Siri nzito ya NATO imevuja; Kigogo wa NATO asilimu

Siri nzito ya NATO imevuja; Kigogo wa NATO asilimu

Wakati huu, Siri ya Kigogo wa NATO kua Muislam ipo wazi na sio siri tena. Mkurugenzi wa Habari wa NATO, Dk Murad Wilfried Hofmann. Dr Hoffman, aliukubali Uislamu na kutamka shahada katika Kituo cha Kiislamu cha Colonia kinachoongozwa na Imam Muhammad Ahmad Rasoul. Alizaliwa katika familia ya Kikatoliki ya Ujerumani tarehe 3 Julai 1931.

Alihitimu kutoka Chuo cha Umoja huko New York na kisha kumaliza jina lake na shahada ya udaktari katika sheria na sheria kutoka Chuo Kikuu cha Munich, Ujerumani mnamo 1957.

Kwa kuongezea, Hoffman alikuwa msaidizi wa utafiti juu ya Mageuzi ya Utaratibu wa Kiraia wa Shirikisho. Mwaka 1960, alipata shahada ya LLM kutoka Shule ya Sheria ya Harvard.

Mwaka 1983-1987 aliteuliwa kuwa mkurugenzi wa habari wa NATO mjini Brussels. Baadaye, alipewa jukumu la kuwa mwanadiplomasia wa balozi wa Ujerumani nchini Algeria.

Hata hivyo, kabla ya kuwasili Algeria, Hoffman alikuwa amesilimu. Na aliufanya Uislamu wake kuwa wazi baada ya kuandika kitabu kiitwacho Der Islam als Alternative.

Baada ya kitabu hiki kuchapishwa, Ujerumani ilishtushwa na habari zake za Kiislamu. #convertingintoislam #nato #islam siri za islamic ni chaneli ya YouTube ambayo inatoa historia na hadithi mbalimbali, kuanzia hadithi za Mtume Muhammad, marafiki zake na mitume wa Allah.

Kituo hiki pia kinafunua historia mbalimbali za Kiislamu za Indonesia na ulimwenguKituo hiki pia kinatoa mazoea mbalimbali katika UislamuKusaidia kituo hiki na kupenda na kujiungaTunakushukuru kwa msaada wako.

Hii ilifanywa siri kwa miaka mingi sana, sasa ipo wazi.


View: https://youtu.be/UBhMiGMxhQM?si=F2URK5cKt7mDHlhU

Inaelekea, hii dini yenu ni kama ukoma, MTU akijiunga nayo inakuwa jambo LA kushangaza! What is so special for one to be a muslim? Kama watu huwa, wanajitangaza kuwa Gays! Nk, why is it a big deal kuwa Muslim? Its like you Muslim people you don't expect(i know why) for whites(Caucasian) to convert into Muslim.
When the boxer Muhamad Ali converted to Muslim, all Muslim world over, we're in jubilee mode! When Barack Hussein Obama, became a US President, Muslim celebrated, little did they know that, Obama is a Christian, what if Eron musk, Bill gates, Shaque O'Neal, Fifty cents, Jef bezoz,or King Charles becomes Muslim!
It's just a religion, belief system, nothing more
. If there was something unique in islam, we would have seen major achievements, innovations, in zenj,Yemen, Sudan, Egypt, Afghanistan,
That chap has just become like any other ordinary Muslim in Karachi, Zenj, or Khartoum Sudan.
 
Yohana 17:3
Wakujue wewe Mungu wa pekee na yesu kristo uliyemtuma
Mungu yesu katumwa na Mungu!?..Mungu wa pekee maana yake nini?!
Bibilia haisomwi kama gazeti na kama wewe sio mkristo hautakuja kuielewa, ni kitabu kilichoandikwa kwa ajili ya watu maalum, sio kwa kila mpagani,
 
Sisi kwetu siyo habari!
Huyo amehama kutoka chumba kimoja kwenda kingine cha Nyumba ile ile!
Ukatoriki na Uislam ni pacha katika ulimwengu wa roho! Ni Matawi mawili ya 666!
Taratibu za kuabudu za dini hizo ni moja, (Walawi 26:1)
 
Hata mimi nikipata bi mrembo wa kiislamu nitasilimu tu.
Haya fanya homework yako!
Mtume Mudy atakucheka kuoa mzee... maana alishamcheka mtu alieoa msichana mwenye miaka 30, ushauri wake akasema kwanini asioe binti mtoto ili awe anacheza cheza na mkewe mdogo
 
Safi sana kwa hiyo sasa NATO inakuwa y Waislamu. Itasaidia sana shida za waislamu kuisha. Na hata George Bush na Bill Clinton nao wamesilimu. Yaani sijui lini tufanye sherehe....
Allah amesikia maombi yenu....sasa nikuwatolea macho tu wale dada zenu bikira 72 mkawale kirafi kabsa kule peponi. Sawa sheikh?
 
We maza nae stori zako hua ni watu kusilimu tu! Hivi mtu kuhama dini nayo hua ni issue sana? Huoni unaidogosha dini yako? Yaani mtu mmoja kuhamia dini flani nayo ni habari ya kufungulia uzi tena jukwaa la kimataifa?
 
Sisi kwetu siyo habari!
Huyo amehama kutoka chumba kimoja kwenda kingine cha Nyumba ile ile!
Ukatoriki na Uislam ni pacha katika ulimwengu wa roho! Ni Matawi mawili ya 666!
Taratibu za kuabudu za dini hizo ni moja, (Walawi 26:1)
Hivi ukiwa msabato ni lazima uwe chizi?

Ulisikia wapi unaweza kwenda ulaya Bila ticket wala Viza?
 
karibu kwenye dini ya ukweli na haki
 
Nilidhani ni Jens Stoltenberg ndiyo kasilimu..
Jens Stoltenberg is nothing, Washasilimu zaidi na zaidi na wanaendelea, Uislamu si dini inayoangalia status ya mtu ni once ukigundua ukweli ata mfalme unatakiwa ulete shahada.
 
We maza nae stori zako hua ni watu kusilimu tu! Hivi mtu kuhama dini nayo hua ni issue sana? Huoni unaidogosha dini yako? Yaani mtu mmoja kuhamia dini flani nayo ni habari ya kufungulia uzi tena jukwaa la kimataifa?
Jifunze definition ya neno ''dini hasa ya kiislam'' utaelewa hata kama wewe huna dini
 
KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU 0


110_1.gif

1. Itakapo kuja nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi, 1


110_2.gif

2. Na ukaona watu wanaingia katika Dini ya Mwenyezi Mungu kwa makundi, 2


110_3.gif

3. Zitakase sifa za Mola wako Mlezi, na umwombe msamaha; hakika Yeye ndiye anaye pokea toba. 3
 
Back
Top Bottom