SIRI: Mwanamke ambae hajui Mapishi (Kupika) hafai, na hapaswi hata kuolewa

SIRI: Mwanamke ambae hajui Mapishi (Kupika) hafai, na hapaswi hata kuolewa

UCHAMBUZI wa KUSTAWISHA JAMII.

Baada ya kufanya tafiti, upembuzi na ulinganifu nikaja na jibu kwamba MWANAMKE ambae hajui Mapishi/Mapochopocho/ kukaangiza basi huyo Mwanamke hakufai kimbia.

Ndio maana sisi Watanzania mtu akioa tunasema "Jamaa kavuta JIKO" eeh.

Hiyo kauli ina maana kubwa sana na sio Jiko tu la Kupika, Jiko la Maamuzi, Jiko la kuandaa mtazamo.. Jiko la kuandaa watoto wazuri na wenye maadili, pia Jiko la kumpikia Chakula kitamu(Cha Usiku) MUME wake..

Naomba nideal na JIKO la CHAKULA kama CHAKULA

1 Wengi wao si WASAFI

Mwanamke ambae hajui kupika ukienda mahali alipopika utakuta Maganda ya vitunguu, Manyanya.. yaan vyombo na maji machafu yametapakaa hapo.

Na kutokana hawajui kanuni ya MAPISHI, kukuta Nywele ktk chakula ni jambo la kawaida.

2 Wengi wao Wanasababisha Maisha ya Mwanaume kuwa Mafupi
Mwanamke ambae hajui kupika, hatoweza kukupikia Chakula cha Afya, NEVER. Atajaza Chumvi, Mafuta ktk Chakula mpk upate shinikizo la Damu, yaan mpaka uumwe kisukari. Ila yule anaejua Mapishi anajua makadirio ya kila kiungo na kwa kila kiwango. Tuwe serious na Afya zetu HAKUNA kuoa Mpuuzi ambae hajui Kupika.

2.1 NGUVU za Kiume:

Mwanamke ambae hajui kulitendea haki JIKO la Chakula, ni rahisi sana kukuharibu hizo nguvu zako za kiume ambazo zinaishia ishia.. kwanini?







3 Huongeza Gharama za Maisha bila ya wewe kujua:

Mfano mdogo tu, mtu mafuta ya kutumia wiki 1 ila atatumia siku mbili (2). Em piga mahesabu hapo, kwa sukari, etc..

Kutokana hajui kupika, kuunguza viungo vya Mapishi na kuanza UPYA kupika ni jambo la kawaida, anaongeza gharama zisizo za msingi. Na mbaya zaidi kama hajui na hataki kujifunza hakuna MABADIRIKO wapo hivyo hivyo.

Wewe au Mtu kama Mimi ambae sipendi kula Chakula kibaya, siwezi kuvumilia mapishi mabovu nitajaribu kwenda kununua chakula ktk mahoteli au migahawa huko kitu ambacho unatumia fedha ya ziada wakati uliacha hela nzuri na mahitaji yote nyumbani.

HINT: Kutokana na hayajui kupika, huwa hiyo kazi wanaiona ni nzito mnoo hivyo usishangae ukarudi kutoka kazini ukakuta kakukaangia Mayai (yenye mafuta na chumvi nyingi) na mkate hapo pamoja na Chai ndio ule ulale.

4 Anakuaibisha kwenye Familia:
Kuna matukio mbali mbali ya kifamilia yanayotaka Wanawake kujumuika na kupika pamoja, BRO kama umeoa Mpumbavu ambae hajui kupika hutoona anachangamana na Wenzie, yupo busy na simu au mambo ya kijinga jinga, hii inakupa sura mbaya wewe kama Mwanaume wake uliyemuoa.

Kuna Wageni pia kutembelea nyumbani: mtu hajui kupika wageni wanalishwa chakula kibichi unafkiri watakuchukuliaje?.

NIMALIZIE KAMA IFUATAVYO
1- Mwanamke hana pa kujitetea et kwanini hajui kupika hana hoja ya kujitetea yenye mashiko.

2- Mwanaume anavutiwa na Jambo dogo sana: Mwanamke mara nyingi hana cha ku offer kikubwa tofauti na Mwanaume ipo wazi, basi jitahidi hata ktk Mapishi umkonge moyo Mumeo/Mwanaume wako, atleast akiwa zake katulia anajivunia nina Mwanamke mzuri anaejua kunipatia ktk Mapishi.

Mie ubovu wangu ni CHAKULA.. yaani nikila chakula kizuri umenimaliza siangalii hayo mengine, kuna Dada mmoja yupo Instagram huko mara nyingi anapost video za mapishi, yule Dada kwa kweli nilikuwa namtamani sana.. yaan unapata hisia nae hata kama Sura hujaiona.

Sasa Wanawake wajinga wajinga, wao wanafkiri kujipamba mawanja na makeup nyingi ndio kumvutia Mwanaume hapana.

MWANAUME anaejua kupika ni HATARI kwa MWANAMKE ambae hajui kupika:

Wifi yenu huwa ananiogopa sana nikisema nataka nipike leo, huwa anajishtukia na atafanya kila linalowezekana nisipike maana anajua nikitoa kitu kinatoka haswa.

Bahati nzuri anajua kupika nje ya hapo siku nyingi ningeshafunga Mkataba.

Naomba kuwasilisha MADA hii.
Pole zao kina Kajala na wadada wengine wa mjini wasio na mpango
 
Huu uzi wadada hawaonekani kabisa...😅itoshe kusema Naunga mkono hoja..
mwanamke asiuejua kupika asizingatiwe kabisa📌📌
Hawawezi kuonekana.. asilimia 70_80% ya Wanawake kati ya umri 20-35 hawajui kupika.
 
Huu uzi hauwahusu wanawake ukanda mzima wa pwani na wanyamwezi,
Kupika ni sanaa ukiwa mtundu na mnyumbulifu ni kitu rahisi kujua, siku hizi kuna mitandao na mashine mambo yamekuwa rahisi zaidi ila ndo mambo ya kucha ndefu, insta na boarding school,

Zamani hizo bibi yangu alinikazia(wakati ananifundisha kupika) hakikisha ukipika ladha ya chakula iwepo, viungo vingi si utamu wala ladha ya chakula, kama hamna ladha ya chakula hata kwa mume huwezi kuwa na ladha,
 
UCHAMBUZI wa KUSTAWISHA JAMII.

Baada ya kufanya tafiti, upembuzi na ulinganifu nikaja na jibu kwamba MWANAMKE ambae hajui Mapishi/Mapochopocho/ kukaangiza basi huyo Mwanamke hakufai kimbia.

Ndio maana sisi Watanzania mtu akioa tunasema "Jamaa kavuta JIKO" eeh.

Hiyo kauli ina maana kubwa sana na sio Jiko tu la Kupika, Jiko la Maamuzi, Jiko la kuandaa mtazamo.. Jiko la kuandaa watoto wazuri na wenye maadili, pia Jiko la kumpikia Chakula kitamu(Cha Usiku) MUME wake..

Naomba nideal na JIKO la CHAKULA kama CHAKULA

1 Wengi wao si WASAFI

Mwanamke ambae hajui kupika ukienda mahali alipopika utakuta Maganda ya vitunguu, Manyanya.. yaan vyombo na maji machafu yametapakaa hapo.

Na kutokana hawajui kanuni ya MAPISHI, kukuta Nywele ktk chakula ni jambo la kawaida.

2 Wengi wao Wanasababisha Maisha ya Mwanaume kuwa Mafupi
Mwanamke ambae hajui kupika, hatoweza kukupikia Chakula cha Afya, NEVER. Atajaza Chumvi, Mafuta ktk Chakula mpk upate shinikizo la Damu, yaan mpaka uumwe kisukari. Ila yule anaejua Mapishi anajua makadirio ya kila kiungo na kwa kila kiwango. Tuwe serious na Afya zetu HAKUNA kuoa Mpuuzi ambae hajui Kupika.

2.1 NGUVU za Kiume:

Mwanamke ambae hajui kulitendea haki JIKO la Chakula, ni rahisi sana kukuharibu hizo nguvu zako za kiume ambazo zinaishia ishia.. kwanini?







3 Huongeza Gharama za Maisha bila ya wewe kujua:

Mfano mdogo tu, mtu mafuta ya kutumia wiki 1 ila atatumia siku mbili (2). Em piga mahesabu hapo, kwa sukari, etc..

Kutokana hajui kupika, kuunguza viungo vya Mapishi na kuanza UPYA kupika ni jambo la kawaida, anaongeza gharama zisizo za msingi. Na mbaya zaidi kama hajui na hataki kujifunza hakuna MABADIRIKO wapo hivyo hivyo.

Wewe au Mtu kama Mimi ambae sipendi kula Chakula kibaya, siwezi kuvumilia mapishi mabovu nitajaribu kwenda kununua chakula ktk mahoteli au migahawa huko kitu ambacho unatumia fedha ya ziada wakati uliacha hela nzuri na mahitaji yote nyumbani.

HINT: Kutokana na hayajui kupika, huwa hiyo kazi wanaiona ni nzito mnoo hivyo usishangae ukarudi kutoka kazini ukakuta kakukaangia Mayai (yenye mafuta na chumvi nyingi) na mkate hapo pamoja na Chai ndio ule ulale.

4 Anakuaibisha kwenye Familia:
Kuna matukio mbali mbali ya kifamilia yanayotaka Wanawake kujumuika na kupika pamoja, BRO kama umeoa Mpumbavu ambae hajui kupika hutoona anachangamana na Wenzie, yupo busy na simu au mambo ya kijinga jinga, hii inakupa sura mbaya wewe kama Mwanaume wake uliyemuoa.

Kuna Wageni pia kutembelea nyumbani: mtu hajui kupika wageni wanalishwa chakula kibichi unafkiri watakuchukuliaje?.

NIMALIZIE KAMA IFUATAVYO
1- Mwanamke hana pa kujitetea et kwanini hajui kupika hana hoja ya kujitetea yenye mashiko.

2- Mwanaume anavutiwa na Jambo dogo sana: Mwanamke mara nyingi hana cha ku offer kikubwa tofauti na Mwanaume ipo wazi, basi jitahidi hata ktk Mapishi umkonge moyo Mumeo/Mwanaume wako, atleast akiwa zake katulia anajivunia nina Mwanamke mzuri anaejua kunipatia ktk Mapishi.

Mie ubovu wangu ni CHAKULA.. yaani nikila chakula kizuri umenimaliza siangalii hayo mengine, kuna Dada mmoja yupo Instagram huko mara nyingi anapost video za mapishi, yule Dada kwa kweli nilikuwa namtamani sana.. yaan unapata hisia nae hata kama Sura hujaiona.

Sasa Wanawake wajinga wajinga, wao wanafkiri kujipamba mawanja na makeup nyingi ndio kumvutia Mwanaume hapana.

MWANAUME anaejua kupika ni HATARI kwa MWANAMKE ambae hajui kupika:

Wifi yenu huwa ananiogopa sana nikisema nataka nipike leo, huwa anajishtukia na atafanya kila linalowezekana nisipike maana anajua nikitoa kitu kinatoka haswa.

Bahati nzuri anajua kupika nje ya hapo siku nyingi ningeshafunga Mkataba.

Naomba kuwasilisha MADA hii.
download.jpeg
 
Yaani,utakuta mtu anajaza mafuta kwenye mboga hadi kichefuchefu,

Mtu anajaza minyanya yaani,

wanajuaga kujaza viungo vingi ndiyo kujua kupika,
Huu uzi hauwahusu wanawake ukanda mzima wa pwani na wanyamwezi,
Kupika ni sanaa ukiwa mtundu na mnyumbulifu ni kitu rahisi kujua, siku hizi kuna mitandao na mashine mambo yamekuwa rahisi zaidi ila ndo mambo ya kucha ndefu, insta na boarding school,

Zamani hizo bibi yangu alinikazia(wakati ananifundisha kupika) hakikisha ukipika ladha ya chakula iwepo, viungo vingi si utamu wala ladha ya chakula, kama hamna ladha ya chakula hata kwa mume huwezi kuwa na ladha,
 
KWANI NI MBUSUSU INAPIKA? HAPA TUNAPIGWA!!! Na muandishi KAPIGWA!!!
 
Sipendi upishi wa kujaza viungo na mafuta mengi. Nishawahi kutafuta sababu nikampa nauli binti mmoja arudi mkoani kwao kwa mambo kama hizi
 
Back
Top Bottom