Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 5,962
- 17,648
Nipe short summary mkuu tuokoe mudaFunds na right recruit ya vijana Ina saidia.
👉Sisi ni zoa zoa tu wa watu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipe short summary mkuu tuokoe mudaFunds na right recruit ya vijana Ina saidia.
👉Sisi ni zoa zoa tu wa watu
Dah kweli sisi zoa zoa ..maana km ile story ya juzi uliyoweka mtu mvivu anaiacha mapema tuFunds na right recruit ya vijana Ina saidia.
👉Sisi ni zoa zoa tu wa watu
Tresor Mandala mwingine huyu 😀Nipe short summary mkuu tuokoe muda
Binadamu tuna Visa vya ajabu, so kisa jicho mwamba Kam nyoosha mtuHichi kisa cha huyu dada kufeel guilty ya kumuua mzazi wake kimenikumbusha hadithi moja fupi inayoitwa the tale tell's heart iliyoandikwa na edgar allan poe. ni stori ambapo jamaa anaelezea jinsi alivyomuua mzee aliyekuwa akiishi nae kwa kumvizia akiwa amelala na kumnyonga kitandani kisha mwili wake akaukata kata vipande na akauweka kwenye mifuko ya plastiki kwa ajili ya kwenda kutupa. Ila kabla ya kwenda kutupa maaskari wakatimba. Jamaa kutokana na kupaniki akajikuta anaropoka mwenyewe ameua mbele ya wale maaskari walokuja kwa mishe zao zingine tu hapo kwake. Afu kisa cha kumuua huyo mzee ni kwamba huyu mzee alikuwa na jicho moja bovu ambalo muuaji alidai linamkera kila akitazamana na huyo mzee. Hivyo jamaa akaamua ku mkill huyo mzee ili asikereke tena.
Kaka hii mbona fupi, Soma tuNipe short summary mkuu tuokoe muda
Anataka nini tena ?Tresor Mandala mwingine huyu 😀
yeap . Hii story ni ya zamani sana miaka ya 1800s huko.Binadamu tuna Visa vya ajabu, so kisa jicho mwamba Kam nyoosha mtu
Ana taka summary, akati story ni fupiAnataka nini tena ?
Hahahahaha yaani hiyo story nayo ni ya kufanyiwa summary ?Ana taka summary, akati story ni fupi
Yeah, Kama una penda Historia za mauaji cheki Discovery channel.yeap . Hii story ni ya zamani sana miaka ya 1800s huko.
Maandishi mazito, ila umbea ni chapHahahahaha yaani hiyo story nayo ni ya kufanyiwa summary ?
Hahahahahaha, dah wakati hapo kuna kitu pakujifunza vingiMaandishi mazito, ila umbea ni chap
Sija jua mkuu, ila Kama kesi ya Hamza ili tushinda.Najaribu kujiuliza hivi wapepelezi wa kwetu wanaeza fanya hivi ?
Dah tena kama ile kesi ya Rama ,dah sijui iliishia wapi?Sija jua mkuu, ila Kama kesi ya Hamza ili tushinda.
👉Hizi sidhani Kama tuta weza Tresor Mandala
Mimi sio bonge bwana.Sawa bonge mwenye way, au uli nidanganya 😀
Hata baadhi ya kesi kubwa tuna ziacha Zina ning'inia mno.Dah tena kama ile kesi ya Rama ,dah sijui iliishia wapi?
Haya Asante kwa kuni ambia ukaeli, na kuhusu way 🙄Mimi sio bonge bwana.