Siri nzito kuhusu unyayo wako hapa ukiweza tu basi unafanikiwa hakika ni muujiza

Siri nzito kuhusu unyayo wako hapa ukiweza tu basi unafanikiwa hakika ni muujiza

Mkuu umezungumza jambo jema Sasa tunaomba Jinsi ya kujiondoa na vifungo hivyo vya nyayo! Maana huku mtaani watu wana hila sana wanachota sana nyayo za watu na kuharibu nyota za watu.

Tupe na namna ya kujifungua na kurudisha hizo karama zote..Kibali, kuheshimiwa, kumiliki na kutawala e.tc
 
Watu wasiokuwa na uvungu wa unyayo kwenye kuoa au kuolewa ni mlango wa nane yaani hawana nyota ya bahati...
Mkuu hapa fafanua zaidi, nliwahi pia kuona andiko la DeepPond kuwa, watu wasio na uvungu wengi wao wanakua na asili ya ukichaa, Kuna ukweli wowote au propaganda
 
Back
Top Bottom