Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Kwahy unakataa uhalisia?? Kwamba kitu kikienda mbali halionekani kidg??

Mimi nimetumia size kwenye swali langu na hakuna shida, kwahy jibu swali

Jibu swali langu naongelea size, size ikipungua automatically hata mwanga utakuwa mdogo

Jibu kuhusu size🤣🤣🤣🤣
Jua sio kama object nyingine ndiyo maana hatulioni actually likipungua size yake kutokana na magnification effect!,.. The sun remains the same size as it recedes into the distance due to a magnification effect caused by the intense rays of light passing through the strata of the atmolayer.
 
😎😎😎😎

Exactly, ukiongelea great circle tu hapo tayari unaongelea sphere😃. Ndo maana nikasema hujui Geometry na hujawah kusoma au kujifunza chochote kuhusu Great circle

Nilikuuliza swali hukujibu, nakuuliza tena
Angalia picha chini👇, hiyo line yenye rangi nyekundu ndio great circle na yellow ni direct route(Rhumb line).

Sasa ukiangalia hapo ipi ni route fupi na ipi ni ndefu?
View attachment 3198419
Narudia,.Great circle route haithibitishi kwamba Dunia ni tufe,.. hiyo route hata kwenye flattened earth inawezekana kabisa,.. kama inatumika flat map kuonyesha route husika kipi kinachokufanya udhanie kwamba kwenye flat earth huwezi kuwa na Great circle route?

Unaposema sijui Great circle route wala geometry unakua unachekesha,..kwenye Dunia hii ya Sayansi na teknolojia ukitaka kujua kuhusu kitu chochote ni sekunde tu labda iwe ni elimu ya siri haipo published.,..

Unakichwa kigumu sana, kwahy ww uli expect uone ndege zina move aje ndo ujue Dunia ni duara??

Sasa kwa mfano Ndege ikiwa inatoka Greenland,. na Lengo ni kufika Lesotho,... Ndege hiyo itafikaje kwenye destination husika (Lesotho) ikiwa itafanya Horizontal movement instead of vertical movement kwenda below upande wa kusini?



Great-Circle-NewYork-Madrid-678x552 (1).png
 
Ndiyo mnavyodanganyana hivyo?
We huoni kuwa umekamatwa ?

Alafu si kuna clip nmekutumia hapo nmekwambia ujifunze na uanze kufanya chunguzi taratibu,


Au haupo tayari kufanya chunguzi ili ujitoe ujinga kichwani ?
 
Jua sio kama object nyingine ndiyo maana hatulioni actually likipungua size yake kutokana na magnification effect!,.. The sun remains the same size as it recedes into the distance due to a magnification effect caused by the intense rays of light passing through the strata of the atmolayer.
😁😁, How magnification effect works in this scenario???
 
Narudia,.Great circle route haithibitishi kwamba Dunia ni tufe,.. hiyo route hata kwenye flattened earth inawezekana kabisa,..
Sasa great circle kwenye flat inatafta nini???😃😃.
kama inatumika flat map kuonyesha route husika kipi kinachokufanya udhanie kwamba kwenye flat earth huwezi kuwa na Great circle route?
Ngoja nikuelimishe!! Unapotaja Kila muda kuwa "mbona imetumika flat map" inamaana Kuna globe map?? Mara ya ngapi sasa nakwambia??

Map ni projection ya globe, na ndio maana Kuna aina mbali mbali za map(za mabara) ni projection tu😎, ni sawa na kusema unaikunjua Dunia duara ionekane in 2D huku ikionesha mabara yote.

Ntakupa mfano, imagine nyumba unayoishi au yoyote tu, nikitaka kuichora naweza kuichora Kwa namna mbali mbali, naweza kutumia 'front view', 'side view', au 'top view' lakini pia naweza kuiproject nikachora nyumba ikaonesha sehemu zote kuzunguka, kwenye mchoro mmoja(,projection).

Dunia naweza nikachora ramani yake Kwa namna nayotaka Mimi kulingana na nilivyoamua kuiproject, mfano naweza kuchora ramani ikaonesha bara la Africa liko mbali sana na bara la America (yaani bara la Africa liwe kulia mwishoni kabisa mwa ramani na Amerika liwe kushoto mwishoni kabisa mwa ramani).


Unaposema sijui Great circle route wala geometry unakua unachekesha,..kwenye Dunia hii ya Sayansi na teknolojia ukitaka kujua kuhusu kitu chochote ni sekunde tu labda iwe ni elimu ya siri haipo published.,..
Sasa ndio maana nakushangaa unaposema great circle kwenye flat😁😁
Kwamba sawa hujui lkn hata kugoogle umeshindwaa😁😁
Screenshot_20250111-121801~2.png

Sasa nambie ww hiyo great circle yako kwenye flat tu bila sphere umeitoa wapi??
Sasa kwa mfano Ndege ikiwa inatoka Greenland,. na Lengo ni kufika Lesotho,... Ndege hiyo itafikaje kwenye destination husika (Lesotho) ikiwa itafanya Horizontal movement instead of vertical movement kwenda below upande wa kusini?
Hata sielewi swali lako tuliza kichwa
 
We huoni kuwa umekamatwa ?

Alafu si kuna clip nmekutumia hapo nmekwambia ujifunze na uanze kufanya chunguzi taratibu,


Au haupo tayari kufanya chunguzi ili ujitoe ujinga kichwani ?
Anakataa sijamkamata??😁😁 Basi
Kwann hajibu haya👇👇
Nilikuuliza according to wewe, Jua linazungukaje? Mbioooo🎶 by Alikiba🤣🤣
 
SHIP VISIBILITY
HiI observation mara nyingi tunaweza kuiona tunapoenda ufukweni mwa bahari.
Utaobserve Meli iki disappear from the bottom baadae inapotea yote.

FLAT EARTHERS CLAIMS!!
Kwa mujibu wa flat Earthers ni kwamba tunaona vile Kwa sababu ya ukomo wa tunavyoweza kuona. Kwa maana kwamba Kuna distance inafikia hatuwezi kuona tena.

Okay!!😎
Just observe this👇
, View attachment 3191482
Hapo unaweza kuona Meli iliyokaribu unaonekana vizuri ukilinnganisha na meli iliyombali.

Kimsingi meli iliyombali inainekana only at the top side, na sio bottom side. Ukirejea maelezo ya Flat earth kuwa ni ukomo wa macho kuona, Sasa kwanini meli yote isipotee kutokana na ukomo wa macho badala yake inaonekana juu tu?????????

hateeb10 Chosen Rich Poor Brain
hateeb10 kwann hujibu hapa🤣🤣🤣
 
hateeb10 kwann hujibu hapa🤣🤣🤣
Hiyo hoja ya ship visibility nishajibu humu mara nyingi sana,...sasa unapouliza again and again unategemea nitakupa majibu tofauti?

Ulisema curvature ipo everywhere,..nikakuuliza kama hapo ulipo pia kuna curvature?? hujajibu mpaka leo.
 
Hiyo hoja ya ship visibility nishajibu humu mara nyingi sana,...sasa unapouliza again and again unategemea nitakupa majibu tofauti?

Ulisema curvature ipo everywhere,..nikakuuliza kama hapo ulipo pia kuna curvature?? hujajibu mpaka leo.
Unauliza swali badala ya kujibu swali

Unaambiwa elezea sio uulize maswali,

Elezea hii ni jinsi gani inatokea kwa Dunia ambayo ni flat
 
We huoni kuwa umekamatwa ?

Alafu si kuna clip nmekutumia hapo nmekwambia ujifunze na uanze kufanya chunguzi taratibu,


Au haupo tayari kufanya chunguzi ili ujitoe ujinga kichwani ?
Wewe na yeye akili zenu sawa ndiyo maana unaona nimekamatwa,... mimi naona easy tu.

Kumbuka huyo unaesema kanikamata,.. ndiyo alisema kwamba "Tokea azaliwe hajawahi kuhisi akivutwa na gravity....." lakini anaamini gravity ipo, ipo wapi hajui?
 
Jua sio kama object nyingine ndiyo maana hatulioni actually likipungua size yake kutokana na magnification effect!,.. The sun remains the same size as it recedes into the distance due to a magnification effect caused by the intense rays of light passing through the strata of the atmolayer.
🤣🤣🤣🤣🤣, ukicopy usicopy baadhi ya maneno kopi yote🤣🤣
hateeb10
 
Unauliza swali badala ya kujibu swali

Unaambiwa elezea sio uulize maswali,

Elezea hii ni jinsi gani inatokea kwa Dunia ambayo ni flat
Hilo swali nishajibu humu na wewe unajua,..muambie apitie posts zilizopita
 
Wewe na yeye akili zenu sawa ndiyo maana unaona nimekamatwa,... mimi naona easy tu.

Kumbuka huyo unaesema kanikamata,.. ndiyo alisema kwamba "Tokea azaliwe hajawahi kuhisi akivutwa na gravity....." lakini anaamini gravity ipo, ipo wapi hajui?
Stick kwenye hoja iliyopo sasa hivi,

Achana na Gravity kwanza
 
🤣🤣🤣🤣🤣, ukicopy usicopy baadhi ya maneno kopi yote🤣🤣
hateeb10
kwanini,..
 
Back
Top Bottom