangu hasa ni nini? sipo hapa kubishana,...nipo hapa kuomba uthibitisho wa vitu kadhaa......

so,.upo free kutafsri utakavyo.
Nilikuuliza maswali mengi sana hujawahi kujibu hata moja kwa ufasaha.
 
Okay nakujibu tena, ni hivi Nina observe hata Sasa naobserve sioni Dunia ikimove na sion Jua likimove, ila sijafanya experiment yoyote kuhusu nilicho observe.

Sasa wewe umefanya tupe majibu yako ya ulichofanya na ulifanyaje.
Mkuu upo serious huoni jua lina move asubuhi linakuwa mashariki mchana utosini na jioni magharibi tuache ubishi usio na tija
 
Kwa mfano swali gani sijakujibu,? Kati ya maswali uliyouliza

Wewe mbona nikikuuliza maswali magumu haujibu unaanza visingizio na kujitetea,...au hutaki kuulizwa maswali?
Unaona sasa, Ushasahau msingi
Nlikwambia mimi kwasasa najifunza kwako, Yani nmekukubalia Dunia ni flat ila nataka unieleweshe hiyo nadharia yako kwa kujibu maswali yangu 😎

Nigga, Jiamini na nadharia yako
 
Hata Leo, saivi atoke nje aangalie juu karibu na mwezi Kuna Sayari inaonekana, na ilitabiriwa mapema sana.

Huyu hajui chochote kwanza kichwani mweupe hajui hata force. Anakwambia kutembea friction force haihusiki😃😃, mara aseme ukipuliza et hiyo ni force ya mpulizo 🤣🤣🤣🤣
Huyu jamaa ana matatizo sana 😅

Kiufupi hajui chochote kile, Hata kuhusu nadharia yake hajui kitu chochote, Anaweza akabishana hata na wenzake wanaoamini Dunia ni tambarare huyu.
 
Huyu jamaa ana matatizo sana 😅

Kiufupi hajui chochote kile, Hata kuhusu nadharia yake hajui kitu chochote, Anaweza akabishana hata na wenzake wanaoamini Dunia ni tambarare huyu.
Wewe unaejua mbona unashindwa kuthibitisha mambo madogo tu,...Thibitisha Dunia ni tufe na ina move?

Kama watu walipata ujasiri wa kuingiza kwenye mitaala ya elimu na kuwafundisha EVOLUTION THEORY,.. basi usijiaminishe kwamba kila unachofundishwa ni 100% truth.
 
Wewe unaejua mbona unashindwa kuthibitisha mambo madogo tu,...Thibitisha Dunia ni tufe na ina move?

Kama watu walipata ujasiri wa kuingiza kwenye mitaala ya elimu na kuwafundisha EVOLUTION THEORY,.. basi usijiaminishe kwamba kila unachofundishwa ni 100% truth.
Tuonyeshe picha ya kingo za Dunia mjadala uishie hapa
 
Wewe unaejua mbona unashindwa kuthibitisha mambo madogo tu,...Thibitisha Dunia ni tufe na ina move?

Kama watu walipata ujasiri wa kuingiza kwenye mitaala ya elimu na kuwafundisha EVOLUTION THEORY,.. basi usijiaminishe kwamba kila unachofundishwa ni 100% truth.
-Uthibitisho wa kwanza ni usiku na mchana ( Hapa Dunia inakua inafanya rotation, Tumeshakueleza mara nyingi huko nyuma )

-Kubadilika kwa majira
-Sunrise and Sunset
-Ship visibility

Uthibitisho mwingine ni kupitia vifaa vya teknolojia vya kisasa ambavyo vina uwezo mkubwa sana, Nmewahi kukutumia clip kadhaa hapa
 
Back
Top Bottom