Siri na fumbo la kifo (Dini & Sayansi) tukishakufa tunakwenda wapi?

There is a life after death but it beyond a human capacity.Death is real but a riddle than life.
 
Una mawazo kama yangu
NAMI huwa.kuwa Roho ana Nafsi ya Mtu ikitoka TU kwakel inahamia Kwa mtoto anayezaliwa...Kwa maana ukifa TU Ilala Roho Yako inakwenda kumuingia Mtoto anayezaliwa huko Amazon ama Bangladesh ama Kijijini China na Memory card Yako inaanza upya! Unakuwa Machina asijus lolote la Ilala!
Isingekuwa hivyo unadhani Roho Zote kutoka madhlani 1700 TU Mpaka Leo Zote zingeenea wapi!
 
Izi sayari zipo nyingi sana.
Nikifa naweza kuwa alien kwenye sayari ya mbali huko[emoji1787][emoji23]
 
Kwaiyo tuseme roho ya Sulemani ilienda kwa Mswati
 
Izi sayari zipo nyingi sana.
Nikifa naweza kuwa alien kwenye sayari ya mbali huko[emoji1787][emoji23]
Kuna mechanism ya kutransfrom hadi kuwa Alien??? πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Mbona idadi ya watu inaongezeka mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…