Siri kuu yaghubika Vikao vya Kamati kuu ya Chadema, Wananchi wapagawa, wataka Majina yatangazwe

Siri kuu yaghubika Vikao vya Kamati kuu ya Chadema, Wananchi wapagawa, wataka Majina yatangazwe

Sasa ni Dhahiri kwamba Chadema ndio Nchi, Hii ni kwa sababu Habari za Chama hicho ndio pekee ambazo wananchi wanataka kuzisikia.

Bunge la Bajeti linaendelea lakini cha Ajabu Wananchi wote hawafuatilii kabisa! Sitaki kusema wamelipuuza, maana nitakuwa nafanya Uchochezi, Bali hali hii inatisha sana, Hii si kawaida Wallah tena!

Mnaacha kufuatilia Bajeti ya Nchi (hata kama huwa inatekelezwa chini ya 40%), Mnafuatilia Kamati kuu ya Chadema! Nyinyi Watanzania Mmekumbwa na nini?, Taarifa zinadokeza kwamba mlipoambiwa Internet imepata shida mkaamua kuunganisha betri za viredio vyenu ili msikose Taarifa za Chadema.

Sasa nawaambieni hivi, Msiondoke JF, muda wowote kuanzia sasa nitavujisha taarifa za Kamati Kuu.

View attachment 2990944
upotoshaji mwingine bana dah 🐒
 
Sasa ni Dhahiri kwamba Chadema ndio Nchi, Hii ni kwa sababu Habari za Chama hicho ndio pekee ambazo wananchi wanataka kuzisikia.

Bunge la Bajeti linaendelea lakini cha Ajabu Wananchi wote hawafuatilii kabisa! Sitaki kusema wamelipuuza, maana nitakuwa nafanya Uchochezi, Bali hali hii inatisha sana, Hii si kawaida Wallah tena!

Mnaacha kufuatilia Bajeti ya Nchi (hata kama huwa inatekelezwa chini ya 40%), Mnafuatilia Kamati kuu ya Chadema! Nyinyi Watanzania Mmekumbwa na nini?, Taarifa zinadokeza kwamba mlipoambiwa Internet imepata shida mkaamua kuunganisha betri za viredio vyenu ili msikose Taarifa za Chadema.

Sasa nawaambieni hivi, Msiondoke JF, muda wowote kuanzia sasa nitavujisha taarifa za Kamati Kuu.

View attachment 2990944
Ndani ya Kamati Kuu kitengo wamo wengi, na wanaingia na vinasa sauti, na vingine vinategwa ukumbini, vinanasa audio na video
 
Back
Top Bottom