Siri na fumbo la kifo (Dini & Sayansi) tukishakufa tunakwenda wapi?


Haha umenikumbusha,,,zamani nilikua najua ukifa unazaliwa upya ila sehemu nyingine dah!
 
Illusion
 
Mitume walifanya kosa kubwa ambavyo hawakutuandikia kwenye Biblia au kumhoji Lazaro aliyefufuliwa. Hapo tu walifanya uzembe maana alikuwa na experience.
Lazaro inasemekana alikuwa akiulizwa ila hakuwa na majibu yoyote yeye alikuwa akiwaambia kwamba alikuwa usingizini wala hakumbuki chochote
 
but i can be transformed from one body to another
Energy is transferable to a different location or object, but it cannot be created or destroyed.

Transferable means capable of being transferred or conveyed from one place or person to another.

ROHO ni NISHATI na NISHATI hua haifi wala haiundwi ila ina uwezo wa kusafiri kutoka kwenye MWILI mmoja kwenda kwenye MWILI mwingine.

Km unavyoweza kulivua KOTI moja na kulivaa KOTI jingine, vivyo hivyo kwa ROHO husafiri kutoka MWILI hadi MWILI.

Sawa mkuu?
 
Waislam someni huu uzi kimbelembele chenu cha kuzika mapema mnazika watu walio hai wengi sana. Na sio ajabu wanafufuka tena wakiwa kaburini halafu hufa kwa hofu na kukosa oxjeni siajabu hupiga kelele sana mpaka wanakata roho.

Uko sahihi, kwani wanaocheleweshwa kuzikwa waliwahi kufufuka ili mantiki ya kuwahi kuzikwa ikose nguvu?
 
Soul can neither created nor destroyed but i can be transformed from one body to another and that's the cycle of life.

Zingine ni ngojera za dini ili wapate waumini.

#MaendeleoHayanaChama
Kwanini idadi ya watu duniani tunaongezeka?
 
Kuhusu mtu akifa huenda wapi nitajaribu kukuonyesha kwenye bible,,,Kumbukumbu la Torati 32:48-50 ""BWANA akasema na Musa siku iyo hiyo, akamwambia , 49. Kwea katika mlima huu wa Abarimu, mpaka kilima cha Nebo, kilicho katika nchi ya Moabu, kuelekea Yeriko; ukaangalie nchi ya kanaani niwapayo wana wa Israel Kuimiliki, 50 UKAFE KATIKA KILIMA, HUKO UKWEAKO,,UKUSANYWE UWE PAMOJA NA JAMAA ZAKO; KAMA ALIVYOKUFA NDUGU YAKO HARUNI KATIKA MLIMA WA HORI, AKAKUSANYWA AWE PAMOJA NA WATU WAKE.''''' Na siku ya hukumu kila mmoja atasimama mbele ya kiti cha enzi kwa ajili ya hukumu na kutakuwa na jamaa,kabila na taifa wote wamepangiliwa,,ambao hata katika kukusanywa baada ya kufa wote huwekwa kwa mpangilio huo.
 
Kwa uelewa wangu ni niliyofundishwa.

Kama mtu kazaliwa ina maana ipo siku atakufa na kuna maisha baada ya kifo mtu mwenye Mungu wa kweli hapaswi kuogopa kifo maana kifo ni njia ya mtu kutoka sehemu moja kwenda nyingine .

Wakati mtu anazaliwa anakuwa na nafsi ,roho na namba. Nafsi itafanya yote wakati wa uhai wa mtu na roho kazi yake ni ku record matendo yote yanayofanywa na binadamu huyo yawe mabaya au mazuri,hivyo mtu akifa wanabaki roho na roho inakuwa na tabia zote ambazo alikua nazo mtu huyo wakati wa uhai wake. Mtu akifa anakua amechana na uchafu wote wa mwili hapa ndio mtu huitwa mtakatifu yani ametakata hana uchafu wowote. Utukufu maana yake utu=mtu kufu=kufa hivyo mtu kama ni mtukufu tayari ameshakufa na kila kiumbe mfu ni kitukufu hata kama ni majini au watu au msimu. Ila kutukuza hufanyika kwa kiumbe kilichokufa ambacho kilitenda mema wakati wa uhai wake kama kusaidia watu na vinginevyo na kutukuza hufanyika katika kaburi la huyo mtu


Hivyo mtu akifa kama alitenda mabaya anaenda sehemu yake na kama alitenda mazuri anaenda sehemu ambayo watu walitenda mazuri ila inshort ni mada ndefu sana hapa ila kifupi ni hivyo!
 
Soul can neither created nor destroyed but i can be transformed from one body to another and that's the cycle of life.

Zingine ni ngojera za dini ili wapate waumini.

#MaendeleoHayanaChama

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ulishawahi Kufa Janja ?
Ww kabla ya kuja Duniani unajua ulikuwa wapi na ulikuwa unafanya nn? Lkn ww unazokumbukumbu zozote za maisha ya Tumboni kwa mzazi? Ulijua unafanya nn huko?

Ukitulia kwa umakini utaelewa dhana ya kifo ni Safari nyingine juu ya yule aliyetuumba.
 
Ww kabla ya kuja Duniani unajua ulikuwa wapi na ulikuwa unafanya nn? Lkn ww unazokumbukumbu zozote za maisha ya Tumboni kwa mzazi? Ulijua unafanya nn huko?

Ukitulia kwa umakini utaelewa dhana ya kifo ni Safari nyingine juu ya yule aliyetuumba.

Hata wewe jiulize hivyo hivyo, why uniulize mimi ?

Mi nawaza ni sawa na umeme kukatika na Kurudi , anyway am joking .

I have no Idea and I am grateful Kuwa arrive mpaka sana na sijui ni kwa nini.

Mungu anirehemu.
 
Kama ingekuwa hivyo basi dunia ingebaki na idadi ileile ya watu. Maana ingekuwa na kwenye mpira wachezaji 11 tu, hivyo akitoka mmoja anaingia mmoja.
Na ndivyo ilivyobanazaliwa mmoja anakufa mmoja , ila kuna soul nyingne zimetekwa
 
Mfano wa kifo ni usingizi. Baada ya kutolewa roho mtu aliyekufa anakuwa anafeel kama yuko kwenye ndoto
Naungana na huyu
Ukifa unakuwa Kama umelala, na unakuwa unaota ndoto za Kama vile umepotea na uko ardhi ya mbali ambako huwezi kurudi sehemu unayo ishi, au uko porini ambako huwezi kufika eneo la mjini.
Ukifa pia unaenda kuishi maisha ya kidogo roho na watu wengine waliokufa. Mwanzo utakuwa mpweke kwa sababu utakuwa unapambana kurudi eneo lako la makazi, badae utagundua kuwa haiwezekani kuwa hivo na hiyo itapelekea uanze kuzoea maisha mapya.

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Sawa
Lakini umesoma Andiko lote mkuu??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…