Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,903
Miongoni mwa Mabadiliko ya katiba ya ccm nipamoja na Mchakato wa kumpata mgombea Urais Kufanyika kila baada ya miaka 10,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miongoni mwa Mabadiliko ya katiba ya ccm nipamoja na Mchakato wa kumpata mgombea Urais Kufanyika kila baada ya miaka 10,
Aisee kweli hii ni siri nzito, sizonje anahofia wanaweza kumtoa 2020Miongoni mwa Mabadiliko ya katiba ya ccm nipamoja na Mchakato wa kumpata mgombea Urais Kufanyika kila baada ya miaka 10,
Na hawa ndio wajinga wenyewe.Ya ccm wewe yanakuhusu nini!!
Mbona Chagadema walibadili katiba wakatoa ukomo wa Mbowe!!
Katiba ya zamani ilitoa haki ya mwanachama kwenda mahakamani
kwanini Mr. ZeRO aliondoa !!
CCM mkirogwa mkapitisha huo upuuzi mmekwisha. Anajiandalia makao ya milele huyo mtusi
Na uipo jadili ya ccm lazima siasa ikushinde mapema sanaJAMANI CHADEMA TUJADILI MAMBO YETU KWANI KUSHABIKIA VITU VYA CCM HAVITUSAIDII LABDA KAMA TUNAAMINI CCM NDIYO BORA KULIKO SISI
Duh..... dhana ya kukosoana na kupigana chini inaenda kufa mazimaAisee kumbe sizonje anataka kuwa dikteta mpaka ndani ya chama, mwafaaaa ccm
Cha ajabu Wao wanataka kuonyesha watanzania kuwa ndio mfano wakuigwa!!Wenzenu wanabadilishia katiba kwenye vikao vya chama, nyie mnabadilishia stationery!!
Kweli maono ni macho, kama una makengeza, hauna maono...
Kama makao ya Mbowe!!CCM mkirogwa mkapitisha huo upuuzi mmekwisha. Anajiandalia makao ya milele huyo mtusi